Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14
Gonga94 Β· Stories

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"By Babie Love 0742133100"

Tulikula zetu ule usiku sijui saa saba sijui saa nane tulipomaliza tukarudi hotel kulala muda huo pombe ishakata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yani niniliwa mpaka pombe zikaniishaπŸ€£πŸ™Œ

Rouhy alinitembeza sehemu mbalimbali za Paris hadi pale kwenye mnara mrefu tukapiga na picha za ukumbusho honeymoon ilikuwa tamu sanaaaπŸ€—πŸ€—πŸ€—..

Bibi alikuwa akinipigia video call kila siku asubuhi ananiambia pole na kazi hahahaaaa bibi Rouhy jamani ana vitukoπŸ˜‚πŸ™ˆ

Ombi lake ilikuwa nimzalie Rouhy mtotoπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°Rouhy pia alitamani sana mtoto😰😰familia nzima walihitaji kitito cha kuwa kinaruka ruka pale ndani mara kimebembea kwenye TV πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kijunior fulani hivi kisumbufuπŸ˜‚

Huenda mambo yakatiki let's wait and seeπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯° bata la honeymoon lilikuwa la Week tatu tu baada ya hapo Rouhy alihitaji kurudi kazini...

Kumbuka alikuwa katika likizo fupi ya kuoaπŸ˜‚πŸ˜‚yani alipewa mwezi mmoja na wiki moja tu atafute jiko baada ya hapo alitakiwa kwenda kuapishwa kwenye kitengo fulani cha siri serikalini❀️❀️..

Tulimaliza honeymoon tukarejea nyumbani tulipokelewa kwa shangwe na familia ya ukweni kwangu...

Bibi baada tu ya kuniona akasema mambo tayari mmhh sikumuelewa maana kwa muda huo hata nilikuwa sihisi kitu chochote😴😴..

Nilimpotezea tu bibi hata sikumzingatiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚basi baada ya kurudi ilitakiwa niondoke na mme wangu kwenda Dodoma lakini bibi alikataa akamwambia Rouhy aniache kwanza Dar..

Rouhy ilibidi atangulie dodoma maana likizo yake ilishaisha alitakiwa kurudi kazini😰😰😰...

Hata siku anaapishwa tulitoka Dar na ndege tukaenda dodoma na baada ya maapisho tulirudi Dar mimi na bibi pamoja na mama😰😰😰

Nilijisikia vibaya kwanini wananiweka mbali na mme wanguπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ήbibi ndo mtu aliniambia nikae kwanza Dar sijui kwa nini aliamua vile..

Ile hali ya upweke mme wangu yuko mbali sina raha nikajikuta naanza kuumwa hoi...that day niliamka naumwa sijielewi..

Nilimpigia Rouhy simu nikamwambia naumwa sana nataka kuja ulipoπŸ₯Ή Rouhy aliniambia atakuja kunichukua Weekend..

Alimpigia mama simu akamwambia naumwa mama ndo akaja chumbani kuniangalia natapikaπŸ™Œ kizunguzungu yani tafrani sijielewi😰

Mama aliniandaa kwa ajili ya kunipeleka hospitali lakini bibi akamkataza😜 muda huo bibi ye anacheka tu na kuniambia huo ndo ukubwa😰😰..

Hee ukubwa gani tena jamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚bibi alimuomba mama atupishe pale chumbani πŸ™ˆπŸ™ˆtukabaki wawili bibi akaniambia nivue nguo zote kisha nilale chali

HeπŸ™„πŸ˜³kwani bibi anataka kunifanyaje🀣🀣🀣asije akanibakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Itaendeleaaaaaa

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14


"By Babie Love 0742133100"

Tulikula zetu ule usiku sijui saa saba sijui saa nane tulipomaliza tukarudi hotel kulala muda huo pombe ishakata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yani niniliwa mpaka pombe zikaniishaπŸ€£πŸ™Œ

Rouhy alinitembeza sehemu mbalimbali za Paris hadi pale kwenye mnara mrefu tukapiga na picha za ukumbusho honeymoon ilikuwa tamu sanaaaπŸ€—πŸ€—πŸ€—..

Bibi alikuwa akinipigia video call kila siku asubuhi ananiambia pole na kazi hahahaaaa bibi Rouhy jamani ana vitukoπŸ˜‚πŸ™ˆ

Ombi lake ilikuwa nimzalie Rouhy mtotoπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°Rouhy pia alitamani sana mtoto😰😰familia nzima walihitaji kitito cha kuwa kinaruka ruka pale ndani mara kimebembea kwenye TV πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kijunior fulani hivi kisumbufuπŸ˜‚

Huenda mambo yakatiki let's wait and seeπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯° bata la honeymoon lilikuwa la Week...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
 I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

552
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

536
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

391
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

309
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

242
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

188
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

136
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

102
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest