Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
21 Aug 2025
666 views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ14
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"By Babie Love 0742133100"
Tulikula zetu ule usiku sijui saa saba sijui saa nane tulipomaliza tukarudi hotel kulala muda huo pombe ishakata πππyani niniliwa mpaka pombe zikaniishaπ€£π
Rouhy alinitembeza sehemu mbalimbali za Paris hadi pale kwenye mnara mrefu tukapiga na picha za ukumbusho honeymoon ilikuwa tamu sanaaaπ€π€π€..
Bibi alikuwa akinipigia video call kila siku asubuhi ananiambia pole na kazi hahahaaaa bibi Rouhy jamani ana vitukoππ
Ombi lake ilikuwa nimzalie Rouhy mtotoπ₯°π₯°π₯°Rouhy pia alitamani sana mtotoπ°π°familia nzima walihitaji kitito cha kuwa kinaruka ruka pale ndani mara kimebembea kwenye TV πππkijunior fulani hivi kisumbufuπ
Huenda mambo yakatiki let's wait and seeπ₯°π₯°π₯° bata la honeymoon lilikuwa la Week tatu tu baada ya hapo Rouhy alihitaji kurudi kazini...
Kumbuka alikuwa katika likizo fupi ya kuoaππyani alipewa mwezi mmoja na wiki moja tu atafute jiko baada ya hapo alitakiwa kwenda kuapishwa kwenye kitengo fulani cha siri serikaliniβ€οΈβ€οΈ..
Tulimaliza honeymoon tukarejea nyumbani tulipokelewa kwa shangwe na familia ya ukweni kwangu...
Bibi baada tu ya kuniona akasema mambo tayari mmhh sikumuelewa maana kwa muda huo hata nilikuwa sihisi kitu chochoteπ΄π΄..
Nilimpotezea tu bibi hata sikumzingatiaπππbasi baada ya kurudi ilitakiwa niondoke na mme wangu kwenda Dodoma lakini bibi alikataa akamwambia Rouhy aniache kwanza Dar..
Rouhy ilibidi atangulie dodoma maana likizo yake ilishaisha alitakiwa kurudi kaziniπ°π°π°...
Hata siku anaapishwa tulitoka Dar na ndege tukaenda dodoma na baada ya maapisho tulirudi Dar mimi na bibi pamoja na mamaπ°π°π°
Nilijisikia vibaya kwanini wananiweka mbali na mme wanguπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ήbibi ndo mtu aliniambia nikae kwanza Dar sijui kwa nini aliamua vile..
Ile hali ya upweke mme wangu yuko mbali sina raha nikajikuta naanza kuumwa hoi...that day niliamka naumwa sijielewi..
Alimpigia mama simu akamwambia naumwa mama ndo akaja chumbani kuniangalia natapikaπ kizunguzungu yani tafrani sijielewiπ°
Mama aliniandaa kwa ajili ya kunipeleka hospitali lakini bibi akamkatazaπ muda huo bibi ye anacheka tu na kuniambia huo ndo ukubwaπ°π°..
Hee ukubwa gani tena jamaniπππbibi alimuomba mama atupishe pale chumbani ππtukabaki wawili bibi akaniambia nivue nguo zote kisha nilale chali
Tulikula zetu ule usiku sijui saa saba sijui saa nane tulipomaliza tukarudi hotel kulala muda huo pombe ishakata πππyani niniliwa mpaka pombe zikaniishaπ€£π
Rouhy alinitembeza sehemu mbalimbali za Paris hadi pale kwenye mnara mrefu tukapiga na picha za ukumbusho honeymoon ilikuwa tamu sanaaaπ€π€π€..
Bibi alikuwa akinipigia video call kila siku asubuhi ananiambia pole na kazi hahahaaaa bibi Rouhy jamani ana vitukoππ
Ombi lake ilikuwa nimzalie Rouhy mtotoπ₯°π₯°π₯°Rouhy pia alitamani sana mtotoπ°π°familia nzima walihitaji kitito cha kuwa kinaruka ruka pale ndani mara kimebembea kwenye TV πππkijunior fulani hivi kisumbufuπ
Huenda mambo yakatiki let's wait and seeπ₯°π₯°π₯° bata la honeymoon lilikuwa la Week...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-14