Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love
Gonga94 Β· Stories

I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
0742133100"

Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamuπŸ™„πŸ™„πŸ™„...

Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tuπŸ˜‚πŸ˜‚

Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamaniπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ™Œ tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...

Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm here❀️

Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...

Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania kwenye ndoaπŸ˜‚hakuna aliyekuwa anamfahamu mwenzie kiundani..

Shule nilitaka kuendelea lakini nilimwambia kwa sababu yeye ndo mme tayari akiridhia basi mimi nitaendaaπŸ₯°πŸ₯°

Na kuhusu mtoto mimi ndoto yangu ilikuwa kuzaa baada ya ndoa kwa vile ndoa tayari basi na mtoto niko tayari kumpokeaπŸ₯°

Nisije nikaanza kusema sitaki kuzaa sasa hivi niletewe watoto wa nje nianze kulia liaπŸ˜‚πŸ˜‚..

About future hahahaaa nilifunguka...

Nilimwambia pia vitu navyopenda pamoja na nisivyovipenda nilivielezea kiundani naye mwenzangu akaniweka wazi what he like na kipi hapendiπŸ€—πŸ€—

Kwanza ana wivuπŸ€—πŸ€—pili hapendi usalitiπŸ€—πŸ€—anapenda kupewa muda na mwanamke wake waenjoy pamoja washauriane kuhusu maisha yao na mengineyo mengi tu...

Kuhusu usaliti mi hayo siyo mambo yanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kizuri zaidi umenikuta bikra babangu so ningekuwa kiruka njia hata hii bikra usingeikutaπŸ˜“πŸ˜“..

Tulipata kupiga story nyingi sana nikazidi kumfahamu Rouhy wangu naye akapata kunijua vizuri mimi ni mwanamke wa aina ganiπŸ€—πŸ€—πŸ€—...

Usiku ulipozidi kuwa mkubwa tukaamua kujipumzisha.... siku iliyofuata Rouhy aliniomba nijiandae tutokeπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ..

Sikujua tunaelekea wapi na though sikuwa natembea vizuri bado lakini aliniomba at least nijikaze tu coz hatutochelewa kurudiπŸ₯°..

Tulijiandaa baada ya hapo akaniomba nichukue na kitambulisha changuπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ nilifanya hivo then baada ya hapo tuliwaaga wakiokuwepo nyumbani tukatokaπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ..

Ni raha sana kuolewa na mwanaume mnaendana afu awe na maisha ya kifahari mkiwa mnatoka mnajichagulia tu leo tutoke na gari ganiπŸ™ˆπŸ™ˆ...

Na mkiwa mnatembea muda wote kaushikilia mkono wako kiatu kikifunguka kamba anainama kunifungia lol nilijikuta nampenda Rouhy kama sina akili vizuriπŸ˜‚

Mtoko wetu wa siku hiyo uliishia BankπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌBabe alienda kunifungulia account BankπŸ₯°πŸ₯° tulifanya exchange ya zile pesa nilizopewa na auntie wa majuuuπŸ€—πŸ€—

Baada ya hapo nikafungua account nikazieka... Rouhy pia alinihamishia kitita cha pesa kutoka kwenye account yake akaniingizia kwa acc yanguπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Aliniambia nitakupa chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu MayaπŸ₯Ή wewe ni mwanamke wa maisha yangu

nami ndo mwanaume wako wa kwanza naahidi kukujengea historia nzuri ya mapenzi na kamwe sitokuja kukulizaπŸ«‚..

Wewe na huyo mharifu wako mlishawahi kuambiana hivo??... au nyie kazi yenu ni kukoromeana tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ itaendeleaaaa....
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜11 "By Babie Love

0742133100"

Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamuπŸ™„πŸ™„πŸ™„...

Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tuπŸ˜‚πŸ˜‚

Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamaniπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ™Œ tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...

Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm here❀️

Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...

Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-11-by-babie-love

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10
 I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜09
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜15
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜12
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
I LOVE YOU DADYπŸ’˜β€οΈπŸ’˜16
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜07
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜13
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜08
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜14
 I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜06
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜04
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

552
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

538
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

391
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

309
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

246
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

189
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

137
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

102
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest