I LOVE YOU DADY๐โค๏ธ๐11 "By Babie Love
Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamu๐๐๐...
Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tu๐๐
Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamani๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...
Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm hereโค๏ธ
Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...
Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania kwenye ndoa๐hakuna aliyekuwa anamfahamu mwenzie kiundani..
Shule nilitaka kuendelea lakini nilimwambia kwa sababu yeye ndo mme tayari akiridhia basi mimi nitaendaa๐ฅฐ๐ฅฐ
Na kuhusu mtoto mimi ndoto yangu ilikuwa kuzaa baada ya ndoa kwa vile ndoa tayari basi na mtoto niko tayari kumpokea๐ฅฐ
Nisije nikaanza kusema sitaki kuzaa sasa hivi niletewe watoto wa nje nianze kulia lia๐๐..
About future hahahaaa nilifunguka...
Nilimwambia pia vitu navyopenda pamoja na nisivyovipenda nilivielezea kiundani naye mwenzangu akaniweka wazi what he like na kipi hapendi๐ค๐ค
Kwanza ana wivu๐ค๐คpili hapendi usaliti๐ค๐คanapenda kupewa muda na mwanamke wake waenjoy pamoja washauriane kuhusu maisha yao na mengineyo mengi tu...
Kuhusu usaliti mi hayo siyo mambo yangu๐๐๐kizuri zaidi umenikuta bikra babangu so ningekuwa kiruka njia hata hii bikra usingeikuta๐๐..
Tulipata kupiga story nyingi sana nikazidi kumfahamu Rouhy wangu naye akapata kunijua vizuri mimi ni mwanamke wa aina gani๐ค๐ค๐ค...
Usiku ulipozidi kuwa mkubwa tukaamua kujipumzisha.... siku iliyofuata Rouhy aliniomba nijiandae tutoke๐๐ผ๐๐ผ..
Sikujua tunaelekea wapi na though sikuwa natembea vizuri bado lakini aliniomba at least nijikaze tu coz hatutochelewa kurudi๐ฅฐ..
Tulijiandaa baada ya hapo akaniomba nichukue na kitambulisha changu๐๐ผ๐๐ผ nilifanya hivo then baada ya hapo tuliwaaga wakiokuwepo nyumbani tukatoka๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ..
Ni raha sana kuolewa na mwanaume mnaendana afu awe na maisha ya kifahari mkiwa mnatoka mnajichagulia tu leo tutoke na gari gani๐๐...
Na mkiwa mnatembea muda wote kaushikilia mkono wako kiatu kikifunguka kamba anainama kunifungia lol nilijikuta nampenda Rouhy kama sina akili vizuri๐
Mtoko wetu wa siku hiyo uliishia Bank๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผBabe alienda kunifungulia account Bank๐ฅฐ๐ฅฐ tulifanya exchange ya zile pesa nilizopewa na auntie wa majuuu๐ค๐ค
Baada ya hapo nikafungua account nikazieka... Rouhy pia alinihamishia kitita cha pesa kutoka kwenye account yake akaniingizia kwa acc yangu๐ฅน๐ฅน๐ฅน
Aliniambia nitakupa chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu Maya๐ฅน wewe ni mwanamke wa maisha yangu
nami ndo mwanaume wako wa kwanza naahidi kukujengea historia nzuri ya mapenzi na kamwe sitokuja kukuliza๐ซ..
Wewe na huyo mharifu wako mlishawahi kuambiana hivo??... au nyie kazi yenu ni kukoromeana tu๐๐๐๐ itaendeleaaaa....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

.jpg)

.jpg)
Maoni