I LOVE YOU DADYπβ€οΈπ11 "By Babie Love
Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamuπππ...
Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tuππ
Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamaniπ₯°π₯°π₯°π tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...
Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm hereβ€οΈ
Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...
Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania kwenye ndoaπhakuna aliyekuwa anamfahamu mwenzie kiundani..
Shule nilitaka kuendelea lakini nilimwambia kwa sababu yeye ndo mme tayari akiridhia basi mimi nitaendaaπ₯°π₯°
Na kuhusu mtoto mimi ndoto yangu ilikuwa kuzaa baada ya ndoa kwa vile ndoa tayari basi na mtoto niko tayari kumpokeaπ₯°
Nisije nikaanza kusema sitaki kuzaa sasa hivi niletewe watoto wa nje nianze kulia liaππ..
About future hahahaaa nilifunguka...
Nilimwambia pia vitu navyopenda pamoja na nisivyovipenda nilivielezea kiundani naye mwenzangu akaniweka wazi what he like na kipi hapendiπ€π€
Kwanza ana wivuπ€π€pili hapendi usalitiπ€π€anapenda kupewa muda na mwanamke wake waenjoy pamoja washauriane kuhusu maisha yao na mengineyo mengi tu...
Kuhusu usaliti mi hayo siyo mambo yanguπππkizuri zaidi umenikuta bikra babangu so ningekuwa kiruka njia hata hii bikra usingeikutaππ..
Tulipata kupiga story nyingi sana nikazidi kumfahamu Rouhy wangu naye akapata kunijua vizuri mimi ni mwanamke wa aina ganiπ€π€π€...
Usiku ulipozidi kuwa mkubwa tukaamua kujipumzisha.... siku iliyofuata Rouhy aliniomba nijiandae tutokeππΌππΌ..
Sikujua tunaelekea wapi na though sikuwa natembea vizuri bado lakini aliniomba at least nijikaze tu coz hatutochelewa kurudiπ₯°..
Tulijiandaa baada ya hapo akaniomba nichukue na kitambulisha changuππΌππΌ nilifanya hivo then baada ya hapo tuliwaaga wakiokuwepo nyumbani tukatokaππΌππΌππΌ..
Ni raha sana kuolewa na mwanaume mnaendana afu awe na maisha ya kifahari mkiwa mnatoka mnajichagulia tu leo tutoke na gari ganiππ...
Na mkiwa mnatembea muda wote kaushikilia mkono wako kiatu kikifunguka kamba anainama kunifungia lol nilijikuta nampenda Rouhy kama sina akili vizuriπ
Mtoko wetu wa siku hiyo uliishia BankππΌππΌππΌππΌBabe alienda kunifungulia account Bankπ₯°π₯° tulifanya exchange ya zile pesa nilizopewa na auntie wa majuuuπ€π€
Baada ya hapo nikafungua account nikazieka... Rouhy pia alinihamishia kitita cha pesa kutoka kwenye account yake akaniingizia kwa acc yanguπ₯Ήπ₯Ήπ₯Ή
Aliniambia nitakupa chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu Mayaπ₯Ή wewe ni mwanamke wa maisha yangu
nami ndo mwanaume wako wa kwanza naahidi kukujengea historia nzuri ya mapenzi na kamwe sitokuja kukulizaπ«..
Wewe na huyo mharifu wako mlishawahi kuambiana hivo??... au nyie kazi yenu ni kukoromeana tuππππ itaendeleaaaa....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

.jpg)

.jpg)