Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
19 Aug 2025
1.06K views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
0742133100"
Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamu🙄🙄🙄...
Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tu😂😂
Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamani🥰🥰🥰🙌 tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...
Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm here❤️
Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...
Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania kwenye ndoa😂hakuna aliyekuwa anamfahamu mwenzie kiundani..
Shule nilitaka kuendelea lakini nilimwambia kwa sababu yeye ndo mme tayari akiridhia basi mimi nitaendaa🥰🥰
Na kuhusu mtoto mimi ndoto yangu ilikuwa kuzaa baada ya ndoa kwa vile ndoa tayari basi na mtoto niko tayari kumpokea🥰
Nisije nikaanza kusema sitaki kuzaa sasa hivi niletewe watoto wa nje nianze kulia lia😂😂..
About future hahahaaa nilifunguka...
Nilimwambia pia vitu navyopenda pamoja na nisivyovipenda nilivielezea kiundani naye mwenzangu akaniweka wazi what he like na kipi hapendi🤗🤗
Kwanza ana wivu🤗🤗pili hapendi usaliti🤗🤗anapenda kupewa muda na mwanamke wake waenjoy pamoja washauriane kuhusu maisha yao na mengineyo mengi tu...
Kuhusu usaliti mi hayo siyo mambo yangu😂😂😂kizuri zaidi umenikuta bikra babangu so ningekuwa kiruka njia hata hii bikra usingeikuta😓😓..
Tulipata kupiga story nyingi sana nikazidi kumfahamu Rouhy wangu naye akapata kunijua vizuri mimi ni mwanamke wa aina gani🤗🤗🤗...
Usiku ulipozidi kuwa mkubwa tukaamua kujipumzisha.... siku iliyofuata Rouhy aliniomba nijiandae tutoke💃🏼💃🏼..
Sikujua tunaelekea wapi na though sikuwa natembea vizuri bado lakini aliniomba at least nijikaze tu coz hatutochelewa kurudi🥰..
Tulijiandaa baada ya hapo akaniomba nichukue na kitambulisha changu💃🏼💃🏼 nilifanya hivo then baada ya hapo tuliwaaga wakiokuwepo nyumbani tukatoka💃🏼💃🏼💃🏼..
Ni raha sana kuolewa na mwanaume mnaendana afu awe na maisha ya kifahari mkiwa mnatoka mnajichagulia tu leo tutoke na gari gani🙈🙈...
Na mkiwa mnatembea muda wote kaushikilia mkono wako kiatu kikifunguka kamba anainama kunifungia lol nilijikuta nampenda Rouhy kama sina akili vizuri😂
Mtoko wetu wa siku hiyo uliishia Bank💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼Babe alienda kunifungulia account Bank🥰🥰 tulifanya exchange ya zile pesa nilizopewa na auntie wa majuuu🤗🤗
Baada ya hapo nikafungua account nikazieka... Rouhy pia alinihamishia kitita cha pesa kutoka kwenye account yake akaniingizia kwa acc yangu🥹🥹🥹
Aliniambia nitakupa chochote kile kilicho ndani ya uwezo wangu Maya🥹 wewe ni mwanamke wa maisha yangu
nami ndo mwanaume wako wa kwanza naahidi kukujengea historia nzuri ya mapenzi na kamwe sitokuja kukuliza🫂..
Wewe na huyo mharifu wako mlishawahi kuambiana hivo??... au nyie kazi yenu ni kukoromeana tu😂😂😂😂 itaendeleaaaa....
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just...
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact....
Rouhy tangu siku aliponitoa bikra hakuna zawadi aliyonipatia zaidi ya asante pamoja na maneno matamu🙄🙄🙄...
Mpaka niliwaza nimnunie nimejitunza wee nakuja kuambilia asante na kubembelewa na maneno matamu tu😂😂
Ila huenda kuna kitu kizuri ananiandalia siwezi kumnunia chibaba wangu jamani🥰🥰🥰🙌 tayari moyo ulikuwa umeshajaa asilimia mia kwa kwa Rouhy...
Siku hiyo usiku baada ya kula Rouhy aliniomba tuongee...nikamwambia sawa Darling I'm here❤️
Mme wangu alitaka kujua malengo yangu...je ninaendelea na masomo??.... nina plan kupata mtoto nikiwa na umri gani ninatamani kuwa nani kwenye future yangu...
Mimi ni mtu wa aina gani napenda vitu vya aina gani kitu gani sipendi kufanyiwa kama mnavojua sisi tulijuania...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-11-by-babie-love
Maoni