I LOVE YOU DADY๐โค๏ธ๐15
"By Babie Love 0742133100"
Nilivua nguo nikabaki na chupi bibi alinitandikia mkeka wake chini nikalala chali alinishika tumbo akawa anapandisha mkono anashusha mi sielewi anapima nini๐๐
Alipomaliza akaniambia hongera sana amka uvae nguo ariririiiiiiiii๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐnikashangaa bibi amekuwa mwenye furaha kupita kiasi..
Nilivaa nguo nikatulia bibi akaniambia nilikwambia mambo tayari mi nilikuona tu siku mmetoka hanimuni nikajua mambo tayari๐ค
Mungu wangu kwa hiyo ni mimba๐ฐ๐ฐ๐ฐ๐... niliwaza kimoyomoyo๐ bibi akaniambia hongera una mimba uuwww๐
Kamoyo kakafanya paaah sikuamini mpaka nikipima ndo nitaamini๐๐bibi aliniambia sikutaka uende kwa mmeo mpaka hiyo mimba ikomae mae๐๐
Nilihofia mtaenda jirusha huko muitoe๐๐najua nyie watoto wadogo mnapiga sana sarakasi tulia ifunge hata miezi miwili utamfuata mmeo๐๐
Nilimwambia sawa bibi nimekuelewa๐๐tangu hiyo siku bibi alizidisha sana mamenzi kwangu kuliko kawaida๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ nikikaa naye ninaimbiwa nyimbo za kikwao mpaka nasinzia๐๐๐
Rouhy aliambiwa huku mambo tayari๐๐๐akanipigia nikashangaa naambiwa congratulations babe๐๐heee ya nini akaniambia sisi ni wazazi watarajiwa๐ฅนโค๏ธ..
Sijui hata machozi yalitoka wapi๐ฅน๐๐nilijikuta tu naanza kulia from no where๐๐๐Rouhy akaanza kunibembeleza akaniuliza najisikia kula nini๐
Mara how do you feel please don't cry sweetheart you will be okay nakuahidi nitakuja kukuchukua ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Basi nilibembelezwa mpaka nikatulia na Rouhy aliniahidi atakuja kunichukua keshooo๐ฅฐ๐ฅฐna akaniambia atakuja na zawadi nzuriii๐ฅฐ๐ฅฐ..
Kweli siku iliyofuata usiku Rouhy alikuja๐๐aliniletea mijizawadi kibaoooo๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐalinikumbatia akaniromance mie deke deke๐๐๐..
Aliniombaa nimwambie chochote nachohitaji nikamwambia namuitaji yeye๐๐๐ alinipa kimoja cha kunitoa nyege kwanza baada ya hapo tukaingia bafuni kuoga..
Tulipomaliza tukaenda zetu kula tukarudi kulala....nyieeeeeee huko chumbani siku hiyo ilikuwa kunyanduana mwanzo mwisho๐๐๐
Sijui ndo hamu za mimba hata sielewi๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐnilifanywaaaaaaa akimaliza namwambia bae nataka tenaaa๐๐๐...hahahaaaa Rouhy mwenyewe alishangaa maana mmmhhh alinikuna mpaka mdudu ukachubuka lakini nataka๐คฃ๐คฃ
Mpaka aliomba maji mkaka wa watu๐๐๐๐... aliniambia saivi sikuachi hapa mmhhh kwa hali hii utakuja kunisaliti wewe๐
Basi bwana siku iliyofuata Rouhy aliiambia familia yake yakwamba mke wangu ninaondoka naye๐ค๐ค bibi alimwambia mara hiyo tu ushaumiss utamu๐คช
Ukampeleke taratibu basi maana mwenzio saivi mama kijacho msije mkaniumizia kitukuu changu๐๐hahahaaa bibi bwana๐๐๐...
Mama mwenyewe hakutaka niondoke๐ฅน๐ฅน๐ฅนaliniomba nibaki naye nikijifungua ndo niende dodoma๐๐..hivi wanajua kinachonifanya nisibaki๐๐..
Hiyo miezi tisa yote nikae mbali na utamu wangu akuuu nilimwambia mama nitakuwa nakuja kila weekend๐๐๐Rouhy mwenyewe alikataa akawaambia niachieni my wangu naondoka naye hahahaaaaa..
Tulienda hospital nikafanyiwa chekapu mimba ilikuwa fresh sikuwa na shida yoyote siku iliyofuata niliondoka na mme wangu kwenda Dodoma๐ฅฐ๐ฅฐ๐ค
Bibi na mama walibaki wapweke sana๐ฅน๐ฅน๐ฅนmme ananitaka familia inanitaka dah mtihani๐ nilitamani nikae na mama na bibi lakini sasa dudu na yale mautundu ya mme nayamiss mpaka sio poa..
Tulifika Dom anapokaa hubby nikakaribishwa mama mjengo...
Niliingia ndani anapoish Mr palikuwa pasafi sana yani pasafi kuliko kawaida pamepangiliwa kama kuna mwanamke anaishi pale ndani๐๐..
Siku zote nyumba anayoishi mwanaume peke yake inajulikana na nyumba iliyo na mwanamke inajulikana๐๐๐..
Yale mazingira bwana yalinitisha nikasema wacha nifanye patrol mapema nijue tuko wangapi....
Rouhy wakati yuko bafuni mi nikaanza kufurukunyua kila kona kule chumbani ๐๐ mara simu yake ikaita namba imeseviwa lolo Dom nyieee๐๐๐..
Tangu anioe sijawahi kushika wala kukagua simu yake niliiangalia ile simu nikajiuliza niipokee???
Itaendeleaaaaaaaaa
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



.jpg)