Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜12
Gonga94 ยท Stories

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"By Babie Love 0742133100"

Basi bwana namimi nikaanza kumiliki mkwanja๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnilimshukuru sana mme wangu..

Ni wachache sana walio na moyo wa kutoa๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿ™Œunaeza ukaolewa na mwanaume ana kila kitu lakini mbinafsi๐Ÿ’”

Namshukuru Mungu Rouhy wangu hakuwa mbinafsi pesa ipo na anaitoaaaa...baada ya kumaliza kilichotupeleka bank tulipitia Veta Rouhy aliniambia natakiwa nijifunze kudrive๐Ÿ’ƒ๐Ÿผ..

Hizi zitaniuwa nilijisemea tu kichwani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nilichukua form ya Driving baada ya hapo bae akaniuliza najisikia kwenda wapi anipeleke๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hahahaaaa nilimwambia popote tu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ akasema sawa mke wangu mzuri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚yani haezi kuniita mke wangu kavu kavu bila kusema mrembo au mzuri๐Ÿ’–๐Ÿ’–..

Rouhy alinipeleka sehemu moja hivi pale pale masaki wanachoma mishikaki mitamu niajee๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ tulikula mishikaki nyieeeeee๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ..

Mara anilishe mara aniambie anapenda ninavotafuna๐Ÿ˜๐Ÿ˜yani raha juu ya raha au ndo mambo ya penzi jipya hahaaaaaaa..

Baada ya kula mishikaki akaniuliza tena Do you need something maybe wig๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ na vitu vya vacation ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œnikamwambia yes babe๐Ÿ™ˆ

Nilipelekwa tena mlimani City tukaenda kufanya shopping special for vacation๐Ÿ’ƒ๐Ÿผ๐Ÿ’ƒ๐Ÿผ๐Ÿ’ƒ๐Ÿผmme wangu alinichagulia vile vinguo fulani hivi๐Ÿ™ˆ

Mnazijua buana zile nguo za chumbani zile๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ mwanaume anapenda mizagamuo yule hahahaaa... tuliendelea na shopping mida ya saa nane mom akanipigia..

Nilipokea simu nikamwambia hey mom.... akaitikia hi Maya uko sawa.... nikamwambia yes mom niko okay..

Mko wapi Rouhy hakuchoshi kweli??? Hahahaa hapana mom niko okay thanks ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ...ok muwahi basi kurudi chakula kinapoa huku๐Ÿค—๐Ÿค—hahaa nyie mama mkwe si ndo huyuuu๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ..

Ushawahi kupigiwa simu na mama mkwe akwambie chakula tayari au wewe ndo unakurupushwa uende kupika๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nilimwambia mama hatuchelewi tunamalizia shopping hapaa๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐ŸฅฐOK sweetheart take care nikamwambia thanks mom I love youuu๐Ÿฅน๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–...

Love you too Maya ๐Ÿ˜˜๐Ÿ’“.... Rouhy aliona wivu akaninyakua simu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃakamuuliza mama kwa hiyo mimi sifai tena mom๐Ÿฅน

Mbona hata huniulizii unamjali Maya peke yake๐Ÿ˜“๐Ÿ˜“ hahahaaaa mama alimbembeleza aisee wanapendana sana ile familia๐Ÿฅน๐Ÿฅนโค๏ธ..

Basi tulicheka wenyewe pale tukaagana na mama tukamalizia shopping tukarudi nyumbani๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ..

Tulipokelewa home๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ mizigo yetu ikapelekwa chumbani sisi tukabaki chini ukumbini tunapiga story na bibi na shangazi pamoja na Mom...

Waliuliza ni lini tumepanga kwenda vakei Rouhy akamwambia et anasubilia tu mimi niamue hahahaa jamani yani kila kitu naulizwa mim๐Ÿ™ˆ

Basi bwana tuliandaliwa chakula pale tukala mmmhhh kwa ulaji huu sijui kama nitakosa kuwa na kitambi maana all the time ni vitamu tu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™ˆ..

Baada ya chakula shangazi alituaga akatuambia yeye kesho anarudi kwake huko majuuu shangazi aliolewa huko nchi za nje๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐna ni rich auntie kinoma..

Alituhusia pale namna ya kuitunza na kuilinda ndoa baada ya hapo akatuambia tukishatoka vacation tupite kwake tumsalimie๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Rouhy alikubali na akamuahidi shangazi ndoa atailinda na kuitunza vile vile๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐbasi bwana siku hiyo tena tulitoka kwenda kumtafutia shangazi zawadi za kwenda nazo majuu๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Tulimfanyia shopping ya vitu vya kiafrica vitu asiliaaa kama mihogo...viazi vitamu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nyanya chungu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ni vingi sana tulinunua vikafungashwa na siku iliyofuata auntie aliondoka Tanzania rasmi...

Tulibaki wapweke sana๐Ÿฅน๐Ÿฅน shangazi alikuwa changamsha kambi mtu fulani hivi very charming ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–..

Zilipita kama siku tatu hivi tukiwa tunajiandaa na safari yetu ya Paris kwa ajili ya kwenda kuenjoy zetu honeymoon ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ..

Safari ilikamilika hatimaye mimi na Rouhy tuliondoka zetu Tanzania kuelekea Paris huko ufaransa๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐndiko nilikochagua kwenda kufurahia utamu wa ndoa...

Baada ya kufika Paris tulipokelewa kwenye hotel tulokuwa tumefanya Booking ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ™Œ tulikuta maandalizi ya kufa mtu...

Chumba kimepambwa maua ya kuvutia yani kinashawishi tu minyanduano๐Ÿ˜‚pale chumbani tulikuta Wine za kutosha๐Ÿท๐Ÿท ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Rouhy for the fast time akanishawishi ninywe wine nyieeee kilichotokea baada ya kulewa ni aibu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ

Itaendeleaaaa...

WhatsApp 0742133100
Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜12


"By Babie Love 0742133100"

Basi bwana namimi nikaanza kumiliki mkwanja๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnilimshukuru sana mme wangu..

Ni wachache sana walio na moyo wa kutoa๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿ™Œunaeza ukaolewa na mwanaume ana kila kitu lakini mbinafsi๐Ÿ’”

Namshukuru Mungu Rouhy wangu hakuwa mbinafsi pesa ipo na anaitoaaaa...baada ya kumaliza kilichotupeleka bank tulipitia Veta Rouhy aliniambia natakiwa nijifunze kudrive๐Ÿ’ƒ๐Ÿผ..

Hizi zitaniuwa nilijisemea tu kichwani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nilichukua form ya Driving baada ya hapo bae akaniuliza najisikia kwenda wapi anipeleke๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hahahaaaa nilimwambia popote tu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ akasema sawa mke wangu mzuri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚yani haezi kuniita mke wangu kavu kavu bila kusema mrembo au mzuri๐Ÿ’–๐Ÿ’–..

Rouhy alinipeleka sehemu moja hivi pale pale masaki wanachoma mishikaki mitamu niajee๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ tulikula mishikaki nyieeeeee๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ..

Mara anilishe mara aniambie anapenda...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10
 I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜09
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜09
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜15
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜15
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜16
I LOVE YOU DADY๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜16
 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜07
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜07
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜13
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜13
 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜08
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜08
 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜14
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜14
 I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜06
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜06
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜04
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜04
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜05
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68

552
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 69 na 70

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 69 na 70

536
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 46๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 46๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

391
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 47๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 47๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

309
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 71 na 72

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 71 na 72

242
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 19 MPAKA 20

188
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 21 MPAKA 23

136
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 16 MPAKA 18

102
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13

95

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.65K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.27K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.26K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 47๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 47๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 21 MPAKA 23
@majario LIVE

๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 19 MPAKA 20
@majario LIVE

๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 46๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 46๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed๐Ÿฅน๐Ÿฅน nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama๐Ÿ˜Ÿ๐Ÿ˜Ÿ lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ 14 MPAKA 15
@majario LIVE

๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 45๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest