I LOVE YOU DADY ๐โค๏ธ๐06
"By Babie Love 0742133100"
Wakati maongezi yanaendelea tulikuwa mbele on the stage tunacheza mziki taratibu๐๐lait watu wangejua ninachoulizwa pale on the stage hahahaa wangenionea huruma..
Kadri muda ulivyozidi kwenda watu Wakazidi kuwa wengi pale stejini Rouhy alipoona watu wamekuwa wengi...
Akaniambia tuchomoke pale ukumbini twende zetu ndani tukapumzike๐ฉ๐ฉ...nyieeee nilitamani nikatae๐๐
Rouhy alinishika mkono tukaenda zetu chumbani๐ tumefika huko mlango ukafungwa hahahaaa nilikuwa natetemeka kama niko machinjioni๐ฉ..
Jamaa alinibeba akanilaza kitandani then akaanza kunivua gauni niloivaa kwani nilikubali๐ด๐ดnilimsubua mpaka akaichana๐๐
Alivuta kuanzia kwenye zipu juu akatatua mpaka chini๐๐๐aliitoa akaiweka pembeni nikabaki na kichupi tu๐๐..
Nilianza kulia nyiee nikawa namuomba Daddy usinifanyee nitaumiaaa๐ฅน๐ญ Rouhy aliniambia ye hawezi kuniumiza kwa sababu ananipenda..
Alivua nguo zake akabaki uchi nilipouona ule mguu wa mtoto nikajidai nimezimia ๐๐๐ Rouhy aliogopa๐๐๐
Akajua kweli nimezimia alianza kunipepea akawa ananibembeleza babe amka mke wangu promise you sitokufanyia hivo๐ฐ
Alipoona siamki aliamua kwenda kuvaa nguo baada ya hapo nikaona anatoa nguo akaja kunivalisha๐amemaliza kunivalisha nguo nikaamka๐คฃ๐คฃ
Akanikumbatia akasema Asante Mungu ๐ด๐ด babe how do you feel are you okay???. Nikamwambia yes Daddy I'm okay now but naogopaa๐ฅน
Rouhy alijilaza kitandani akanilaza kifuani then akaniambia I know hujanizoea thas why unaogopa right???
Nikamwambia ndiyo Daddy naomba unipe muda nikuzoee we need time even tufanye check up ya vvu before sex..
Rouhy alinikubalia tulisali zetu baada ya hapo akaniambia hata kama sitaki anifanye chochote at least nilale na nguo nyepesi au bila nguo aliahidi hatonijigiji atavumilia๐ด
Nilikuwa na kinguo cha kulalia mama alininunulia chepesi kinachora umbile lote la mwili๐๐nilikivaa hiko lakini vile tu nilikuwa uchi๐ด๐ด..
Rouhy alivaa bukta tukaingia kulala alinilaza kifuani kwake akanikumbata kama katoto๐๐kumbe kuolewa ndo unakumbatiwa utamu hivo na hamsemi๐ฅฐ๐ฅฐ..
Kadri muda ulivyozidi kusonga hali ya Rouhy ikawa inabadilika maskini alisumbuka usiku mzima dudu haitaki kulala๐ฐ๐ฐnilimuonea huruma๐
Asubuhi kulipokucha tuliamka mapema kusalimia then tukarudi chumbani๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ..
Tuliandaliwa breakfast tukala baada ya hapo Rouhy akaniambia tutoke twende hospital kwa ajili ya chekapu๐ฅฐ๐ฅฐ
Tulijiandaa zetu pale nikatupia my wenu nilikuwa naishi kijijini lakini nilikuwa na mitoko tena mitoko ya maana๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Kwetu mimi ndo mtoto pekee wa kike na ni last born wazazi wangu walikuwa wananipenda mnooo kila nilikokitaka nilikuwa napewa..
Basi nimetupia pale Rouhy akazidi kudata muda wote ni kunisifia tu๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐtumetoka nje familia bado ilikuwepo wacha wanisifieee๐๐..
Bibi yake Rouhy alipoona tunaenda kupanda gari tutoke akashangaa safari ya wapi๐ง๐ง๐ง..
Rouhy akamwambia bibi tunaenda hospital... heeee bibi akashangaa hospitali????
Akamuuliza Rouhy ulimzidishia mtoto wa watu maji๐ณ๐ณ๐ณulishindwa kubakiza ule kidogo kidogo nyieee niliona aibu๐
Hapohapo sijakaa sawa shangazi akadakia nendeni muwahi mje mnipe mashuka nifue nataka nijue kama yaliyomo yamo.....hahahaaaa Itaendeleaaaaaa...
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
.jpg)


.jpg)