?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5
YOUTUBE-SIMULIZI ARENA
SEHEMU YA TANO
ILIPOISHIA
Chitara anaamua kwenda kumuangalia ni nani ambae amekuja pale nyumbani kwao kwaajili yake.Hakuwa na ahadi na mtu yoyote ya kukutana na mtu siku hiyo.
"Dada mwajuma karibu sana"Alizungumza chitarah baada ya kumuona huyo mgeni wake
"Asante nimekuja hapa kwaajili yako"alisema mwajuma
Chitara alikumbuka Lile tukio lililotokea mchana wa siku hiyo baina yake na huyo mwajuma.Alijikuta akiwa makini sana kusikiliza ni kitu gani anachotaka kusema mwajuma.Masikio ya chitara yalikuwa yamesimama kumsikiliza mwajuma.
SONGA NAYO
Mwajuma baada ya kukuona CHITARAH akiwa amezubaa kumuangalia.Aliinuka na kumshika mkono.Kwa macho ya kurembua alikuwa akimuangalia Chitara ambae alikuwa amezubaa tu akimuangalia mwajuma.
"Naimbie dada mwajuma nikusaidie Nini tafadhali"aliongea Chitarah huku akijichekesha
"Wala sijaja kwa hayo unayofikiria,nimekuJa kukuambia kwamba kesho Kuna kazi naomba uje unisaidie kuifanyia ntakulipa hela yako"Aliongea mwajuma na kuuachia mkono wa Chitarah
"Mh,kazi Gani tena mpaka tunakuja kushtuana namna hii?"Chitarah alijikuta akiguna na kuuliza swali
"Kazi kama za siku zote bwana,mimi nakwenda Chitarah naomba kesho uje mapema"alisema mwajuma na kuanza kudondoka pale.
Chitarah alibaki akimuangalia mwajuma jinsi alivyokuwa akitembea,Alijikuta akitabasamu na kugeuza shingo yake kuelekea ndani kwao.Chitarah kwa muda huo hakuwa na hamu kwasababu alitoka kukata kiu yake muda mchache uliopita.Alipoingia ndani alijirusha kitandani huku akiachia tabasamu baada ya kumsugua vilivyo Sophy.
Chitarah alijikuta akipitiwa na usingizi mzito.Alikuja kushtuka ilikuwa ni saa nne za usiku
"Aah usingizi Gani huu?"Chitara alijiuliza huku akifuta macho yake
Alisimama na kutoka nje ambapo palikuwa kimya.Alipofika mlangoni aligusa mlango na kugundua kwamba mlango ulikuwa umefungwa.Chitarah alijua fika kwamba wazazi wake watakuwa ndani wamelala,Alifungua mlango na kutoka nje ambapo palikuwa kimya kupita maelezo.Chitarah aliamua kuchukua uamuzi wa kwenda msalani kwanza kujisaidia.Alipofika msalani alisikia sauti ya maji yakidondoka kama Kuna mtu alikuwa akioga.
"Nani huyu anaoga usiku huu au mama Leila amesharudi?"Chitara alijikuta akijiuliza na kuamua kutoka pale
Alienda kukaa pale karibu na mlango wao akisubiri mtu yule stoke pale msalani.Chitara wakati amekaa hapo alipeleka macho yake Kwenye chumba Cha mama Leila na kugundua kwamba taa ilikuwa inawaka.
"Ooh kumbe mama Leila amerudi,afadhali maana sasa ntakuwa na uhakika"alijisemea Chitarah huku tabasamu alikukoma kinywani mwake.
Chitarah alijikuta akiwa na shahuku kubwa sana la kumuona mama Leila.Alijikuta mpaka mzee wake alisimama kwasababu ya kuumbuka utamu aliokuwa akiupata kwa mama Leila.Wakati amekaa pale akisubiri na hata Lile wazo la kujisaidia lilikuwa limeshapotea kabisa kichwani mwake.Taratibu aliona mlango wa bafuni ukifunguliwa,Chitara alikaza macho yake ili amuone mama Leila ambae ndiye aliyekuwa ametegemea kumuona kwa muda huo.
Lakini alichotegemea akikuwa hivyo.Chitarah alimuona Binti ambae kwa makadilio alikuwa sawa nae.Msichana huyo alikuwa amejifunga kitenge ambacho kilikuwa kimeshikana na mwili wake ulioloa.Hakuwa na umbo kubwa Bali alikuwa na umbo la wastani,Hakuwa mrefu wala mfupi Bali alikuwa na urefu wa wastani kutokana na umri wake mdogo aliokuwa nao.
Chitarah alibaki akimuangalia msichana yule ambae yeye kwa muda huo alikuwa ajamuona Chitarah pale alipokuwa.Msichana yule alipofika pale mlangoni alianza kumsugua miguu yake huku maeneo ya nyuma yakiwa usawa wa Chitarah.Chitarah yeye alikuwa akifaidi tu kumuona msichana huyo akisugua miguu yake.
Baada ya kumaliza aliingia ndani na kumuacha Chitarah akijisonya peke yake pale nje kama mtu ambae alikuwa ajafurahishwa na jambo.
"Yani mpaka mood yote imekwisha me nikajua mama Leila kumbe ichi kidagaa"Chitarah alijisemea na kuinuka pale.
Aliingia msalani na kujisaidia kisha akarudi chumbani na kujilaza.Alijilazimisha kutafuta usingizi lakini alishindwa kwasababu alitoka kuamka muda siyo mrefu.Kichwani mwa chitarah palianza kutawala sura na umbo la mwajuma.Alijikuta akikumbuka kile alichokuwa akitaka Kufanya na mwajuma lakini walijikuta wakikatishwa.Chutarah hisia zilijikuta zikimuenda mbali zaidi mpaka mashine yake ilijijuta ikisimama.
"Kesho lazima niende kwa mwajuma"alijisemea Chitarah
Kwa shida na mateso Chitarah hatimae usingizi ulimpitia.Alikuja kuamka asubuhi na mapema baada ya kusikia sauti ya mama yake akimuhita.Chitarah anakurupuka pale kitandani japo alikuwa na uchovu wa hali ya juu.Anatoka nje na kumkuta mama yake ambae alikuwa akisubiri.
"We masikio unalala kama paka"ilikuwa ni kauli ya kwanza kutokea kwa mama yake
"Mama nawe unataka niwahi kuamka kwani mimi mwanafunzi"alisema Chitarah huku akitazama pembeni baada ya kumuona msichana akiwa anatoka chumbani kwa mama Leila huku mkononi akiwa ameshika ndoo.
"Sijui hii mbegu imetoka wapi!!?,sikia mimi nakwenda kuchota maji maana yamekatika,sasa na wewe Toka uache Kufanya kazi za hapa nyumbani.Leila nifuate achana na huyu masikio"
Mama yake na Chitara alisema na kumgeukia yule msichana ambae alitoka chumba Cha mama Leila.Chitarah wala hakuongea NENO zaidi ya kumuangalia mama yake na Leila wakiondoka pale.Chitarah alibaki pale kwa muda kisha akaingia ndani na baada ya dakika kumi alitoka huku akiwa Kwenye mavazi tofauti na mwanzo.
Chitarah alikuwa akielekea nyumbani kwa kina mwajuma kwasababu alikumbuka kile alichokuwa ameelezwa kwamba afike hapo asubuhi.Chitarah hakujua kazi Gani anakwenda kupewa lakini yeye alikuwa ameshazoea Kufanya kazi zote ambazo alizokuwa akipewa na mwajuma.Kingine alichokuwa anafikiria Chitarah kwa muda huo ni kuendeleza pale alipokuwa ameishia jana yake.Chitarah alijikuta akitembea huku mashine ikiwa inasimama mdogomdogo.
Mawazo yalimpeleka mpaka alipojikuta amefika pale nyumbani kwakina mwajuma.alishangaa kuona mazingira yakiwa kimya.Alizunguka mpaka nyuma ya nyumba lakini akuona mtu yoyote.
"Sasa watakuwa wamekwenda wapi?"Chitarah alijikuta akijiuliza huku akiendelea kusimama palepale
Baada ya kusimama kwa dakika kadhaa alimuona mwajuma alitoka ndani huku akiwa anajinyoosha.sura yake ilionyesha wazi kwamba ndiyo alikuwa ametoka kuamka muda huo.Mwajuma alikuwa amejifunga khanga kifuani huku nywele zake zikionekana kitimtim.
"Chitarah Yani mapema yote hii?"mwajuma alimuuliza Chitarah aliyekuwa amesimama huku akimuangalia mwajuma
"Kwahiyo nimefanya kosa niondoke au?"Chitarah bae aliuliza swali huku akiwa anataka kuondoka
"Siyo hivyo bwana nisamehee basi"mwajuma alisema na kumshika mkono Chitarah
Chitarah alisimama na kumuangalia mwajuma kisha akaangalia kivazi alichokivaa.
"Nipe hiyo kazi nifanye nataka niondoke mapema maana ushanikera"
"Nisamehee bwana Aya njoo nikupe kazi usije ukanuna Bure"
Mwajuma alisema na kuanza kuelekea ndani.chitarah alimfuata kwa nyuma na kujikuta wakiwa sebuleni.
"Dada mwajuma Leo kazi Gani hiyo au ni mambo ya umeme mimi sijui bwana"Alisema Chitarah baada ya kutoelewa.
"Nisubiri hapo"alisema mwajuma na kuondoka hapo
Chitarah alibaki amesimama akisubiri mwajuma arejee.Baada ya dakika tatu mwajuma alirejea pale na kumkuta Chitarah Bado akiwa amesimama pale pale.Mkononi mwajuma alikuwa ameshikilia nyundo,alimuonyeshea ishara Chitara kwamba amfuate.Chitara alimfuata na mwisho wa siku walijikuta ndani ya chumba Cha kulala.
"Chitarah naomba unisaidie kutengeneza ili kabati naona mbao zimeachia,utanitoza shilingi ngapi?"alisema mwajuma huku akimkabidhi nyundo Chitarah
"Sasa me nilijua kazi ngumu kumbe hii,sasa umeshinda Kufanya mwenyewe kweli?"alihoji Chitarah
"Fanya kazi bwana acha porojo"
Baada ya kusema hivyo alitoka pale na kumuacha Chitarah akiwa amesimama.Baada ya kutafakari kwa muda Chitarah akaona usiwe shida ngoja afanye alichoambiwa.Chitarah alianza Kufanya kazi Ile ila wakati tu akiwa ameanza Mwajuma alirejea pale chumbani.Alikwenda kukaa pale kitandani huku akimuangalia Chitarah ambae alikuwa akiendelea na kazi.
Mwajuma alikuwa akimtazama Chitarah nakutabasamu.Alinyanyua mguu wake kidogo kitendo kilichosababisha khanga yake ifunuke kidogo.Mwajuma alikuwa ajavaa kitu chochote ndani,Kitumbua kilichonona kilionekana vyema bila ya kuzuzizi.Chitarah aligeuza shingo yake kumuangalia mwajuma ili amuulize swali.Lakini kitu alichokuona kilimfanya ashindwe kuzungumza na kubaki kumuangalia mwajuma.
Mate ya uchu yalikuwa yanamtoka Chitarah.Mtuno ulianza kuonekana Kwenye suruali yake baada ya kuona Kitumbua Cha mwajuma.Uwezo wa Chitarah Kufanya kazi ulipungua kwa asilimia mia moja kwasababu hata nyundo aliyokuwa ameishika alihisi imeongezeka uzito.
"Ukimaliza hiyo kazi Kuna kazi nyingine Chitarah"alisema mwajuma na wala hakuwa na habari kuhusu Kitumbua chake kuonekana.
"Hii kazi nshamaliza dada mwajuma"alisema Chitarah kwa kujikaza
"Ngoja Nije kuangalia"
Baada ya mwajuma kuongea alisimama kwa lengo la kwenda pale alipokuwa Chitara.Mwajuma alisimama karibu ya Chitara na kuanza kukagua kabati.Kwa uchokozi alikuwa akiinama na kujikuta makalio yake yakigusa ule mtuno wa Chitarah.Kutokana na khanga laini aliyovaa,Chitara alijikuta mashine yake ikisimama maradufu.Chitarah akajikuta nae akizidi kusogea karibu ya mwajuma na kuanza kusugua makalio kwa mashine yake.
"Chitarah unafanya Nini bwana"alisema mwajuma kwa sauti ya kubana pua yake
Chitarah baada ya kusikia mwajuma amelalamika hakutaka kuvunga,Alishika kiuno Cha mwajuma kisha akamkumbatia kwa nyuma.Taratibu alipeleka mikono yake Kwenye kifua Cha mwajuma kisha akaanza kuminya matiti .Mwajuma alijikuta akitoa miguno ya mahaba Kila Chitarah alipokuwa anagusa matiti yake.
Chitarah anashusha mkono wake taratibu mpka Kwenye Kitumbua Cha mwajuma.Anasugua taratibu kwa kidole chake kisha akaingia kidole kimoja.
"Aaashhh we Chitarah" sauti ya mahaba ilimtoka mwajuma
Chitarah baada ya kuona hivyo alijua sasa ni muda wa kumpeleka mwajuma kitandani.Alimshika mkono mwajuma ambae hakuwa mbishi kisha akampeleka kitandani.Mwajuma alilala Chali na sasa hata khanga haikuwepo tena mwilini.
.