VYOTE NDANI GONGA94
AAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 07ππ
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Baada ya boo π kunilaza pale kitandani aliondoka lakini kabla hajafungua mlango mie niliamka pale kitandani nikamkimbilia pale mlangoni nilimkumbatia Kwa nyuma huku nikiwa namuita booπ najua pombe zilikuwa zinachangia Kwa kiasi chake lakini ukweli ni kwamba Moyo wangu ulishampenda boo Paschal! Ni vile tuu huku kwetu Africa ni ngumu mwanamke kumtongoza mwanaume ningeshamtongoza boo baada ya Mimi kumkumbatia paschal aligeuka tu akawa ananiangalia nilijisogeza Karibu yake kabisa nikawa namtizama machoni kwake hisia nzito ziliuvamia mwili wangu nilishindwa kuendelea kumtizama boo nikawa nimejilaza kifuani kwake mkono wangu wa kushoto taratibu nilianza kumpapasa pale kwenye zip yake ya suruali Paschal alitulia Wala hakunizuia niliendelea kuipapasa dudu yake Paschal taratibu alianza kunipapasa kichwani hadi mapigo yake ya moyo nayo pia yalibadirikaππ
""Pendo""
""Mhπ«¦π«¦""
"" unataka Nini Mama ππ""
""Nataka kulalaπ«¦""
"" Nyege zilishaanza kunitesa hisia zilishaanza kunipeleka pabaya niliendelea kumpapasa boss Paschal dudu yake ilituna pale kwenye surualiππ baada ya dudu yake kutuna nilianza kuichezea pale kichwani Hadi Boss Paschal akaanza kutoa sauti usifanye hivyo Mama aliniambia boss Paschal nilimtizama machoni kwake nilitamani hata anipe kiss ππ nilikuwa nimelegea Kila sehemu ππ niliupeleka mkono wangu kifuani Kwa paschal nikaanza mtekenya pale kwenye vichuchu vyake hapo mwanaume alishindwa kuvumilia alinivuta akaniegemesha ukutani aliinama mdomoni kwangu tukaanza kupeana deeply kissπ Paschal alinogewa Hadi akaanza kunitomasa kwenye chuchu zangu alikuwa anaupandisha mkono wake Hadi shingoni Kwangu alidindishaππ kwenye papuch yangu nilianza kuloana......
Tukiwa bado tunaendelea kupeana romance simu yangu iliita Ile simu ilitushtua kiasi kwamba Kila mmoja ni kama vile aliwaza mmh nafanya Nini hikiππ niliona aibu paschal aliniangalia machoni kwangu ni kama vile alitaka kusema kitu lakini aliishia kuniangalia tu alienda pale ilipokuwepo simu yangu aliishika akaiangalia baada ya kuiangalia Ile simu ni kama vile alionyesha kachukia aliirudisha pale kitandani Kisha alitoka Kwa hasira bila kuniambia chochote boo nilimuita lakini hata hakuitika aliingia chumbani kwake na kubamiza mlango Kwa hasira! Haraka nilielekea pale ilipokuwepo simu yangu nikaichukua na kuangalia aliyepiga alikuwa ni Mika π₯² hee π³ huyu mwanaume mbona simuelewi Jamani kwanini hanitongoziπ nashangaa ananionea wivu wakati Bado hajawahi kunitamkia kwamba ananipendaπ
Niliufunga mlango wa chumba changu baada ya Hapo nilimtumia Paschal msg ya kumuwish usiku mwema β€οΈβ€οΈ imagine hata hakunijibu Jamani sikupata usingizi kupenda ni ugonjwa mbaya Walah ππ Mika alirudia Tena kunipigia nilimwambia ni Bora tu tuchati Mika aliniuliza vipi umefika salama nilimwambia yeah allihamdulilah namshukuru Mungu! Pole Kwa baridi la mbeya kipenzi Ulikumbuka kubeba Sweta kweli!? Imagine nilisahau et ππ€£ but boss Paschal alinihurumia akawa amenipatia Sweta yake nikawa nimeivaa kujikinga na baridi π watππ Kwa hiyo hapo ulipo mwilini mwako umelivaa Sweta la Paschal!? Yeah Mika sikuwa na namna et! Kwa hiyo hata Huo muda niliokupigia ukashindwa kupokea ulikuwa upo na Boss wako right!? Mmhh no nilikuwa washing room ππ pendo najua unajua kuwa nakupenda sana Mama that's why unaniumiza Kwa maksudi ππlakini Mika tayari nilishakwambia kuwa haiwezekani Mimi kudate na wewe Mimi nampenda mwanaume mwingine lakini siyo Wewe ππ mwanaume Gani unayempenda pendo au ni Paschal!?
Mmhh hapana Mika kwanini umemhisi paschal!? Huyo ni Boss wangu na Wala hata cjawahi Kuwa na hisia Juu yakeππNi Kwa vile mala nyingi unapomuonaga Paschal Huwa unaonekana kubabaika sana pendo kuliko umpende paschal ni Bora tu unipende Mimi mama Paschal hajawahi kumpenda mwanamke tangu afariki girlfriend wake basi aliapa ya kwamba hakuna mwanamke mwingine anayeweza kum_repress na girl friend wake! Paschal hawezi kukupenda pendo nakuomba uwe wangu Mimi nakuahidi nitakupatia Kila kitu mamangu nikubalie etππ Mika aliendelea kunilalamikia nilimwambia no Mika Mimi siwezi kuwa na wewe nampenda mtu mwingine na tayari moyo wangu umeshapenda huko nielewe basi! Ni mtu Gani huyo aliyepata bahati ya kupendwa na wewe pendoπ’π₯ utamjua tu Mika lakini siyo Sasa!
Mika aliumia sana lakini Jamani kiukweli Moyo wangu ulikuwa unampenda sana paschal kuliko Mika! Aliniambia ni sawa mama lakini Mimi siwezi kukata tamaa kwako nakupenda mamaππ! Niliendelea kuchart na Mika huku nikiwa nachungulia kama boss Paschal ataijibu Ile msg Yangu mida ilienda Hadi saa nane za Usiku nilimuaga Mika nikasali baada ya Hapo niliingia kulala!
Nimelala mwenzenu usingizi haujiππ€£ nikawa najigeuza geuza kitandani ππ lilinijia wazo nimpigie boss paschal kwanini Sasa hanijibu Msg π€¨ nilichukua simu yangu nikaizima bed switch baada ya Hapo nikasach jina la my boo nikalipataππ Kila nikitaka kupiga mapigo ya moyo yananienda Kasiππ mwisho wa siku nikaamua kupiga nyie sangapi simu isiungurumie kule chumbani Kwanguπ€₯ mhhhh Iko wapi hiyo niliwasha bed switch ya upande wa pili kule ndo nikaiona simu ya Mr paschal π€£π€£π€£ kipindi kile ananilazimisha nilale namimi nikawa namvutia kitandani simu yake aliitoa mfukoni akaiweka kwenye droo ππ nikiwa naendelea kuichunguza Ile Simu yake mlangoni kwangu paligongwa nilinyanyuka nikaenda fungua alikuwa ni Paschal! Sorry Angalia kitandani kwako hapo kama Kuna Simu yangu Paschal aliniambia nilirudi pale kitandani nikamchukulia simu nyie nilikuwa natamani hata anikumbatie kumbato la kunitakia usiku mwemaπ nilimpelekea simu nikamkabidhi...... huku nikiwa namwangalia Kwa hisia ππ nilimpatia Ile cm Akawa anataka kuondoka nikajikuta nimemshika mkono Paschal aligeuka akaniangalia machoni Kwangu ππ nilipata hamuππ
pendo usiku mwema fanya upumzike kesho mapema tunaenda kwenye kikao! Nilibakia nimeung'ang'ania mkono wake nilitamani nifunguke my wenuπ nafsi Ikawa inaniambia mwambie unampenda uuwwww Kila nikitaka kulitamka mdomo unakuwa mzitoππ paschal alinisogelea akanilamba busu la shavuni nyie nyieeeeeeee ππ baada ya Hapo Kwa sauti ya chini aliniambia usiku mwema lala basi upumzike sawa Mamaππ alinitupia kiss ya hewani baada ya Hapo aliondoka akaenda zake chumbani kwake nilipanda kitandani nikajiziba na blanket nikapiga shangwe Kwa nguvuπ€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ amenibusu π€£π€£ Alf akanitakia usiku mwema na baada ya Hapo akanitupia kiss ya hewani nilienjoy sana nililala na tabasamu mdomoni Kwangu! Kesho yake mapema paschal alinitumia good morning kiss kwenye msg π Raha π€Έπ»ββοΈπ€Έπ»ββοΈ aliniomba niamke nijiandae baada ya Hapo tushuke chini Tukapate kifungua kinywa then tuondoke kuelekea kwenye kikao niliamka faster nikajiandaa nilijilipua in zumaridi's voice π€£π€£
nilipendeza si mnajua Tena ukiwa unawinda Inabidi uwe na kimuonekano Fulani hivi amazing ππ baada ya kujiandaa nilimtumia msg boo nikamwambia tayari nimeshamaliza kujiandaa boss Niko tayari now! Alinigongea mlango nikatoka for the first tyme Boss paschal akanisifia aliniambia wow umependeza sana unaonekana mrembo zaidi nyie hamjui tu vile nilivyojisikia moyoniππ€Έπ»ββοΈ thank you boss nilimjibu Kwa aibu kutokana na ujinga niliokuwa naufanya kwake Jana Usiku! Alinishika mkono woooiii π€£π€£π€£ nilitamani kupaaaπ€Έπ»ββοΈ tulifika chini pale tukaletewa kiamsha kinywa tulikula baada ya Hapo paschal aliitisha usafiri tukawa tumeondoka kuelekea huko kwenye kikao! Vile tumefika kwenye kikao sangapi wasianze kumpongeza paschal et ana mwanamke mrembo π€£π€£π€£π€£ nayeye akawa anasmile na kujibu thank you! Then anageuka na kuniangalia huku akiwa anasmile π€£π€£π€£
hebu ngoja kwanza hivi mnajua tangu naajiliwa pale ofisini sikuwahi kumuona yule boo akismileππ for the first time namuona akismile ni baada ya wanabord ya mkutano kunisifia huku wakiwa wanampongeza ya kwamba tunaendana Mimi na yeye basi akawa anashukuru na kuachia smile tamu sana ππ basi mwenzenu hata kumuangalia machoni nilikuwa namuonea aibuππ baada ya kile kikao tulitoka Nje......Paschal alinishikilia mkono akaukiss kisha akaniambia Raya thank you for your participation iam proud to have you and I love you π«Άπ«Ά Raya πββοΈ who's Raya!?
Je Raya ni nani !? Usikose kuifuatilia simulizi hii katika sehemu inayofuata....
Itaendeleaaaa.......
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaah-imetosha-boss-no
