Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
33 views
VYOTE NDANI GONGA94
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda.
Hii ilisababisha kugundulika kwa nyumba ya Osama bin Laden huko Abbottabad, Pakistan.
Serikali ya Marekani ilianza kuwa na uhakika kuwa bin Laden alikuwa akishi hapo, lakini walikuwa na wasiwasi juu ya usalama na matokeo ya operesheni ya kumkamata.
Operesheni ya “Neptune Spear”
Baada ya miaka kadhaa ya kuandaa taarifa, Serikali ya Marekani ilifanya maamuzi ya kuanzisha operesheni ya kumkamata Osama bin Laden kwa jina la “Neptune Spear”.
Operesheni hii ilifanyika kwa siri kabisa, na ilikuwa na lengo la kumkamata au kumuuwa Osama bin Laden.
? Shuka na Uzi ?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 34&35
Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uy...
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda.
Hii ilisababisha kugundulika kwa nyumba ya Osama bin Laden huko Abbottabad, Pakistan.
Serikali ya Marekani ilianza kuwa na uhakika kuwa bin Laden alikuwa akishi hapo, lakini walikuwa na wasiwasi juu ya usalama na matokeo ya operesheni ya kumkamata.
Operesheni ya “Neptune Spear”
Baada ya miaka kadhaa ya kuandaa taarifa, Serikali ya Marekani ilifanya maamuzi ya kuanzisha operesheni ya kumkamata Osama bin Laden kwa jina la “Neptune Spear”.
Operesheni hii ilifanyika kwa siri kabisa, na ilikuwa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chini-ya-rais-barack-obama-mnamo-mwaka-wa-2010-marekani-ilizindua-uchunguzi-maalumu-uliohusisha-ucha
Maoni