😂 CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU🔥
SEHEMU YA KWANZA.
( Onyo ukiwa mtoto au ujakomaa akili usisome simulizi hii)
Mume wangu unataka kumfukuzia nini uyo chizi.
" Asubuhi yote hii anakuja kwenye nyumba za watu si aende majalalani uko.
" Mume wangu kabla ujafa ujaumbika acha kumchukia chizi Kiasi icho.
" Mke wangu uyu mimi simtaki akae balazani kwangu asubuhi yote hii.
" Mume wangu akupenda kuwa ivyo uyo inawezekana ameshikwa na njaa acha nikampe chai anywe.
" Wewe mke wangu sikuelewi uyu chizi ni ndugu yako au?
" Hapana unajua mimi ata baba yangu mdogo ni chizi Kwaiyo najua jinsi ya kuishi nao hawa.
" Wengine wanakuwa wapelelezi hawa.
" Zamani uko sio sasa yani mbinu igundulike alafu iendelee kutumika apana acha ayo mawazo.
" Sawa kampe chai ila icho kikombe kisirudi ndani.
" Sawa.
( Mke alichukua chai akaenda kumpelekea chizi nje ya kibalaza Chao.....cha ajabu chizi kapokea chai alafu akasema)
" Sukari ndogo niongeze sukari.
( Mke akaingia ndani kuchukua sukari mume akaja juu)
" Wewe sukari tena ya nini?
" Mume wangu amesema sukari ndogo.
" Mwenye njaa awezi kuwa na mashalti mwambie anywe ivyo ivyo anajua bei ya sukari yeye.
" Sio vizuri acha nimpeleke sukari yeye ni binamu kama Sisi anasikia ladha ya chakula.
" Sawa wewe si ndio unatafuta kampeleke.
( Mke akutaka kumsikiliza mumewe akachota sukari akawa anampelekea chizi nje anafika nje anakuta kashakunywa ile chai yote alafu chizi anasema)
" Naomba chai nyengine ndio uweke iyo sukari ile imepoa nimekunywa kama maji.
( Hapo mke akaona ataleta ugomvi na mumewe akamuuliza chizi)
" Pesa unaweza kutumia?
" Ndio.
" Shika hii elf moja nenda kanywe Chai kwa mama ntilie nenda na icho kikombe wakuweke humo.
( Chizi pesa kapokea alafu akamwambia)
" Mimi kwa mama ntilie siendi nitasubili uchemshe chai nyengine ninywe.
( Mke akaona sasa huu mtihani akamwambia)
" Kaka mume wangu yupo ni mkari wewe nenda Kesho nitakupikia chai nyingi.
" Naenda kukaa pale kwenye mti namsubili Mumeo aondoke unipe chai ya moto yenye sukari nyingi.
( Mke akaona maajabu ila kwa sababu anatoka balazani pale akaona afadhali...chizi akaenda kukaa chini ya mti kama kalala anaongea ongea peke yake...mke akaingia ndani)
" Naona umetoka kumuudumia baba yako.
" Maneno gani tena ayo mume wangu.
" Wewe si umesema baba yako mdogo chizi unajua kuwaudumia machizi sasa yule si umemuona kama baba yako.
" Ndio.
" Aya Sawa kaniweke maji nikaoge niende zangu kazini.
( Mke akutaka mambo mengi akamuwekea maji kweli akaoga na akatoka na gali lake akuangalia kwenye chini ya mti pale alipo chizi...uyo akaondoka zake chizi akanyanyuka akaenda sasa kwa mke wa mtu)
" Hodi hodi.
" Subili nakuja.
( Mke yule akafungua mlango chizi akasema)
" Aya kashaondoka nipe chai sasa.
" Aya nisubili nje hapa.
( Mke anaingia ndani na chizi kaingia anamwambia)
" Mimi nataka kunywa chai ndani yenye sukari nyingi.
( Mke akaona ajabu ila ndio kashaingia ndani akasema kimoyoni akae hapa hapa parking ya gali asiingie ndani kabisa)
" Aya nisubili hapa.
" Sawa.
( Mke akaingia ndani kuchemsha chai anashangaa chizi anafagia fagia pale packing na kwa sababu mke ni mvivu alisikia raha sana chizi anafanya usafi kweli alipasafisha vizuri kukawa kusafi alafu akakaa chini...mke akatoka na chai na sukari nyingi hili aweke mwenyewe...akampa chai cha ajabu akaimwaga akamwambia)
" Wewe ujui namaanisha nini?
" Si unataka chai nimekupa umemwaga na sukari hii.
" Sitaki sukari iyo nataka sukari hii.
( Mke wa mtu alistuka chizi kamgusa mbele na ndio anataka sukari iyo akapigwa na butwaa anajiuliza amtimue au?...wakati anajiuliza anasikia honi nje ya geti piiiiiiiiiii chizi wala astuki na honi ndio kwanza anafungua zipu anamwambia)
" Natoa kijiko nataka kukoroga sukari yako naomba basi toa nguo izo nipate sukari mimi.
ITAENDELEA
ANAJUTA KUMKARIBISHA CHIZI...
ATAFANYAJE USIKOSE EPISODE YA PILI.
FULL TSH 1000.
HII NI NGUMU KUMEZA.
NAMBA YA MALIPO NI 0657774735.