Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?!  Sehemu Ya- 2   Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba
Gonga94 · Stories

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya- 2 Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ameshakwenda kazini kwake, kumbe alikuwepo bwana.

“Shikamoo baba,” kaka Cheni aliamkia huku wasiwasi wake ukiwa umegundulika na baba.

“Marhaba.”

Baba yetu alikuwa na tabia hiyo ya ajabu, ukimwamkia akiitikia hana cha kusema umeamkaje wala habari za leo! Hilo hata mama alikuwa akimshangaa.

Mwenyewe msimamo wake ni kwamba, kumuuliza aliyekuamkia shikamoo umeamkaje ni kupoteza sauti kwani angekuwa ameamka vibaya asingeamkia shikamoo angeeleza ugonjwa wake au tatizo lake.

Nilianza kutetemeka mimi badala ya kaka Cheni licha ya kwamba naye kaka Cheni hakuwa sawasawa hata kidogo.

Ishu ilikuwa lile jimwanamke kutoka chooni. Kwani ilikuwa lazima kaka Cheni amfuate akamstopishe au aache atoke mwenyewe akumbane na baba, mzee wa Kingoni, mkali kama nini! Ukimwangalia tu hivi unajua mkali maana amefuga msitachi mrefuuu! Mpaka amekuwa kama yule mtu wa kwenye dawa ya kuchulia misuli.

Ghafla kaka Cheni alikwenda chooni, akachukua kama dakika mbili, akatoka. Nilimwona akitoka jasho jembamba la woga. Nikajua leo kazi ipo. Wasiwasi wangu ulizidi zaidi pale nilipowaza itakuaje kama baba angeamua kwenda chooni baada ya kaka Cheni kutoka.

Mara, nilisikia kitu kimeanguka sebuleni, baba akashtuka na kuingia ndani. Kaka Cheni akatoka mbio hadi chooni akatoka na jimwanamke lake akiwa amemshika mkono.

Mbona ilikuwa kichekesho, mdada anavyokimbia na kaka Cheni anavyomkimbiza, miye mbavu sina!

Walitokomea huko, baba alipotoka akakuta hakuna kitu!

“Mwite kaka yako,” aliniamuru baba…

“Katoka…”

“Kaenda wapi?”

“Nadhani yuko nyuma ya nyumba.”

“Kamwite.”

Nilizunguka nyuma ya nyumba lakini sikumwona kaka Cheni, nikampigia simu…

“Baba anakuita.”

Kaka Cheni alikata simu. Iliashiria kwamba, alielewa kwamba baba anamuita. Baada ya sekunde tu alitokea akiwa mbio.

Cha ajabu ni kwamba, mambo aliyokuwa akiyafanya kaka Cheni pale nyumbani na ukali wa baba ni vitu viwili tofauti kabisa!

“Naam baba…”

“Wewe usiku huwa unakuaga na nani chumbani kwako?”

“Marafiki zangu baba…”

“Mbona mchana siwaoni?”

“Ha! Baba…mbona mchana pia wanakuja sana, muulize sista,” alisema kaka Cheni huku akinitupia macho mimi…

“Ni kweli baba, marafiki zake huwa wanakuja hata mchana. Ila kwa usiku mimi sijawahi kuwaona.”

“Mh! Huyu mara kwa mara usiku nikitoka kwenda chooni nawasikia wakiongea na wenzake.”

“Ni marafiki zangu baba.”

Moyoni nilisema baba ungejua wala usingeuliza. Huyo mwanao kazi yake kubwa ni wanawake kila siku.

Basi, baba alionekana kukubaliana na maelezo ya kaka Cheni, akanyamaza. Mara akatokea mama akiwa na ndoo ya maji…

“We Cheni,” mama aliita hata kabla ya kutua ndoo chini…

“Naam…”

“Yule mwanamke ulikuwa unampiga busu pale kwenye kona ni nani?”

Nilimwona kaka Cheni akikunja sura na macho yakisinzia kama anayesema ‘ohooo! Kimenuka sasa!’

“Namjua mama.”

“Unamjulia wapi? Anakaa wapi?”

“Mama yule anakaa kule kwa mzee Masumbuko…”

“Wewe mtoto wewe! Usije ukaniletea wajukuu wasiokuwa na mpangilio hapa kwangu,” alisema mama kwa uso wenye hasira za kweli…

“Kwani kumjua ndiyo kulikufanya umbusu?” hapo sasa aliingilia baba mwenyewe. Ilibidi kaka Cheni akae…

“Kwanza ni mwanamke mtu mzima au?” aliuliza baba…

“Ah! Anaonekana ni binti tu lakini ana mwili mkubwa sana. Mimi mwenyewe nilishangaa, nikaogopa maana walivyosimama utasema ni mtu na mtoto wake wa kiume,” mama alikoleza.

Ajabu sana! Nilimwona baba akiachia tabasamu ambalo sijawahi kuliona hata siku moja. Nilivyomjua baba yangu, pale kaka Cheni asingekaa. Lakini pia moyoni nilisema kama baba angejua mwanamke anayesemwa alikuwa chooni wakati yeye amekaa kwenye kiti cha nje, pangechimbika kama siyo kufumka!

Kutabasamu kwa baba, kulimpa nguvu kaka Cheni, naye akatabasamu lakini mama aliendelea kuwa siriasi. Akaingia ndani na kuendelea na mambo mengine…

“Hodi,” sauti ya msichana ilisikika kutoka nje ya geti dogo la uani ambalo lilikuwa wazi…

“Nani? Pita,” nilisema mimi huku nikiwa nimetumbulia macho pale kwenye geti…

Msichana wa umri wa kama miaka saba aliingia, anaitwa Mai…

“Karibu Mai,” nilimkaribisha…

“Asante…shikamoo babu,” yaani baba…

“Shikamoo anko,” yaani kaka Cheni…

“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”

##
𝐊𝐢𝐭𝐮 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐥𝐢𝐜𝐡𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚….
𝐔𝐬𝐢𝐤𝐨𝐬𝐞 𝐬𝐞𝐡𝐞𝐦𝐮 𝐢𝐧𝐚𝐲𝐨𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚​​​​​​
𝐉𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🙌, 𝐋𝐈𝐊𝐄-150 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢𝐩𝐨𝐬𝐭 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🚀🔥.” Naomba like ziwe zakutosha isichelewe

Akikisha una follow page yetu tukipost inakufika mojakwamoja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya- 2 Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba

ameshakwenda kazini kwake, kumbe alikuwepo bwana.

“Shikamoo baba,” kaka Cheni aliamkia huku wasiwasi wake ukiwa umegundulika na baba.

“Marhaba.”

Baba yetu alikuwa na tabia hiyo ya ajabu, ukimwamkia akiitikia hana cha kusema umeamkaje wala habari za leo! Hilo hata mama alikuwa akimshangaa.

Mwenyewe msimamo wake ni kwamba, kumuuliza aliyekuamkia shikamoo umeamkaje ni kupoteza sauti kwani angekuwa ameamka vibaya asingeamkia shikamoo angeeleza ugonjwa wake au tatizo lake.

Nilianza kutetemeka mimi badala ya kaka Cheni licha ya kwamba naye kaka Cheni hakuwa sawasawa hata kidogo.

Ishu ilikuwa lile jimwanamke kutoka chooni. Kwani ilikuwa lazima kaka Cheni amfuate akamstopishe au aache atoke mwenyewe akumbane na baba, mzee wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya-2-nilimwona-kaka-cheni-akishtuka-sana-hata-mimi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest