Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FUTURE YA INTERNET UKWELI ELON MUSK ATAKI UUJUE! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚   Okay kwenye episode hii nataka tuizungumzie internet kwa lugha rahisi zaidi
Gonga94 ยท Stories

FUTURE YA INTERNET UKWELI ELON MUSK ATAKI UUJUE! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Okay kwenye episode hii nataka tuizungumzie internet kwa lugha rahisi zaidi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
iwezekanavyo lakini pointi ambayo natamani kuitengeneza ama kukuelezea hapa ni kwa nini internet ya satellite sio future ya internet. Yaani internet ambayo anaileta Elon Muskeno mengine sio future ya internet. Bado tutaendelea kutumia cable na nitakuelezea kwa nini. Asante kwa kila ambaye umesubscribe kwenye hii akaunti bado fanye hivy utakuwa umetusupport kinoma noma. So let's talk about internet. Kwanza tuanze kuielewa internet ni nini.

Kwa maneno rahisi internet ni ule mfumo wa kompyuta moja kuwasiliana na kompyuta nyingine. Na ninavyosema kompyuta unaweza ukachukulia ni hizi kompyuta zenye sura kama hizi komputa nyingine lakini kompyuta kuna zenye sura tofauti. Kuna baadhi ya sehemu ukienda ukiona kompyuta huwezi kudhani hata hii ni komputa kwa hiyo ukisikia kompyuta usichukulie kwamba ni ni hiki kifaa ambacho unakiona. Ichukulie kama ni mfumo wa utendaji kazi ambao ndio huu tunaitwa komputa. Right? So kwa lugha rahisi internet ni ule

mfumo unaowezesha kompyuta moja kuwasiliana na kompyuta nyingine ili muweze kufanya kazi moja. Kwa mfano ndani ya ofisi moja ama ndani ya nyumba yako kama una kompyuta tano ukitengeneza namna yoyote iwe ni kwa cable au kwa wireless ukaweza kuunganisha komputa hizo tano zikafanya kazi moja yaani zikawasiliana na kufanya kazi yoyote ile hiyo tayari ni internet. Kwa hiyo ni kwenye mfumo huo huo kuna mtu alitengeneza mfumo ambao kompyuta zote za dunia zinaweza kuwasiliana. kwa maana ya kuwasiliana ni kuconnect

ninavyozungumzia kwamba kompyuta hii na hii yaani kunakuwa kuna eneo moja ambapo ukiingia unakutana na kompyuta zote za kuanzia majumbani maofisini na popote duniani na ndio hiki tunachokiita wwwake huyu jamaa ni alitengeneza platform ambayo yenyewe kompyuta yoyote ikijiunga hapo kwenye hiyo platform inakuwa imejiunga na dunia nzima. Kwa hiyo ukiingia inayo hilo moja unaweza ukasearch kompyuta zote. Kwa hiyo hizo kompyuta wakati zinawasiliana sasa zinakuwa zinafanya kazi tofauti tofauti. Imagine mtu ametengeneza soko.

Internet ni kama soko umekuta kijiji kiko sehemu ukatengeneza soko ambalo hili soko wananchi wote huwa wanakuja kukutana pale. Kwa hiyo tunavyozungumzia social media ni kama sasa mtu uje utengeneze biashara yako ya kahawa pale ndio social media kwamba ni ndani ya internet. Kwa hiyo watu wote wanaokuja lile eneo wanajua kuna biashara yako ya kahawa. Hiyo ndio internet. najaribu kuelezea kwa urahisi iwezekanavyo. Sasa baada ya kuielewa internet ni nini, huo mfumo sasa wa komputa kuwasiliana unafanyikaje?

Ndio tunapoingia sasa kwenye jinsi ambavyo kompyuta zinafanya kazi. Elezawa hivi lugha ya kompyuta ni 0 1 suf na moja. Kwa hiyo kwa lugha nyingine ni kwamba kompyuta inachohitaji ni kitu chochote chenye vitu viwili juu chini au washa zima kusiwe na moja mbili tatu ahah iwe ni moja mbili mo m ambayo ndio 0 1 0 1 sasa kuna njia mbili zenye hii sifa njia ya kwanza ni mwanga ambayo inazima washa on off kwa hiyo kama inahisi sifa mbili ya on off ambayo ni umeme maanake tunaweza tukaitumia hii njia kuwasiliana na kompyuta. Njia ya

pili ni wav maana ya mawimbi. Kwa sababu mawimbi yanapanda shuka. Panda shuka. Yaani hayanapanda shuka. Panda shuka sijui na ah panda shuka. Panda shuka. Kwa hiyo hii njia pia inawezekana kusafirisha hizi data zetu. Inachanganya lakini kwa mtu ambaye amesoma coding ndicho ambacho anajifunza kwamba ili uweze kuiagiza kompyuta ifanye chochote inabidi uweze kuzipanga hizi 0101 mpaka zitengeneze ah sentensi ama lugha ambayo kompyuta itaelewa na kufanya hicho kitendo unachokifanya. Kwa mfano ukiona unaweza kucopy na kupaste

ujue kuna mtu alitengeneza huo mfumo kwamba kompyuta ukiona mtu kafanya hivi kaite click mlete option hapa inaitwa kucopy then kupaste. Yaani kile kitendo unachokifanya kwenye kompyuta unaona kama unafanya kitu kirahisi sana lakini kuna watu walitengeneza hiyo huo mfumo ufanye kazi automatic. Sasa hao watu ndio wanaitwa wazee wa coding ndio wataalam wa komputa. Kwa hiyo ukisikia mtu anasomea coding ndio anasomea hii lugha ya kompyuta ambayo ni 0 one. Kwa hiyo ukiona picha imetumwa internet na chochote tunachofanya kwenye internet

hata hii video ambayo unaiona hapa nakuletea ujue ni 01 zimepangwa. Yaani 01 nyingi mabilioni ya 01 ndio zinafanya wewe unaniona hapa. Kwa hiyo hizo pixels wamezigawa kwenye 0101 kwa sababu ndio lugha ya kompyuta inavyofanya kazi. Kama imekuwa gumu bado hujaelewa usiogope kwa sababu wanaosoma coding ndio wanaelewa hii lugha. Lengo la kukupa hiyo basic knowledge ya 0101 ni ili sasa tuingie kwenye sehemu inayofuata ambayo itakusaidia kuelewa hiki ninachojaribu kukutengenezea. Sasa umeshaelewa kwamba

internet ni namna ya kompyuta kuwasiliana kompyuta moja na nyingine. Na hizi kompyuta zinawasiliana kwa lugha ya 01. Iwe unatuma ujumbe iwe unatuma picha ste still iwe unatuma video iwe unatuma maandishi iwe unafanya chochote ni 0101 lakini zinapangwa kwenye mfumo fulani maalum ambao watu wa coding wanaujua ambayo inatengeneza kompyuta kufanya hivi vitu unavyovifanya. Sasa sehemu ambayo unatamani uelewe ili sasa kuelekea kwenye pointi yangu ni jinsi ambavyo hizi 0101 au huu mfumo ambao umesukwa na hawa watu unawaitwa internet

unavyosafirishwa. yaani kwamba tutoe sasa ili kompyuta za dunia zote ziweze kuungana lazima kuwe na mfumo ambao unaziunganisha hizi komputa moja na nyingine. Kwa hiyo wakati hizi komputa zinawasiliana kuna data ambazo zinatuma kila saa kila sekunde. Mimi hapa unaangalia hii video kuna mabilioni ya watu wanatuma taarifa wanatumia internet yaani wanatumia hili soko kwa vitu vingi sana. Kwa hiyo kuna fakta moja ambayo ni muhimu sana linapokuja issue ya watu kuwasiliana speed. Kwa sababu kasi ndio ambayo

itawezesha sisi kufanya vitu vingi zaidi ndani ya saa 24. Kwa sababu imagine tunatumiana picha, tunatumiana emails, tunatumiana message, tunafanya vitu vingi sana na kompyuta duniani. Sasa na masaa tunayo 24 tu. Sasa hizo data ili ziweze kupita inabidi ziwe na kasi. kubwa. Na hapa ndipo sasa tunaingia issue ya speed. Kwenye speed kuna aina mbili ya speed. Kuna speed ya mwanga yaani light speed alafu kuna speedi ya sauti. Na hizi spedi zote zina tofautiana. Kama unakumbuka shuleni tuliambiwa spidi

ya mwanga ndio spidi kubwa zaidi kuliko spedi ya sauti. Kwa hiyo sasa hizi ndio spedi tulizoazo ama njia za usafiri tunazotaka kutuma zile 0101 nimekuambia kompyuta inaelewa 01. Kwa hiyo tuna njia mbili. Njia ya kwanza ni njia ya mwanga. I mean ni spidi ya light ndio kubwa zaidi. Sasa kwenye mwanga kama taa unavyoona maanake tunazungumzia kuwasha na kuzima sindio? Yes. Yaani ukizima ndio kompyuta inaelewa ni zero. Ukiwasha inaelewa ni moja. Kwa hiyo ukitaka kutuma zile data yaani kutaka kuunganisha hizi komputa

kwa kutumia lugha yake ya 01 inabidi na kwa hii kasi ya mwanga maanake inahusisha kuwasha na kuzima, kuwasha na kuzima kuwasha na kuzima. Lakini sasa kwenye kasi kubwa ya mwanga ambayo kwa macho huwezi kuona. Kwa hiyo ni kama inaenda faster faster sana. Yaani kuwasha na kuzima, kuwasha na kuzima. ile process ndio mawasiliano kumpita unayopokea. Njia ya sauti inatumia mawimbi. Sijui unanielewa yaani ndio maana unaangalia hata kwenye sauti ukitaka kurekodi maanake ni kwamba nikiongea hapa kwenye adobe yangu hapa naiona

sauti inapanda. nikinyamaza sauti inakuwa zero. Kwa hiyo ukitaka kutuma mawimbi ya internet ama zile 0101 maanake ni kwamba unayatuma kupitia wave. Kwa hiyo wave ikipanda mpaka juu hapa juu ndio inasoma kama one ikishuka chini ni zero. Kwa hiyo kadri ya wavu zinavyopanda na kushuka na kushuka na kushuka ndivyo ambavyo kompyuta zina inaelewa ni 0101. Kwa hiyo ukipitisha data kwenye huu mfumo yaani maanake huu mfumo unaruhusu kupitisha data one inakuwa hapa juu kwenye kwenye hii wevu ya juu na zero

inakuwa huku chini. Kwa hiyo kwa mfumo huo pia unaweza ukatuma ah hizi ah nini? Hizi komputa unaweza ukatuma ujumbe yaani komputa zikawasiliana kupitia hiyo. Kwa hiyo umeelewa sasa 01 ya kwenye mwanga inahusisha on kwenye mawimbi au wave inahusisha kupanda na kushuka. Shika hayo maneno mawili. Kuna kuwaka na kuzima versus kupanda na kushuka. Sijui umenielewa? Sasa ndipo tunapoingia sasa kwenye namna ya kuzisafirisha. Ukitaka kutumia njia ya mwanga ambayo inahusisha kuwasha na kuzima, lazima utumie waya za kopa. Ndio

hizi nyaya ambazo zinapita baharini. Na ndio maana internet ambayo inasafirishwa kwa nyaya maanake ina kasi ya mwanga. Kwa hiyo ndio maana kuna maelfu ya nyaya ambazo zinatandazwa baharini na ndizo kwa asilimia kubwa zinatupa internet iliyopo duniani kwa sasa. Sehemu kubwa ya internet inasafiri kwa njia ya nyaya baharini. Na kuna makampuni yanahusika na haya mambo kwa sababu hiyo kwamba kasi kubwa zaidi ni kasi ya mwanga. Sasa ukitaka kusafirisha internet kwa kasi ya sauti maanake natumia wav ndio hii sasa unatumia

kwenda angani. Sasa kuna tabia ya mwanga na kuna tabia ya sauti. Sauti ina tabia moja. kadri unavyokuwa inasafiri umbali mrefu inazidi kupungua nguvu kwamba kama kitu kinasafiri kwa njia ya nyaya ni kiasi kidogo sana kinapotea. Watu wa Tanesco ama watu wanaojua umeme watakubaliana na mimi kwamba hata Tanesco wanapotengeneza umeme kwenye chanzo mitambo wanavyosafirisha kunakumbuka kuna zile units kadhaa ambazo zinapotelea njiani huwa inatokea kwenye hii process upande wa umeme lakini sio kwa kiasi kikubwa kama sauti.

So ili sasa kuweza kutatua hilo tatizo la sauti inabidi zile wave ziwe karibu karibu zaidi. Kwa hiyo Elon Musk atahitaji kuwa na satellites maelfu kama sio mamilioni kuweza kutoa huduma ya internet dunia nzima na kwa kasi inayotakikana. Na ndio maana sasa hivi anachofanya Elon Musk anatoa huduma kwenye yale maeneo ambayo internet ni ngumu kufika. Kwa hiyo internet ya Elon Musk haijaja kwa sababu ya dunia nzima ikimaanisha kwamba sio uwekezaji ambao ni rahisi kwa hiyo sio ficha ya dunia. Bado makampuni

wanaotandaza nyaya baharini itaendelea kuwa ni sehemu kubwa ya mawasiliano yetu kwa sababu kwanza kuna discussion kubwa kuhusu ozon layer ya kwetu. The size of space junk upes there are couple different ways to think about that. Kwamba kuna vyombo vingi satellites nyingi ambazo zikishawekwa kwenye anga za juu. Unajua satellite huaga zinapigwa mabomu zinasambaratika. Lakini sasa kiuhalisia ni kwamba zile chenga huwa zinabaki kwenye orbit. Na kuna documentaries nyingi ukifuatilia za watu wakiwa wanaelezea kwa nini ni

hatari sana. Kila siku binadamu anapandisha anaweka vitu kwenye ozon layer kule. Unaweza ukashangaa mbeleni ikawa unatembea tu natoka kitu huku kinabomoa nyumba kimeanguka kwa kasi ya juu lakini wanasema kwa sababu kule haziwezi kuja humu ila zikijaa kule wanasema zitaathiri sana huku tunapoelekea. So moja ya hatari ni kwamba huu uchafu siku moja unaweza ukagongana na satellite labda ya inayotusaidia kuona Google Map au satellite za kijeshi za nchi au satellite zinazotusaidia kusoma hali za hewa. Unajua kuna satellite

nyingi angani na moja ya argument ndio hiyo kwamba tupunguze uchafu kwenye anga za juu. Kwa hiyo Elon Musk anakabiliwa na hiyo changamoto pia. Lakini kubwa ni hiyo ya kiteknolojia kwamba ni ngumu kumpa mtu kila mtu I mean ni ngumu kumpa kila mtu internet ya uhakika kwa kutumia njia ya satellite kwa sababu kwanza ya kasi kwa maana ya kasi ya sauti ni ndogo kuliko ya mwanga. Lakini pili ndio hiyo kwamba ili kuweza kuiboresha inahitaji uwekezaji mkubwa na unahari hiyo ya kim mazingira. Sasa sijui hivi angaza juu ni

mazingira or something. Lakini umeelewa sasa kwa hiyo internet na usafiri baharini itazidi kuwa ni sehemu ya interneti yetu ya kutegemewa muda mrefu. Kwa hiyo hata kama umepita mitaani sasa hivi utagundua kuna makampuni kwa mfano Tanzania Dar es Salaam kuna makampuni yanasambaza internet na wengi wanatumia njia za nyaya. Na zile za wireless ni zile ambazo zimeletwa hapa kwa njia za nyaya. Kwa hiyo kwa sababu hiyo ndio inasababisha internet inabaki kuwa ya nyaya. Ndio internet ya kutegemewa. Sijui kama nimeweza kukuelewesha vizuri

ukaelewa kuhusiana na internet lakini nilikuwa najaribu kukurahisia iwezekanavyo na I hope imekupa some ABCs. Niambie kama hizi episode zinakusaidia kwa namna moja ama nyingine na lengo ni kukupa yale masomo madogo madogo ambayo labda huelewangi kama kuna vitu ambavyo pia unahitaji kuelewa vya geopolitics na vitu kama hivi karibu sana sana. Kiukweli nichukue tena nafasi hii kukushukuru wewe ambaye umesubscribe. Naona kila siku namba zinazidi kupanda za subscribers. Mnanifanya nisichoke kuja hapa kuwapa hizi updates. Tukutane

East Africa Radio wanakutana na nyinyi kwa siku mara moja zaidi tunakutana East Africa Radio jumamosi tu mara moja saa 9a la siri hadi saa 10 kwenye madini.com. na mle sasa ndio kuna segment zote nne kwa maana ya live na G ambayo huwa mnaiona hapa hapa kuna picha linaanza mnaipenda sana lakini pia tuna caption ambayo huwa hamuioni YouTube ila iko kule tuna nyingine pia inakuja hivi karibuni tuna 22 ambayo pia ilikuwepo madini.com kwa hiyo ukitaka kuipata show nzima utatusikiliza kwenye radio hapa

unakuwa unapata updates na good news ni kwamba hiki unachokiona hapa huwa hakiruki radio kwa hiyo inakuwa ni exclusive kwa upande wa YouTube na yote hayo ni kwa sababu umesubscribe. Kama hujafanya hivyo please naomba ufanye hivyo kwa sababu ni namna nzuri ya kuweza kutusupport na naitwa Grayson Gideon. Niambie kama nimekuongezea kitu ili niendelee kuwapa nyingine nyingi zijazo. Thank you so much. >> Hii ni gonga94

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FUTURE YA INTERNET UKWELI ELON MUSK ATAKI UUJUE! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Okay kwenye episode hii nataka tuizungumzie internet kwa lugha rahisi zaidi

iwezekanavyo lakini pointi ambayo natamani kuitengeneza ama kukuelezea hapa ni kwa nini internet ya satellite sio future ya internet. Yaani internet ambayo anaileta Elon Muskeno mengine sio future ya internet. Bado tutaendelea kutumia cable na nitakuelezea kwa nini. Asante kwa kila ambaye umesubscribe kwenye hii akaunti bado fanye hivy utakuwa umetusupport kinoma noma. So let's talk about internet. Kwanza tuanze kuielewa internet ni nini.

Kwa maneno rahisi internet ni ule mfumo wa kompyuta moja kuwasiliana na kompyuta nyingine. Na ninavyosema kompyuta unaweza ukachukulia ni hizi kompyuta zenye sura kama hizi komputa nyingine lakini kompyuta kuna zenye sura tofauti. Kuna baadhi...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/future-ya-internet-ukweli-elon-musk-ataki-uujue-okay-kwenye-episode-hii-nataka-tuizungumzie-internet

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi future-ya-internet-ukweli-elon-musk-ataki-uujue-okay-kwenye-episode-hii-nataka-tuizungumzie-internet
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

889
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energyโ€ฆ and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest