*'INAMA NIKUPAKE WESE'*π *SEHEMU YA 01---04* Mpyaaaaaπ₯ Nikuulize swali? Hivi uliwahi kukutana na wakati mgumu katika maisha yako? upi?
Nadhani wakati mgumu ambao umekumbana nao wewe hauwezi kufikia wakati mgumu niliokutana nao mimi ndani ya daladala moja hivi wakati narudi kutoka kwenye mishe mishe town...
Kama kawaida nyakati za jioni huwa usafiri ni wa shida mjini kwa sisi ambao tunaishi nje kidogo ya mji na kusema ukweli hakuna mtu anayeishi mjini, ila wote tunaenda kwa ajili ya shughuli hasa za kujitafutia kipato kisha tunarejea makwetu...
Baada ya kugombania daladala kwa mbinde hatimae nilifanikiwa kabisa kuingia, huku wengine wakipitia madirishani na wengine waliingia lakini viatu vikakanyagwa mlangoni wakajikuta wanahangaika kutafuta viatu vyao huku wenzao wakipanda na wakaachwa, tuliobahatika kuingia tulibanana kama mbao ambazo zimepangwa kwenda kuuzwa, yaani ulivyokaa ndiyo hivyo hivyo hutakiwi kugeuka wala kutikisika na gari likaanza kuchapa mwendo
"Abiria hapa kituo cha kwanza mbagala" konda alizungumza akikitaja kituo cha kwanza kwa kejeli kwa sababu hakikuwa kituo cha kwanza kama maneno yake ila ndicho cha mwisho yaani mwisho wa gari kama lilivyoandikwa mbele kwenye usajili wake kutoka mamlaka ya usafirishaji wa nchi kavu na majini 'LATRA'
Achana na mtihani wa kubanwa mpaka kushindwa kugeuka ndani ya gari, mtihani wa pili ulikuwa ni mwanamke niliyekaa nae yaani niliyesimama naye akiwa ameshikilia bomba kwa tabu kutokana na ufupi, huku mimi nimelishikilia vizuri tena nipo nyuma yake amenigeuzia mgongo na tumegusana, na mbaya dada huyo aliyevalia kijora alikuwa na matako makubwa tena yale yametepeta kwa kufumuka na kwa bahati mbaya nimeyagusa kabisa kwa suruali yangu nikishindwa hata kugeuka maana hali ilikuwa mbaya, mboo ilisimama ndani ya suruali ikitaka kutoboa zipu kabisa ipite na nilihisi lazima dada huyo ahisi kuna kitu kinamgusa gusa matakoni. Nilijitahidi kugeuka lakini sikuweza ndo kwanza nilimkanyaga jamaa mmoja aliyekuwa karibu yangu
"Oya jiangalie mzee siyo tunakanyagana kanyagana" jamaa huyo alinionya kwa ukali
"Samahani bro, bahati mbaya tu" nilikuwa mpole na ikabidi nitulie tuli nyuma ya mwanadada huyo ambae aligeuka na kunitazama kwa tabasamu, siyo matako makubwa tu, hata sura alikuwa nayo huku akiwa ametoboa pua yake, nikajiuliza kimoyo moyo kwanini atabasamu.
Gari lilipopita kwenye matuta ya barabarani hali ilikuwa mbaya zaidi, na cha ajabu dada huyo aliyekuwa ameshikilia kiti akainama zaidi na kuzidi kunivuruga nyuma nilipokuwa nimesimama, yaani ndo akawa kama amenisusia kabisa matako yake gari likidunda na yeye anadunda huku yakitikisika tikisika, mboo yangu iliyodinda ndani ya suruali ikiwa inapata tabu tena imeingia kabisa katikati ya matako yake makubwa, bila nguo zetu tulizovaa nafikiri ingekuwa imezama kabisa
"Haya mwisho hapo, mbagala" konda aliongea na gari likasimama, abiria wote wakaanza kushuka, huku nikishusha pumzi, dada huyo akiwa na mkoba wake mdogo akanitazama kwa tabasamu na kulichomoa dera lake lililozama kwenye matako yake makubwa kisha akaungana na abiria wengine kushuka, mimi nikazuga zuga kwanza niwe wa mwisho mwisho ili mboo ilale maana suruali niliyovaa ilikuwa modo sana mboo imejichora tena kwa kujipinda kila mtu angeniona nilivyodindisha, bahati nzuri nikaliona gazeti limeachwa kwenye kiti nikalibeba na kujiziba mbele na mimi nikashuka taratibu kuelekea nyumbani, nilivuka barabara na kupita njia moja na nilipoona hali siyo hali akili ikawaza niende kwa Malaya wanaojiuza nikatombe angalau mambo yakae sawa, ingawa sijawahi kwenda kununua ila mtaa wao niliujua nyuma ya baa moja hivi maarufu, nilijipiga moyo konde na kuenda kwenye uchochoro wa mtaa huo nilipokuta wamekaa kwenye milango yao wakisubiri wateja, walianza kunishika mkono kila mmoja akinivuta kwa kunishawishi niingie kwake
"Kaka njoo nikunyonye tu"
"Unataka nyuma au mbele?"
"Njoo basi nikupe mkundu" kila mmoja aliniambia lake wakati naangaza angaza macho kuchagua lakini kwa mashaka mashaka na uwoga maana kutaka nataka ila sijawahi nikajikuta pamoja na nyege zangu naghairi na kunyoosha njia niliyopita mwenyewe kwa miguu yangu ili nitombe Malaya
"Mwacheni huyu mteja wangu ananitafuta mimi we kaka mimi hapa unayenitafuta" niliitwa na nikageuka nikakutana uso kwa uso na yule dada aliyenipa tabu kwenye daladala akiwa amevaa kitopu tu tumbo na kiuno vipo nje nje na chini amevaa kisketi kifupi tena cha mpira, mapaja yote nje na sketi imepanda juu sana kutokana na matako yake makubwa,
"Kumbe nae anajiuza?" Nilijiuliza nikiwa nimetulia kwa sekunde kadhaa nimeshikwa na bumbuwazi, nikatazama kulia na kushoto kama kuna mtu ananitazama na kumfuata taratibu akiwa tayari ameshatangulia ndani ya chumba chake kidogo chenye kitanda tu ndani, nilipoingia nilimkuta ameshapanda kitandani akiwa ameipandisha sketi yake ameikunjia kiunoni na amebong'oa kwa kupinda kiuno huku amepanua matako yake makubwa kuelekezea mlangoni niliposimama
"Mkundu elfu tano, kuma elfu tatu, kotekote elfu kumi" aliniambia huku akiwa ameshikilia kijichupa cha mafuta ya nazi, akiyatingisha tingisha matako yake makubwa, vyote yaani mkundu na kuma yake nikivishuhudia mbele yangu nikainama kujitazama suruali yangu na kufungua zipu taratibu mboo ikatoka nje ikiwa kama ilikuwa gerezani imedinda kwa hasira, lakini moyoni nilihisi uwoga, nikajikaza kiume na kumfuata mwanadada huyo pale pale na akanipa kondomu ambayo niliivaa na kuanza kuingiza mboo kwenye kuma lakini akaishika na kuihamishia kwenye mkundu wake
"Hebu onja huku kwanza"
"Huko sijawahi na..."
"We jaribu tu najua hautotamani kuacha" aliniambia huku akiingiza kichwa cha mboo yangu kwenye mkundu wake, na kiukweli sikuwahi kufira leo ndo ilikuwa mara ya kwanza...
*SEHEMU YA 02*
Kijana wa watu mstaarabu nilijikuta nikiingiza mboo yangu kwa mara ya kwanza kwenye mkundu wa mwanamke, tena Malaya anayejiuza bila kutarajia, nilijikuta nikitazama tazama nyuma kama kuna mtu anayeniona wakati nipo ndani, yote ni kwa ajili ya uwoga na wasiwasi,
Huku redio ya bluetooth iikiendelea kupiga muziki chumbani humo, bi dada huyo alichukua kijichupa cha mafuta na kunipa nikajiongeza kuwa anataka kupakwa kwenye matako na mkundu maana ninaonaga kwenye video za X mtandaoni, nikammiminia na kuendelea kuingiza mboo iliyoingia kichwa tu, mikono yangu nilimshika matako yake makubwa yote mawili la kushoto na la kulia nikiyapanua ipasavyo na kuanza kazi hiyo ya kumfira
"Ooh kumamake, unatombwa wewe, msenge sana" alinitukana huku akinitazama midomo akiwa ameachama wakati nikimfira, niliwahi kusikia kuna wanawake wanapenda kutukana wakati wa kufanya mapenzi, ilibidi nivumilie mvua hiyo ya matusi wakati nikiendelea na shughuli yangu, nikiitendea haki shilingi elfu tano yangu nitakayoitoa kwa ajili ya burudani hiyo, kutoka kwa mwanadada huyo ambae sikudhania kabisa kama kazini kwake alipokuwa anawahi ni hapa, maana tulipanda daladala moja.
Kijana wa watu sikufika mbali, dakika tatu zilihitimika kwa kufunga bao la mapema kabisa, mboo yangu ikiwa imezama yote ndani ya mkundu wa mwanadada huyo, nikamwaga shahawa huku nikihema, nikihisi kama nimetua mzigo mzito uliokuwa umenielemea, nilichomoa mboo iliyokuwa na kondomu, mzigo wa shahawa zangu nzito zikiwa ndani
"Ulisema shilingi ngapi?"
"Elfu tano"
"Shika hii hapa, kuna mahali pa kunawa?" Nilimwuliza huku nikimkabidhi pesa yake mkononi,
"Nenda chooni, wewe kwani mgeni eeh?"
"Wapi?"
"Kwenye mambo haya?"
"Kwanini?"
"Nakuona hujachangamka kaka wa watu kama unaogopa ogopa hivi"
"Yah sijawahi kununua"
"Basi ndo umeshaanza sasa kuacha siyo rahisi, ukibanwa karibu, chumba changu namba sita"
"Asante nitakaribia tu"
"Oya we Mwantumu mitako mimi nina nyege nataka zigo hilo fungua mlango" tulisikia sauti ya mwanaume nje ikimaanisha ni mteja anataka kuingia,
"Wewe nawe kwani huoni kama namalizana na mteja mwenzio au, kwanza nakudai hela yangu nimekwambia sikopeshi sikuhizi, kama huna pesa nenda kapige punyeto ulale" dada huyo ambae nilimfahamu kwa jina la Mwantumu alijibu
"Aah Mwam tusifanyiane hivyo bwana, utazikwa nacho hicho hauendi nacho popote"
"Sawa lakini si changu" alijibu, nami nikavaa taratibu baada ya kuvua kondomu na kujifuta futa, sasa safari kukitafuta choo kilipo nikakojoe kabisa na kama kuna maji basi ninawe, nilitoka na kupishana na jamaa huyo ambae aliingia ndani huku akijipekua pekua pesa mifukoni mimi nikawatazama wale akina dada wengine ambao walikuwa milangoni kwao na kuingia kwenye uchochoro mmoja wa katikati ya vyumba vyao ili kukitafuta choo kama alivyonielekeza, na kwenye uchochoro huo nilimkuta mzee mmoja akiwa amemwinamisha mmoja kati ya akina dada hao ukutani akimtomba, akihangaika kweli kama anataka kufa, nilitikisa kichwa kumsikitikia mzee huyo mwenye miaka kama sabini hivi mpaka sabini na tano ambae anaweza akafa hivi hivi kwa kuendekeza kitombo, niliwapita kimya kimya na kwenda kwenye choo hicho cha kawaida, nikashusha mkojo na kutoka taratibu huku nikifunga zipu ya suruali yangu
"Dah huu mchezo niliouanza nitaweza kuuacha kweli?" Nilijiuliza mwenyewe kimoyomoyo, mwili nikiuona mwepesi baada ya kumaliza mchezo huo kwenye eneo hilo la akina dada wanaouza miili yao
"Polisi, polisi!" Mara nilisikia makelele na purukushani za akina dada wakikimbia na nguo zao za nusu uchi na wengine na khanga moja huku wengine wakiwa uchi kabisa na wateja, nilijibanza ukutani na kushuhudia kweli askari wakiwa wamefika eneo hilo na kuwakamata akina dada watano na wateja wao akiwemo yule Mwantumu niliyetoka kumfira pamoja na mteja wake mpya, yule mzee wa kwenye uchochoro na msichana aliyekuwa anamtomba nao pia walikuwa wameshadakwa
"Jamani afande nioneeni huruma nina watoto na wajukuu mimi sasa ikijulikana kuwa nimekutwa huku nitakuwa mgeni wa nani na uzee huu?" Alilalamika wakiwa wamemkunja askari hao ambao kumbe waliongozana na muheshimiwa mkuu wa Wilaya, ikionekana ni operesheni maalumu ya kufunga madanguro na mpaka waandishi wa habari walikuwepo na makamera yao wanachukua picha na video
"Sasa wewe na uzee huu si ulitakiwa uwe unalea wajukuu saa hizi, unahangaika na vipochi manyoya mpaka leo hebu twende, hakikisheni hao wasichana na akina mama wanaojiuza wote pamoja na wateja wao wanapandishwa kwenye karandinga la polisi kule, haiwezekani wakatuchafulia Jiji letu likawa na sifa ya hovyo" muheshimiwa huyo alimjibu mzee na kutoa amri, akiwa amevaa kaunda suti
"Sawa mkuu" askari walipiga saluti huku nikiwa nimejibanza kwenye uchochoro ule, mkojo nikihisi unataka kunitoka tena ingawa nilitoka kukojoa, miguu ikigongana kwa hofu maana kama ningekamatwa basi leo ningeonekana kwenye taarifa ya habari live live, wote wanaonifahamu wangenishangaa, kwa bahati mbaya askari mmoja aligeuka na kuniona nikichungulia nikarudisha kichwa haraka haraka
"Afande kuna mtu pale kwenye uchochoro anaonekana anachungulia" alimuelekeza mwenzake ambae nilimsikia akija mbio mbio huku huku nilipo
"Dah nimekwisha" nilijisemea kimoyo moyo maana hakukuwa na njia nyingine ya kukimbilia zaidi ya kwenda vyooni tu
*SEHEMU YA 03*
Kama aibu ya mwaka kunikuta basi ni leo hii, maana waandishi wa habari na askari walikuwepo kwenye eneo hilo lenye nyumba ya kununulia Malaya yaani danguro, iliyojengwa kwa vyumba vingi kimoja kimoja na vidogo vidogo vilivyokuwa kama madarasa, yaani siku ya kwanza kwangu kununua Malaya ndo balaa linaniangukia, nilijuta kitendo changu cha kuzisikiliza nyege ningejua ningejibana bana na kwenda angalau kupiga punyeto nyumbani mambo yasiwe mengi, zilaumiwe nyege
"Nafanyaje hapa?" Nilijiuliza wakati askari wawili wakija kwenye uchochoro huu wa kuelekea chooni ambao nilikuwa nimejibanza, haraka haraka nikarudi kinyume nyume na kuingia vyooni
"Uuuwiii" Mdada mmojawapo wa wale Malaya alishtuka aliponiona akidhani mimi ni askari, nae alikuwa amejificha chooni akiwa na khanga moja tu nyepesi na fupi, ndani hajavaa chochote hana hata chupi
"Ni mimi hapa usiogope" nilimtuliza
"Siyo askari wewe?"
"Hapana mimi siyo askari, nimewakimbia wanakuja hukuhuku"
"Toba, wako wangapi?"
"Wawili"
"Hao ngoja niwaonyeshe shoo"
"Utawafanyaje?"
"Wewe tulia jifiche tu huko choo kingine, mimi mwanamke" aliniambia huku akipandisha khanga yake mpaka usawa wa kiunoni akiwa hajavaa kitu, sikuwa na muda wa kupoteza nikaingia kwenye choo kingine na kutulia tuli, hatua za askari hao zilisikika wakiwa wameshafika na kumkuta mwanadada huyo kwenye choo kimojawapo
"Wewe Malaya unafanya nini huku, haya twende kule" mmoja alimkaripia
"Jamani afande mimi niende hivi na khanga moko kweli jamani kaka zangu mnaona ni sawa?"
"Sasa si mmezoea kukaa uchi uchi?" Askari wa pili aliongea kwa msisitizo
"Mh jamani siyo kwamba tunapenda ila ni pesa tu, tunatafuta chochote kile ili mkono uende kinywani"
"Mngeuza vitumbua na maandazi hebu twende usitucheleweshe" askari wa kwanza alirudia
"Jamani mniachie mwenzenu sijawahi hata kuingia polisi kwani nyie hamtaki?" Aliwauliza huku akiwavuta mikanda ya suruali zao maaskari hao wawili wenye sare nikiwachungulia kwa mahesabu, wakatazama kulia na kushoto kama kuna anayewaona na kuingia chooni alimokuwamo mwanadada huyo aliyewapa ofa ya bure na mlango ukafungwa taratibu kwa ndani, hiyo ndiyo ikawa pona yangu nikatoka taratibu na kwenda mpaka kwenye mlango huo wa choo nikawachungulia maana ulikuwa una matundu na kuwakuta wamesimama, askari mmoja akiwa kwa mbele na mwingine kwa nyuma, mwanadada huyo kati kati, akiinyonya mboo ya yule wa mbele na huku yule wa nyuma akiwa amemshikilia kiuno anamtomba
"Haraka haraka namimi nataka kutomba" yule wa mbele aliyekuwa ananyonywa mboo alimwambia mwenzake wa nyuma
"Tulia afande huoni ndo kwanza nimeanza?" mwenzake alimjibu,
"Sasa wewe unataka utombe mpaka wapi si kidogo tu tunaonja, tupo kazini ujue?"
"Niache bwana namalizia" yule wa nyuma alimjibu, wa mbele akaona anachelewa akajitoa na kutaka nae kutomba kwa nyuma alipokuwa mwenzake ambae nae aligoma kutoka, ugomvi ukaanza kati ya askari hao wawili waliosukumana huku wakiwa hawajafunga zipu za suruali zao, mboo nje zikining'inia, yule mwanadada akasogea mlangoni nami nikaufungua haraka haraka na kumvuta nje, askari wakashtuka na kugeuka lakini walishachelewa tukawafungia mlango kwa nje.
"Fungueni mlango" waliita huku wakigonga gonga kwa ndani.
"Njia ya kuondokea ni huu ukuta" yule dada aliniambia akiwa ameishikilia khanga yake iliyotaka kumuanguka mwilini, nikatega mgongo akanikanyaga na kupanda akarukia upande wa pili, bahati nzuri ukuta haukuwa mrefu, namimi nikapanda kwa tabu na kuangukia upande wa nyuma kisha tukakimbia tukiwaacha askari wale wanahangaika kugonga mlango wa chooni ili wafunguliane, yule dada akiwa na khanga moja mwilini alipita njia yake na mimi njia yangu, niliapa kutokurudi tena kwenye danguro hilo.
Nilipokaribia nyumbani, njiani mama alinipigia simu akitaka nibebe samaki wa kwenda nao kwa ajili ya mboga usiku, nilisogea kwenye kibanda kimoja cha mama muuza samaki jirani na nyumbani na kumkuta mama huyo akiwa na wateja wamemzunguka ikabidi nisogee ili kusubiri namimi samaki hao waliokuwa jikoni,
Mama huyo maarufu kwa jina la mama Dulla alikuwa anahangaika kuchochea moto na nyuma alikuwa amebeba mzigo wa maana yaani matako makubwa haswa, akiwa amevaa baibui na hijabu kichwani, aliinama karibu na mimi ili kuchochea kuni za moto jikoni nikiwa nimesimama nyuma yake, nilijikuta mambo yameharibika ndani ya suruali matako makubwa ya mama huyo yalipokuwa yamenikaribia wakati alipoinama, mboo ilisimama ndani ya suruali nikabaki nahangaika kutaka kuituliza, dada mmoja aliyekuwa anasubiri samaki miongoni mwa wateja aliniona na kujiziba mdomo kwa mshangao na si yeye tu mpaka wateja wengine waligeuka na kunishuhudia wakati nahangaika hangaika kuiweka vizuri suruali yangu..
*SEHEMU YA 04*
"We mama samaki vipi mbona umempimia mwanangu visamaki viwili kama hivi wakati nimemtuma fungu la buku?" Mama mmoja aliongea kwa ukali huku akija na mtoto wake amemshika mkono kwa nguvu ambae ilionekana amemtuma kuja kununua fungu la samaki lakini akaleta tofauti na alichoagizwa
"Kwani si nimemwekea wa buku au?" Mama Dulla alimjibu mwanamke huyo aliyekuja kishari na si kiamani
"We mama vipi hawa ndiyo samaki wa buku watazame wewe mwenyewe" alimfungulia karatasi ya dagaa hao wachache
"Mh wa jero hao"
"Sasa jero langu liko wapi, wewe mama samaki usinitafute ujue nakuangalia tu kila siku nikimtuma mtoto analeta vitu vya tofauti" mwanamke huyo aliongea ugomvi ukianza hapo hapo ikawa kama bahati, macho ya waliokuwa wananitazama mimi kwenye zipu ya suruali yangu yakahamia kwenye ugomvi huo kati ya mama muuza samaki na mteja wake nami nikaondoka kimya kimya bila kuaga maana hata samaki sikuwanunua, ilibidi tu nikanunue kuku wa kukaanga na kwenda nao nyumbani kwa ajili ya mboga ya usiku, giza likiwa limeshaingia tayari.
Kulikucha mapema asubuhi saa moja moja hivi, usiku mzima sikulala kila mara niliwaza tu ujinga nilioufanya jana kule kwenye danguro, nilivyomfira yule dada anayejiuza na matako yake makubwa, picha zilijirudia rudia kichwani almanusura nipige punyeto usiku wa manane lakini kwa bahati nzuri usingizi ulinipitia lakini bado haikusaidia, asubuhi niliamka na nyege sana nikabaki najigeuza geuza tu kitandani, nilichofanya ni kuchukua simu ili nitazame angalau video mbili tatu nipige punyeto ndo niamke ili nipate wepesi lakini nilipochungulia mtandaoni nikawaza nijaribu kutafuta mwanamke labda nitapata, nikaandika ujumbe wa maandishi kwenye magroup kadhaa uliosomeka 'NATAFUTA MWANAMKE WA KUFIRANA HATA LISHANGAZI CHA MSINGI AWE NA MSAMBWANDA, UKIWA NA KIGEZO HICHO NJOO INBOX, KUNA ELFU
50 IMEZAGAA ZAGAA HAPA, NJOO NA PICHA YAKO NIKUONE' nikaposti na hazikupita dakika tano niliona jumbe tatu tofauti inbox nikazifungua na kukutana na akina dada walioonyesha kutaka kweli kunipa huduma, nilifanya kama masihara nikijaribu tu kumbe wanawake wapo mtandaoni, wawili niliwachatisha mmoja alikuwa mwembamba si kama ninayemtaka nikaachana nae, mwingine alikuwa analazimisha nitume nauli ingawa alikuwa na tako nikaachana nae, wa tatu alituma picha ya matako yake makubwa tu bila kuonyesha sura yeye alikuwa tayari lakini nimfuate mtaa anaoishi na nilipomuomba kumuona sura aligoma kwa sababu ya kuogopa picha zake kutumiwa vibaya na akakiri wazi yeye siyo msichana ila ni mama wa miaka hamsini kasoro hivi,
Matako yalinivutia la mama huyo mshangazi ambae haikuwa na haja ya kumwona sura maana hata ingekuwaje, matako yake makubwa aliyonionyesha kwenye picha yangetosha kabisa
Nilimwuliza anaishi wapi akanijibu Mbagala, Mbagala ipi akanitajia sehemu ya karibu na ninapoishi, nikaona zari la mentali maana haishi mbali ambapo atatumia nauli au mimi nitatumia nauli, nikamuuliza pa kuonana akaniambia jina la gesti ambayo nilikuwa naifahamu vizuri kabisa maana haikuwa mbali na nyumbani tukapanga na muda na sikumwambia kama ninaishi mitaa hiyo hiyo aliyoitaja, tukakubaliana tukutane asubuhi hiyo hiyo, ikabidi niamke na kwenda kuoga nikajiandaa na kutoka taratibu kuelekea kwenye gesti ili kuonana na mshangazi huo niliowasiliana nao Facebook,
"Hujambo" nilisalimiwa nilipogeuka nikamwona mama mtu mazima amevaa baibui tena amejifunga kininja yaani yanaonekana macho tu, nilipomtazama nikagundua ni mama Dulla muuza samaki
"Sijambo shikamoo"
"Mbona umenitazama sana?"
"Nilikuwa najiuliza nani"
"Kwa sababu nimevaa hivi, mama Dulla"
"Ooh nimezoea unaacha uso wako, vipi leo samaki watakuwepo kweli mbona kama una safari?"
"Leo sipiki ninaenda huko kwenye mambo yetu ya mikopo"
"Sawa safari njema" nilitabasamu mama huyo akanipita akionekana ana haraka huko anapokwenda, matako yake makubwa hayakujificha hata ndani ya baibui, yalitikisika tikisika.
Nilifika gesti mpaka kwenye chumba nilichoelekezwa na kukaribishwa ndani, nilipofungua mlango nikakutana uso kwa uso na mama Dulla muuza samaki, alishtuka aliponiona kumbe ni yeye tuliyekuwa tunawasiliana...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
