Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA TATU ILIPOISHIA Nilikula chakula cha usiku nilipomaliza nikaaga
Gonga94 · Stories

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA TATU ILIPOISHIA Nilikula chakula cha usiku nilipomaliza nikaaga

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
naenda kulala sababu siku hiyo nilikuwa na uchovu sana,nilionyeshwa chumba ambacho kilikuwa kwaajili yangu,niliingia ndani huku nikikiangalia chumba kwa umakini mkubwa sio siri kilikuwa chumba kizuri sana kwani kilikuwa na kitanda cha sita kwa sita,tv na vitu vingi vya kupendezesha
Nilikaa kitandani na kuanza kuvua nguo ili nikaoge nitoe uchovu ndio nilale,wakati navua nguo nilishangaa mlango wangu ukigongwa taratibu,nilibaki najiuliza nani anagonga mlango lakini sikuwa na majibu,ilinibidi niamke taratibu nikafungue mlango nijue nani anagonga.
SONGA NAYO
Nilifungua mlango taratibu ili niangalie nani alikuwa anagonga,macho yangu yalikutana na mjomba akiwa ameshika dawa ya meno, mswaki na mazaga zaga mengine.Nilivipokea kisha nikarudi ndani ili nikalale.Sikukaa sana kitandani usingizi ulinichukua
Nilikuja kushtuka ni asubuhi ya saa mbili tena nilikuja kuamshwa na mfanyakazi wa ndani,niliinuka kitandani na kuchukua mswaki wangu ili nikaswaki ndo nikanywe chai,
nilipomaliza nikaenda mpaka sebuleni lakini nilishangaa kuona nyumba ikiwa kimya namna hile.
Nikaamua kumuita dada wa ndani na kumuuliza watu wameenda wapi
"Et sister mbona ndani kimya sana?"niliuliza
"baba na mama wameenda kazini,prisca na patricia nao wameenda shule"alijibu yule dada
Wakati wote namuuliza yale maswali nilikuwa namuangalia juu mpaka chini kwani alikuwa mamevaa khanga moja iliyofanya maungo yake yaonekane.Kwa jinsi alivyonona nilitamani kumrukia lakini nilikuwa naogopa kwani ndo kwanza nilikuwa na siku ya pili pale ndani.
Nilimshinda shetani kwani sikumfanya chochote yule dada ila aliniweka kwenye hali mbaya,nilienda mezani kupata kifungua kinywa huku nikimuacha yeye akiendelea kufanya usafi,nilikunywa chai huku nikimuangalia kwa jicho la wizi wizi.
Nilimaliza kunywa chai nikaenda kukaa kwenye sofa ili niangalie tv,yule dada wa kazi alikuwa anajipitisha huku na kule bila kujua kama alikuwa ananiumiza mwenzake japo nilikuwa sijawai kufanya huo mchezo lakini nilishapata story zake.
Yule dada alipomaliza kufanya usafi akaja mpaka pale kwenye sofa la jirani ili aangalie tv,lakini kwa muda huo alikuwa ameshabadili nguo na kuvaa suruali iliyomchora vizuri maungo yake.Tulikaa kama dakika tano bila story yoyote mpaka pale alipoamua kuanzisha
"Kaka thom"aliita kifupi
"Naam"niliitika
"Tanga unatokea sehemu gani?"aliniuliza
"natokea kijiji cha Kwasunga wilaya ya korogwe"nilijibu
"Mh sawa"alisema
"Ila wewe sijakujua jina lako mjomba alisahau kulitaja"nilisema
"Mimi naitwa Suzy"alijibu
Tuliendelea kupiga story na Suzy mpaka muda wa kuandaa chakula cha mchana ulipofika,Suzy alisimama na kuelekea jikoni kuandaa chakula,wakati anasimama niliweza kumuona vizuri kwa nyuma nilishangaa kumuona house girl akiwa mzuri vile.
Ilipofika saa nane chakula kilikuwa tayari kimeshawekwa mezani,niliinuka na kwenda kula chakula,mezani tulikuwa wawili tu mimi na dada wa kazi.Tulikuwa tunakula chakula huku kila mtu akiwa kimya,wakati tunaendelea kula chakula mlango ulifunguliwa na walikuwa binamu zangu wanatoka shule
Mdogo alinisalimia kisha akaja kukaa na sisi mezani wakati mkubwa alisalimia na kuelekea chumbani,nilikuwa najiuliza mbona huyu bianamu yangu mdogo yupo tofauti na mwenzake kwani hakuwa na pozi sana japo alikuwa anapenda sana kudeka.
Tulipomaliza kula mimi nikaelekea chumbani kwangu kujipumzisha kwani nilichoka kuangalia tv pale sebuleni,niliingia chumbani na kujikuta usingizi umenipitia bila hata kujijua.Nilikuja kushtuka baada ya kusikia mlango wangu ukigongwa na nilikuwa sijui nani anagonga
Nilienda kufungua mlango huku nikiwa bado nina uchovu,nilipofungua mlango nikakutana na binamu yangu mdogo akiwa amejitupia vya kutosha yani kapendeza
"Mambo kaka Thom"alinisalimia
"Poa niambie"nilimjibu
"Nimekufata japo tukatembee ili uzoee mazingira"aliniambia
"sawa ngoja nijiandae"nilimuambia
Nilirudi ndani na kuangalia kwenye begi kama naweza pata nguo ya kutoka japo nikazulule nje,nikachukua nguo niliyoiona inafaa kidogo na kuivaa kisha nikanawa uso ili kutoa uchovu wa kulala.
Nillipomaliza nilitoka nje na kumkuta binamu yangu mdogo akiwa ananisubiri,nilimuuliza kuhusu mwenzake yupo wapi
"Kasema hajisikii kwenda kutembea nje"alinijibu
"poa tunaweza kwenda"nilimuambia
Tulitoka nje ya geti na kuanza kunionyesha mazingira ya pale baruti,muda wote huo mjomba na shangazi walikuwa bado hawajarudi.Alipomaliza kunionyesha mazingira ya pale baruti tukarudi nyumbani
Sebuleni tulimkuta binamu yangu mkubwa amekaa kwenye sofa kajiachia huku mapaja yake yakiwa nje,nilijitahidi kukwepesha macho lakini hata sikuweza kwani macho yangu yalikuwa yanatamani kuyaangalia yale mapaja jinsi yalivyokuwa malaini.
"mhhh hata kama uzungu huu umezidi"nilijisemea mwenyewe
Nilikaa pale sebuleni huku nikiwa naangalia tv,mida ya saa moja mjomba na shangazi walirudi kutoka kazini,walitusalimia kisha wao wakaelekea chumbani na kutuacha pale sebuleni tunaangalia tv.
Muda wa chakula cha usiku ulipofika wote tulikaa mezani kwa ajili ya chakula,mjomba alianzisha mazungumzo
"Prisca naomba kesho muende na kaka kumfanyia shopping ya nguo sababu kesho ni juma mosi"mjomba alisema
"Sawa baba"prisca alijibu
Shangazi na mjomba walipomaliza kula wakaelekea chumbani kulala,sebuleni tulibaki mimi na binamu zangu wakati huo dada wa kazi alikuwa chumbani kwake,binamu zangu waliniaga wanaenda kulala kwahiyo sebuleni nilibaki mimi peke yangu
Baada ya dakika kadhaa tangu binamu zangu waende kulala nilimuona dada wa kazi akitoka chumbani kwake akielekea bafuni,alikuwa amevaa khanga moja huku akitembea kwa mwendo wa kutikisa makalio ghafla ile khanga aliyovaa ikamdondoka nami nikasimama kuelekea kule alipokuwepo.

CHOMBEZO-

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA TATU ILIPOISHIA Nilikula chakula cha usiku nilipomaliza nikaaga

naenda kulala sababu siku hiyo nilikuwa na uchovu sana,nilionyeshwa chumba ambacho kilikuwa kwaajili yangu,niliingia ndani huku nikikiangalia chumba kwa umakini mkubwa sio siri kilikuwa chumba kizuri sana kwani kilikuwa na kitanda cha sita kwa sita,tv na vitu vingi vya kupendezesha
Nilikaa kitandani na kuanza kuvua nguo ili nikaoge nitoe uchovu ndio nilale,wakati navua nguo nilishangaa mlango wangu ukigongwa taratibu,nilibaki najiuliza nani anagonga mlango lakini sikuwa na majibu,ilinibidi niamke taratibu nikafungue mlango nijue nani anagonga.
SONGA NAYO
Nilifungua mlango taratibu ili niangalie nani alikuwa anagonga,macho yangu yalikutana na mjomba akiwa ameshika dawa ya meno, mswaki na mazaga zaga mengine.Nilivipokea kisha nikarudi ndani ili...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-binamu-sehemu-ya-tatu-ilipoishia-nilikula-chakula-cha-usiku-nilipomaliza-nikaaga

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-binamu-sehemu-ya-tatu-ilipoishia-nilikula-chakula-cha-usiku-nilipomaliza-nikaaga
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

889
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest