Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
13 Dec 2025
133 views
VYOTE NDANI GONGA94
José Mourinho baada ya mechi ya jana kati ya Benfica vs Napoli aliondoka uwanjani akiwa na jezi ya Scott McTominay.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mourinho aliulizwa swali kwamba ulibeba nini kwenye begi wakati unatoka uwanjani?
Mourinho 🗣️:
“Ilikuwa ni jezi ya McTominay. Mimi ndio nilimpa nafasi ya kucheza kwa mara ya kwanza (debut). Nilimuweka benchi Pogba kwa ajili yake hivyo aliona kitu pekee ambacho angenipa ni jezi yake”.
Mechi iliisha kwa Benfica kushinda mabao 2-0.
GOAT wa makocha kwenye ubora wake 😀
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo T...
José Mourinho baada ya mechi ya jana kati ya Benfica vs Napoli aliondoka uwanjani akiwa na jezi ya Scott McTominay.
Mourinho aliulizwa swali kwamba ulibeba nini kwenye begi wakati unatoka uwanjani?
Mourinho 🗣️:
“Ilikuwa ni jezi ya McTominay. Mimi ndio nilimpa nafasi ya kucheza kwa mara ya kwanza (debut). Nilimuweka benchi Pogba kwa ajili yake hivyo aliona kitu pekee ambacho angenipa ni jezi yake”.
Mechi iliisha kwa Benfica kushinda mabao 2-0.
GOAT wa makocha kwenye ubora wake 😀
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jos-mourinho-baada-ya-mechi-ya-jana-kati-ya-benfica-vs-napoli-aliondoka-uwanjani-akiwa-na-jezi-ya-sc
Maoni