Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  "Lia kwa nguvu hadi hasira zako zotee ziishe, afuu uutoe uamuzi wakoo"
Gonga94 · Stories

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Lia kwa nguvu hadi hasira zako zotee ziishe, afuu uutoe uamuzi wakoo"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alisema Khalid huku ananigusa gusa mgongoni taratibu aseee yale maneno yalinifanya nilie kwa sauti ya juu kubwaa nilipiga kelele mno kuna muda hadi nikawa nampiga piga kifuani, kwa sababu nilikuwa nalia kwa uchungu hata kam napenda kuliaa hii siku nililia sana, nilikuwa mwekundu kutokana na rangi ya ngozi yangu na sio kingine kabisa nililia mno jamani hiil siku nilijuaaa nitaumwa baada yapo nililia hadi mwisho sauti ikakauka nikaanza kutoka machozi tu bila sauti ya kilio hii ilimaanisha na mud wote huooo sauti ambayo nilikuwa naisikia pembeni yangu ni ya Lecturer akinitaka nilie mpaka machungu yaishe yotee nililia mpaka nikapitiwa na usingizi, nashtuka nipo kwenye kitandaa kuangalia mbele namuona Khalid,

"Hapa nipo wapi?" Niliuliza kwa mshangaoo maana sikutarajiaa kujikuta kwenye chumba wakati Mara ya mwisho nilikuwa garden nikaona niulizee maana huyu atanizoea usijali tupo chuo bado na hii ni office yangu mimi sisheil office na mtu yoyoyte hapa kuwa huru, najua umeamka na maamuzi sahihi na fasaha yasio na maumivu kwasababu naamini machungu na hasira vishaisha naelewa haya kunywa maji ule uniambie sasa binti wa kiarabu nilimtizama tu lecturer nikanywa maji ila sikula nilikuwa sijisikii kula kabisaa nikanywa tu maji nikasema. inatosha " sawa unaweza kusema uamuzi wako kwa sasa nipo tayri kukusikiliza na kam nina weza nitakusapoti" alisema Khalid akinambiaa mimi

"Nataka kuacha chuo, nikafanye kazi huo ndio uamuzi wa mwisho sina mwingine kuhusu mimi binafsi na familia yangu, natakiwa kufanya kazi pia ili kukidhi mahitaji yangu na familia yangu" niliongeaa ila kwa utaratibu kwasababu mimi sio muongeaji kihivyoo alinitizama kwa muda "kazi gani?" Aliuliza khalid nilimtizama yoyote mimi nafanya ila iwe ni kazi tu mimi nafanha nilimjibu akanitizama akatabasam

"Shika hii kadi jumatatu ijayo ufike kwenye hii hospitali unaeza ukaenda kufanya kazi kama pre worker ambae unafanya kazi na kujifunza hapo hapo utatumiaa hyo elimu yako ya mwaka wa pili upo tayari kwa hilo? Na utakuwa unalipwa mshahara pia Aliuliza khalid yaani nilitamani nimkumbatie kwa jinsi nilivyokuwa na furaha jamani nilijihisii wa kipekee sasa yaani me nikajua zile scandal za malecturer kwamba huwa wanawatumiaa wanachuoo tu afu hawawasaidii chochote zaidi ya kuwafaulisha kwenye mtihani kwenye hili jamani alinisaidia sana na nilimuona ni mtu wa maana sana kwenye maisha yang maana huu msaada alionipatia ni mkubwa,akanambiaa atafatiliaa kila kitu hapa chuo yeye ataweka sawa, moyoni mwangu nilifurahi mnoo yaani, nilijiona mwenye bahati sasa na sio mwenye mikosi kam watu walivyosema sikuwahi kuwa na furaha kiasi hiki kwakweli jamani nilimtizamaa kwa furaha kubwa nilimjibu tu asante huku natabasam alinambiaa naweza kumpa kampani mpaka muda wake wa kazi utakapoisha anipeleke nyumbani, hii siku ndio siku ambayo nilipiga nae story nae nyingi sana nikagunduaa mimi ni mchngamfu nikiwa na furaha maan hii siku nilijichetua sana haijawahi kutokea mimi kujichetua kiasi hiki kwakweli, ila kwenye yote hayo sikuumuliza chochote kuhusu maisha yake binafsi siunajua tena maisha ya sisi wadada wa chuo always tupo kimaslahi ila tulibadilishana namba za simu tuu, ila alinitumiaa pia kam 500k kwenye simu afu akanambia ni ya matumizi yangu madogo madogo nilibaki namshangaa Jamni yaani 500k ya matumizi yangu madogo madogo hapana hii kiboko,

Muda ulifika akanipeleka nyumbani, kwa gari. lake, mdogo wangu saa ngapi hajamuona akaja akaanza kujichekesha chekesha kama vile kachizi mpaka nikawa namshangaa maan mhhh alichangamkiwa pia akapewa pesa tena 80k wakat juzi tu katoka kupewa 100k jamni huyu hapana sa tuliagana na yeye akaondoka zake

Iteendelea.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Lia kwa nguvu hadi hasira zako zotee ziishe, afuu uutoe uamuzi wakoo"

alisema Khalid huku ananigusa gusa mgongoni taratibu aseee yale maneno yalinifanya nilie kwa sauti ya juu kubwaa nilipiga kelele mno kuna muda hadi nikawa nampiga piga kifuani, kwa sababu nilikuwa nalia kwa uchungu hata kam napenda kuliaa hii siku nililia sana, nilikuwa mwekundu kutokana na rangi ya ngozi yangu na sio kingine kabisa nililia mno jamani hiil siku nilijuaaa nitaumwa baada yapo nililia hadi mwisho sauti ikakauka nikaanza kutoka machozi tu bila sauti ya kilio hii ilimaanisha na mud wote huooo sauti ambayo nilikuwa naisikia pembeni yangu ni ya Lecturer akinitaka nilie mpaka machungu yaishe yotee nililia mpaka nikapitiwa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-moja-lia-kwa-nguvu-hadi-hasira-zako-zotee-ziishe-afu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-moja-lia-kwa-nguvu-hadi-hasira-zako-zotee-ziishe-afu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

203
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest