Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Barua ililetwa na baada ya wiki mahari
Gonga94 · Stories

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan ibada pekee ndio msaada wangu, kipindi hiki nilikuwa mchamungu sana, kuswali na kufunga suna vilikuwa ni kawaida kwangu nilikuwa nafanya hivi kuomba bahati mungu alioniletea isije ikatoka nikononi mwangu maan nilijikuta nampenda sana huyu lecturer maan kaja kubadilisha hatma yangu, na kuwa maji mara moja maharani ya mbeya niliacha, kila kituu kinabadilika ukiamuaa, nilikuwa serious san huu wakati sikutaka ujinga, kwanza mimi ni mchumba wa mtu

Kwa upande wa mama huku aliongea na wazazi wake, kuhusu jambo langu ila hata bibi na babu hawakukaza japo babu alikuwa mtata alilainika pia baada ya kueleweshwa sna, na walifurahi wakasema watakuja karibu na harusi maan ilipangwa mwezi wa 11 harusi yenyewe nilifurahi kwamba itakuwa kwa mara yangu ya kwanza nawaona babu na bibi yangu wazi nilifurahi mno jamani, ila ilitupasa tuhame pale na kutafuta nyumba kubwa ya vyumba vinne ili mimi niwe nalala peke yangu, Famrish Peke yake, mama na mwanae Hemed na kile waje bibi na babu dada zake mama watagawana mmoja atalala na mimi na mwengine atalala na Famrish maan kwao. Walizaliwa watatu na mama ndio alikuwa wa mwisho kwa wote tulifanikiwa kupata hyo nyumba kwa msada pia wa mume wangu mtarajiwa tulihamia pale na tarehe za harusi yangu zilikaribia hivyo bibi babu na mamawakubwa walikuja huku Dsm kutoka huko mkoani, na mimi nikaanza kukaa ndani natawa maaan niliomba ruhusa kazini saa kipindi hicho ni mwezi wa kumi sasa, na hapo mawasiliano ya mimi na mume wangu mtarajiwa yalikata kabisa maan alikuwa hanipigii simu nilimshirikisha na mama, mama alikuwa kama anakata tamaaa ila tulijipa moyo maana kashatoa mahari na aache kuja itakuwa sio kweli

Hii siku nimekaa zangu ndani nimetulia nikashangaa sms imeingia kwenye simu yangu. WhatsApp namba ngeni ila niliifahamu kama ni ya Sam maan kipindi nilibadili na laini yangu kabis sms ilingia inasem hivi Asmy kwa akili zako unahisi huyo mwanaume atakuja kwenye harusi hebu sahau hilo umeshasahau lililotokea by Sam ile sms ilinitisha na sio hiyoo na ile video ilitumwa piaa nilizidi kuogoap jamani hapo nakumbuka bado wiki mbili tu na ndoa yangu ifungwe na nishaalika kila mtu pale mtaani jamani mh hapana, nilimshirikisha na maama, mama yangu aksema nipotezeee nisiweke kichwani, bwana harusi atakuja tu usiwaze muda huo Khalid hata sina mawasiliano naee nampigia simu zangu haokoti jamani nilichoka mimi, nilijiblock kabis ile na namba ya Sam

Na kweli siku ya harusi ilifika, nishapambwa namsubiria bwana harusi kwani anatokea jamani nilijisi kama nife mpaka jioni mtu hajatokeaa nilibaki kama nimeduwaa jamani hii haikuwa sawa nilikaa kimya mpaka asubuhi bila kuongea na mtu yoyote nyumbani nimejifungiaa mlangoo, maaan huu mdhaliliko ni mkubwa kuliko hata Alioufanya Sam ni wanajua watu wa chuo tu sasa huu ni hadi watu wa mitaani wote wanaelewa na bado ndugu zangu jaman hapana nilihisi ule mkosi wa mama yangu umekuja kwangu,

Huku nje bibi na babu wakaanza kumgombeza mama kumwambia etty hata kwangu yamekuwa yale yale yaani mama ni anamukosi walikasirika sana maan waliumbuka mno maan na wao

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

889
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest