Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA*  Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
Gonga94 · Stories

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mbali na frank, nikajikuta nilishindwa ata kumkumbatia na kwa sauti ya utulivu nikazungumza.

"Unaniumiza"

Frank akaniachia kwa haraka kisha akaniuliza

"Oooooh pole kwani Bado unaumwa au ?"

"Niko Sawa"

Nilijibu kisha nikasogelea meza yangu na kukaa na kuanza kupitia kazi zangu

"Naona Sina kazi Mpya na Leo ni jumatatu"

Nilimwambia frank.

"Aaah usijali kazi zako zote za Leo nilikufanyia Jana na Leo jioni nitafikisha sehemu husika"

Alijibu frank Tena kwa kunichangamkia sana, Yaani frank alikuwa ni wa tofauti sana sio frank. Yule kauzu, Yaani alikuwa ni frank Mpya kabisa sio Yule ambaye ata salamu yake ilikuwa ni shida kubwa sana kuipata

"Sawa Asante unaweza kunitumia hivyo hivyo ili nipate kuipitia kidogo"

"Bila Shaka Malkia wangu"

Alijibu frank na Kuwal kwenye meza yake.

Ili neni Malkia wangu lilinishtua kidogo na kunifanya nimuangalie frank ambaye alikuwa amechangamka sana na kuonekana Kuwa ni mtu kwenye furaha sana.

Kwa upande wangu nilihakikisha Kuwa nafanya shughuli zangu tu pasi na kumfikilia frank ambaye amenivunja sana moyo wangu baada ya kunipatia maneno machafu siku ambayo niliamua kunipatia mwili wangu..

Muda wa kwenda Nyumbani ulifika na nilikuwa wa kwanza kuondoka, Yaani kitendo cha muda tu kufika nilinyanyua kila kilichokua cha kwangu. na kuondoka pasi kumuaga mtu yeyote Yule.

Ikiwa ni Majila ya Saa 2 nikiwa chumbani kwangu, simu yangu iliita na nilipoangalia Namba ilikuwa ngeni kabisa, nikaiangalia kwa muda kisha nikapokea na kuzungumza.

"Hellow, naongea na Nani ?"

"Hatimaye umepokea simu yangu, me frank Nipo nje hapa kwenu unaweza kutoka tukazungumza

Kwanza nilishtuka sana kisha nikasogea dilishani kwani chumba changu kipo juu hivyo. Nina uwezo wa kuona nje na kweli Nilimuona. frank akizunguka getini kwetu.

"Umekuja kufanya nini frank ?"

Nilimuuliza kwenye simu uku nikimuangalia.

kupitia dilishani,

"Naomba utoke nje tupate kuzungumza please"

"Tutaongea kesho kazini me siwezi kutoka nje"

Nilijibu na pasi na kusubili jibu lake nikakata simu na kwenda kujitupia kitandani na kujikuta nikiwa ni mtu Mwenye furaha sana baada ya kuona Kuwa frank amekuja Nyumbani kwetu.

Baada ya muda nikanyanyuka na kusogelea dilishani na kuangalia lakini sikumuona Tena frank pale getini.

"Kwahiyo ameondoka kweli"

Nilijiuliza kwa huzuni kabisa, muda huo huo dada yangu akaingia chumbani kwangu na kuniambia.

"Kuna mgeni wako sebuleni"

"Mgeni?" Nilijikuta Nikimuuliza dada yangu kwa mshtuko wa hali ya juu.

"Ndio ni mkaka, yuko na baba hapo anakusubili"

Yooooh nilijikuta nikianza kutetemeka Yaani mwanaume amekuja Nyumbani kwetu na amakutana na baba yangu nyie baba yangu uwa apendi kabisa haya mambo.

"NAKUJA"

Nilijibu uku nikiwa na wasiwasi sana, Yaani frank ndio ameamua kabisa kuingia Ndani.

Basi nikajiweka vizuri pale kisha huyo nikatoka nje na kwenda kuonana na frank ambaye nilimkuta akiwa sebuleni akiwa amekaa na baba

yangu.

"Frank Karibu sana"

Nilimkaribisha kwa kumchangamkia sana.

"Asante"

"Baba huyu ni frank ni boss wangu pale ofisini"

Niliamua tu kujiami mbele ya baba yangu kabla ajaanza kuniuliza maswali ambayo yangekuwa magumu sana kwa upande wangu

"Yaaah najua ameshaniambia, sasa mwendelee na maongezi yenu Mimi Nipo chumbani"

Alizungumza baba yangu kisha akanyanyuka na kuondoka.

Kitendo cha baba yangu tu kuondoka. nikamshika frank mkono kwa nguvu na kumkukusa mpaka nje.

"Umekuja kufanya nini hapa?"

Nilimuuliza nikiwa nimeshapaniki.

"Nilikuwa sina ata plan ya kuja Nyumbani kwenu lakini ni wewe ndio umetaka Mimi niweze kuja kwenu"

"Una maanisha nini? Achana na hayo kwanza shida yako nini? Yaani unataka nini?"

"Anaya Mbona Kama uko na hasira sana kuna kosa nimekufanyla?"

Frank aliniuliza, nikimuangalia kwa hasira sana na kumjibu

"Hapana ni life style yangu Mpya tu, Sema shida yako Kijana

"Naitaji tuzungumze kiundanı sana, tunaweza tukatoka mbali na hapa ?"

"Mbali na Nyumbani kwetu ili ukapate muda mzuri wa kunidhalilisha si ndio ? Frank, najua Ndani ya siku hizi ambazo tumeishi mambo. Mengi sana yametokea na kwa sasa nafikilia tufanye Kama historia tu na kila kitu kiendelee"

"Kwanza kabisa Nimekuja kukuomba msamaha kWa kila kitu"

Nilijikuta nilianza kucheka kisha nikamuuliza.

"Yaani wewe frank uniombe Mimi msamaha?"

"Ndio na nafanya yote kwakuwa nimeshaona siwezi kuishi bila wewe anaya nakupenda. sana...

Nika......

Maoni

You're not logged in


profile
majario 04 Dec 2025 05:01
😭😭😭
profile
majario 04 Dec 2025 05:00
Tuombeane vita hii ni nzito sana 😭😭😭
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka

mbali na frank, nikajikuta nilishindwa ata kumkumbatia na kwa sauti ya utulivu nikazungumza.

"Unaniumiza"

Frank akaniachia kwa haraka kisha akaniuliza

"Oooooh pole kwani Bado unaumwa au ?"

"Niko Sawa"

Nilijibu kisha nikasogelea meza yangu na kukaa na kuanza kupitia kazi zangu

"Naona Sina kazi Mpya na Leo ni jumatatu"

Nilimwambia frank.

"Aaah usijali kazi zako zote za Leo nilikufanyia Jana na Leo jioni nitafikisha sehemu husika"

Alijibu frank Tena kwa kunichangamkia sana, Yaani frank alikuwa ni wa tofauti sana sio frank. Yule kauzu, Yaani alikuwa ni frank Mpya kabisa sio Yule ambaye ata salamu yake ilikuwa ni shida kubwa sana kuipata

"Sawa Asante unaweza kunitumia hivyo hivyo ili nipate...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-saba-kwakuwa-nilikuwa-na-mihasira-yangu-na-tayali-j-nikishaamua-ku

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-saba-kwakuwa-nilikuwa-na-mihasira-yangu-na-tayali-j-nikishaamua-ku
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest