Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 𝗑𝗗𝗒𝗔 𝗬𝗔 π— π—π—˜π——π—” 𝗑𝗔 𝗠𝗨𝗨𝗭𝗔 π—©π—œπ—§π—¨π— π—•π—¨π—” *1 - - - - - - - 5* SEHEMU YA 1 MWANZO.......... "Basi ndo hivyo shoga angu. Yule bwana wangu mzungu amekuja yupo Zanzibar
Gonga94 Β· Stories

𝗑𝗗𝗒𝗔 𝗬𝗔 π— π—π—˜π——π—” 𝗑𝗔 𝗠𝗨𝗨𝗭𝗔 π—©π—œπ—§π—¨π— π—•π—¨π—” *1 - - - - - - - 5* SEHEMU YA 1 MWANZO.......... "Basi ndo hivyo shoga angu. Yule bwana wangu mzungu amekuja yupo Zanzibar

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
huko ananisubili mimi tu" Suzan shoga angu aliongea hayo nikabaki namshangaa tu huyu vipi amechanganyikiwa au.

"Wewe ujue unaongea kama vile umechanganyikiwa?"

"Na nimechanganyikiwa kweli shoga acha tu. Siamini kama naenda ulaya na mie ujue. Kimasihara masihara nasepa bongo hivyo"

"Wee Suzy si unaolewa jumamoss na mjeda khaaaa! Ulaya tena unafuata nini unaota wewe eeeeh!"

"Hivi mfano ndo wewe ndo mimi. Unaambiwa uchague moja, kuolewa au kwenda ulaya na huko unauhakika wa ndoa bia maana wazungu sio vigeugeu kama waafrika wakipenda wanapenda kweli. Wee ungechagua kipi hapo?" Suzy aliniuliza. Kabda ya kumjibu nilimtazama kwa sekunde kadhaa nilijua ni kiasi gani amedata.

"Ningechagua kuolewa" nilimjibu Suzy.

"Aiiiiih! Basi kaolewe wewe shoga badala yangu. Yaani kwanza nimefurahi umejoosha jibu haswaaa sema si unajua rafiki yangu kila mtu na machaguo yake. Nakuachia mjeda kiroho safi"

"Suzy unaongea nini mbona sikuelewi leo, kwani umekunywa pombe au. Ujue umebakisha siku mbili tu uolewe na Meck"

"Nimebadili maamuza na wala sijalewa mimi. Gonna nimebadili tu naamuzi nineona ni bola kwenda ulaya nikaolewe na mzungu kuliko kuolewa na Meck. Mwanaume mwenyewe kwanza ni pasua kichwa haswaaa! Si unajua tabia za wajeda lakini?"

"Lakini sidhani kama upo sahihi na hayo maamuzi yako, hivi unawezaje kusema umeghahiri kuolewa na bado siku mbili tu ndoa ipitr. Vipi kuhusu familia yako?"

"Mama anajua kila kitu yupo upande wangu"

"Amekubali?"

"Hawezi kunipinga chochote nikiamua umesahau kuwa mimi ndiyo naiendesha familia yangu kimaisha. Baba yangu ni mlevi kupindukia hajali chochote kuhusu familia, mie ndo nikadange watu familia ile. Sasa watanipingaje".

"Sikia Ginna!, tuongee sasa ishu serious". Nilitega vizuri masikio yangu kumsikiliza Suzy.

"Nataka wewe ndo uolewe badala yangu mimi, shoga angu na wewe upate bwana wa maana uachane na hao vinuka mkojo"

"Wee mtu leo hata sikuelewi unaongea habari gani. Yaani mimi niolewe na Meck badala yako. Wee Suzy upo timamu kweli au ndo umeanza kuchanganyikiwa mdogo mdogo kwanza inawezekana vipi bwana ako anioe mimi atakubali na anavyokupenda kama mpu.....mbavu.

"Wee niambie kama upo tayari kuolewa au upo tayari kufa masikini maana watu wengine mmezaliwa mkiwa na fungu la kukosa. Mateso mwanzo mwisho mpaka kifo"

"Umeanza kunikwaza sasa?"

"Sasa mtu unataka mwenyewe kuteseka na Hisia na bado maisha yakutese si kujitakia huko. Shoga angu katika maisha ya sasa kupata ni kuchagua ulitambue hili. Ukiwa mjinga mjinga magorofa utayaona tu kwa mbali ila hutowai kuyafikia wala kukanyaga ardhi yake"

Suzy ana maneno makali nyie acheni tu. Nikajisemea moyoni "ila ukweli unauma na mchungu haswaaa, huyu mb.....wa yupo sahihi kama nitachezea bahati basi nitakufa masikini.

"Shoga unawaza nini, eeeeh basi nakupa siku moja unipe Jibu kamili kama itashindikana nitafute mtu mwengine"

"Hivi Suzy upo serious kweli au unatania?"

"Wee unaona na hata repe la utani hapa. Ebu nitolee umasikini wako huko. Yaani niache pesa nje nje huko mambele kisa kuolewa bongo, bongo yenyewe majanga kibao, pesa ngumu kama jiwe kuu la pembeni".........nilibaki nacheka tu kwa maneno ya SuzyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Shoga angu huyu ni kweli sijui ana bahati maana kwa muonekano wake wala sio wa kuwapagawisha wanaume kabisa alafu ni mswahili mpaka mswahili tena na zaidi anamdomo yaani anaongea, anachamba, anashushua, haogopi mchawi wala polisi, wavuta bangi ndo mashaji zake balaa huko mtaani wanamuita kiboko yao.

Niliondoka nyumbani kwa kina Suzy nikiwa nimepewa masaa 24 yaani siku moja tu, nipeleke jibu kama nimekubali au laaah!

" Wee Regina, ebu toka humo ndani njoo unashangaa nini mboga yenyewe ndogo utakula ugali mkavu jirembe tu huko" mama alipaza sauti walipokuwa kibarazani wanakula kwa mtindo wa kisinia.

"Ameshiba huyo muache bhana mama unambembeleza wa nini, kwani hajaona tulivyokuwa tunatenga chakula, si ametupita hapa tunatenge akaenda chumbani" mdogo wangu Tinna alizungumza.

Na nikifanya masihara nitakula ugali mkavu kweli, ila aiiiiih bora nikubali tu kuolewa na huyo mjeda. Maisha gani haya ya kugombania mboga". Niliyasema nikatoka chumbani kuwai mboga kabda haijaishaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒ............

ITAENDELEA...........
SEHEMU YA 2
ENDELEA.......
Nijiwai mboga kabda haijaisha. Tuliendelea kula huku tunapiga story za hapa na pale.

"Hivi mfano mkisikia nimeolewa gafla tu bin vuu! Na tajiri si mtafurahi sana maana mtakuwa mnakula nyama humu ndani kila siku mpaka zitawakinai" nilijiongelesha.

"Mmmmh" Wote mama na wadogo zangu waliguna.

"Unaolewaje na tajiri na huyo sijui black boy, mvuta bangi wako unamuachia nani. Wewe kula ugali ushibe usishibe ukalale hizo ndoto zako za mchana usituletee hapa" mdogo wangu anayenifuatia aitwae magrety aliongea hayo.

"Kwaiyo mnavyonipinga inamaana mnayakubali haya maisha ya umasikini si ndiyo?"

"Wee Regina ebu bhana tuache tule kwanza au umeshiba wewe" Mama aliongea.

"Mama nilikwambia huyu ameshiba muache si unaona kaja kutukombea mboga tu hapa na story zake za kuakisi" Tinna alilalamika.

"Basi niwape taarifa tu kuwa kesho kutwa naolewa na mwanaume tayiri pesa sio shida zake. Na hizo nyama mtaendelea kuzisikia maana mshajikatia tamaa na maisha, subilini mzee masu mzee masu akiludi huko Singida awaletee uyoga maana ndo nyama yenu hiyo". Niliongea hayo wote waliangua kicheko hawakutaka hata kunisikiliza tena.

Kabda ya mboga kuisha nilinawa mikono huyo nikaingia ndani. Waliangua kicheko cha kufa mtu huku mama akiongea.

"Tulipokuwa tunakwambia usome uje ukomboe hata familia yako wewe ulituona sisi wajinga leo hii unaongelea utajiri gani. Komaaa na kupika vitumbua ujimpatie wa hazi yako. MUNGU mwenyewe anasema nakupa wa kufafana na wewe" Mama aliongea basi hao wadogo zangu mbavu hawanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Walichekaaaaaa mpaka wakapaliwa.

"Na nipo tayari kuolewa na huyo mjeda. Ngoja nitawashangaza hawa masikini jeuri na hawatoamini" niliongea hayo na muda huo huo nilinpigia Suzy.

"Eeeh niambie shoga angu?"

"Shoga nipo tayari na hiyo ndoa mie"

"Eeeeeh mambo si ndiyo haya bhana" Suzy alifurahi balaa. Basi tulipanga kesho yake tukutane kwaajili ya mipango.

"Weee! Unalala mpaka saivi unaumwa au?, wateja wako wamekufuata?" Mama alikuja kuniamsha chumbani majira ya saa moja kasoro asubuhi.

"Waambie leo vitumbua hakuna?"

"Hupiki?"

"Ndiyo, mama bhana nimechoka niache nipumzike mie. Kawaambia leo sijapika vitumbua"

"Ungebandika hata bango hapo nje ya mlango. Ndo nini kunisumbua mie, watu wanagonga mlango kama hawana akili nzuri"

"Kawafukuze na uwaambie kabisa kuanzia leo hapa hakuna vitumbua tena".

" Khaaaaa! wee Ginna wewe upo ndotoni au. Ebu amka amka ukae kwanza nisije kuwa naongea na mtu anayeota"

"Mama bhana nini lakini"

"Mji..nga wewe nimekwambia amka" Mama alifoka kwa sauti. Wadogo zangu nao waliamka maana tulikuwa tunalala wote chumba kimoja na kitanda kimoja.

"Kuna nini asubuhi asubuhi makelele tu na nyie khaaa!" Magrety alilalamika huku anajinyoosha kwa uchovu.

"Si huyu dada yenu anasema sijui hapiki tena vitumbua kuanzia leo"

"Sasa mama ndo iwe vita, makelele mpaka nyumba ya tatu huko wanasikia. Muache kama hataki kufanya kazi si maisha yake?" Tinna aliongea.

"Wee mpu....uzi nini. Unafikiria kama dada Yenu nae ataacha kufanya kazi nani atanisaidia kuwalisha. Hamjui hata kuleta unga wa ugali nyumbani nyie kazi yenu kununua mawigi ya ki shumileta tena na nguo za twende na wakati. Hamna huruma na mimi kabisa"

"Eeeeeh mama basi yaishe na wewe, hela zenyewe hatuna tutatoa nini sasa alafu mimi last born jamani" Tinna aliongea. Mama alimkata jicho.

"Mage kawaambie wateja vitumbua leo hakuna mpaka kesho ili watawanyie hapo nje"

"Si leo tu. Awaambie nimeacha kabisa kupika vitumbua. Wakatafute sehemu nyengine"

"Heeeeee!" Wadogo zangu walishangaa. Mama hakutaka kuzungumza chochote tena. Alitoka chumbani kwangu alienda kuwaambia wateja vitumbua hakuna.

Sms iliingia kwenye simu yangu kutoka kwa Susy.

"Saa nne asubuhi tukutane kwenye mgahawa wa mama papa pale tupate na supu ya mwisho mwisho shoga angu"

"Nilitabasamu tu baada ya kusoma ujumbe wa Suzy. Niliamka kitandani nikaanza kufanya kazi za home. Wadogo zangu wamelelewa kimayai hawajiwezi kwa kazi kabisa.

"Mama hawa wanao umewalea vibaya, leo hii mimi nipo hapa kesho sipo utaisoma namba nakwambia"

"Sasa mimi nifanyaje na watoto wenyewe ni wa bishi jamani, usinilahumu"

"Jiandae tu lolote linaweza kutokea" Niliyasema alafu nikaendelea kuosha vyombo...............

ITAENDELEA...........
SEHEMU YA 3
ENDELEA.........
Saa nne asubuhi tulikutana na Suzy kwenye mgahawa wa kishua wa mama papa. Tuliangizia supu ya kongoro na chapati.

"Kula jigalagaze leo shoga angu yaani kunywa supuuuuu weeee! Suuza hilo koo, tumbo,kongosho mpaka maini nataka hii siku iwe kumbukumbu nzuri sana kati yangu na wewe"

"Naona leo umeamua kujimaliza yaani wee Suzy wakunipa uhuru mimi wa kula nitakavyo na ulivyo mbahili mmmh"

"Ndo maana nakwambia hii siku itakuwa kumbukumbu nzuri kati yetu. Ujue kesho asubuhi naondoka?"

"Yaani nimekubali ila hata siamini ujue wee mb....wa"

"Hahahahaaaa! Maisha nishayapatia mwenzio"

"Kwakweli naona haya mie. Ila naogopa huyo mjeda mwenyewe umemwambia au?"

"Kumwambia kuhusu nini, huyu mjin.....ga hajui chochote na hatakiwi kujua kwa sasa mpaka pale mtakapofunga ndoa. Wee usiogope bhana, Meck hana shida na ni mpole sana sema ni silent Killer"

"Ukimaanisha ataniua au hiyo Silent Killer vipi mmmh"

"Hawezi kukuua na wewe unakubalije kufa kizembe tu mtoto wa uswahilini wewe acha kuzubaa, yaani Ginna umekaa kijinga jinga mpaka unaniboa ujue. Ndo maana unapata mabwana masikini wanazidi kuuchakaza usichana wako. Wewe ni mzuri haswaaa! Kama ungeutumia uzuri wako kama fulsa basi saivi ungekuwa mbali sana".

" heeee! Usianze kunisimanga na supu yako nitakususia. Niambie kusema huyo mjeda wako Silent Killer ndo una maana gani"

"Ususe hii supu ukafe na njaa, subutu uone kama utakuja kuipata tena kirahisi hivi. Namaanisha Meck ni ma...la....ya wa chini chini yaani anakula mademu kimya kimya so usiogope".

"Mmmmmh nipe moyo ila na mie yakinishinda nitakimbia hata kijijini kwetu huko singida"

Basi tuliendelea na mipango itakavyokuwa hiyo harusi. Suzy alinihakikishia mama yake atakuwa bega kwa bega na mimi na sio mama yake tu familia yake kwa ujumla.

Baada ya kunywa supu tulienda matembezi , hapo Suzy ananiambia ndo tunaagana mala ya mwisho mwisho hiyo kesho mie ndo bye bye.

"Nitakuachia laini zangu zote kesho kwaajili ya kuwasiliana na mjeda, mie nishasajili laini mpya".

"Ni sawa".

Tuliludi matembezi tukapitia tena kwa mama Papa majira ya saa moja usiku. Tulikula tena msosi wa maana.

" tufungie chips kuku, fanya kama kisinia cha elfu 30 tunaondoka navyo" Suzy alimwambia muhudumu. Nilibaki namshangaa tu.

"Nataka uwapelekee home kwenu"

"Heeeee!" Nilishangaa wazi wazi mpaka watu wa karibu nao walinishangaa pia.

"Wee leo umelogwa au" Nilimuuliza Suzy maana shoga angu huyo anasifika kwa ubahiri hata mchaga ana nafuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

"Ebu acha ushamba na wewe ona mpaka watu wanatushangaa". Nikatuliza komwe langu.

Nilifika nyumbani saa mbili usiku na mfuko mkononi. Hawakuamini kama nimewaletea chips za kula na kusasa pamoja na kuku mzima.

" Wee Ginna wewe hela ya kununua mazaga zaga yote haya umeitoa wai na leo haujapika vitumbua na najua huyo muhuni wako hawezi kukupa hata elfu 10 tu. Usije kuwa unataka kututoa kafara wee mtoto maana watoto wa sikuizi mmejawa na tamaa ya kutaka mambo makuwa ambayo hamna uwezo nayo"

"Bhana wee bi mkubwa tatizo unaongea sana, kama kula kama una njaa na kama umeshiba pia acha".

" kwanza kwa mazaga zaga haya tunashibaje hata kama nimeshiba nitakula mpaka nijinyee kikubwa viishe tu wee vitu vyenyewe hivi adimu humu ndani nibakishe nimuachie nani" Tinna aliongea.

"Kwanza mie hata akitaka kunitoa hiyo kafara na msosi huu anitoe tu lakini siwezi acha kula halooooo! Nikanawe mie niwai paja". Wadogo zangu hao ni chenga yaani uswahili umewaharibu sana".

Mage alienda kuchukua maji ya kunawa na akanawa huko huko ili awai paja πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila bahati haikuwa kwake. Alimkuta Tinna anamalizia paja la pili yaani alianza kula hata bila ya kunawaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.......

ITAENDELEA.............
SEHEMU YA 4
ENDELEA..........
Mage analudi na maji kwenye bakuli anamkuta Tinna anamalizia paja la pili. Ugomvi ukaibuka.

"Nyie gombaneni mkimaliza hamtakuta hata mfupa" mama aliongea. Kusikia hivyo waliacha kugombana wakaanza kula.

"Ila Regina unanishangaza ujue wee mtoto?"

"Na bado nitawashangaza sana mama wee subili utaona. Yajayo yanafurahisha. Mie nipo chumbani".

Nilienda chumbani niliwaacha wanakula kwa kufukuzana kama vile mashindano ya mbio.

"Tunakula tu na hatujui vimetola wapi?"

"Mie nashangaa mama umepagawa na hivi vitu, mbona ni vya kawaida sana hata mimi kwa kujibana vi pesa vyangu naweza kuwalisha kwa wiki mala moja" Mage aliongea.

"Mb....wa weee hununua hata mafuta ya kula ya mia tano kwa pesa yako hujawai unaongelea vitu vya elfu hamsini sijui huko utaweza. Tena nyamaza usinipandishe kisukari wee mtoto" Mama aliongea kwa hasira.

"Basi jamani yaishe eeeeeeh!. Dada Mage na wewe punguza mdomo" ukimya ulitaeala kila mmoja akawa busy kufakamia chips kuku.

Saa mbili asubuhi nilikuwa nyumbani kwa kina Suzy.

"Kesho ndoa Saa tisa mchana. Yaani bila mzungu wangu kesho ningeufunga huu mtaa nakwambia"

"Uliipania sana unanishangaza jinsi ulivyobadilika gafla.

Ebu subili kwanza. Mzungu wangu ananipigia hapa Video call. Baada ya kumaliza kuongea na mzungu wake alianza kuruka ruka.

" kulikoni?"

"Huwezi amini bwana mzungu ameninunulia iPhone 17 uwiiiii! nitakufa kwa raha mimi'

" watu na bahati zenu".

"Kwakweli watu na bahati zetu sura hata mbuzi anayo, ila shoga na wewe ndo bahati yako hapo kwa mjeda unatakiwa kucheza kama pere asikuache. Yaani akupende mpaka anisahau mimi. Japo sidhani kama anaweza kumpenda mwanamke mwengine tofauti na mimi?"

"Kwanini unasema hivyo au ulimpa limbwata?"

"Walaaaaa! uchawi na ushilikina ndo kitu siwezi kwenye mapenzi maana sio mambo ya kudumu. Hata wewe nakushauri usije ukamloga mwanaume ili akupende shoga utaula wa chuya nakwambia".

"Mjeda alinipendea shoo yangu kitandani nipo kila engo, mipinduko, misamba, beki, salalasi, komfuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, niache kwanza sitaki kucheka mie"

"Aiseeee kumbe ndo unatumikaga vibaya hivyo haloooo! Bola kuolewa na maskini mwenzio mwenye utu. Ujue kuna style nyengine hata sijui tutamueleza nini sir God maana balaa tupu. Mie najua style iliyohalalishwa ni kifo cha mende tu" Niliongea hayo aiseee Suzy alicheka mpaka aliachia mashuzi 🀣🀣🀣🀣.

"Ndo nini sasa. Inamaana naongea ujinga au?"

"Kuna muda huwa nahisi huna akili vizuri, yaani umekulia uswahilini ila umekaa kishamba zana Ginna" aliongea hayo alafu akaendelea kucheka.

"Basi tuachana na hayo maana tunapoelekea sio kabisa" Niliongea kwa makasiriko.

"Ndo hivyo shoga mipinduko ndo iliyompagawisha huyu bwana mjeda ndo maana nasema kwangu hachomoki muda wowote nitakaomtaka nampata bila kutumia nguvu" Suzy aliongea hayo kwa kujiamini sana.........

ITAENDELEA...........
SEHEMU YA 5
ENDELEA.........
"Watu hawaogopi zambi ya kubinuliwa binuliwa na kuchokonolewa kama samaki jamani mmmh" niliongea hayo moyoni huku namtazama Suzy.

Jioni ya siku hiyo nilimsindikiza Suzy kivukoni kwaajili ya safari yake ya Zanzibar kwa bwana mzungu. Alinisisitiza sana nisimuangushe na zaidi aliniachia pesa laki mbili.

Nililudi nyumbani baada ya kusalimiana na mama aliniuliza kuhusu biashara.

"Ndo umegoma kweli kuendelea na biashara?, maisha yameanza kuwa magumu na unajua kabisa wadogo wako hawana msaada wowote"

"Mtoto umleavyo nivyo akuavyo"Nilimjibu mama.

"Ni kweli wao sikuwalea kama wewe saivi ndo najua umuhimu wa kuwalea watoto kwa usawa. Usinilahumu mwanangu kwa hilo maana nilishakosea tayari". Siku hiyo mama aliongea kwa unyonge sana. Kitendo cha mimi kuacha kufanya biashara kilimuuliza sana.

"Sijui utajisikiaje baada ya kuyapokea majibu hayo kwa uhalisia japo nilishakwambia kabda ila na mimi nipo kwenye kujaribu bahati yangu" Niliongea hayo nilimuacha mama njia panda

"Una maana gani Regina".

" Shika hii pesa, ni laki mbili kamili. Hakikisha hii pesa unaitumia vizuri na itapendeza kama utaiongezea kwenye mtaji wako au kufikilia namna ya kufungua genge hapa nyumbani na sio kutembeza tena mtaani. Itumie vizuri hii pesa maana kwa sasa sina hela tena na sina uhakika wa kuipata pesa kilahisi"

Niliongea hayo kwa uchungu pasipo kutegemea nilianza kulia mbele ya mama.

"Shida nini binti yangu. Nisamehe mwanangu naelewa haya majukumu sio yako kabisa ila tutafanyaje sasa mwanangu bila kusaidiana na baba yako ni kama vile ametutelekeza anatupa pesa kwa kujisikia"

"Sina maana nalia kwasababu nimebeba majukumu yenu ila nalia je leo au kesho mimi sipo au nimepata shida kiafya maisha yatakuwaje hapa nyumban?. Nakupenda mama yangu na usije ukahisi kama nimewatenga au kuwatelekeza". Niliongea hayo huku nikiwa nalia 😭😭😭.

Kwa pamoja mimi na mama tulilia. Mage na Tinna walifika. Walishangaa kwanini tunalia.

" kuna msiba?" Mage aliuliza.

"Mb....wa nyie na endapo tukifa utakuwa machokora kabisa. Kutwa kuzurura tu mkiludi mnataka kula".

"Heee! Mama maneno gani haya looooh!" Tina aliongea.

"Hata sijui wamevulugwa na nini. Ebu tuwaache kama walivyo kwanza" Tinna na Mage waliingia chumbani.

Majira ya usiku tukiwa tunakula chakula huku. Siku hiyo tulikuwa kimya sana, kila mtu alikuwa anawaza lake kichwani. Nilivunja ukimya kwa kunzungumza.

"Kesho Suzy anaolewa"

"Naibariki ndoa yake wakadumu na mume wake" mama aliongea hayo.

"Hatutaenda kanisani lakini ukumbuni lazima tutinge. Tayari nishanunua wigi langu la laki mbili na kigauni changu weeeee! Mbona pambe tu" Tinna aliongea na Mage akadakia.

"Yaaani pambe haswaaaa! Kesho mambo lele leleeeee!" Nilikuwa nawatazama tu kwa zamu.

"Nasikia anaolewa na mwanajeshi tena captain kabisa?". Mama aliniuliza.

"Ndiyo mama"

"Mwenzio mjanja amepata mwanaume wa maana ila sasa wewe mwanangu ndo unaangaika na hawa vibaka wa mtaani wanakutia nuksi tu sijui hata utaolewa lini na sisi tucheze harusi tutunzwe jamani" mama aliongea hayo. Wala sikumjibu.

"Mama nae kwani hujui kama kuolewa ni majaaliwa alafu dada umri bado unamluhusu mbona ndo mwanza ana miaka 26 usimsimange bhana" Mage aliongea hayo.

"Wote nyie ndo wale wale. Nawaambia ukweli wala siwasimangi ila mtajijua wenyewe. Umri ukienda sana bila ndoa utaitwa pa....ka la bar, shauri zenu".

Wao wanaongea mie nawaza yangu. Niliona kama vile wananipigia makelele nilinawa nikainuka huyo chumbani.

"Kesho shoga ake anaolewa na simuone kuwa na heka heka yoyoye si ajabu hata nguo mpya hajanunua wala viatu. Kichwani ndo kama hivyo ana twende kilioni" Mage aliongea hayo wakaangua kicheko yeye na Tinna. Kwakuwa niliwasikia sikutaka kuwavungia nilisimama kwenye mlango wa chumbani alafu nikazungumza.

"Niangaike na nguo sijui maviatu na nywele ili iweje, wanaambia hamtoamini macho yenu kesho baada ya kuniona nipo ndani ya shela safi kabisa nikiwa nimependeza kama malaika". Niliyasema hayo nikiwa serious aiseee wote mpaka mama waliangua kicheko............

ITAENDELEA............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝗑𝗗𝗒𝗔 𝗬𝗔 π— π—π—˜π——π—” 𝗑𝗔 𝗠𝗨𝗨𝗭𝗔 π—©π—œπ—§π—¨π— π—•π—¨π—” *1 - - - - - - - 5* SEHEMU YA 1 MWANZO.......... "Basi ndo hivyo shoga angu. Yule bwana wangu mzungu amekuja yupo Zanzibar

huko ananisubili mimi tu" Suzan shoga angu aliongea hayo nikabaki namshangaa tu huyu vipi amechanganyikiwa au.

"Wewe ujue unaongea kama vile umechanganyikiwa?"

"Na nimechanganyikiwa kweli shoga acha tu. Siamini kama naenda ulaya na mie ujue. Kimasihara masihara nasepa bongo hivyo"

"Wee Suzy si unaolewa jumamoss na mjeda khaaaa! Ulaya tena unafuata nini unaota wewe eeeeh!"

"Hivi mfano ndo wewe ndo mimi. Unaambiwa uchague moja, kuolewa au kwenda ulaya na huko unauhakika wa ndoa bia maana wazungu sio vigeugeu kama waafrika wakipenda wanapenda kweli. Wee ungechagua kipi hapo?" Suzy aliniuliza. Kabda ya kumjibu nilimtazama kwa sekunde kadhaa nilijua ni kiasi gani amedata.

"Ningechagua kuolewa" nilimjibu...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ndoa-ya-mjeda-na-muuza-vitumbua-1-5-sehemu-ya-1-mwanzo-basi-ndo-hivyo-shoga-angu-yule-bwana-wangu-mz

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ndoa-ya-mjeda-na-muuza-vitumbua
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.74K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.59K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.38K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest