Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*  Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa
Gonga94 · Stories

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ushirikiano, kila akinibusu na mimi namrudishia. Tukazidi kupeana mpaka tukajikuta tuko kitandani tukiwa tulivyozaliwa

Nilikuwa tayari kufanya na Bishop! Na Hatukuwa tunajali kitu chochote, wala mtu yeyote. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufurala ile kitu na kuhisi kama niko peponi. Ndiyo hapo nikagundua nimeanza kumpenda Bishop.

Tulifanya mpaka tulipo ridhika kisha Akanikumbatia kwa nguvu akaniambia "Nakupenda, Nataka tuwe pamoja. Je utakubali kuwa na mimi ?....... Mimi ni mtu hatari, Polisi wananisaka na wanataka kunifunga. Nina maadui wengi alafu Nafanya kazi chafu na zisizo halali. Watu wanaserna sina huruma, sisamehi kirahisi, Naumiza watu na nina tabia mbaya nyingi. So je, utakuwa na mwanaume kama mimi? Kama hutaki kuwa nami, nitaelewa, nitakuacha uende. Lakini kama unataka kuwa nami licha ya yote hayo, nitafurahi na nitakupenda milele. Sema chochote nakusikiliza

Alinipa nafasi ya kumchagua au kumkataa. Na kama unavyojua, mimi nimekuwa na bahati mbaya sana kwenye mapenzi. Lakini Bishop alikuwa mtu wa kwanza kunionyesha mapenzi ya kweli, hata kama ni kwa siku moja tu.

Namna alivyonitazama, alivyonionesha wivu, alivyonipigania mbele ya Michael nilijua hii ndio nafasi yangu ya pekee ya kufurahia aina ya upendo ambao nimekuwa nikiutamani kwa muda mrefu. Nilikuwa tayari kuwa naye, hata kama polisi wanamtafuta au ana maadui kila kona.

Nikamuambia "Niko tayari kuwa na wewe. Sijali watu watasema nini. Cha msingi niko nawe na nina amani, basi!"

Alishindwa kuamini, Akanitazama kama vile mtu anayetaka kulia. "Wanawake wengi waliniacha kwa sababu ya vitu walivyosikia au walivyoona juu yangu. Nimeumia sana kwa sababu ya kuachwa au kusalitiwa. Ndio maana nilijizuia sana kuwa na mwanamke. Niliepuka hata kuwa na wafanyakazi wanawake, wala kufanya. biashara nao. Nilikuwa naogopa kuangukia mapenzi halafu mwisho wa siku niachwe! Kazi ninayo fanya Imenikosesha sana nafasi ya ku-enjoy mapenzi. Lakini wewe umebadilisha kila kitu. Nimefurahi sana kusikia uko tayari kuwa pamoja na mimi

"Niko tayari, lakini lazima nifanye kazi. Familia yangu Inanitegemea"

"Hilo halina shida. Nitakuwa natuma pesa kila mwezi kwa familia yako. Nitahakikisha wanaishi vizuri, na wewe pia uishi vizuri. Mimi niko tayari kukufanya uwe na furaha, nitapigania haya mapenzi kwa sababu nakupenda kweli"

Nikacheka & nikamkumbatia "Na wewe je? Unayo familia?"

"Hili tutaliongea jioni tukitoka dinner. Sasa hivi tuenjoy hii moment

"Ok! Ila utamuachia Michael aende?"

"Namna unavyoongea kuhusu ex wako wivu unani washa akakunja sura

"Najua lakini mwache aende. Sitaki kuishi nyumba moja na huyo mtu. Mwache tu aondoke"

"Sawa, nitamwachia" Tukaendelea kukumbatiana pale pale tukifurahia kila dakika.

Na kweli Bishop alimwachia Michael. Lakini kabla hajaondoka, alimwambia kwa ukali asinisogelee lasivyo atamvunja meno. Weeeh! Michael aliogopa vibaya sana. Alipotoka pale, alikimbia kama chizi. Nilifurahia kuona jinsi alivyo fundishwa adabu mpaka akakaa kwenye mstari.

Basi Jioni ile Bishop wangu alitaka tutoke outing kidogo Akaninunulia wig, gauni jipya na viatu. Nikajipodoa vizuri nikawa kama Malaika. Then tukaenda dinner kwenye hoteli nzuri sana. Tulikula, tukanywa, tukacheza muziki wa taratibu, halafu tukaanza kuongea.

Ndipo akanifungukia kuhusu familia yake. Akaniambia baba yake alimwacha akiwa mdogo sana, akalelewa na mama yake peke yake. Ila baadae mama yake alianza kuugua vibaya mpaka akashindwa kufanya kazi, Ikawa Bishop ndiye anatakiwa kutafuta hela za kuwatunza.

Kabla hajaanza kufanya kazi, aliwaza kurudi kwa baba yake kuomba msaada. Wakati huo baba yake alikuwa tayari ameoa mwanamke mwingine ambaye alikuwa mjamzito.

Bishop alipofika kumuomba baba yake, baba yake hakumsikiliza. Alimfukuza na kumwambia achague moja, aishi naye au akaendelee kuishi na mama yake mgonjwa.

Bishop akaamua kubaki na mama yake. Akawa anafanya kazi za mtaani kutafuta hela, lakini pesa haikutosha, Kodi, chakula, dawa vyote vilimaliza vijisenti alivyokua anavipata.

Hapo ndipo akaingia kwenye kundi la watu wanaofanya biashara haramu ambazo ni wizi, dawa za kulevya hata biashara ya silaha.

Siku moja alipata dili la kusafirisha silaha kwa ajili ya kupata pesa ya kumtibu mama yake. Alifanya kazi hiyo na akalipwa, lakini aliporudi nyumbani, akakuta mama yake amekufa. Ilimuumiza sana. Alilia na akamzika mama yake, kisha akabaki mwenyewe. Akakata tamaa ya shule, akaamua kuendelea na biashara hizo haramu.

Kwa muda akaendelea hivyo, hadi akawa na biashara zake mwenyewe. Akaanza kusaidia watoto wa mitaani. Kwaiyo Wale vijana wote tunaoishi nao pale nyumbani, wale ni watoto wa mitaani aliowasaidia.

Hata Tobias ni mmoja wao japo Tobias hakumuokota mtaani. Ndio maana wanamuheshimu sana, hawamgeuki na Wako loyal kwake. Alikiri kwangu kabisa kwamba bado anauza silaha haramu na mambo mengine, hakunificha kitu na mimi nilimuelewa.

Baada ya kumaliza kuniambia yote, alibaki kimya akiwa mwenye mawazo. Nikamkumbatia, nikamwambia "Nakupenda jinsi ulivyo. Asante kwa kuniambia ukweli wako Akafurahia, akanibusu.

Baadaye akaenda kuninunulia ice cream na vitu baadhi nilivyo vitaka ndipo tukarudi nyumbani tukiwa tumefurahia sana.

Nakuja........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa

ushirikiano, kila akinibusu na mimi namrudishia. Tukazidi kupeana mpaka tukajikuta tuko kitandani tukiwa tulivyozaliwa

Nilikuwa tayari kufanya na Bishop! Na Hatukuwa tunajali kitu chochote, wala mtu yeyote. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufurala ile kitu na kuhisi kama niko peponi. Ndiyo hapo nikagundua nimeanza kumpenda Bishop.

Tulifanya mpaka tulipo ridhika kisha Akanikumbatia kwa nguvu akaniambia "Nakupenda, Nataka tuwe pamoja. Je utakubali kuwa na mimi ?....... Mimi ni mtu hatari, Polisi wananisaka na wanataka kunifunga. Nina maadui wengi alafu Nafanya kazi chafu na zisizo halali. Watu wanaserna sina huruma, sisamehi kirahisi, Naumiza watu na nina tabia mbaya nyingi. So je, utakuwa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekoma-mimi-sehemu-ya-kumi-na-nane-basi-lile-busu-lilikuwa-tamu-sana-kama-chokoleti-yani-lilinipel

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekoma-mimi-sehemu-ya-kumi-na-nane-basi-lile-busu-lilikuwa-tamu-sana-kama-chokoleti-yani-lilinipel
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest