Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

❤️❤️ SHEMEJI INAUMA LAKINI TAMU😋  Sehemu ya pili  👉 Mke wangu niambie maiko ni nani mbona unalia unamtaje yeye?.  " Ni bwana....👇
Gonga94 · Stories

❤️❤️ SHEMEJI INAUMA LAKINI TAMU😋 Sehemu ya pili 👉 Mke wangu niambie maiko ni nani mbona unalia unamtaje yeye?. " Ni bwana....👇

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Bwana😭😭.

( Ikabidi nidakie kwa kumzuga shemeji)

" Bwana ametwaa tulia dada.

" Siwezi niacheni tu.

" Mke wangu kazi ya Mungu aina makosa sasa kunywa POMBE ndio nini acha mke wangu.

" Sawa naombeni mniache nilale kwanza.

" Sawa lala mke wangu.

( Dada alilala sebuleni shemeji alikaa na yeye pembeni kumlinda dada mimi nikaenda kulala chumbani uku najiuliza dada mbona anataka kufanya mambo ya ajabu kwenye ndoa yake ivi pale alitaka kusema maiko ni bwana ake inamaana ndio mapenzi yamemzidi mpaka anashindwa kuelewa hili baya hili zuri...nikawaza nikalala asubuhi shemeji ananiambia)

" Shem wangu naomba uende na dada yako uko kwenye msiba shika laki hii.

" Sawa.

( Moyoni nasema sijui na dada wameongeaje ila acha shemeji aende kazini nitamuuliza dada...kweli akaondoka dada akaniambia)

" Mdogo wangu acha niende kwa recho Nikamwambie kwanini anakubali kuolewa na shemeji yake.

" Dada mbona utakuwa unafanya jambo la aibu wewe muache tu aolewe ndio bahati yake.

" Hapana sio bahati wanaume akuwaona mpaka amchukue maiko na anajua fika mimi moyo wangu upo pale hapa nipo kwenye ndoa kumlizisha mama.

" Ila dada badilika mpende shemeji mbona yeye anakupenda.

" Upendo aulazimishwi mimi naenda mdogo wangu sikia shemeji yako si amekupa laki moja chukua elfu 40 na wewe kazunguke zunguke mjini uko saa 12 jioni uludi mimi naenda kwa recho nikimkosa naenda kwa maiko hapo chamazi mbali.

" Ila dada samahani naomba naomba tena twende tu kwa mama kumsalimia tukae mpaka iyo jioni turudi wote ila usiende kwa maiko wala kwa recho italeta picha mbaya kwenye ndoa yako yule recho anaweza akaja uku mbezi kukuharibia na wewe.

" Aje tu kuharibu mdogo wangu ilo lisikupe tabu unajua maiko kabadilisha namba nampigia simpati hewani acha nijiandae niende.

" Dada tuliza hasira.

( Akuweza kunisikia aliingia bafuni kujiweka sawa kwa safari ya kwenda chamazi...na mimi nikaingia choo cha nje kuoga fasta nia niongozane nae dada yangu siwezi kumuacha niende mjini nikikutana na shemeji si nitaonekana na mimi ni wale wale tu...kweli wote tukawa sawa Nikamwambia)

" Dada twende wote.

" Wapi?

" Unapoenda.

" Twende Ukaone timbwiri langu wewe ujui mapenzi yanaumaje nakuombea upate bwana unayemuelewa alafu mama akuzingue ukikurupuka utamchukia mama.

" Mungu aniepushe nimchukie mama yangu kisa mapenzi sizani labla nimchukie mama mkwe sio mama yangu mzazi.

" Twende.

( Kweli tulitoka tukapanda gali za mbagara kwanza tukaenda kushuka rangi tatu tukapanda gali za m-bande...tukashuka chamazi magengeni dada akaniambia)

" Hapa nachukua pikipiki moja kwa moja kwa maiko au nianze kwa recho nishauri.

" Twende kwa maiko.

( Kweli tulipanda pikipiki mshikaki tukawa tunaenda kwa maiko anakaa sehemu moja panaitwa jengo la yatima...tunafika kwa maiko nje ya mlango wake tunaona viatu vya kike na vya kiume dada akaniambia)

" Afadhari wote wapo ivi ni viatu vya recho mwizi wa wanaume za watu.

" Subiri Basi tufike ugonge hodi.

" Mdogo wangu ujakuwa wewe nigonge hodi mlango naona umesindikwa ule ujafungwa naingia mazima yani recho atanitambua.

" Dada sio vizuri.

( Akunisikia akaongeza spead ya utembeaji mpaka mlangoni akausukuma mlango akaingia mazima ndani sijui alikuta wanafanya nini nasikia sauti ya maiko)

" Amina ujinga gani unaleta kwangu unaingia pasipo hodi kwangu.

" Wewe recho nakuita mala mbili recho recho...

ITAENDELEA
Unajua Nini dada alifanya?
Au Nini kimetokea NUNUA simulizi USOME yote mazima.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

❤️❤️ SHEMEJI INAUMA LAKINI TAMU😋 Sehemu ya pili 👉 Mke wangu niambie maiko ni nani mbona unalia unamtaje yeye?. " Ni bwana....👇



Bwana😭😭.

( Ikabidi nidakie kwa kumzuga shemeji)

" Bwana ametwaa tulia dada.

" Siwezi niacheni tu.

" Mke wangu kazi ya Mungu aina makosa sasa kunywa POMBE ndio nini acha mke wangu.

" Sawa naombeni mniache nilale kwanza.

" Sawa lala mke wangu.

( Dada alilala sebuleni shemeji alikaa na yeye pembeni kumlinda dada mimi nikaenda kulala chumbani uku najiuliza dada mbona anataka kufanya mambo ya ajabu kwenye ndoa yake ivi pale alitaka kusema maiko ni bwana ake inamaana ndio mapenzi yamemzidi mpaka anashindwa kuelewa hili baya hili zuri...nikawaza nikalala asubuhi shemeji ananiambia)

" Shem wangu naomba uende na dada yako uko kwenye msiba shika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemeji-inauma-lakini-tamu-sehemu-ya-pili-mke-wangu-niambie-maiko-ni-nani-mbona-unalia-unamtaje-yeye

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemeji-inauma-lakini-tamu-sehemu-ya-pili-mke-wangu-niambie-maiko-ni-nani-mbona-unalia-unamtaje-yeye
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest