Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 3  ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Gonga94 · Stories

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na
rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita
kwenye masikio ya Kayoza na
kushindwa kuelewa inatokea wapi,
na cha ajabu sio Denis wala Omary aliyeweza kuisikia sauti hiyo....

_________________
MUENDELEZO
_________________
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,

"Sauti gani?" Denis aliuliza,

"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,

"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,

"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,

"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,

"Ndio maana ake" Omary alijibu huku akicheka.

Wakiwa wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila walikua nje ya sehemu husika.

"Sasa mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,

"Labda wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.

wakina kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,

"jaman twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,

"kwani hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,

" Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,

"We mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,

"Nini wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary aliongea huku akimcheka Kayoza,

"Huyu mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku akimtazama Dennis,

"Mzoeeni tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,

" sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,

"Mhm...mi hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,

"Mi naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,

"Bar tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,

"Bar hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,

" hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,

"Ahaa wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.

Walipofika wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,

"Kwa hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,

"Ebu subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,

"jamani eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,

"haina shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,

"Mhm, kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,

"Boy acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.

Baada ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.

Baada ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.

Ilipofika saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.

Stellah akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya
kwanza kunywa pombe.

Walipotoka tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza paka kitandani, alafu Stellah
chap chap akavua nguo kisha akawa
anamvua kayoza, huku akiamini hiyo siku ni moja kati ya siku bora kabisa ya kutimiza moja ya ndoto zake, kulala na mwanaume anayempenda.

Alitumia dakika
tano kukamilisha zoezi zima, kisha akapanda kikatandani na kuanza kumchezea Kayoza kimahaba, ila kuna hali aliiona, kila baada ya dakika moja mwili wa Kayoza uliongezeka ubaridi kiasi kwamba akawa kama chupa ya soda iliyotoka ndani ya friji.

Stellah aliliiona hilo ila alitaka kupuuzia kutokana na hamu zake za kimwili. wakati akiwa bado anaangaika, ghafla bin vuu kayoza aliamka mithili ya mshale huku macho yake yakiwa meupe na kiasi kwamba mboni hazikuonekana, macho yakawa
yanang'aa tena kama tochi, Stellah ndipo akapata mshtuko,

"Vipi tena Kayoza?" Stellah aliuliza huku hofu ikianza kumtawala, lakini kayoza hakujibu kitu na badala alitoa tabasamu moja la ajabu na kufanya meno yake yaonekane na kwa kasi ya ajabu yale meno yakaanza kurefuka na kuwa makubwa kama ya mnyama anayefahamika kwa jina la ngiri.

Stellah akiwa kama amepatwa na
mshango au bumbuwazi, alijikuta ameganda Pale pale kwa kihoro huku akiwa hana nguvu kutokana na tukio analoliona.

Mwishowe akajikaza na kuanza kujiondoa ndani ya shuka kwa lengo la kukimbia,

"Unaenda wapi usiku huu, huogopi kutoka nje na giza hili?" Kayoza alimuuliza huku akiwa katika hali yake ile ile,

"Naenda chooni mara moja" Stellah alijikuta anajibu bila kutegemea huku mwili ukiwa unamtetemeka,

"Nisubiri nikusindikize" Kayoza akaongea huku nae akiwa anashuka kitandani, Stellah akahisi ni bora kukimbia kuliko kumuamini huyo kiumbe wa ajabu. Akiwa anaanza kukimbia, Kayoza aliruka na kutua mbele yake, Stellah akataka kupiga kelele, ila alichelewa, tayari mkono wa Kayoza ulikuwa mdomoni kwa Stellah kumziba asipige kelele na huku mdomo wa kayoza ukiwa shingoni mwa Stellah na yale meno makubwa yalitumika kuung'ata mshipa mkubwa wa damu na Kayoza akaanza kuinyonya hiyo damu huku akitoa muungurumo wa ajabu uliosikika kwa sauti ya chini. Alipomaliza kazi ya kufyonza damu ya mwili wa Stellah, aliuachia ule mwili na kudondoka chini ukiwa hauna tena uhai, ndio ukawa mwisho wa Stellah, mwanaume aliyedhani wa ndoto za maisha yake ndiye mwanaume aliyempotezea ndoto za Maisha yake.

Kayoza aliuangalia ule mwili kwa dakika chache na yeye nguvu zikamuishia akapoteza fahamu na kuanguka chini pembeni ya mwili wa Stellah.

Asubuhi Kulipokucha, Kayoza aliamka huku akiwa na uchovu usio wa kawaida, ila alijishangaa akijikuta amelala chini huku akiwa mtupu hana nguo na pia alihisi mdomoni ana harufu ya damu ila alipuuza huku akiamini labda alijing'ata usiku, kitandani hakukuwa na mtu. Akapeleka mikono chini ili ainuke, hapo ndipo alipohisi amegusa mwili wa mtu, akapeleka macho yake Pale alipohisi amegusa mtu, ndipo alipoweza kumuona Stellah akiwa amelala tena akiwa mtupu na shingoni alikuwa na damu, hapo akashtuka, akajivika ujasiri na kumgeuza, akakuta alama ya meno kwenye shingo ya Stellah, Kayoza akajikuta anatema mate kutokana na zile alama za meno zilizotengeneza kidonda kikubwa shingoni kwa Stellah. Kayoza alipotema mate alishangaa kuona mate yake yametapakaa damu, akaona sasa hiyo kesi ni yake.

"mama yangu, kumeshaharibika hapa" kayoza aliongea baada ya kuhisi kuwa inawezekana Stellah amekufa na hakuna mwingine atayekamatwa zaidi yake.

Akaona njia sahihi ni kukimbia hakutaka kujua hata wenzake wapo wapi.

Akaamua kuvaa fasta ili
akimbie mule ndani kabla mtu yoyote hajajua tukio alilolifanya, mara akasikia
sauti ya mtu akigonga mlango,

*****ITAENDELEA******


Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah

na
rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita
kwenye masikio ya Kayoza na
kushindwa kuelewa inatokea wapi,
na cha ajabu sio Denis wala Omary aliyeweza kuisikia sauti hiyo....

_________________
MUENDELEZO
_________________
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,

"Sauti gani?" Denis aliuliza,

"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,

"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,

"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,

"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/simulizi-kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya-3-______________-ilipoishia-______________-wali

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi simulizi-kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest