Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳  Sehemu... kumi.  👉 Sahadini nisaidie...👇  Nipo kwenye hatari.
Gonga94 · Stories

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu... kumi. 👉 Sahadini nisaidie...👇 Nipo kwenye hatari.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


( Dk mbili namsikia yule mzee anakoroma uku anasema)

" Unaniua niache unaniua niache.

( Nilitoka nje nilimkuta mzee kakabwa na sahadini yeye akiwa na pembe pamoja na usinga kavaa kitambaa chekundu...sahadini ananiuliza)

" Nimuuwe.

" Usimuuwe mpe azabu.

( Alimnyanyua akamuweka juu ya paa alafu akamtoa kile kitambaa akabaki kama alivyozaliwa...akashuka akaniambia)

" Hapo ashuki mpaka wewe umwambie shuka na uache kuroga watu wasio na hatia.

" Sawa.

" Nilale niende.

" Wewe tu my unavyotaka.

( Nilijikuta naita my mwenyewe sio kwa kunifurahisha uku...alafu nikakumbuka kitu)

" My Samahani ivi wale wabakaji nani atakuwa anawaingilia?

" Wale awataingiliwa mazima ila watashikwa ishikwa makalio yao na mwenzangu mmoja nimempa iyo kazi kama Leo ameshikwa joji.

( Kidogo nistuke joji ila nikauchuna akaendelea)

" Joji ndio aliwatuma wale vijana wakubake kisa wewe umemkataa na vile vile ile chupi yeye ndio kanunua sasa kazi anayo atangaze au aendelee kutomaswa.

" Kumbe mwanaume ukimkataa anakuwa adui.

" Baazi sio wote acha niende my nina kikao kwetu.

" Sawa.

( Nililala asubuhi nasikia )

" Jamani sio vizuri kumchukua picha mstilini nyie wanaume.

" Muache akome alikuja kumroga uyu Bint kumbe Bint kwao ameaga uyu.

( Wamama wale walikuja kunigongea nikaamka)

" Naomba umuopoe mzee juu hapo anafedheeka kabla wanafunzi wa shule awajapita.

" Ngoja nikaoge nije kushangaa na mimi.

( Yani nimejibu kama mweu sijajua nilichoambiwa na wao wakaniacha...nikachukua maji naenda kuoga namsikia joji kaja amebeba chupi uko anamwambia pili)

" Hii chupi uliipeleka wapi pili unataka kunipa uanisi mimi kosa langu lipi.

" Joji kwani wewe ndio uliiba chupi angalia kwanza mganga aliyefanya kazi ya iyo chupi yupo juu wewe ushangai watu wamejaa hapa.

" Nishangae wakati nataka kufanywa hanisi.

" Hitupe tu iyo chupi.

( Joji akaenda kuitupa kwenye taka...akaondoka kumbe chupi imeenda kwa mbakaji mmoja asubuhi hii usingizi ukamchukua akaota anashikwa shikwa matako kama anaandaliwa aliwe anakurupuka amevaa chupi nyekundu...akutaka kunyamaza akaenda kwa joji kumwambia balaa la chupi....upande wangu Nikatoka kuoga watu ndio wamezidi kujaa....nikabadilisha nguo nia niende kwa mama kabisa kumsikiliza...ndio nikamwita yule mzee)

" Wewe toboa tobo.

( Ndio anazinduka anajiziba mbele kanitolea macho uku anakaa chini yupo juu akili zimemjia nikamwambia)

" Usije ukaroga tena watu wasio na hatia wewe ni mganga Fanya kusaidia watu maladhi na kuwatoa nuxsi za kishirikina na si kufanya unayoyafanya ulikuja kunikomesha sasa nakukomesha wewe ukome kuroga sio kila mtu ni mti wengine ni chuma sasa upo huru unaweza kushuka na kuendelea na maisha yako.

( Watu wananishangaa alafu mimi uyo naondoka zangu...mtaa mzima wakawa wananiogopa...mzee akarushiwa nguo akavaa ameinama chini amewekewa ngazi anashuka....mimi nipo kwenye pikipiki naenda zangu kwa mama nafika kwa mama ananiambia)

" Mwanangu nimeota ndoto Kari sana imenionyesha wewe unaenda kutolewa kafala.

" Na nani?.

" Mtoto wa tajili.

" Kwaiyo umemwambia baba.

" Yeye aamini kwenye ilo anasema utaolewa mimi naota ujinga sio kila ndoto ni kweli.

" Upande wangu mimi simtaki yule nimeona mapema ata gali alilokuja nalo hapa ni nyoka sio gali ila usimwambie baba ilo wewe simamia msimamo mimi siolewi.

" Sawa mwanangu nenda kwako asije baba yako kukuona hapa akakubeba kukupeleka kwa mtoto wa tajili.

" Sawa mama.

( Uku nasema kimoyoni mama ajui ninaye sahadini wangu yeye ndio kila kitu...nikaondoka zangu upande wa wabakaji yule mmoja wao alipoenda kwa joji alipomwambia mambo ya chupi yale joji akasema)

" Au yule Bint niliowatuma ndio anafanya yote aya maana kumbuka mlipigwa aliyewapiga amumuoni na sasa tunachezewa matako anayetuchezea atumuoni iyo chupi mimi niliitupa kwenye taka.

" Acha na mimi nikaitupe nione itaenda kwa mwengine.

" Sawa.

( Akaenda kuitupa na kama kawaida chupi ikaenda kwa mwengine mwendo ni ule ule....na yeye akaja kwa joji wakakutana...yani siku mzima walichezewa wote matako...wenyewe wakachukuzana wanakuja kwangu wakiwa na joji...mimi nipo zangu home nashangaa nagongewa mlango vidume vimepiga magoti vinaomba msamaha)

" Tusamehe amina atutarudia tena kwako na kwa wengine tunaomba utusamehe.

( Uku wameshika chupi mkononi na mimi nikawaambia)

" Mwenye chupi anakaa chumba kile sio mimi iyo Samahani mkaombe kule.

" Amina wewe ndio tumekukosea tunaomba utusamehe.

" Mmenikosea nini mbona namfahamu mmoja tu uyu Shemeji ambaye mwanamke wake ndio mwenye chupi iyo.

" Uyu uyu ndio alitutuma sisi tukubake ila atukufanikiwa.

" Kumbe ndio nyinyi aya wenyewe jipelekeni polisi nilikuwa nawatafuta nani kati yenu alinifunga kitambaa?

" Uyu hapa.

" Nani alikuwa ananiamlisha?

" Uyu hapa.

" Aya kwa usalama wenu wote nendeni wenyewe polisi mkaseme mmetumwa na mkatumika msipoenda mulichopata ni trela moves inakuja.

( Niliingia ndani nikawaacha wanawaza waende polisi au wakiwaza wameshikwa je kifatacho si kuingizwa)

Dah yani..

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu... kumi. 👉 Sahadini nisaidie...👇 Nipo kwenye hatari.



( Dk mbili namsikia yule mzee anakoroma uku anasema)

" Unaniua niache unaniua niache.

( Nilitoka nje nilimkuta mzee kakabwa na sahadini yeye akiwa na pembe pamoja na usinga kavaa kitambaa chekundu...sahadini ananiuliza)

" Nimuuwe.

" Usimuuwe mpe azabu.

( Alimnyanyua akamuweka juu ya paa alafu akamtoa kile kitambaa akabaki kama alivyozaliwa...akashuka akaniambia)

" Hapo ashuki mpaka wewe umwambie shuka na uache kuroga watu wasio na hatia.

" Sawa.

" Nilale niende.

" Wewe tu my unavyotaka.

( Nilijikuta naita my mwenyewe sio kwa kunifurahisha uku...alafu nikakumbuka kitu)

" My Samahani ivi wale wabakaji nani atakuwa anawaingilia?

" Wale awataingiliwa mazima ila watashikwa ishikwa makalio yao na mwenzangu mmoja nimempa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-kumi-sahadini-nisaidie-nipo-kwenye-hatari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-kumi-sahadini-nisaidie-nipo-kwenye-hatari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

203
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest