Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
09 Nov 2025
293 views
VYOTE NDANI GONGA94
π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... sita. π Amina utanitumikisha unavyotaka naomba nimezidiwa si unaona imesimama amina wangu...π
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" Sahadini bado mapema si umesema mimi ni wako naomba unipe Muda nitakupa tu unachotaka.
" Amina naomba basi nigusishe kichwa tu alafu natoa.
( Moyoni nasema kumbe wanaume akili zao zinafanana yani na jini nae muongo agusishe kichwa tu inawezekana kweli nikamwambia)
" Siku nyengine Leo nimekuwa na uoga ngoja nikuzoee kwanza.
( Sahadini akaniambia)
" Pili kamwita mganga wake na amekuja naona anapiga ramli je nifanyaje.
" Kampige makofi na uyo mganga wake.
" Sawa wewe fumba macho nataka nitokee ukutani.
( Inataka moyo jamani...nilifumba macho nilisikia upepo tu umevuma kumbe ametoka dk 5 nasikia sauti ya mzee inalia)
" Yalaa naumia msaada.
( Pili anashangaa mganga na yeye anapigwa makofi...mimi ndio wa kwanza kutoka naenda kutoa msaada...wengine nao wakatoka cha ajabu mimi ndio namuona sahadini amesimama mbele ya mzee anachagua pakumpiga tu nikamuonyesha ishara inatosha akatoka sahadini...mzee akasema)
" Pili katafute mganga mwengine kazi yako ngumu.
( Mimi nikauliza)
" Pili wewe si uliondoka na mama mmoja aukulala humu imekuwaje umerudi.
" Duu sasa mganga chanzo cha yote aya nini Tuambie?
( Namuuliza makusudi)
" Uyu aliibiwa chupi sasa alitaka aliyeiba awashwe mpaka akome.
" Sasa mganga kwanini ufanye vitu kama ivyo na kama aliyeiba chupi akuwa na nia mbaya kwake pili kwanini usimwambie tu kanunue chupi nyengine.
" Bint usinifundishe kazi tena chunga mdomo wako nitakutia period ya mwaka mzima mshenzi wewe omba Samahani mwenyewe.
" Siwezi kuomba Samahani kwa kukueleza ukweli.
.
" Unasema?
" Siwezi kukuomba Samahani kwa kukueleza ukweli waganga nyinyi ndio mnafanya watu wawe machizi pasipo makosa kisa tamaa ya pesa tumia uganga wako kusaidia watu sio kuumiza watu.
" Bint unijui naondoka Kesho saa kama hii hawa wanaokusikiliza watakuwa mashahidi.
" Nenda karoge kama kuambiwa ukweli ni kosa nenda karoge.
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... sita. π Amina utanitumikisha unavyotaka naomba nimezidiwa si unaona imesimama amina wangu...π
" Sahadini bado mapema si umesema mimi ni wako naomba unipe Muda nitakupa tu unachotaka.
" Amina naomba basi nigusishe kichwa tu alafu natoa.
( Moyoni nasema kumbe wanaume akili zao zinafanana yani na jini nae muongo agusishe kichwa tu inawezekana kweli nikamwambia)
" Siku nyengine Leo nimekuwa na uoga ngoja nikuzoee kwanza.
( Sahadini akaniambia)
" Pili kamwita mganga wake na amekuja naona anapiga ramli je nifanyaje.
" Kampige makofi na uyo mganga wake.
" Sawa wewe fumba macho nataka nitokee ukutani.
( Inataka moyo jamani...nilifumba macho nilisikia upepo tu umevuma kumbe ametoka dk 5 nasikia sauti ya mzee inalia)
" Yalaa naumia msaada.
( Pili anashangaa mganga na...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-sita-amina-utanitumikisha-unavyotaka-naom