Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
13 Dec 2025
131 views
VYOTE NDANI GONGA94
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, akainua mkono wake na kuunyosha kuelekea kwa Amara, machozi yakimtoka. Tafadhali nisaidie, wataniua mimi na mtoto wangu. Nguvu akaomba kwa sauti nyororo na yenye kutetemeka. Amara alirudi nyuma kwa woga. Mwili ulikuwa una tetemeka na kutaka kukimbia. Lakini macho ya uzuni ya nguvu yalikuwa ya namuita.
Amara alikuwa mwanamke maskini katika kijiji hicho. Aliishi katika nyumba ndogo ya udongo yenye paa inayovuja. Hakua na pesa nyingi na kila mara alikuwa akitafuta njia za kujilisha yeye na watoto wake wawili. Mume wake alikufa miaka mingi lio pita na tangu wakati huo alikuwa peke yake katika mapambano yake.
Asubuhi moja mapema, kabla ya jua kuchomoza, Amara alibeba chungu chake cha udongo na kwenda kuchota maji mtoni karibu na kijiji. Ndege walikuwa wanaanza kuimba na upepo wa baridi ukagusa ngozi yake alipokuwa akitembea kwenye njiya nyembamba kwa miguu. Amara alipenda kwenda mtoni mapema sana kwa sababu hakungekua na watu wengi na alitaji kurudi nyumbani mapema ili kuwaandalia watoto wake mihogo kabla hawajaamka.
Alipofika mtoni, alijaza chungu chake maji safi na baridi na kujitwisha kichwani kwa uangalifu. Maji yalikuwa mazito, lakini Amara alizoea kubeba mizigo mizito kichwani. Alianza kurudi nyumbani, lakini aliamua kuchukua barabara ya nyuma kwa sababu ilikuwa fupi na alitaka kufika nyumbani kabla jua halijachomoza.
Alipokuwa kitembea kwenye kichaka, aliona wawindaji watatu wamesimama chini ya mwembe. Walikuwa wakiongea na kucheka wakiwa wameshika bundukizao na kuvaa kofia za kuwindia. Amara akawasalimia kwa adabu. Habari za asubuhi wawindaji? Wawindaji walimjibu, lakini hawa kumtazama usoni. Walikuwa bize sana kuongea na kucheka.
Amara aliendelea kutembea taratibu na huku akisogea akamsikia mmoja ya wawindaji akisema.
Ah, sisi ni matajiri sasa.
Bado siamini kwamba tulimkamata nguvu mwenye mimba karibu na mto na tutapata pesa marambili kwa huyu.
Mwindaji mwingine alicheka na kusema, ndiyo, wanasema ikiwa nguvu ni mjamzito, ana nguvu ndani yake na mtoto tutapata pesa nyingi.
Tutafanya matanuzi kama vigogo wa mjini. usikose sehemu ya 2
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
, akainua mkono wake na kuunyosha kuelekea kwa Amara, machozi yakimtoka. Tafadhali nisaidie, wataniua mimi na mtoto wangu. Nguvu akaomba kwa sauti nyororo na yenye kutetemeka. Amara alirudi nyuma kwa woga. Mwili ulikuwa una tetemeka na kutaka kukimbia. Lakini macho ya uzuni ya nguvu yalikuwa ya namuita.
Amara alikuwa mwanamke maskini katika kijiji hicho. Aliishi katika nyumba ndogo ya udongo yenye paa inayovuja. Hakua na pesa nyingi na kila mara alikuwa akitafuta njia za kujilisha yeye na watoto wake wawili. Mume wake alikufa miaka mingi lio pita na tangu wakati huo alikuwa peke yake katika mapambano yake.
Asubuhi moja mapema, kabla ya...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku-7-hiki-kilitokea-sehemu-ya-kwanza-nguva-akiwa
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu