Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu
Gonga94 · Stories

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Amara alifumba macho kwa muda na kunong`ona moyoni mwake Mungu. Tafadhali tusaidie. Wasitupate hapa. Wawindaji walipokaribia kugeka nyuma ya mti wa mianzi, wawindaji mmoja ambaye alikuwa akitembe nyuma ya wengine, gafla alipiga kelele kwa nguvu, swala. Wawindaji wengine walisimama mara moja na wakageuka haraka. Iko wapi? Iko wapi? Walipiga kelele. Huko, pale, akikimbia kuelekea upande mwingine, muindaji alisema, akionyesha bunduki yake kwenye vichaka. Wawindaji walimsahau nguva huyo kwa muda, wakanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo swala alisemekana kuwa. Huku wakinyanyua bunduki zao hewani tayari kupiga risasi. Viatu vyao vilitoa sauti kubwa kwenye majani makavu. Huku wakikimbia kuelekea upande wa swala, wakipiga kelele na kuitana.

Macho ya Amara ya limtoka kwa mshangao. Aliona hii kama nafasi yake peke. Alitoka haraka kutoka kwenye mificho yake na kurudi mbio kwa nguva. Tafadhali, tuende sasa kabla hawajarudi. Amara alimnong`oneza nguva. Mikono yake ikienda kwa kasi kuifungua ile kamba. Vidole vyake vilikuwa vikitetemeka huku akivuta fundo kali. Kamba ilikuwa ngumu na yenye nguvu na ili umiza vidole vyake lakini hakuacha. Nguva alikuwa akigugumia kwa maumivu lakini alimtazama Amara kwa matumaini macho ni pake.

Asante, asante. Nguva alinong`ona kwa unyonge. Amara hatimaya kafungua fundo wa mwisho na kamba ikaanguka chini. Mikono ya nguva ilianguka kando yake na akaegemea mti akiwa dhaifu sana asiweze kusimama vizuri. Amara alitazama huku na huku haraka. Bado aliweza kusikia sauti za wawindaji, lakini sasa walikuwa karibu na mto, wakipiga kelele na kuhitana huku wakimtafuta swala. Alijua lazima aondoke mara moja, au ange rudi na kumkuta nguva hayupo.

Meumeid alijaribu kusimama, lakini akaanguka nyuma, mkia wake wa feathers ukisuguwa kwenye majani makavu. Tafadhali, nisaidie. Alinong`onga. Amara akainama chini, akazungusha mikono yake kwenye kionjo cha nguva na kujaribu kumuinuwa. Nguva alikuwa mzito na Amara hakuwa na nguvu za kutosha, lakini alijaribu kadri awezaavyo. Aliweka mkono wa nguva juu ya bega lake na nguva akamuegemea sana Amara, uvimbe wa mtoto wake ukifanya iwe vigumu kwake kusogea kwa urahisi. Amara akapiga hatuwa mbele. Kisha nyingine, miguu yake ikitetemeka kwa uzito. Walitembea pole pole, hatuwa kwa hatuwa, wakijaribu kuepuka majani makavu ambayo yalifanya kelele chini ya miguu yao.

Nguva alikuwa akihema kwa maumivu, akipumua sana na kushika tumbo lake. Ah! Ah! Nguva aliugua kwa upole. Amara alimtazama kwa huruma. Hakujua wangechukua muda gani kufika kwenye kibanda chake, lakini hakuweza kumuacha nguva. Kila dakika tano, Amara alilazimika kusimama na kupumzika. Alikuwa akiinama chini, akimruhusu nguva kukaa chini kwa muda huku akijifuta jasho usoni mwake. Chungu chake chamaji cha udungo kilikuwa bado pale, lakini hakuweza kukibeba sasa. Aliacha nyuma, akilenga kumpeleka nguva salama.


Jua la asubuhi lilikuwa linaanza kuchomoza na ndege walikuwa wakiimba kwa sauti zaidi sasa. Kanga ya Amara ilikuwa imeloa jasho na mgongo wake ulikuwa unauma, lakini aliendelea kusonga mbele. Nguva alikuwa akilia kwa upole. Uso wake umepauka na mikono yake ikiwa imeshika tumbo lake kubwa. Tafadhali, usiniache. Sitaki kufa. Aliendelea kunong'ona. Sitakuacha. Amara alisema ingawaje mwili wake ulikuwa umechoka na miguu yake ilikuwa ikitetemeka.

Walipita kwenye vinjia vidogo vidogo vya vichakani wakikwepa sehemu ambazo watu wange waona. Amara aliogopa kwamba ikiwa wanakijiji wange muona nguva, wanaweza kuwaita wawindaji au kumletea shida. Walisimama kupumzika tena chini ya mwembe na Amara akamtazama nguva. Uko sawa? Aliuliza kwa upole. Baada ya muda, Amara kakusanya nguvu zake na kumuinuwa nguva tena. Waliendelea kusonga, kupumzika na kusonga hadi hatimae wakakifikia kibanda kidogo cha udongo cha Amara kilichokuwa pembezoni mwa kijiji.

Amara akasukuma mlango wake uangalifu na kuchungulia ndani. Watoto wake wawili walikuwa bado wamelala fofofo kwenye mkeka. Alikuwa na furaha kwamba bado walikuwa wamelala kwa hiyo hawata muona nguva bado. Amara akamsaidia nguva kuingia. Nguva aliuguwa kwa maumivu, mikono yake juu ya tumbo lake, mkia wake umelazwa kwa unyonge kwenye mkeka. Amara alimtazama kwa wasiwasi. Aliona mwili wa nguva umevimba sehemu na alama nyekundu pale kamba ilipo fungwa.

Nitapeleka maji ya moto. Amara alisema kwa upole. Haraka haraka alitoka nje, akachukua maji na kuayweka kwenye moto mdogo uliokuwa jikoni kwake. Maji alipopata joto, akayamimina kwenye bakuli ndogo na akayaingiza ndani. Akachovyesha kitambaki safi, akakikamuwa na kukiweka taratibu kwenye mikono na mabega ya nguva yaliovimba. Nguvu ali inama kwa maumivu, lakini baada ya muda akashusha pumzi laini. Amara akaendelea kusuguwa mwili wa nguvu akifuta jasho na kumkandamiza kwa nguvu nguva mgongoni kwake.

Asante. Asante. Nguvu aliendelea kunong'ona huku machozi ya kimlengalenga. Amara alihisi huruma moyoni mwake na pia alihisi hofu. Hakujua nini kingefuata na hakujua kwanini nguva alikuwa nchikavu, mjamzito na kukamatwa na wawindaji. Chumba kilikuwa kimya ispokuwa miungurumo midogo ya nguva. Amara alitazama tumbo kubwa la nguva na kujiuliza, kuna mtoto aina gani ndani yake? Atakuwa samaki au wanadamu? Hakujua lakini alijua kwamba hangeweza kumuacha nguva huyo. Nguva akafumbua macho yake kwa unyonge na kumtazama Amara. Naitwa nene, alisemakwa upole. Amara alishangaa. Nene? Hilo ni jina zuri. Jina langu ni Amara. Nene alitabasamu ka unyonge, lakini macho yake bado yalikuwa yamejaa machozi. Asante Amara, sita sahau hili, alinong`ona. Amara akatikisa kichwa kwa upole, akishikilia mkono wa nene kwa upole.

Mara wakasikia sauti za nyayo nje ya kibanda hiki, na macho ya Amara yalitoka kwa woga. Haraka akatazama mlango, kisha akamtazama nene. Nene alimtamama Amara kwa woga machoni pake, akishikilia tumbo kubwa huku wakijikunjusha mkia wake wa fedha juu yake. Ghafla mlango ulifunguliwa kwa sauti kubwa. Amara akakimbia haraka na kusukuma mlango mbele huku wakitumia mwili wake kumzuiya mtu aliye kuwa nje asione ndani ya kibanda hiki.

Kuna nani huko? Bwana unafungua mlango wangu hivyo? Amara aliuliza huku akihema sana jasho likimtoka usoni kwake. Aliyesimama mlangoni alikuwa mama njideka, mmbeya wakijiji. Kila mtu kijijini hapo alimjua kuwa ni mmbeya wakijiji. Anaependa kuingiza puwa yake kwenye biashara za watu wengine. Alikuwa ameshika kionochake kwa mkono mmoja na mkono wake mwingine ulikuwa juu ya mlango huku wakijaribu kusuka kwa upana zaidi na kunyosha shingo yake kutazama ndani ya kibanda cha Amara. Amara alizuiya mtazamo wake kama ukuta.

Ah! Ah! Amara, unatabia ya ajabu. Mama njideka alisema. Je, unaficha kitu? Au kuna mwana ume humo ndani? Macho ya Amara yalimtoka kwa mshituko. Mwana ume katika kibanda changu? Mama njideka, ni maongezi gani hayo ya asubuhi na mapema? Lakini mama njideka hakuwa tayari kuondoka. Akausogelea uso wake kwa ukaribu zaidi. Macho yake akiwa makali mithili ya mwewe akitafuta kifaranga.

Nimekuja kuazima chungu chako tu. Mama njideka alisema huku akikunja mikono kifuwani. Amara alishtuka. Ghafla akakumbuka chungu cha maji alikiacha porini alipokuwa akimuokoa nguva. Alijua hawezi kukichukua chungu kwa sababu wa windaji wanaweza kumtafuta mwenye nyumba na wakigundua kuwa yeye ndie alie mchukua nguva ingeleta shida kubwa. Amara alimeza mate kwa nguvu na kulazimisha tabasamu dogo.

Ah, mama njideka, nakitumia chungu sasa, siwezi kukitua tafadhali. Mama njideka akaziinua nyusizake juu na kuzomea. Wewe, kutumia chungu? Unatumia kwanini sasa? Unaficha kitu Amara? Nasikia harufu yake. Alisema akiinama kwa ukaribu, macho yake akiwa na mashaka. Moyo wa Amara ulikuwa ukidunda kwa hofu. Aliibuka na mlango kwa nguvu zaidi. Akaziba kila nafasi ambayo mama njideka angeweza kutumia kuona ndani.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu



Amara alifumba macho kwa muda na kunong`ona moyoni mwake Mungu. Tafadhali tusaidie. Wasitupate hapa. Wawindaji walipokaribia kugeka nyuma ya mti wa mianzi, wawindaji mmoja ambaye alikuwa akitembe nyuma ya wengine, gafla alipiga kelele kwa nguvu, swala. Wawindaji wengine walisimama mara moja na wakageuka haraka. Iko wapi? Iko wapi? Walipiga kelele. Huko, pale, akikimbia kuelekea upande mwingine, muindaji alisema, akionyesha bunduki yake kwenye vichaka. Wawindaji walimsahau nguva huyo kwa muda, wakanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo swala alisemekana kuwa. Huku wakinyanyua bunduki zao hewani tayari kupiga risasi. Viatu vyao vilitoa sauti kubwa kwenye majani makavu. Huku wakikimbia kuelekea upande wa swala, wakipiga...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku-7-hiki-kilitokea-sehemu-ya-tatu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku
 ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza  Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili  Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest