Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu
Gonga94 Β· Stories

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Amara alifumba macho kwa muda na kunong`ona moyoni mwake Mungu. Tafadhali tusaidie. Wasitupate hapa. Wawindaji walipokaribia kugeka nyuma ya mti wa mianzi, wawindaji mmoja ambaye alikuwa akitembe nyuma ya wengine, gafla alipiga kelele kwa nguvu, swala. Wawindaji wengine walisimama mara moja na wakageuka haraka. Iko wapi? Iko wapi? Walipiga kelele. Huko, pale, akikimbia kuelekea upande mwingine, muindaji alisema, akionyesha bunduki yake kwenye vichaka. Wawindaji walimsahau nguva huyo kwa muda, wakanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo swala alisemekana kuwa. Huku wakinyanyua bunduki zao hewani tayari kupiga risasi. Viatu vyao vilitoa sauti kubwa kwenye majani makavu. Huku wakikimbia kuelekea upande wa swala, wakipiga kelele na kuitana.

Macho ya Amara ya limtoka kwa mshangao. Aliona hii kama nafasi yake peke. Alitoka haraka kutoka kwenye mificho yake na kurudi mbio kwa nguva. Tafadhali, tuende sasa kabla hawajarudi. Amara alimnong`oneza nguva. Mikono yake ikienda kwa kasi kuifungua ile kamba. Vidole vyake vilikuwa vikitetemeka huku akivuta fundo kali. Kamba ilikuwa ngumu na yenye nguvu na ili umiza vidole vyake lakini hakuacha. Nguva alikuwa akigugumia kwa maumivu lakini alimtazama Amara kwa matumaini macho ni pake.

Asante, asante. Nguva alinong`ona kwa unyonge. Amara hatimaya kafungua fundo wa mwisho na kamba ikaanguka chini. Mikono ya nguva ilianguka kando yake na akaegemea mti akiwa dhaifu sana asiweze kusimama vizuri. Amara alitazama huku na huku haraka. Bado aliweza kusikia sauti za wawindaji, lakini sasa walikuwa karibu na mto, wakipiga kelele na kuhitana huku wakimtafuta swala. Alijua lazima aondoke mara moja, au ange rudi na kumkuta nguva hayupo.

Meumeid alijaribu kusimama, lakini akaanguka nyuma, mkia wake wa feathers ukisuguwa kwenye majani makavu. Tafadhali, nisaidie. Alinong`onga. Amara akainama chini, akazungusha mikono yake kwenye kionjo cha nguva na kujaribu kumuinuwa. Nguva alikuwa mzito na Amara hakuwa na nguvu za kutosha, lakini alijaribu kadri awezaavyo. Aliweka mkono wa nguva juu ya bega lake na nguva akamuegemea sana Amara, uvimbe wa mtoto wake ukifanya iwe vigumu kwake kusogea kwa urahisi. Amara akapiga hatuwa mbele. Kisha nyingine, miguu yake ikitetemeka kwa uzito. Walitembea pole pole, hatuwa kwa hatuwa, wakijaribu kuepuka majani makavu ambayo yalifanya kelele chini ya miguu yao.

Nguva alikuwa akihema kwa maumivu, akipumua sana na kushika tumbo lake. Ah! Ah! Nguva aliugua kwa upole. Amara alimtazama kwa huruma. Hakujua wangechukua muda gani kufika kwenye kibanda chake, lakini hakuweza kumuacha nguva. Kila dakika tano, Amara alilazimika kusimama na kupumzika. Alikuwa akiinama chini, akimruhusu nguva kukaa chini kwa muda huku akijifuta jasho usoni mwake. Chungu chake chamaji cha udungo kilikuwa bado pale, lakini hakuweza kukibeba sasa. Aliacha nyuma, akilenga kumpeleka nguva salama.


Jua la asubuhi lilikuwa linaanza kuchomoza na ndege walikuwa wakiimba kwa sauti zaidi sasa. Kanga ya Amara ilikuwa imeloa jasho na mgongo wake ulikuwa unauma, lakini aliendelea kusonga mbele. Nguva alikuwa akilia kwa upole. Uso wake umepauka na mikono yake ikiwa imeshika tumbo lake kubwa. Tafadhali, usiniache. Sitaki kufa. Aliendelea kunong'ona. Sitakuacha. Amara alisema ingawaje mwili wake ulikuwa umechoka na miguu yake ilikuwa ikitetemeka.

Walipita kwenye vinjia vidogo vidogo vya vichakani wakikwepa sehemu ambazo watu wange waona. Amara aliogopa kwamba ikiwa wanakijiji wange muona nguva, wanaweza kuwaita wawindaji au kumletea shida. Walisimama kupumzika tena chini ya mwembe na Amara akamtazama nguva. Uko sawa? Aliuliza kwa upole. Baada ya muda, Amara kakusanya nguvu zake na kumuinuwa nguva tena. Waliendelea kusonga, kupumzika na kusonga hadi hatimae wakakifikia kibanda kidogo cha udongo cha Amara kilichokuwa pembezoni mwa kijiji.

Amara akasukuma mlango wake uangalifu na kuchungulia ndani. Watoto wake wawili walikuwa bado wamelala fofofo kwenye mkeka. Alikuwa na furaha kwamba bado walikuwa wamelala kwa hiyo hawata muona nguva bado. Amara akamsaidia nguva kuingia. Nguva aliuguwa kwa maumivu, mikono yake juu ya tumbo lake, mkia wake umelazwa kwa unyonge kwenye mkeka. Amara alimtazama kwa wasiwasi. Aliona mwili wa nguva umevimba sehemu na alama nyekundu pale kamba ilipo fungwa.

Nitapeleka maji ya moto. Amara alisema kwa upole. Haraka haraka alitoka nje, akachukua maji na kuayweka kwenye moto mdogo uliokuwa jikoni kwake. Maji alipopata joto, akayamimina kwenye bakuli ndogo na akayaingiza ndani. Akachovyesha kitambaki safi, akakikamuwa na kukiweka taratibu kwenye mikono na mabega ya nguva yaliovimba. Nguvu ali inama kwa maumivu, lakini baada ya muda akashusha pumzi laini. Amara akaendelea kusuguwa mwili wa nguvu akifuta jasho na kumkandamiza kwa nguvu nguva mgongoni kwake.

Asante. Asante. Nguvu aliendelea kunong'ona huku machozi ya kimlengalenga. Amara alihisi huruma moyoni mwake na pia alihisi hofu. Hakujua nini kingefuata na hakujua kwanini nguva alikuwa nchikavu, mjamzito na kukamatwa na wawindaji. Chumba kilikuwa kimya ispokuwa miungurumo midogo ya nguva. Amara alitazama tumbo kubwa la nguva na kujiuliza, kuna mtoto aina gani ndani yake? Atakuwa samaki au wanadamu? Hakujua lakini alijua kwamba hangeweza kumuacha nguva huyo. Nguva akafumbua macho yake kwa unyonge na kumtazama Amara. Naitwa nene, alisemakwa upole. Amara alishangaa. Nene? Hilo ni jina zuri. Jina langu ni Amara. Nene alitabasamu ka unyonge, lakini macho yake bado yalikuwa yamejaa machozi. Asante Amara, sita sahau hili, alinong`ona. Amara akatikisa kichwa kwa upole, akishikilia mkono wa nene kwa upole.

Mara wakasikia sauti za nyayo nje ya kibanda hiki, na macho ya Amara yalitoka kwa woga. Haraka akatazama mlango, kisha akamtazama nene. Nene alimtamama Amara kwa woga machoni pake, akishikilia tumbo kubwa huku wakijikunjusha mkia wake wa fedha juu yake. Ghafla mlango ulifunguliwa kwa sauti kubwa. Amara akakimbia haraka na kusukuma mlango mbele huku wakitumia mwili wake kumzuiya mtu aliye kuwa nje asione ndani ya kibanda hiki.

Kuna nani huko? Bwana unafungua mlango wangu hivyo? Amara aliuliza huku akihema sana jasho likimtoka usoni kwake. Aliyesimama mlangoni alikuwa mama njideka, mmbeya wakijiji. Kila mtu kijijini hapo alimjua kuwa ni mmbeya wakijiji. Anaependa kuingiza puwa yake kwenye biashara za watu wengine. Alikuwa ameshika kionochake kwa mkono mmoja na mkono wake mwingine ulikuwa juu ya mlango huku wakijaribu kusuka kwa upana zaidi na kunyosha shingo yake kutazama ndani ya kibanda cha Amara. Amara alizuiya mtazamo wake kama ukuta.

Ah! Ah! Amara, unatabia ya ajabu. Mama njideka alisema. Je, unaficha kitu? Au kuna mwana ume humo ndani? Macho ya Amara yalimtoka kwa mshituko. Mwana ume katika kibanda changu? Mama njideka, ni maongezi gani hayo ya asubuhi na mapema? Lakini mama njideka hakuwa tayari kuondoka. Akausogelea uso wake kwa ukaribu zaidi. Macho yake akiwa makali mithili ya mwewe akitafuta kifaranga.

Nimekuja kuazima chungu chako tu. Mama njideka alisema huku akikunja mikono kifuwani. Amara alishtuka. Ghafla akakumbuka chungu cha maji alikiacha porini alipokuwa akimuokoa nguva. Alijua hawezi kukichukua chungu kwa sababu wa windaji wanaweza kumtafuta mwenye nyumba na wakigundua kuwa yeye ndie alie mchukua nguva ingeleta shida kubwa. Amara alimeza mate kwa nguvu na kulazimisha tabasamu dogo.

Ah, mama njideka, nakitumia chungu sasa, siwezi kukitua tafadhali. Mama njideka akaziinua nyusizake juu na kuzomea. Wewe, kutumia chungu? Unatumia kwanini sasa? Unaficha kitu Amara? Nasikia harufu yake. Alisema akiinama kwa ukaribu, macho yake akiwa na mashaka. Moyo wa Amara ulikuwa ukidunda kwa hofu. Aliibuka na mlango kwa nguvu zaidi. Akaziba kila nafasi ambayo mama njideka angeweza kutumia kuona ndani.
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu



Amara alifumba macho kwa muda na kunong`ona moyoni mwake Mungu. Tafadhali tusaidie. Wasitupate hapa. Wawindaji walipokaribia kugeka nyuma ya mti wa mianzi, wawindaji mmoja ambaye alikuwa akitembe nyuma ya wengine, gafla alipiga kelele kwa nguvu, swala. Wawindaji wengine walisimama mara moja na wakageuka haraka. Iko wapi? Iko wapi? Walipiga kelele. Huko, pale, akikimbia kuelekea upande mwingine, muindaji alisema, akionyesha bunduki yake kwenye vichaka. Wawindaji walimsahau nguva huyo kwa muda, wakanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo swala alisemekana kuwa. Huku wakinyanyua bunduki zao hewani tayari kupiga risasi. Viatu vyao vilitoa sauti kubwa kwenye majani makavu. Huku wakikimbia kuelekea upande wa swala, wakipiga...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku-7-hiki-kilitokea-sehemu-ya-tatu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi alimwokoa-samaki-mtu-mjamzito-kwenye-mto-baada-ya-siku
 ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza  Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya kwanza Nguva akiwa amefungwa kwenye mti
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili  Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

643
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

497
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

295
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

223
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

93
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest