Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIMBA YA BESTMAN❤️*
*SEHEMU YA 06
___________________________________

SEHEMU YA 06
Mulky akiwa amezubaa wenzake wakiendelea kuongea na hakuwa anasikia chochote maana akili yake ilikuwa inawaza mbali sana.
Hamida aligundua hilo alimuita
" Mulky, mulky.....
Mulky hakusikia mpaka yule muhudumu aliekuwa akimhudumia aliposhika begani na kumwambia.
" Mulky unaitwa na Hamida.
Mulky alimuangalia Hamida.
" Vipi upo sawa kweli?
" Ndio nipo sawa ulikuwa unasemaje?
" Basi tutaongea badae.
Wakiendelea kupatiwa huduma walipomaliza waliondoka pamoja mulky aliwapa lifti wakaanza kumpeleka mwajuma nyumbani kwake.
Kwenye gari walibaki wawili Hamida na mulky.
Hamida alimuangalia akahisi kuna jambo haliko sawa kwa Mulky na hataki kusema.
" Mulky kuna jambo unanificha?
" Hapana Hamida"
" Kuwa muwazi tafadhali. Au una matatizo kwenye ndoa yako?
" Hamida sijui nianzie wapi kukueleza ....
" Anza popote.
"hebu nipe muda kwanza.
" Kwahiyo unataka kufa na siri so ndio? Na tangia lini tukafichana kwenye mambo yetu unakumbuka siri zangu nyingi na nzito nimekuwa nikikushirikisha vipi wewe unifiche mambo yako?

Mulky alitafuta sehemu akaenda kusimamisha gari kwanza alafu alimgeukia Hamida wakawa wanaangaliana.
" Niambie sasa.
" Hamida nina jambo linaumiza sana kichwa changu na sijui mitatatua vipi shida hii.
" Ndio uniambie tushauriane.
" Hivi una jua tangia nime......
Kabla mulky hajamaliza kuongea alisikia mtu anagonga kwenye kioo cha dirisha la gari yake akageuka kumuangalia na kufungua kioo , alipomuangalia vizuri yule mtu aliachia tabasamu.
" Waoooo Sameer umekuja lini?
" Nina siku mbili tangia nimekuja.
" Mbona Yasini hajaniambia kuwa umerudi?
" Hata nae hana taarifa kama nimerudi nataka kumfanyia surprise na hapa nilipo nilikuwa naelekea nyumbani kwenu.
" Basi sawa acha tuongozane pamoja.
" Kama una mambo yako fanya kwanza.
" Sina cha muhimu .....
" Lakini upo na mwenzio.
" Usijali kuhusu mimi hata hivyo nimefika nilikuwa nasikia hapa. Alisema Hamida na mulky akamuangalia
" Usijali shoga yangu nenda kamuandalia mgeni wako.
" Lakini mimi sio mgeni ni mwenyeji sana. Alisema Sameer .
" Kweli Sameer sio mgeni kwani umesahau?
" Sio kumsahau nahisi simjui kabisa.
" Jamani Hamida huyu si ndio yule bestman wa Yasini aliyesimamia kwenye harusi yangu.
Rafiki kipenzi wa Yasini .
" Hapo nimeshaanza kupata picha , lakini kabadilika .
" Nimekuwa mzee sindio?
Sameer aliongea kama utani.
" Hapana unazidi kuwa handsome.
" Hahahaha masihara hayo.

Baada ya kutambulisha na na kupiga story mbili tatu Sameer alienda kupanda kwenye gari yake na mulky aliachana na Hamida.
" Hamida nikipata muda nitakuja kwako tuongee.
" Sawa fanya hivyo kipenzi.
" Sawa.
Hamida alifungua mlango wa gari akashuka Mulki akapelekwa nyumbani kwake.

Mulky alielekea nyumbani kwake huku wakiwa anafuata gari ya Sameer kwa nyuma hivyo walifika nyumbani pamoja.
" Karibu sana Sameer.
" Asante .
Waliingia ndani huku Sameer akiwa anaangalia mazingira.
" Naona ndoa tamu sana.
Mulky alimuangalia Sameer alafu akacheka kidogo.
" Kwanini unasema hivyo?
" Naona jinsi ulivyonawiri mtoto wa kike.
" Acha utani bwana mbona nipo kawaida.
" Huo ni mtazamo wako lakini kwa upande wangu umependeza jamaa yangu kaweza majukumu yake kama mume.
" Tuachane na hayo niambie unakunywa kinywaji gani?
" Nichaguliwe chochote kilichopo.
" Kuna juice ya mabasi, embe na passion. Pia kuna soda.
" Unajua mimi sio mpenzi wa soda niletee juice.
" Sawa nipe dakika chache.
" Sawa.
Mulky alienda kuchukua juice akamtengea mgeni wake nae akakaa wakawa wanaongea mawili matatu.
Baada ya muda Yasini alirudi kutoka kwenye mihangaiko yake alifurahi kumuona Sameer walikumbatiana na kujuliana hali kwa furaha.
" Mbona umekuja bila kunipa taarifa?
" Nilikuwa nataka kukifanyia surprise.
" Surprise gani? Sijapenda.
" Basi yaishe .
Walienda kukaa wakaendelea na story zao huku mulky akiwaacha na kwenda jikoni kuandaa chakula.

Mara kwa mara Sameer alikuwa akienda nyumbani kwa Yasini walikaa na Mulky wakawa wanapita story mara nyingine walikuwa wanacheza game pamoja hiyo ilikuwa nafuu sana kwa Mulky hakuwa na mawazo sana alifurahia sana uwepo wa Sameer.

Kuna siku wazazi wa Yasini walienda kuwatembelea nyumbani kwao . Shangazi yake Yasini alimuuliza Yasini.
" Yasini mbona unachelewesha mambo nilijua nikija nitakuta hali ipo tofauti.
" Unamaanisha nini shangazi?
" Wifi hebu achana na hayo.
Alisema mama Yasini huku akiwa anamuangalia mulky .
Wakati huo mulky alikosa furaha ghafla.
" Wifi hawa watoto ukisema iwaache hivi utakuta bila kuona mjukuu vijana wa siku hizi hawajali kuhusu familia utandawazi unawamaliza vijana wetu.
Yasini alimuangalia shangazi yake kwa jicho kali kisha akamuangalia Mulky ambae alikuwa kajiinamia .
" Shangazi haya ni maswala yangu na familia yangu nisingependa mtu mwingine aingilie na swala la kupata watoto ni mipango wangu na mke wangu.
" Wifi ona Yasini anavyojibu wakati namtetea yeye mwenyewe.
" Kila jambo na wakati wake wifi sisi ni binadamu hatuwezi kumpangia Mungu.

Yasini hakutaka kuendelea kusikiliza marumbano yao alienda kumchukua mke wake wakaenda ndani.
" Ona sasa wanaondoka na kutuacha hapa hiyo ni heshima ya wapi? Alafu huyu Yasini huyu tangia ameowa amekuwa na dharau flani hivi.
" Umeyataka wifi unafikiri yule mtoto wa watu anajisikiaje na ndio kwanza siku ya kwanza umekuja na maneno ya akitoka hivyo? Na mwanangu hana tabia hiyo usimtoe mdomoni kwa mabaya.
" Kwahiyo wifi wewe imeridhika na hili huna mjukuu au hautaki kulea wajukuu mwenzetu?
" Kama imepangwa miles nitakuwa tu tunatakiwa kuwa na Subra.

Yasini na Mulky walienda chumbani kwao , Yasini alimkalisha mke wake kitandani nae akakaa pembeni.

Full 1000
whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06

MIMBA YA BESTMAN❤️*
*SEHEMU YA 06
___________________________________

SEHEMU YA 06
Mulky akiwa amezubaa wenzake wakiendelea kuongea na hakuwa anasikia chochote maana akili yake ilikuwa inawaza mbali sana.
Hamida aligundua hilo alimuita
" Mulky, mulky.....
Mulky hakusikia mpaka yule muhudumu aliekuwa akimhudumia aliposhika begani na kumwambia.
" Mulky unaitwa na Hamida.
Mulky alimuangalia Hamida.
" Vipi upo sawa kweli?
" Ndio nipo sawa ulikuwa unasemaje?
" Basi tutaongea badae.
Wakiendelea kupatiwa huduma walipomaliza waliondoka pamoja mulky aliwapa lifti wakaanza kumpeleka mwajuma nyumbani kwake.
Kwenye gari walibaki wawili Hamida na mulky.
Hamida alimuangalia akahisi kuna jambo haliko sawa kwa Mulky na hataki kusema.
" Mulky kuna jambo unanificha?
" Hapana Hamida"
"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman-sehemu-ya
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

299
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

205
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

86

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest