ILIPOISHIA,
"Mimi nakupenda sana, sorry naomba nifungulie mlango nichukue ka mkoba kangu nimekaacha sebuleni ..." Nilitamka huku nikiomba ndipo.........
SONGA NAYO...
Baada ya kumwambia hivyo, alikaa kimya kidogo huku akihema kama beberu kisha akatamka,
" Mkoba hauna shida maana Mlango umefungwa...tumalizie kwanza maana tutakatisha utamu"
Maneno hayo yelinikata maini kabisa huku nikiwa nimeishiwa pozi.
"Basi ngoja nikaoge maana najihisi joto kidogo..." nilimwambia.
"Ohoo sawa bafu hili hapa fungua mlango..." alitamka.
Japo sikuwa na nia ya kuoga, nililazimika kwenda bafuni ili nichekeweshe mda walau mpini wake uweze kusinyaa.
Nilinyanyuka kitandani hapo na kutaka kwenda bafuni ambalo lilikuwa ndani humo yaani ( self).
Wakati nataka kwenda kuoga, aliniambia
"Chukua taulo hii utajifutia..."
"Asante nimeshazoea kuoga bila taulo.." nilitamka huku nikiwa natetemeka.
Mda si mrefu, nilifungua Pazia ambalo lilikuwa kama mlango wa bafu kisha nikaingia ndani.
Kabla ya kuvua niliwaza kuwa anaweza kuja kunichungulia kwani mlango ulikuwa ni Pazia tu....
Lakini badaye niliamua kuvua ili nianze kuoga huku nikipanga jinsi gani nitaweza kutengeneza mazingira mpaka akubali nipo kwenye siku zangu.
Taratibu nilianza kujipaa sabani kichwani mpaka povu jeupe likawa limenizingira machoni mwangu.
Nilifumba macho ili povu hili lisiingie machoni mwangu.
Ile nafungua macho, nilishangaa kumuona Dicky akiwa mtupu kabisa kama alivyozaliwa huku mpini wake ukiwa kama mara 2 ya punda.
"Mama!..mama!" Nilipiga kelele.
"Shida nini baby.." aliniuliza
"Kwanini umekuja kunichungulia..., ondoka...",nilitamka huku nikitaka kuchukua nguo zangu nivae.
"Baby nimekuja nikuogeshe ...yaani tuoge wote.." alitamka huku mpini wake ukizidi kusimama kuelekea kitovuni mwake.
"Hapana ., nimezoea kuoga pake yangu...please naomba uondoke" nilitamka.
Kabla ya kuvaa nguo zangu, aliwahi na kunikumbatia huku mpini wake ukiwa unagusa katikati ya mapaja yangu karibu na mlango wa mtoto anapotokea.
Nilijisikia aibu sana kwani nilikuwa nina wiki mbili bila kufyeka uwanja huku nikitetemeka kwani nilikuwa sijawahi lala na mwanaume yeyote.
Akiwa amenikumbatia, gafla mwili wangu ulijawa na hisia kali sana hasa maembe yangu mawili yaliyokuwa kifuani kushoto na kulia yenye umbo mchongoko kama yai la bata mzinga yalipogusana na kifua chake kilchokuwa na manyoya ambayo yalikuwa yananitekenya hivi.
"Mhh...mhh...niache bwana...: Nilitamka huku nilibana Mapaja yangu ili asiweze kuona kibompoli changu
"Ngoja nikuogeshe basi baby.." alitamka kisha akafungulia bomba na maji yakaanza kutumwagikia huku akiwa amenikumbatia.
Hali hiyo ilinifanya mpaka nikajikuta napata furaha hivi japo sikumwambia.
Baada kama dakika 10 hivi huku nikiwa sijui nifanye nini, tulimaliza kuoga wote ndipo nilipomwambia,
"Sorry nipo kwenye siku za hatari na ninaogopa kubeba mimba, " nilimwambia..
"Hapana nitaweka kichwa tu hivyo hutopata mimba.." alitamka huku akitaka aniwekee vidole kwenye kibomboli changu.
"Kichwa ndo nini?" Niliuliza kwani sikuelewa.
Baada ya kumuuliza hivyo, alishika mpini wake kisha akanionesha mpaka nikajihisi aibu sana.
"Umeona? Aliniuliza.
"Hapana mi naogopa siku nyingine naogopa mimba..." nilitamka huku nikiwa nimejibanza ukutani.
"Hautopata mimi nakwambia, fanya kama unachuma mboga za Majani hivi..." alitamka ndipo.....
watsapp Group 👇 ⬇️
https://chat.whatsapp.com/IXRdSC9HY5I4DlI8NnT8tP
full story Ni Elfu Moja tu
0746439272 Mary munish
ANDIKA NENO, " KUKOMOANA" KWA WHATSAP 0781111897.