Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,Albert akawa omba walinz wake watupishe kidogo tuna maongezi basi nao bila kupiga wakatupisha .
Apo nikamfata nikamkombatia
Nikaanza kupapasa ndefu mtoto wa kike
nikachukua chapati
nikaikata kidogo nikachomvya kweny maini niliyoyapika .
alafu nikaila kidogo upande ulionak nikamlisha Alberto na mdomo wangu .
kwanz Alberto alishangaa mamb gani Aya
hajawai niona Nina mahaba iv bac akadadis
kunakitu nataka sio bure .
Nikamrisha pale tulivyomaliza tu nikamwambia
Alberto Kuna jambo nataka kumwambia naomba unisaidie
Alovyosikia ivo tu akakza kucheka n kuniambia nilijua tuu hmn jipya Kuna kitu unatak maana sio Kwa mahaba haya cjawai kukuona unafanya iv nakwtaarifa yako
huruhusiwi kutoka njee ,maana Nina maadui kibao wasije wakakuchukua babe wangu kwaio kaa ndan .
Basi machozi yakaanza kunitoka nikamwambia jamn ni Birthday π ya dada angu embu onesha ata huruma we mwanaume ,akaniambia ,neno langu ni amri kwako hamna kwenda mahali ,kwanz nend chumbani kwangu Kuna zawad yako ya kuniadalia kufungua kinywa .
Nikaondoka uku nimenunua hatr njia nzm
nasema nikawa nasema kimoyo moyo
na nikizikuta izo zawad zako nazitupilia mbali sitaki utani
na wewe kabisa .
Nilivofika ndani sikuamini macho yangu
maan nilimuona dada angu yupo mule ndani nilimpiga
kwanz kelele za shngwe ,tukakombatiana .
Kisha nikamuuliza Nan kakuletea akasema uyo apo nyuma yako nageuka tu nyuma nakutana na Alberto nilifarahi sana nikaend kumkombatia Kwa furaha .
Itaendelea ...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
,Albert akawa omba walinz wake watupishe kidogo tuna maongezi basi nao bila kupiga wakatupisha .
Apo nikamfata nikamkombatia
Nikaanza kupapasa ndefu mtoto wa kike
nikachukua chapati
nikaikata kidogo nikachomvya kweny maini niliyoyapika .
alafu nikaila kidogo upande ulionak nikamlisha Alberto na mdomo wangu .
kwanz Alberto alishangaa mamb gani Aya
hajawai niona Nina mahaba iv bac akadadis
kunakitu nataka sio bure .
Nikamrisha pale tulivyomaliza tu nikamwambia
Alberto Kuna jambo nataka kumwambia naomba unisaidie
Alovyosikia ivo tu akakza kucheka n kuniambia nilijua tuu hmn jipya Kuna kitu unatak maana sio Kwa mahaba haya cjawai kukuona unafanya iv nakwtaarifa yako
huruhusiwi kutoka njee ,maana Nina maadui kibao wasije wakakuchukua babe wangu kwaio...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya-10-nikabaki-natabasamu-tu-kama-kachizi