Baba akaniambia mwanangu mpendwa kwanz Mimi sio baba Ako ila Mimi ni mtu nilie muua baba Ako ukiwa na mienz miwili tangu uzalie ,oooh nimesahau na mama Ako pia nikamuua .
Sasa wewe nilikulea ili uniletee manufaa kwenye
biashara yangu pale tu utakapo timiza miaka 18 ,ata siku Ile niliozimia baada ya kukuomba uolewe Ile ilikuwa nitrick za kisomi tuu maaan nilijua unanipend na huwez potezea .
Twende kwenye main point ,nimekuteka ili
nikupeleke Kwa wazazi wako minguni .
ukawalaki maan naona unaniletea hasara tu .
Yan nimekuoza kw Ile familia ila wao hawatak
kuwekeza ela ninayotaka Mimi ,kwaiyo inamaanisha wewe huna faida yoyote kwangu .
Nikazidisha kilio baada ya kugundua ukwel nikamuomba ukunimeipiga magoti nikamwambia baba muonee huruma uyu malaika tumboni kwangu basi .
Nikiwa Bado pale chini sauti ikasikika mke wa Mafia hampigii mtu magoti .
Sikuamini macho yangu nilivogeuka upande wapili nikamuona mume wangu akiwa kalowana damu ,anakuja uku anacheka ,baba alivoona ivo akamnyooshea bastola ,
kabla hajapiga bastola akawaiwa yeye na walinzi wake mwenyw walimsalimiti mmoja akampiga bastola ya kichwa .
Nilivooshuhudia ayo mauaji nikazimia pale pale ,nimekuja kushtuka nipo kwenye ndege private jet na mume wangu ,
kwanz nikamkiss Kwa nguvu Kisha ndo nikamuuliza tunaenda wap akasema tunaenda nchi nyingine kuanza safari mpya ya maisha yetu mengine .
Na kwel tukaama nchi tukaamia Ufaransa tukakaa uko Kwa amani adi nilipo jifungua mtoto wangu wakiume ambae aliitwa Lorenzo .baada ya miez saba nikashika mimba nyingine basi mume wangu akafurahi sana .
tunaishi na furaha iyo mpaka Leo hii.
MWISHO
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 34&35
Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uy...
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo...
Baba akaniambia mwanangu mpendwa kwanz Mimi sio baba Ako ila Mimi ni mtu nilie muua baba Ako ukiwa na mienz miwili tangu uzalie ,oooh nimesahau na mama Ako pia nikamuua .
Sasa wewe nilikulea ili uniletee manufaa kwenye
biashara yangu pale tu utakapo timiza miaka 18 ,ata siku Ile niliozimia baada ya kukuomba uolewe Ile ilikuwa nitrick za kisomi tuu maaan nilijua unanipend na huwez potezea .
Twende kwenye main point ,nimekuteka ili
nikupeleke Kwa wazazi wako minguni...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya-19-20-bila-kusita-nikaanza-kumuuliza-baba-kwanini-ananif
Maoni