Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,,    ,,  19
Gonga94 · Stories

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baba Celena alistuka kumuona mkewe ameanguka , huku akitoka na mapovu mdomon ,haraka na upesi akaita wafanyakazi na kusaidiana kumkimbiza hospital, Celena alikuwa analia tu nakuita mamaa ,mamaa ,
Walimuwahisha hospital na haraka na upesi akapatiwa matibabu ya kuuwa sumu kwenye mwili na akalazwa akiwa bado hajitambui ,
Baba Celena alikosa majibu aliwaza mke wake amepatwa nanini hakujua kabisa kuwa ni ile soda ndo chanzo ,
Alirudi nyumbani akiwa na mtoto wake Celena pamoja na wafanyakazi wake ,
Baba Celena alikuwa na mawazo sana ,aliwaza kilichomkuta mkewe na hajui kama atapona na aliwaza kuhusu hawa watoto wawili pamoja na mkewe Celina na hakupata jibu la moja kwa moja ,
Alipitiwa na usingiz na asubuhi na mapema alijiandaa na kuwahi kule hospital , na akaambiwa bado mkewe hajapata nafuu maana sumu ilikuwa Kali sana ,
Akatoka na kwenda kazin , ila bado alikuwa na mawazo sana , muda wa jion akatoka na kabla hajaenda kwa mkewe hospital akaamua aende kule kwa kina Stefano ili akamuone Celena kichaa na ikibidi amuone vizuri yule mtoto aliefanana na mwanae ,
Alifika mpaka kwa kina Stefano na kweli alimuona Celina kichaa akiwa nje ya nyumba hiyo , akapaki gari na taratibu akashuka na kumsogelea pale alipo , alimuangalia vzr akajikuta machozi yanamtoka ,aisee ni kweli huyo ndie mkewe Celina, mke aliedumu nae kwenye shida na Raha , leo amekuwa kichaa , alijikuta analia na kumstua Celina kichaa ,
Celina alipogeuka akamuona haraka na upesi aliamka akaokota jiwe na kulirusha likamkosa mumewe,

""Usinisogelee ,,kaa mbali namimi,,""
Celina aliongea huku akinyanyua jiwe lingine ,

Kule ndani alikuwa mama Stephano na baba Stefano pamoja na Celina akiwa na Stefano,
Waliposikia Celina kichaa anaongea kwa ukali wakatoka nje wote na kushangaa baba Celena akiwa kasimama mbele ya Celina kichaa na Celina kichaa kashika mawe ,

"Mke wangu subili basi tuongee mimi ni mume,,,,

"Hebu funga domo lako nisijenikakuharibu sura na mawe,""
Balozi alitaka kujitetea lakini alikatizwa na Celina kichaa,

Eti mumewe ,,"?au nimeskia vibaya ,,""?
Mama Stefano alimuuliza mumewe aliesimama pembeni akiangalia ule mpambano,

"Celina hebu kajaribu kumtuliza mama yako tuone kama anaweza kutulia,""
Baba Stefano badala ya kujibu swali ye akamtuma Celina,

"Baba subili kwanza tuone na Leo atafanya nn maana anaonekana akiwa kwenye hali hii akili kama zinarudi ,"
Aliongea Celina na wote wakaona ni sawa ,

Balozi akasogea tena ili am bembeleze Celina lakini Celina akarusha jiwe lingine likampata la mgongoni ,

"Nimesema usinisogelee ,kaa mbali na mimi""
Celena kichaa alijibu tena kwa hasira ,

Kumbuka mama stefano na mumewe hawamjui barozi na ndio maana wanamshangaa mala amuite Celina kichaa mkewe , na ni mala ya pili sasa anakuja na kugombana na Celina kichaa ,na hawakujua kama huyu ndio mumewe ,

Celina mtoto anamjua barozi kuwa ndie baba yake na celena sasa hapa kinachomshangaza kwanini anamuita mama yake mkewe,

"Mama inatosha nazani unajua ninavyojiskia nikikuona upo hivyo ,,""
Celina alijalibu kumtuliza mama yake,

"Mwanangu Celina niache tu ,ungejua alichonifanyia huyu mwanaharamu ,basi ungeniacha nikalia mpaka nichoke mwenyewe,""
Celina kichaa alimkumbatia mwanae nakuanza kulia tena kwasauti ,
Baba Stefano akamfuata barozi nakumwambia aondoke na aje siku nyingine maana leo hawawezi kuelewana ,
Barozi alimwangalia baba Stefano akamfananisha yaani nikama alishawahi kunuona mahali ila hakumbuki ni wapi,lakin pia baba Stefano na mama Stefano wamefanana na Celena yaani kama mtoto wao ,

S"amahani naomba nikuulize hivi yule nimwanae kweli au,,""?
Barozi aliuliza , huku akimwangalia Celina mtoto jinsi alivyofanana na mwanae Celena ,

"Ndio ni mtoto wake wa kumzaa kabisa ,,""
Baba Stefano alimjibu barozi,

Inamaana Celina alikuja akapata mtoto,,"" ?
"alizaa nanani,na imekuwaje ,"
Balozi aliwaza huku anapanda kwenye gar yake nakuelekea nyumbani kwake,

Alipofika kwake akajitupa kwenye sofa huku akiwa na mawazo tele,
Sasa itakuwaje au nimrudie mke wangu ,?
Au niongee ukweli kuwa mtoto huyu sio wangu,?lakin watu watanionaje,na baba wa hawa watoto ninani,?

Shkamoo baba ,,"
Celena alikuja na kumsalimia baba yake ,lakini baba alikuwa mbali kimawazo na hata hajaskia salamu ya mwanae,

Babaa,,"
Celena aliamua kumtingisha baba yake na barozi akastuka kumuona Celena

Vipi mwanangu umekuja mudaee ,,"
Barozi aliongea huku anamkagua mtoto wake maana bado alikuwa haamini kama niyeye alijua niyule Celina kule ndio kaja,

Hakyamungu hawa watoto ni mapacha ,,"
Aliwaza barozi wakati anamkagua Celena ,

Baba mbona unaniangalia sana ,,"?

Aah hakuna mwanangu ,ulisema unamjua yule mama kichaa ,"?
Barozi alimuuliza mwanae,

Ndio baba namjua tena ni mama yake na na yule msichana tuliefanana sana ,""
Celina aliongea bila kujua anamchanganya baba yake kabisa,
Kama nikuchanganyikiwa baba huyo alichanganyikiwa haswa,
Alijiuliza siku huyu mtoto akigundua kuwa hapo sio kwao itakuwaje,na mama yake atakuwa katika hali gani,?

**
"Huyu baba itakuwa ni mume wa yule dada aliekuja juzi na kama ni mkewe basi Celina atakuwa ni mtoto wao , sasa swali je mbona kama hawamjui huyu Celina ,"?
Walijiuliza mama na baba Stefano bila kujua kuwa huyo Celina ni mtoto wao wenyewe na wanaishi nae kama kumpa msaada tu yeye pamoja na mama yake kichaa ,
Celina mtoto alikuwa anam bembeleza mama yake huku mama huyo akilia huku anakumbuka mbali sana,

Celina kichaa alikumbuka mbali sana sema ndio hivyo kumbukumbu zake hazidumu ,siku hiyo alikumbuka kuna siku aliamka asubuhi na alitapika sana ,unajua celina alikuwa anajitambua japo alikuwa kama zezeta na viungo vyake kukakamaa kama mtu aliepooza,
Sasa anakumbuka siku hiyo alijitapikia sana na asubuhi yake akanikokota mpaka nnje nia yake ni kumuona barozi amwambie yeye anajihusi kama mjamzito ,
Na kweli alifanikiwa kutoka na kwabahati barozi nae alikuwa anatoka kwenda kazini kwake ,wkakutana mlangoni ,celina alikuwa hawezi kuongea vizuri kutokana na mdomo wake kwenda upande ,hivyo alianza kumuoneshea kwa ishara kuwa mbona kama anjihisi mjamzito ,lakini barozi alimwangalia kwa zarau ,na akampita kama hamjui ,celina akaona nibora aende akamzuie getin wakati anatoka na gari ili amuelezee ,

"Nitakugonga mshenzi wewe toka hapo ,,""
Barozi alimwambia celina wakati celina anamuoneshea kwa ishara tu kwamba anahisi yeye ni mjamzito na pale alipo anaumwa,

"Wee yakobo hebu mtoe huyo ,,"
Barozi alimwita mfanyakazi wake ili aende akamtoe celina pale getini ,yakobo alishindwa maana hata yeye alimuonea sana huruma celina ,

"Mariaaa ,,njoo umtoe huyu mi nipite,""
Baada ya yakobo kushindwa barozi alimwita maria na maria alipokuja na jinsi anavyomchukia akamshika mkono na kum buruza kama anaburuza mbuzi ,huku anampiga makofi yanguvu na barozi hakujali ndo kwanza aliwasha gari lake na kuondoka zake,

"We unajifanya unamimba wewe ,mpuuzi kabisa yaani unajitapisha ili uonewe huruma ,heheheeeee,,haloooo,,,kwataarifa yako tu mi nakwambia mimi ndio nitamzalia mtoto barozi ,sio wewe mpuuzi ,""
Maria alisema huku anampiga mateke ya tumboni ,maskini celina alijihisi maumivu sana sikuhiyo alilia sana ,na hakujua afanye nini ,kitu pekee alichokiona kuliko kuteseka hivi nibora anywe sumu tu ajifie zake ,
Jioni yake barozi aliporudi ,celina alijikokota tena na safari hii aliingia mpaka sebuleni akawakuta wamekaa wamekumbatiana yaani maria na barozi ,
Celina aliomba asikilizwe japo dakika moja ,lakini maria alisimama na kumsukuma na teke mpaka nnje huku barozi akicheka cheka tu ,

"Bora umemtoa maana hali yahewa ilishaanza kubadilika hapa ,""
Barozi aliongea huku akimimina wain kwenye grasi,
Celina akarudi tena na safari hii aliambulia kipigo tena mbele ya mumewe ,

Nimekwambia usiwe unaingia humu kwanini huelewi ,"sas ukiniona niko na mume wangu naomba usisogee eneo hilo sawa,,"??
Maria aliongea kwa sifa na akamalizia kumpiga na teke latumbo ,
Celina alisikia maumivu kupita kiasi na damu zilianza kumtoka ,maria bila hata ya huruma akam buruza na kumtoa nje ili asichafue mazuria meupe ya mule ndani ,celina alipofika nje akili ikamruka yaani hapo ndipo uchizi ulipomuanza ,hakuelewa tena kama damu zinamtoka ,hakujua tena kama pale alipo niwapi ,cha ajabu aliweza kusimama na kuanza kuzurula hovyo ,
Balozi alijona hali ile lakini hakujali na celena alipopata upenyo alitoka nje na kuzurula huku nakule ,na ndio ukawa mwanzo wa ukichaa ,hakujua tena ile mimba iliendaga wapi nakama ilitoka ilitoka vipi maana akili ilihama kabisa,


Aisee tuishie hapa mi machozi yananilenga lenga ,😭😭

Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu moja tu,
Namba ni 0655772653 NJOO WHTSAP

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19


Baba Celena alistuka kumuona mkewe ameanguka , huku akitoka na mapovu mdomon ,haraka na upesi akaita wafanyakazi na kusaidiana kumkimbiza hospital, Celena alikuwa analia tu nakuita mamaa ,mamaa ,
Walimuwahisha hospital na haraka na upesi akapatiwa matibabu ya kuuwa sumu kwenye mwili na akalazwa akiwa bado hajitambui ,
Baba Celena alikosa majibu aliwaza mke wake amepatwa nanini hakujua kabisa kuwa ni ile soda ndo chanzo ,
Alirudi nyumbani akiwa na mtoto wake Celena pamoja na wafanyakazi wake ,
Baba Celena alikuwa na mawazo sana ,aliwaza kilichomkuta mkewe na hajui kama atapona na aliwaza kuhusu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-watoto-mapacha-kipande-cha-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-watoto-mapacha-kipande-cha
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

865
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

728
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

505
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

175
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

102
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

53
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest