Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
Gonga94 · Stories

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana kwakweli, lilinifanya nikaamini yale maneno ya dada kwamba alitumia pesa zake ili tu kunipata uzuri tulikuwaga hatujawaeleza wazazi wetu chochote kuhusi hili ila ilikuwa inaniuma sana hil nikifikiriaaa nilikuwa nishaanza kumpenda na kumuwaza nikimuona yeye ni wa maana, ila niliendelea kwenda kazini na pale tulipohamia sikuwahi kuwaza kuhama kwasababu kam alitumia pesaa zake ili anitumie basi yale ni malipo yangu, na kuhusu gari sasa hivi nilikuwa nishaweza kuendesha tayari, sikuwa tena na haja ya dereva hizo gharama za kumlipa dereva bora nikale kuku wa KFC

Upande wa kina Zakia, James alijua kwamba Zakia alikuwa akimsaliti na akaaamua kumbwaga na kumuacha kivyake atajua mwenyew, na yeye pia alikuwa msaada mkubwa sana kwake yule mwanamke mpuuzi, na Zakia alikuwa akinifuatilia sana na ile kuona mafanikio yangu akataka kujilinganisha na mimi, kwahyo akawa anamfosi Hussein mpaka Hussein akawa anaiba pesa kwenye kampuni yao kwa ajili ya kumridhisha zakia hadi Hussein akajulikana kweneye kampuni yao wakamfukuza kazi ikabidi wategeemee duka, nalo liliwashinda wakaamua kuliuza tu ili wa afford mambo mengine yani mambo yakawa tafrani kwao maisha yaliwawia magumu sana, kila walichojaribu kilishindikana hadi Zakia ikabidi awe anatumia mwili wake. kutafuta pesa hii ilimuumiza sana Hussein kwasababu hakutaka mwanamke wake changing na mwanaume mwingine, ila ilikuwa haina jinsi, yaani kwa sababu ya ile tabia ya zakia walijikuta wote wamepata maradhi ya ukimwi walidhoofika ila Hussein alikuwa ananitafuta sana maana alijuta hata kuniacha mimi nilikuwa hata sijui akaja akaniomba msaada ila niseme tu ukweli msaada nao sikuwa nao kwasababu wenyewe waliyonifanyia. inatosha na hayo ni malipo yaao, wajijulee wenyewe mimi mwenyew nina shida zangu kibaoo zimejaa wasinisumbuee miee

Ila upande wa dada angu aliendelea na saloon na tayari alikuwa ashapata umaarufu mkubwa. na saloon yake ilikuwa na wafanyakazi kwa sasa, na kingine alipata mchumba wa kumuoaaa ,aliolewa na ndoa yake ilikuwa pambe na sasa hivi yupo kwake ila hii ilinifanya ninyong'onyee nilijihisi sina bahati maan hata niliemuamini tena kanipotezeaa yaani kanibwaga, dada alikuwa ananipamoyo tu na upande wa kazini James aliendelea kunipa moyo alikuwa ananiambia Ellias ananipends labda tu yatakuwa yametokea matatizo ndio maana hivii vimetokeaa nilijaribu kuwaelewaa sana

Hii siku nimekaaa zangu officine napigiwa simu kwamba kuna ugeni wako nyumbani, nikauliza ni nani wazazi wangu wakaniambia amekuja na familia yake na amejitambulisha anaitwa Salim nilishangaa sana Salim mbona mimi simjui, nilisema nikimaliza kazi ntakuja

Nikamaliza kazi jioni nikarudi zangu nyumbani na gari langu, nafika ndani naambiwa wameleta barua na mahari kabisa, nilishangaa yaani mtu simjuii alete barua na posa pamoja hapana nilisema warudishe tu hivyo vitu mimi sipo tayari, mama alisema sasa binti utakaaa hivi mwenyewe mpak lini sasa mwanangu lazima utafute mwenza dada nae alikuwa amekuja alinishawishi sana na mtu pekee niliekuwa namsikiliza kwa sasa kuliko wote ni dada na niliona sasa kam mtu kaja katoa vyote kwa pamoja maan yake ananifahamu na ananipenda sna nilikubali, na ndoaa ilipangwa baada ya wiki moja

Nilikaaa wiki nzima sijamuona bwana harusi wala yeye hakuwa hajaniona yani tukaonana nilikuwa natawa japo hyo hyo wiki moja nilikuwa tayar tu kuolewa ili niamini kwamba na mimi nina nyota kwenye mahusiano, tena niolewe hata na nisie mjua yaani nilikuwa nimefika mbali kimawazo

Wiki moja, ikapita na siku ya harusi sasa ndio hadi nishamaliza kusema nimekubali mara tatu ndio nakuja kumuoan bwana harusi ule muda wa kuja kunifata chumbani namuona ni Ellias, haya hata nikikataa ndio nishakubali kuolewa tayari yeye alikuwa na tabasamu ila mimi sikuonesh tabasamu usoni ila moyoni nilifurahia hili kwakweli maaana niliolewa na ninaempenda ila nilikuwa nina hasira naee jamni sio poa....

Itaendeleaaa.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18



Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana kwakweli, lilinifanya nikaamini yale maneno ya dada kwamba alitumia pesa zake ili tu kunipata uzuri tulikuwaga hatujawaeleza wazazi wetu chochote kuhusi hili ila ilikuwa inaniuma sana hil nikifikiriaaa nilikuwa nishaanza kumpenda na kumuwaza nikimuona yeye ni wa maana, ila niliendelea kwenda kazini na pale tulipohamia sikuwahi kuwaza kuhama kwasababu kam alitumia pesaa zake ili anitumie basi yale ni malipo yangu, na kuhusu gari sasa hivi nilikuwa nishaweza kuendesha tayari, sikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

711
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

656
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

648
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

629
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

614
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

414
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

268
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

220
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

109
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

98

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.51K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.68K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.54K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest