Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tano  (  5  ) *************
Gonga94 Β· Stories

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tano ( 5 ) *************

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ????????
Sehemu ya Tano ( 5 )
*************
@Kila Mtu
????????????????????????????????????????????????
Hakuwa mwingine bali ni Penina ,huyu ni rafiki yangu wa toka utoto naweza kumuita best friend maana amekuwa na mimi kwenye nyakati zote.Na ndo mtu pekee ananielewa tena naweza kusema kuliko hata dada zangu, basi Penina alitembea huku akiongea. "Wema unataka kumwambia nini mrembo wangu ,ajaribu kumtafuta ili iweje ?" Aliongea na kukaa pembeni yangu na kunishika kwenye paji la uso kama vile ananipima joto, Wema kuulizwa vile kajibu. "Unauliza amtafute ili iweje kwani hujui akili ya Adam anaweza kusema hivyo kesho akarudi ""Arudi kwamba kuna kitu kasahau?, kwanza usitake kuniambia hujaona kama amempost mpenzi wake mpya" "Nimeona na ndo maana nikawa nampigia sm mgonjwa wetu ila hakutaka kupokea naona heartbreak inamfanya akose nguvu ya kuongea na sm" "Kumbe umeona ila ukawa unamuenjoy mwenzako?maana ulivyokuwa unamuuliza nikama hujui kitu" "Aaah jamani sasa mimi najua nini ? Me nimeona jamaa kampost mtu na makopa kwa wingi nikasema nimuwahi ndugu yangu asije kujipiga kitanzi.Bahati nzuri nimekuta mzima wa afya sema amelia sana hadi uso umejaa , sema nini pole ndugu yangu me naamini amefanya hivyo kwa hasira tu akiwa sawa mtaongea ." Aliongea Wema Penina akataka kumjibu nikamuwahi na kusema . "Hakuna penzi tena kila kitu kimeshakufa, sasa niwakati wa kuanza safari mpya" niliongea kwa huzuni sana Wema akanijibu. "Hizo safari ambazo umekuwa ukianzisha na kuishia njiani wallah zinachosha ,lakini haya yote unayataka wewe"Wema alivyosema hivyo Penina alikunja uso na kumuuliza" Wema unataka kusema nini?" "Aaah nimesema anayataka mwenyewe,kama angekuwa hataki angefanya maarifa wala hili penzi lisinge kufa kizimbe namna hii" Baada ya Wema kusema hivyo penina alitaka kuongea nikamzuia na kumuuliza Wema . "Wema! Sikuelewi unataka kusema mimi nimetaka iwe hivi?""Ndio ,kwani ni mara ngap nilikwambia mtengeneze ukaona oh nimambo ya kishirikina haya kaondoka . Sasaivi unaanza upyaa sa sijui huchoki au mwenzetu unaona sawa tu" Nilicheka kinafki na kumuuliza " Wema unataka mimi nimroge mwanaume ili iweje kwa mfano? Yaani kwanza naanzaje kwenda kwa mganga ?" "Aaah unaanzaje!? endelea kuuliza hivyo hivyo ,utakapo fika miaka 40 bila ndoa ndo utaelewa , we unafikili watu wote waliopo kwenye ndoa wameingia kwa mwanaume kupenda?.Dada watu wanaroga sasa we shanga shangaa tuone utafika wapi" "Nahisi bado sijakupata, kwahiyo unataka kusema ili ni olewe natakiwa kumpiga mtu libwata si ndio?" "Eeh kwa nuksi uliyonayo shoga angu unahitaji msaada ,laa sivyo utachunda shost " Nilimuangalia Wema nikawa kama vile simuelewi vile ,unajua kauli ya kuwa nimroge Adam hajaanza kuisema leo. Lakini mara zote nilijua anatania ila leo naona kweli ana maanisha anachokisema .Nilishusha pumzi ndefu na kumwambia "Wema! Katika vitu ambavyo sitakaa nikafanya kwenye maisha yangu nikumwendea mtu kwa mganga. Na sio kumwendea tu bali sitakaa mimi Elena nikakanyaga kwa mtu anaeitwa mganga iwe ni kwashida yoyote ile sitawahi. Kuhusu ndoa naelewa kwamba wenzangu mmepata bahati hiyo mapema na mnaenjoy, hongereni ni bahati kwenu. Ila mimi nitasubiri hata ipite miaka mingapi bado nitasubiri, unajua kwanini ? Namuamini Mungu, najua anampango mwema juu yangu.Maana ananiwazia mema ,na kamwe hawezi kuniacha nikaaibia hivyo basi niacheni nionekane mkosi au vyovyote vile mnavyoniona ila mda wangu waja." "Mmmh haya maneno si mageni kwako toka mwaka jana unasema hivyo hivyo ila leo tunaenda kumaliza mwaka ukiwa single singula singwengwe. Sema kwakua umeamua poa ,lakini hii ndio njia pekee iliyobaki kwako ,hata hivyo sioni kama ni shida kwasababu huendi ili kumuua mtu ila unatengeneza kesho yako.""Kesho yangu haitengenezwi na mtu Wema , nitasubiri na nina Imani nitapata hitaji la moyo wangu kwa wakati sahihi" "Wakati gani ambao utakuwa sahihi kwako?, dada usiji sahaulishe na kujifanya kama unamiaka 20 my dear una miaka 30 tena sio 30 tu soon unaingia 31. Sasa niambie hiyo miaka 31 huna mahusiano ya kueleweka na unajifariji eti wakati sahihi , haya tusema sawa ndoa sio fungi lako zaa basi . Maana mda si mrefu utaacha kuona siku na ukishaacha kuona tu jua habari yako itakuwa imeishia hapo utakufa ukiwa huna mtoto wala mume.Na unajua ukiondoka kwenye dunia hii bila kuacha alama ni mwezi tu tunakusahau mazima , so chagua maana maisha niyako" Wema amekuwa ni mtu wakuongea maneno makili au kuropoka bila kufikilia nini anaongea na nilimzoea na kuona ndivyo alivyo. Lakini leo uongo dhambi amenikwaza,si mimi tu hata Penina alikwazika sana na kuanza kujibishana huku kila mmoja akipandisha sauti. Nilikaa kimya huku nikiwaangalia tu, wakajibizana na walipochoka wakanyamanza .Wema hakutaka kukaa tena alichukua pochi yake na kuaga kisha akaondoka . Baada ya Wema kuondoka Penina alinisogelea na kunikumbatia akanambia ,"Usilie wala kuumia jipe moyo huku ukiamini Mungu atakwenda kukupa hitaji la moyo wako. Na usiweke moyoni maneno yote wanayo kwambia ila muangalie Mungu kwa moyo wa imani sawa mpendwa wangu" Maneno ya Penina yaliniingia na kujikuta nikianza kulia , nililia sana na kumwambia " Penina nahisi kuchoka ,ndio natamani sana na mimi kuwa na ndoa yangu.Lakini nitafanya nini ikiwa bado Mungu hajaruhusu hili kwangu, familia yote wananisema na kunifanya nijione kama mdhambi. Wanashindwa kuelewa kuwa sijapenda kufikia umri huu bila ndoa au mahusiano ya kueleweka ,naumia na kuchoka pia . Natamani wanielewe walau nitapata nguvu ya kutembea kwenye njia ya matumaini ila kadri wanavyo nizonga nahisi udhaifu ndani yangu " "Hapana usiruhu kuchoka ,najua ndio unaumia ila kaa ukiamini kuwa utapokea ,na kingine hujachelewa kwa Mungu hakuna kuchelewa.Wala hakuna mahari kuliko andikwa kwamba kila binti anatakiwa kuolewa akiwa na umri flani no, kila mtu anamuda wake ambao Mungu alimpangia kwamba ufikapo mda huo utaingia kwenye ndoa. Hivyo kipenzi changu omba natena ikibidi acha kuomba bali mshukuru Mungu kwani tayari ameshasikia maombi yako kilichobaki ni kupokea sawa" Niliitikia ndio akanifuta machozi na kwenda jikoni kuniandalia chakula ,kilipokuwa tayari alinilisha mwenyewe huku akinipigisha story za kufurahisha ... ...???????? Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.???? Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa????????????????????????????????
..ITAENDELEA...... Hii ni bonge la simulizi isikubali ikupite.
@wafuasi
#itaendelea_story_ni_kali_sana?
Mkiwa wavivu kucoment namimi nakuwa mvivu kupost hivyo comment kwa wingi jamani ili mnie mizuka
# PIA USISAHAU KUNI FOLLOW MIMI KULUTI MC ILI USIWE UNAPITWA NA STORY ZANGU FAIDA YA KUNI FOLLOW NI KUWA WA KWANZA KUPATA STORY KILA NINAPO POST
@everyone

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tano ( 5 ) *************

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ????????
Sehemu ya Tano ( 5 )
*************
@Kila Mtu
????????????????????????????????????????????????
Hakuwa mwingine bali ni Penina ,huyu ni rafiki yangu wa toka utoto naweza kumuita best friend maana amekuwa na mimi kwenye nyakati zote.Na ndo mtu pekee ananielewa tena naweza kusema kuliko hata dada zangu, basi Penina alitembea huku akiongea. "Wema unataka kumwambia nini mrembo wangu ,ajaribu kumtafuta ili iweje ?" Aliongea na kukaa pembeni yangu na kunishika kwenye paji la uso kama vile ananipima joto, Wema kuulizwa vile kajibu. "Unauliza amtafute ili iweje kwani hujui...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aibu-ya-kuchelewa-kuolewa-ilinifanya-nikaolewa-na-jini-sehemu-ya-tano-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aibu-ya-kuchelewa-kuolewa-ilinifanya-nikaolewa-na-jini-sehemu-ya-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest