Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
21 Nov 2025
235 views
VYOTE NDANI GONGA94
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 13 Hyo siku ilipita na Lecturer hakuja alinambia tu hakupata muda na kesho
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yake alikuja akapiga hodi akafunguliwa na mama yangu, mam alimkaribisha kisha akaja kuniita nikatoka sebleni nikamkuta amejitulia zake sebuleni amekaaa kwenye mkeka maan hatukuwa hata na makochi, aliinua macho akanitizama jinsi nilivyoumia maana nilitoka nimefunga khanga na t-shirt lenye mikono mifupi, kwahyo kuna sehemu za miguuni zilikuwa zinaaonekana na sehemu za huku mikononi pia zilikuwa zinaonekana ukijumlisha na rangi yangu hivyoo makovu ni rahisi kuonekana, nilisogea karibu yake nikakaa pembeni yake, mama nae akatuacha akatoka nje
"Pole Asmy, kwa yaliokukuta sawa mpenzi wangu?" Nilitabasamu tu sikumjibu alinisogelea akanikiss kwenye paji la uso "Unateseka sana au nikuoee nikutoee kwenye haya mateso?" Aliongea kana kwamba anataniaa maan aliniuliza utasema vile tunavyowadanganyaga watoto ety kula twende mjini? Nilitabasam tu na mimi nikajifanya natania na mimi nikakubali tena niliongea kwa madeko "ndio baba angu, bora tu niolewe na wewe nitoke humu mama yangu ananitesa" niliongeaa kwa madeko kweli huku namtizama ila moyoni nilikiwa nahisi ni ananitania tuu "Basi sawa ngoja nimalize haya mambo ya kipindi huko chuo nikafanye mambo mengine afu nakuoaa sasa, ila natoa mahari kabisa na barua inakuja kesho" nilitoaa macho wewe mimi nikajua ananitania jamani kumbe yuko serious "Heee! Wewe upo serious,?" Ilibidi na mimi nikaze macho sasa maana niliona kabisa hii issue ni serious hamna jokes
"Ndio kwani kuna tatizo si umekubali mwenyewe kipenzi changu?, mimi natoa kabisa barua mwezi wa 11 nitakuwa siko busy tena sawa mamy? Ujue wewe mimi nikisema nikuoe sasa hivi nitakuwa sipo huru na wewe tena kipenzi changu, nataka tuenjoy mimi na wewe, mimi sio muongo wala sikupangi is truee"alisema hayo huku ananipapasa usoni mwangu maana muda huo nilikuwa nimemuegemeaa kwenye bega lake nilizidi kushangaa jamani "kwahyo unanikubali licha ya kwamba nina scandal chafu?" Alinitizama kwa upole huyu mkaka jamani na jinsi alivyo na macho mazuri "usijali mimi nakuoa wewe, sioi scandal zako, nimekupenda wewe mwenyew na sio scandal zako sawa binti wa kiarabu?" Alinizid kunilainisha kwa maneno yake nikaona yes mwanaume huyu hapa jamani na jinsi anaongea taratibu nikajikuta hadi naanza imagine ett nimeolewa na mambo yatakayo kuwa yanatokea humo ndani nikiwa kama mke wa lecturer ila hzi akili jamani hapana
"Unawaza nini mke wangu kipenzi?, da mashavu wangu amenifurahisha sana kwenye hili kha huyu mkaka nilikuwa natamani nimkumbatiee duuh! Jamani mama yake kaweza kam kijana ndio nilijikuta tu nacheka maan huyuu hakukosea kuzaa mtu kama huyu hongera kwa Mama mkwe jamani maaana hapa kamaliza kila mkaka anapenda huyu afu anajielewaa bado ni mzurii
"Ngoja nikaongee na mama nje afu nakuja nikupeleke hospital afu kuna sehemu nakupeleka sawa mke wangu" akanichumu kwnye paji la uso na kutoka nje kwenda kuongea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Stephen Azizi Ki na Thembinkos Lorch wametoa somo kwa wachezaji kwamba soka ni Karia ya muda mfupi ukipata fulsa itumie mapema.
Nyota Hawa wawili wameondoka Wydad Casablanca na kufuata pesa nyingi zaidi kule Al Ittihad ya Libya. Lorch na Azizi Ki ...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
kutaka kumpandishia Bruce Lee ila watu wakaingilia na Jackie Chan mwenyewe anasema alishukuru watu waliingilia na pia b...
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 13 Hyo siku ilipita na Lecturer hakuja alinambia tu hakupata muda na kesho
yake alikuja akapiga hodi akafunguliwa na mama yangu, mam alimkaribisha kisha akaja kuniita nikatoka sebleni nikamkuta amejitulia zake sebuleni amekaaa kwenye mkeka maan hatukuwa hata na makochi, aliinua macho akanitizama jinsi nilivyoumia maana nilitoka nimefunga khanga na t-shirt lenye mikono mifupi, kwahyo kuna sehemu za miguuni zilikuwa zinaaonekana na sehemu za huku mikononi pia zilikuwa zinaonekana ukijumlisha na rangi yangu hivyoo makovu ni rahisi kuonekana, nilisogea karibu yake nikakaa pembeni yake, mama nae akatuacha akatoka nje
"Pole Asmy, kwa yaliokukuta sawa mpenzi wangu?" Nilitabasamu tu sikumjibu alinisogelea akanikiss kwenye paji la uso "Unateseka sana au nikuoee nikutoee kwenye haya mateso?"...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter-13-hyo-siku-ilipita-na-lecturer-hakuja-alinambia-tu-hakupata-m