Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
22 Nov 2025
448 views
VYOTE NDANI GONGA94
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *Chapter 14&15* Alitoka nje na kuniacha mimi ndani nipo najichekea chekea
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
utadhani chizi kaona bia mpya, alikaa huko sijui waliongea kitu gani mimi na imagination yangu nipo busy naendelea kuimagine jinsi nitakavyokuwa najishongondoaa hukoo uwil mama misifa miee full kuimagine hapo ambae angeniona angekufa kwa kucheka haki ya Mungu mara nashangaa mama anaingia ndani
"We mjinga mwenzako anakusubiri hukoo nje haya wewe hata hujajiandaa utaenda kuchagua hivyoo vitu umevaa hivyoo hebu wahi mjinga wewe, ila wewe mhhh haya inukaa lione zembe kwel" nilichukiaa yaani ananiambia hivyoo wakati mimi hapayeye kaniumiza ndio kafanya hata nisitoke afu ananichamba nilimkata hilo jichoo la we haya endelea nikaondoka zangu kuingia ndani kujiandaa nilivaa zangu baibui langu jeusi na mtandio mweusi kwa kuficha mialama yangu, alionisababisha huyu mama yangu bi Aysher Shadol, na ila nilipendeza kutokana na msaada ya asili yangu na urembo wangu wa kitanzania jumlisha Iraq basi nilinoga balaa, nilijua kama nimenoga baada ya kuwa kwanzia natoka mlangoni mpaka nafika kwenye gari langu Lecturer ni ananitizama tu kwa macho ya kutamaushwa nilijua tu nimependeza, nilifika kwenye gari nikafunguliwa mlango jamani nilijona kama vile princess jaman mhh nikakaa nae siti ya mbele "umependeza sana malkia wangu, ungekuwa unavaa hivi hivi kila siku ungeonekana mrembo zaidi mpenzi wangu" nilimtizama tu nikatabasamu basi hapo ni nina sifiwa njia nzima mpaka nasikia sasa kero japo nilikuwa napenda ila ilikuwa dakika 5 kanisifia, dakiak 5 zingine kanisifiaa tena basi nilijihisi mimi ni malaika Wallah japo kuna muda nilihisi ananikera mimi duuh..
Tulienda sehemu moja kam mall kubwa hasa pale kila kitu kina bei aliniambia nichague kila ninachokitaka nikabaki namshangaa alitabasamu akanambia tu niwe huru kuchagua nisiogope kitu vyote ni mali yangu, awe hapo nilitmani hata watu wote mtoke duniani nibaki mimi.na Lecturer wangu jamani mnisamehe tu ila ndio nilivyowaza akilini mwangu hhh mi nae sometimes ni kama vile navuta bangi
Tulichagua vitu vingii jamani mpaka nikawa nasema sijui kama kwenye buti vitatosha maana nilikuwa naviona ni vingi mnoo Wallah, maan kulikuwa na vitu vya kula, nguo, pia alive quest sehem moja hiv papo keko pale kwenye furniture wapeleke nyumbani mimi hiyo sikujua ila niliona niliporudi nyumbani, huyu kaka aliamua. kunifanyia shopping jamani mmmmh jaman maan tu vile vitu viligharimu pesa nyingi bado hizo furniture japo sikuona alipokuwa analipa maan alikuwa analipa kwa njia ya kuscan na
Tulitoka hapo akanipeleka kule ambapo alisema nikafanye kazi, nilitambulishwa sikuwa najua kama hata ile ni hospitali yake niliwekwa kitengo cha madawa, kumbe hata pale chuo yeye amekuja kama kusaidiaa tu kutufuaa sisi wanafunzi wa mwaka wa tatu japo hapo mimi nishatoka kwenye sisi, nilikuwa nashangaa moyoni nikajua tu anavitu vingine kuachana na hivi, tulipo maliza huko tulienda sehemu ya kula huko nilimuuliza kuhusu maisha yake binafsi maan mimi siwezi kuolewa na mtu nisiyejua maisha yake
Alinambia kwamba yeye hana wazazi na amelelewa kweny kituo cha watoto yatima hivyo kasomeshwa na wasamalia wema, ila kupitiaa elimu yake yeye alifanikiwa aliishia hapo hakuezeaa zaidi nilimuonea huruma sana maana hta kwenye ndoa alisema atakuja kufatilia msimamizi wa kwenye kile kituo alichokulia, maan ndio kam mzazi wake nilijikuta nazod kumpenda jamni ila sikuuliza kuhusu swala la mahusiano wala nini mimi sikutaka kujua kuhusu hayoo, baada ya hapo alinirudisha nyumbani, tuliagana na mambo mengine yakaishia hapo, nikaingia ndani kwetu na yeye akaondoka zake
Itaendelea......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Sehemu ya : 1 π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Mapenzi jamani ni kitu cha ajabuπ€¦ββοΈ, ni bahati sana kwa mtu kumpata kirahisi yule aliepan...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, teg...
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *Chapter 14&15* Alitoka nje na kuniacha mimi ndani nipo najichekea chekea
utadhani chizi kaona bia mpya, alikaa huko sijui waliongea kitu gani mimi na imagination yangu nipo busy naendelea kuimagine jinsi nitakavyokuwa najishongondoaa hukoo uwil mama misifa miee full kuimagine hapo ambae angeniona angekufa kwa kucheka haki ya Mungu mara nashangaa mama anaingia ndani
"We mjinga mwenzako anakusubiri hukoo nje haya wewe hata hujajiandaa utaenda kuchagua hivyoo vitu umevaa hivyoo hebu wahi mjinga wewe, ila wewe mhhh haya inukaa lione zembe kwel" nilichukiaa yaani ananiambia hivyoo wakati mimi hapayeye kaniumiza ndio kafanya hata nisitoke afu ananichamba nilimkata hilo jichoo la we haya endelea nikaondoka zangu kuingia ndani kujiandaa nilivaa zangu baibui...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter-14-15-alitoka-nje-na-kuniacha-mimi-ndani-nipo-najichekea-cheke