Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MAMA WEEEE UTANICHANA? ???? Sehemu ya kwanza.

1st Jun, 2025 Views 302

?MAMA WEEEE UTANICHANA?
????

Sehemu ya kwanza.

Oya shoga sikukuu zinakaribia izi unasemaje mipango mapema tu usije ukachina.

" Zai sikukuu ndio zinakuja ila mume wangu atajua yeye atafanyaje.

" Happy nilikuona mjanja kumbe auna lolote ivi sasa ivi kila kitu umtegemee mume utafanikiwa kweli ndio mwanzo tarehe 25 iyo uje uvae dera la elfu 6 shauri yako na mwaka mpya huo unakuja maisha kujiongeza shoga nakwambia ukweli.

" Zai wewe ivi umtegemei mumeo unataka kuniambia?.

" Namtegemea ila sio sana kidogo tu kwenye 100 namtegemea 20 imeandikwa amtegemea binadamu mwenzie amelaaniwa hehehehe halooo shoga fungua nati iyo kichwani iliyokaza.

" Zai kupendeza kote uku sio kazi ya mumeo hii inamaana kuna kitu unafanya mumeo ajui?.

" Happy nikwambie kitu wewe tafuta bwana nje ila sio hapa mtaani mbali uko ila bwana umwambie ukweli kuwa una mume hili asikusumbue usiku alafu yule bwana pesa zake ndio za nguo na kubandika kope lakini hapo uwe unafanya biashara ya kumdanganyia mumeo hili mumeo ajue pesa ya mabadiriko unatoa kwenye biashara kumbe wapi mwanamke kujiongeza hehehehe happy utaki kung'ara kama mimi.

" Zai mwenzio naogopa kweli sijawai kutoka nje ya ndoa mimi toka niolewe.

" Happy sasa style mpya utazitoa wapi utachina mimi ni shoga yako fata ushauri wangu au nimwambie bwana angu kesho aje na rafiki yake maana ninaye wangu uko bagamoyo.

" Mmm sasa zai si ataniona mimi maraya Jamani.

" Happy wanaume awana ayo ya kufikiria sana wewe kesho muage Mumeo unavyojua twende bagamoyo ila hii siri usije ukamwambia tatu maana tatu yule si unamuona alivyo kama mzee vile msichana mdogo kajifuja.

( Jamani naitwa happy nakaa mbagara rangi tatu tamaa izi ziliniponza naomba twende wote kwa pamoja kwenye mkasa wangu huu)

Kweli tuliachana na zai nikiwa na wazo la kuja kumdanganya mume wangu hili kesho niende uko kwa mwanaume hili niwe kama zai kwakweli zai anapendeza mtaa mzima wanamsifia anajua kutupia,

Basi bahati nzuri mume wangu alinipigia simu na kuniaga anasafiri kikazi ghafra ila atarudi wiki ijayo,

Nikaona wala sioni sababu ya kumuaga si naenda tu bagamoyo mara moja alafu narudi kimya kimya,

Nikamwambia zai mume wangu kasafiri basi alifurahi sana asubui asubui alikuja na taiti akanipa nikavaa juu nikavaa tenge tukatoka zetu tukaondoka,

Mpaka bagamoyo akaniambia,

" Toa tenge ilo mtoto umbo lionekane.

" Jamani nikatoa tenge sijawai kuvaa taiti mimi imenibana alafu nitembee Basi nafata anachoniambia tukaenda kwenye nyumba moja akagonga tukaingia ndani tumewakuta wanaume wawili,

Mimi ata sijui shemeji yangu ni yupi sasa kati ya wale naona wote wananiangalia mimi mbele,

Kumbe mashavu ya k? ma yangu yamejichora vizuri kabisa,

Zai akaniambia,

" Happy uyu anaitwa robyson na uyu anaitwa Patrick ila mimi wangu uyu robyson sasa hapo pengine nawaachia wenyewe.

" Yule Patrick naona anasema kwa kilugha yani wanaongea lugha ambayo naisikia.

" Uyu happy itakuwa ana k?..ma nzuri sana cheki tumbua lilivyojaa Leo nitalifahidi.

" Alafu namsikia robyson ambaye bwana wa zai.

" Mpira pasi wewe Leo kesho niachie mimi ata mimi nimeona tumbua ilo limejaa udenda umenitoka kweli kikubwa tumpe pesa za kutosha tu uyu mzuri kuliko rafiki yake miguu kama banio.

" Zai ananiambia,
Yani hawa wanapenda kuongea kilugha sasa ona uyo Patrick anavyocheka ongeeni kiswahiri uko au tufundisheni na Sisi kilugha.

" Mimi nilitamani kucheka ila naona maajabu tu yani awajui najua lugha na kama zai angejua ameitwa miguu kama banio angekasirika,

Moyoni nasema Leo tu kesho siji uku yani wote wawili wanilale zai akijua si ugomvi huu,

Basi Patrick akanishika mkono ananiambia,

" Twende chumbani uku hawa wana chumba Chao twende tukaonge kikubwa uku.

" Jamani nilienda mpaka chumbani nikakaa kitandani sasa akaenda bafuni akarudi na boxsa nashangaa mbeleni kumetuna kitu kama mkono wa mtoto,

Alafu ananiambia,

" Happy ujavua tu au unataka tuanze kupiga story story kizamani mimi nina nyeg? acha nivue.

" Jamani alitoa ile mb?? yalinitoka macho sikuwai kuona mb?? ndefu kama ile...

Dah yani..

ITAENDELEA .
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest