Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*  🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________*  *SEHEMU YA SITA*  Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida
Gonga94 · Stories

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________* *SEHEMU YA SITA* Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, kWa upande wangu nilikuwa na maumivu ambayo Sijui ata niwaelezee vipi, Yaani maumivu ambayo kimoyomoyo nilikuwa nikijiambia Kuwa sitakuja kucheza Tena huu mchezo Walahi, Yaani nilikuwa nikijiapiza Mara Mbili Mbili.

"Anaya, usille sasa si unaona watu wamejaa mlangoni hapo jamani"

Alizungumza frank akiwa na wasiwasi sana, akiangalia na mazingira ya ofisi yalivyokuwa ndio kabisa, Yaani ofisi ilikuwa vuluvułu kwaajili ya mechi yetu ya kipuuzi.

"Vas Bası"

Alizungumza frank uku akinisaidia kuvaa baada ya yeye kumaliza kuvaa.

Baada ya kila kitu Kuwa Sawa na frank kupulizia air freshener polepole Frank akafungua mlango. na wafanyakazi pamoja na baba frank na flora wakaingia wakiwa na wasiwasi sana,

"Kuna nini?"

Flora aliuliza akiwa na wasiwasi sana, si unajua Tena mambo ya bff, Yaani huyu dada alitokea kunipenda sana na Mimi nilimpenda pia.

"Anaya amepata miscarriage alikuwa anajiweka Sawa ili nimuwaishe hospital"

Alizungumza frank Tena alidanganya uongo ambao ata Mimi ulinishtua sana kwakweli miscarriage ya gani Tena jamani wakati mtu Ametoka kuvunja kuta Tena Wala hakuwa amenionea huruma Mtoto wa mwenzie.

Kila mtu alijikuta akinionea huruma sana na kunipa pole za kila aina, kwa haraka flora na frank wakasaidizana kwaajili ya kunipeleka hospital kwaajili ya kwenda kusafishwa.

Nilipelekwa kwenye hospital ambayo flora na frank walionekana kujulikana sana na aswaah aswaah frank, Sijui Frank alishawasiliana na mtu maana nilipokelewa na kupelekwa kwenye chumba cha emergency.

"Mimi siumwi dokta"

Niliamua kujitetea maana kwa muda huo ni Mimi tu na dokta ndio tulikuwepo umo

"Najua usijali, frank ameniambia kila kitu, so usijali tutakaa kwa muda wa Lisaa moja tu kisha nakupeleka kwenye Wodi ya mapumziko na baadae nitakuruhusu kwenda Nyumbani"

Nilijikuta nikimkodolea macho huyo dokta uku Nilijiuliza amelipwa kiasi gani mpaka kufanya kazi kubwa kiasi hiki? Frank alifanya yote haya

ili kumuaminisha kila mtu Kuwa nimepata miscarriage na watu wasiweze kujua ni kitu gani kilitokea.

Baada ya muda nikatolewa kwenye chumba cha emergency na kupelekwa kwenye wodi ya kawaida.

"Unaendeleaje?"

Frank aliniuliza baada ya kubaki Mimi na yeye kwenye chumba cha hospital.

"Umeniumiza sana, naumia mpaka muda huu"

Nilizungumza kwa kudeka nikiamini Kuwa Frank atanionea huruma na Kuwa Mpole mbele yangu, lakini ilikuwa tofauti sana kwani Frank akaanza kunifokea.

"Uliyataka Mwenyewe lakini, hivi Anaya hivi wewe ndio hauna akili kiasi hiko? Yaani kukushika kidogo tu ukaamua kujiachia Mwenyewe Kama uko na mwanaume wako si ndio? Anaya Mimi ni mwanaume nikipata mwanamke ajiheshimu Kama wewe Basi

ninachokifanya ni kupita tu, yaaani shwwaaah, Kwahiyo wewe kwangu umekuwa Kama Mbuzi tu aliyefia kwa muuza Supu"

Nyieeeeh nilijikuta nikijisikia vibaya sana, Yaani

Sawa nilishadhalilika kwa vitendo lakini bado Frank ameamua kuniambia kabisa kwa kinywa chake, nilibaki nikimuangalia tu frank uku machozi yakinitililika.

"Naomba niende Nyumbani tu

Nilizungumza uku nikitaka kunyanyuka kutoka kitandani..

"Acha ujinga wako wewe, unajua flora ameendal kukuchukulia uji upate kunywa "

Nilimuangalia frank kisha kwa hasira nikajibu.

"Kama uliweza kudanganya mwanzo na kila mtu aka kuamini, sizani Kama utashindwa kudanganya kwa wakati huu"

Nilimyanyuka zangu kisha huyo nikaondoka zangu nikiwa na maumivu ya mwili lakini pia na maumivu ya moyo baada ya kupewa maneno makali sana na frank

Nilitoka nje na pasi na kupoteza muda nikatafuta usafiri na kuondoka zangu.

KWa upande wa kazini kila mtu aliamini uongo ambao aliutoa frank hivyo boss wangu akanipatia mwezi mzima wa kujiangalizia Nyumbani, naweza nikasema Kuwa ilikuwa ni

kitu kizuri sana kwa upande wangu kwaajili ya kuweka akili yangu Sawa lakini pia kuepuka aibu kubwa ya Kuwa Karibu na frank.

Hatimaye likizo yangu iliisha lakini bado nilijikuta nikiwa na wasiwasi sana wa kwenda kazini, Yaani nilijikuta nikitaka tu kuacha kazi kabisa.

"Anaya Mdogo wangu, yaliyotokea yameshatokea na uwezi kupingana na ukweli, wewe kuacha kazi sio solution kabisa Sawa?

Unachotakiwa kufanya kwa sasa ni kufocus na kazi yako, huyo frank Sijui Nani Nani Wala asikutibue akili yako na hayo maneno yake ya kipuuzi Sawa Mdogo wangu ?"

Alizungumza dada yangu ambaye kwangu alikuwa ndio kila kitu na mambo Mengi. Nimekuwa nikimshirikisha pasi na kumficha ata kitu kimoja.

Hatimaye siku ambayo niliitajika kwenda kazini, niliamua kusikiliza ushauri wa dada yangu na pasi na kuona aibu nikarudi zangu kazini nikiwa ni mtu Mpya kabisa..

Sio kwamba niliacha kumpenda frank hapana lakini niliona Kuwa ni mtu ambaye anifai na kilchotokea ilikuwa ni ujinga wangu tu

Aaah kitu ambacho sikuwaambia ni kwamba, kipindi ambacho nilikuwa likizo, frank amekuwa akinipigia simu na kunitumia sms lakini sikuwa Nikijibu Wala kupokea simu zake.

KWa upande wa wazazi wangu niliwadanganya Kuwa mwezi huo ofisi yetu ilikuwa na shidal hivyo kazi tunafanyia Nyumbania.

Flora alifurahi sana kuniona ofisini kwa Mara nyingine Tena, wafanyakazi wenzangu pia walifurahi sana, moja kwa moja nikanyoosha njia na kwenda ofisini kwangu ambapo. nilikutana na frank akiendelea na kazi,

Ule msemo wa ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni ndio huu sasa, Yaani Frank kitendo cha kuniona tu alijikuta akifurahi sana na kwa bashasha akanyanyuka na kunikumbatia kWa nguvu sana nika.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________* *SEHEMU YA SITA* Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida

, kWa upande wangu nilikuwa na maumivu ambayo Sijui ata niwaelezee vipi, Yaani maumivu ambayo kimoyomoyo nilikuwa nikijiambia Kuwa sitakuja kucheza Tena huu mchezo Walahi, Yaani nilikuwa nikijiapiza Mara Mbili Mbili.

"Anaya, usille sasa si unaona watu wamejaa mlangoni hapo jamani"

Alizungumza frank akiwa na wasiwasi sana, akiangalia na mazingira ya ofisi yalivyokuwa ndio kabisa, Yaani ofisi ilikuwa vuluvułu kwaajili ya mechi yetu ya kipuuzi.

"Vas Bası"

Alizungumza frank uku akinisaidia kuvaa baada ya yeye kumaliza kuvaa.

Baada ya kila kitu Kuwa Sawa na frank kupulizia air freshener polepole Frank akafungua mlango. na wafanyakazi pamoja na baba frank na flora wakaingia wakiwa na wasiwasi sana,

"Kuna...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-6-10-__________________________________________-sehemu-ya-sita-frank-alikuwa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani
🥺🥺 *MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *1-5*   *SEHEMU YA KWANZA*  Call me Anaya, last born kwenye familia ya watoto wanne uku wanawake tukiwa wawili na wanaume wakiwa wawili.
🥺🥺 *MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *1-5* *SEHEMU YA KWANZA* Call me Anaya, last born kwenye familia ya watoto wanne uku wanawake tukiwa wawili na wanaume wakiwa wawili.
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA TISA*  "Hellow Anaya, nimerudi kwaajili yako"
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA TISA* "Hellow Anaya, nimerudi kwaajili yako"
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*    *SEHEMU YA NANE*  Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA*  Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

889
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest