VYOTE NDANI GONGA94
"โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐๐ Sehemu ya Saba. ๐ Mama hawa...๐ Unavuka mipaka unaniletea mwanaume nyumbani kwangu.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" Koma wewe uyu ni mzazi mwenzangu kaja kumwangalia mwanawe na umemkuta chumbani si yupo hapa sebuleni wewe ulivyonioa ujaniona na mtoto sasa uyo mtoto nilijiweka mwenyewe.
( Hawa akaingia ndani akaona kinawaka sasa ivi...ila Rama akuongeza neno akaingia chumbani...sasa kitendo cha Rama kuingia chumbani uku baba hawa alitoka mbio akajua kaenda kuchukua siraha...cha ajabu na mkewe Rama kakimbia yani wametoka wote....Rama anatoka ndani ajabeba chochote akamwita hawa)
" Hawa.
" Abee baba.
" Mimi naondoka funga mlango usiache mlango wazi.
" Sawa baba.
" Ila uyu mama yako kuna kitu ananitafuta si unaona wamekimbia waache tu.
" Baba usije ukamdhuru mama mimi mwenyewe nashangaa kwanini mama anafanya aya.
" Usiwe na wasiwasi acha niwai kazini.
" Sawa baba.
( Rama anaenda kazini anawaza aseme anyamaze au afanyaje anafika kazini anamuona side anawazingua watu)
" Nyie pesa Ingekuwa raisi kuipata kama ny*ge wote tungekuwa na pesa ila pesa sio nyege.
" Side Leo umepagawa na nini mbona unatukana.
" Nyeg* matusi kuna watu zinawaghalimu kwenye maisha yao nyege ameolea nyege sasa vinawalamba.
( Rama akatulia akaisi kama anaambiwa yeye akawa bize kumsikiliza mala side akaanza mada nyengine sasa inamgusa Rama)
Nyie kukaa na mtoto wa kufikia baba yake yupo hai kipaji kuna siku anaweza kuja kumwangalia mwanawe alafu wewe Muda wa kwenda kazini umefika je utamuacha Ex wa mkeo kwako uwende kazini?
( Rama akanyanyuka akaondoka sehemu iyo alafu uku kuna mtu akamjibu saidi)
" Ayo mawazo finyu nia yako utengeneze chuki kwenye familia za watu mwanamke kama anakuheshimu awezi kutoka na ex wake.
" Wewe ujawajua wanawake oa mwenye mtoto ukikaa vibaya anakuja kuweka mtoto wa pili mwanamke akiwa kwako utashangaa mtoto wako anafanana na kaka yake wakati kaka yake kafanana na baba yake.
( Yani side yeye yupo kwa ajili ya kuwakwaza watu tu walio na watoto kwenye ndoa zao....Rama alitoka jioni akarudi nyumbani kwake akamkuta hawa ameshapika ameshaweka maji akaenda kuoga akala akapumzika kwenye sofa hawa akamsogelea baba yake akamwambia tena)
" Usije kumpiga mama.
" Siwezi.
( Mala simu ya hawa inaita anapiga mama yake Rama akamwambia hawa naomba iyo simu)
"baba naomba nipokee tu mimi mama atanipiga kama siku ile.
" Pokea.
( Hawa akapokea akamsikia mama yake anasema)
" Mwanangu uyo Rama karudi?
" Bado.
" Sasa Kesho wewe utaondoka hapo utaenda kukaa kwa shoga yangu hapo uniache mwenyewe nipambane najua hili niliomfanyia awezi kuvumilia ngumi zitalika.
" Mama nikakae kwa shoga yupi?
" Mama kijacho.
" Mama Hapana unakumbuka aliingiza bwana ake wakati mimi nipo ndani na walilala kitandani mimi nikalala chini ile ni ishara tosha ananifukuza mama kwanini usije kumuomba Samahani baba muyamalize.
" Baba yako yupi?
" Uyu wa hapa.
" Uyo Rama acha uchizi baba yako yule aliyekuja mchana alafu mimi sijazaliwa kuomba Samahani wewe Kesho utaondoka hapo nimemaliza.
( Mama yake akakata simu hawa akabaki na mawazo mazito...sasa Rama akamwambia Rama)
" Usiwaze siwezi kukubali wewe uondoke yani mama yako anataka wewe uteseke.
" Ndio yani mama sijui yupoje๐ญ๐ญ.
( Rama akamsogeza hawa miguuni akampakata anamfuta machozi uku anamwambia)
" Usilie basi hawa ukilia utaniliza aya nyamaza.
" Naumia mama anavyolazimisha nikuite Rama naumia Kesho naondoka.
" Uwezi kuondoka hawa si unanipenda baba yako?
" Ndio nakupenda.
" Aya nyamaza sasa usilie.
" Sawa.
" Naomba basi hawa kama Jana.
" Jana nini?
" Ukaninyoshe alafu Leo na wewe nakunyosha hawa Sawa.
" Mimi sifanyi kazi mwili auchoki.
" Nitakunyosha kidogo kazi ya kupika nayo kazi inaumiza kiuno hichi.
( Rama akamshika kiuno hawa na hawa akaruka kwa mstuko yani kama katekenyeka ivi)
" Mbona umestuka hawa.
" Mkono wako umenitekenya.
" Mmm hawa ngoja Niguse tena nione utastuka.
" Baba usiniguse tena.
( Safari hii akamtekenya makusudi hawa akaweweseka)
" Yalaaaaaaaaa baba unanitekenya uko...
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
ITAENDELEA
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtoto-wa-mke-wangu-sehemu-ya-saba-mama-hawa-unavuka-mipaka-unaniletea-mwanaume-nyumbani-kwangu