Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

โค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu  kama ya mama yake๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›...๐Ÿ‘‡
Gonga94 ยท Stories

โค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu kama ya mama yake๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›...๐Ÿ‘‡

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


( Jamaa udenda wa tamaa ulikuwa umemkamata anawaza ataanzaje sasa...wakati anawaza hawa akajipalia wakati amelala akaanza kukohoa....hapo jamaa akarudi ndani fasta...hawa akakohoa mpaka akaamka akaingia chumbani kwake akavaa nguo fasta ata kunawa uso ajanawa akaanza usafi yani anaishi kwa mashaka kama vile ayupo na mama yake mzazi...jamaa akatoka akamsalimia)

" Hawa ujambo.

" Sijambo baba Shikamoo.

" Marhaba.

" Samahani baba naomba umwambie mama mimi siwezi kukuita wewe Rama.

" Achana nae mama yako alikuwa na hasira zake tu.

" Sawa baba.

( Jamaa akaenda kuoga...akamuachia pesa hawa alafu akaenda kazini uku anasema kimoyoni...shetani wa matamanio toka kichwani mwangu.....akafika sasa kazini akakutana na story za watoto wa kambo)

" Rama afadhali umekuja hapa tuna swali mfano pesa yako ndogo alafu upo na mtoto wa kambo na upo na mwanao pesa inatosha suruali moja wewe utamnunulia nani?

" Sitanunua nitaitunza pesa nipate nyengine nitapotaka kununua nanunua mbili.

" Rama ngoja labla ujaelewa uyu mtoto wa kambo baba yake yupo sio kama amekufa.

" Ndio nitafanya kama nilivyokwambia.

" Kumbe Nyie ndio mmerogwa na wake zenu uyu mwenzio anasimamia misimamo kama wewe tu.

" Sasa wewe side unafanyaje?

" Namnunulia mwanangu kuishi na mtoto wa kambo kipaji yani baba yake pesa anawekeza kwenye mwili wewe unawekeza pesa kwa mtoto wake siku mkikutana sehemu ex wa mkeo kapendeza wewe umenyorodoka utaona mkeo anaenda kupasha kiporo mwenyewe ajui wewe uwezi kupendeza pesa zinaishia kwa mangi muuza unga na mchele alafu ex zinaishia kupiga pamba.

" Side ayo mawazo ya mtu mwenye roho mbaya mtoto wa kambo ni mwanao wangapi unaona wanasaidiwa na watoto waliowalea.

" Ujinga huo sina mimi kama nitalea mtoto wa kambo baba yake awe amekufa sio yupo hai.

" Duu side Muda wa kazi huu.

" Poa tupigeni kazi.

( Ni mazungumzo ya kazini ayo jamaa alipiga kazi mchana anampigia simu mkewe simu aipokelewi...akatulia...akaendelea kupiga kazi mpaka jioni anapiga tena aipokelewi....akarudi nyumbani kwake akamkuta hawa ameshamaliza kupika na kashamtengea chakula....jamaa akaenda kuoga akaona na maji kawekewa...akamaliza kuoga akamwambia hawa)

" Hawa nitafanya mpango hapa aje mfanyakazi uwe unapata Muda wa kupumzika.

" Baba Samahani naomba ukanisomeshe ujuzi wowote ule namwambia mama ananijibu nishakua nisubili mume yeye uwezo wake uliishia kidato cha nne.

" Dah Sawa wewe fikilia ujuzi gani nikulipie usome.

" Fundi cherehani.

." Sawa nitakupeleka chuo kabisa.

" Nitashukuru baba.

( Jamaa akakumbuka mkewe apokei simu...akamwambia hawa)

" Ivi simu yako ina dk.

" Zipo ila nimeifunga na lababendi mfuniko umepasuka.

" Lete nimpigie mama yako.

" Sawa.

( Akaona atumie simu ya mtoto labla itapokelewa...kweli alipopiga simu ya mkewe ikapokelewa anasikia mkewe anasema)

" Aya mwanao kapiga maana Leo unajifanya umemkumbuka kwa sababu tupo kitandani.

( Jamaa akapaza sauti)

" Mke wangu unanisaliti..

Maoni

You're not logged in


profile
majario 08 Oct 2025 11:23
โค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›

Sehemu ya tatu.

๐Ÿ‘‰ Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu kama ya mama yake๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›...๐Ÿ‘‡
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

โค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Mama yake alisema uyu hana jina langu kwenye kadi alafu aniite Rama sio baba kumbe anayo tu kama ya mama yake๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›...๐Ÿ‘‡



( Jamaa udenda wa tamaa ulikuwa umemkamata anawaza ataanzaje sasa...wakati anawaza hawa akajipalia wakati amelala akaanza kukohoa....hapo jamaa akarudi ndani fasta...hawa akakohoa mpaka akaamka akaingia chumbani kwake akavaa nguo fasta ata kunawa uso ajanawa akaanza usafi yani anaishi kwa mashaka kama vile ayupo na mama yake mzazi...jamaa akatoka akamsalimia)

" Hawa ujambo.

" Sijambo baba Shikamoo.

" Marhaba.

" Samahani baba naomba umwambie mama mimi siwezi kukuita wewe Rama.

" Achana nae mama yako alikuwa na hasira zake tu.

" Sawa baba.

( Jamaa akaenda kuoga...akamuachia pesa hawa alafu akaenda kazini uku anasema kimoyoni...shetani wa matamanio toka kichwani mwangu.....akafika sasa kazini akakutana na story za watoto...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtoto-wa-mke-wangu-sehemu-ya-tatu-mama-yake-alisema-uyu-hana-jina-langu-kwenye-kadi-alafu-aniite-ram

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtoto-wa-mke-wangu-sehemu-ya-tatu-mama-yake-alisema-uyu-hana-jina-langu-kwenye-kadi-alafu-aniite-ram
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

782
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

673
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

508
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

450
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

285
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

47
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

2

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.47K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.56K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.47K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.45K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.43K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. Itโ€™s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest