*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
Alizinyonya kwa madaha hatari hadi nilikuwa nakosa uvumilivu nilikuwa najinyonga nyonga kiuno
Huku nikichezea kicha chake na nikiguna guna kwa mahaba
Akashuka hadi kwa bibi alinibinua vizuri na kuingia kati kati akaanza kuniyonya hadi raha nilikuwa hoi jamani shemeji
Shemeji aliendelea namimi nilikuwa nakikata kiuno chini chini huku nikitoa sauti za mahaba na nikichezea kichwa cha shemeji
Alipo hakikisha nimelegea vyakutosha alivua boxa yake na kutoa mashine kisha aliizamisha taratibu akiwa kanibinua miguu juu
Asikuambie mtu niraha sana nilitoa sauti tamu tamu tuu za mahaba ndio alizidi kunogewa
Namimi nilikuwa nikimuona katulia namfunyia kwa ndani hadi anauguruma kwa raha aliniambia Sasha wewe mtoto mbona mtam hivi
Nilimjibu asante wewe pia mashine yako nitam sana unanijulia unanipa hadi nahisi nipo ulimwengu mwingine kabisa asante sana
Shemeji Alex aliniambia kweli Sasha
Nilimjibu hakika huku nikiwa katikati ya mchezo
Ndio akaongeza kasi na alivyo na nguvu jamani aliniwezea hadi ana piz uku akiwa kanishikilia kwa nguvu jamani na huku akiunguruma kama mnyama
Baada ya kumaliza alinilalia kiguani alikuwa kachoka hoi
Mimi pia nilikuwa hoi tulitulia kama dakika tano hivi nilimuamsha twende tukaoge Alex kisha ndio tuje tulale
Aliinuka na kuninyanyua kwa mapenzi yoote akaniweka chini alipofika bafuni
Kisha akafungua bomba la mvua tuliloana pamoja huku nikimtizama na mapigo ya moyo yalikuwa yananienda mbio
Alinikumbatia na kuniambia nakupenda sana sasha
Nilimjibu nakupenda pia Alex wewe nimwanaume pekee katika moyo wangu amini hilo ila tuu usije kuniumiza
Alex alijibu sitosubutu hata kidogo labda wewe uamue kwakuwa unajua mimi nimume na baba tayari
Nilimjibu hiyo sio sababu niliviona hivyo vyote bado nilikuchagua yoote nimapenzi tuu
Tulikumbatiana kisha tulioga na tulipomaliza tuliludi.kitandani kulala hadi asubuhi ilifika
Shemeji alipotizama saa muda umeenda Valentino atakuwa kaisha amka munguangu sijui itakuaje
Nilimuambia basi tulia kwanza nitoke nimtizame ndio uondoke chumbani kwako istoshe leo nisiku ya jumapili atakuwa bado kalala
Nikainuka nilichukia dira nikavaa na kisha nilitoka nikaenda jikoni sebreni kote siku muona nikaenda kumgongea chumbani kwake
Alipoitikia ingiatuu nikamwambia shem Alex haya unaweza kwenda sasa dogo yupo chumbani kwake
Ndiopo akatoka namimi nikaingia chumbani kwa Valentino na kumkuta akiwa kajilaza kitandani
Nilianza na kumuambia Valentino najua unanichukia sana lakini mimi nakupenda sana mwanangu
Ndio nimekosea lakini hii sio adhabu nzuri unayonipa ningumu sana kwani nimekuzoea mimi alafu nakupenda sana
Valentino alikuwa kimya tuu hakuongea kitu
Nikamwambia kesho naondoka na naenda mbali kabisa na upeo wa machoyako
Karibu kwangu ukisha maliza hasira zako kwani bado nakupenda na mimi na babaako tulisha amua tusi sogeleane tena hatutaki kukuudhi kwani tunakupenda sana
Hivyo nakuomba utusamehe mwanangu na usije muambia mamaako nimesha jua nimekosa na nahaidi kuwa sitorudia tena
Valentino aliniuliza je akija baba yeye mwenyewe
Nilimjibu namfukuza sitaki kukuumiza na kukutesa wewe
Valentino aliniambia sawa ila usije ukarudi mamdogo mimi sitaki mamaangu aumie na sipotayari kuona baba na mama wana gombana kwaajili ya ujinga wenu
Kwani hukuona wanaume wengine huko nje mpaka awe baba tuu eeh
Nilimjibu basi sasa Valentino nimekuelewa sito kuwa karibu tena na kwakuwa nahama nakuomba uwe na amani tuu
Huku kimoyo moyo nikisema siwezi hata kidogo kukaa mbali na babaako utani samehe tuu mwanangu
Moyo ukipenda unajua unapenda aswaa kuwa utayaona sio kosa lako
Kisha Valentino aliniambia sawa haya nime kusamehe
Nikamuuliza tunaweza kuwa marafiki tena kama mwanzo eeh
Valentino alijibu ok sawa tunaweza
Kisha tulipeana mikono nikamu hug na kisha nilimuambia haya oga tukanywe chai maana nataka nitoke mimi
Nikamuacha anaenda bafuni kwake nililudi chumbani kwangu nikaanza kujiandaa
Tulikutana mezani wote tukanywa chai na baada ya kifungua kinywa niliondoka zangu kigamboni kusimamia jinsi walivyokuwa wanapamba
Hakika kazi ilikuwa imekamilika pamependeza sana nikajisemea kesho nitahamia nimechoka manyanyaso
Nikampigia simu shemeji na kumuambia kazi imekamilika nahitaji kwenda kuchukua dada pale wa nyumbani maana panahitaji kausafi kidogo
Alafu mimi nita amia kesho kwakweli sipendi nigombane na dada au Valentino
Shemeji alinijibu ok sawa kwakuwa nataka amani kote kote nisawa kwa sasa upo wapi
Nilimjibu bado nipo hapa kigamboni ila natarajia kutoka nikitoka nitapita kwa yule wakala wa mabinti kisha nitarudi nyumbani
Shemeji alijibu ok sawa ila jitahidi uludi nyumbani mapema na uwe makini sawa
Nilimjibu ok sawa nitajitahidi kisha nilikata sim na kuchukua pochi yangu nikafunga milango na kutoka
Nikachukua bajaji hadi maeneo ya mwana nyamala kwa wakala wa mabinti
Nilipofika nikaongea na huyo wakara kisha aliniletea mabinti nikachagua binti mmoja kisha nililipia na kumuambia wakala
Nitakuja kumpitia kesho maana leo naenda kwa dadaangu
Kisha niliinuka na kuondoka zangu nyumbani nilipofika niliingia ndani na kumkuta Valentino akiwa sebreni anatizama TV
Aliponiona alinisalimia kisha nilienda zangu chumbani kwangu
Nilienda bafuni moja kwa moja nikaoga na kisha nilivaa dira langu kisha nikaenda dining kula chakula
Dada aliandaa chakula tukakaa na kula kwa pamoja na shemeji alikuwepo tulipo maliza kula kisha tulienda vyumbani kulala
Nikiwa chumbani kwangu nimeji pumzisha alikuja shemeji kwa kunyata na kuniambia nataka kukukumbatia usiku mzima leo
Nilismail na kumjibu karibu kitandani mpenzi wangu
Alipanda kitandani nikampokea akanikumbatia kwa nguvu nikambusu kisha tulilala tukiwa tume kumbatiana
Hadi palipokucha asubuhi niliomba cha asubuhi kwa staili ya uchokozi kwani nilianza na kumnyonya akiwa bado anajigeuza geuza
Niliishika vizuri mashine yake na kuinuonya taratiibu nilinyonya kama mtoto mdogo asie na meno
Shemeji aliniambia asante huku akinipapasa kichwa kwa rahaa alikuwa ana unguruma
Raha zilipo mkolea aliinuka na kuniinamisha kisha aliingiza mashine yoote kwa taratiibu
Wow jamani hadi raha nilibinua kiuno juu huku nikiwa nimeweka kifua chini
Alinishika kiuno huku akinipa shoo hadi raha mpaka nilikuwa nalia kwa raha jamani
Mpaka tunapiz kwa pamoja asikuambie mtu cha asubuhi kitamu sana kisha tuliinuka na kwenda kuoga pamoja
Shemeji akaanza kunitani yaani wewe mwenzio nilikuwa bado nalala umeniharibia usingizi wangu
Nikamjibu sasa hujui ukiwa karibu yangu nilazima unipe haki yangu
Akaniambia hakika muda wowote unakaribishwa hakiyako iko tuu
Nikamuambia asante baba haya tumalize kuoga haraka uende chumbani kwako dogo asikuone maana sitaki matatizo nataka niondoke sarama
Shemeji alijibu sawa ila kama unaenda kule kigamnoni nitakuja muda sio mrefu nataka kuwa karibu yako tuu
Nilimuambia ok sawa haina shida unakatibishwa saa yoyote kisha tulitoka kuoga na shemeji alivaa nguo kisha aliondoka na kwenda chumbani kwake
Nilivaa na kuandaa vitu vyangu vizuri kisha nilienda kumuaga Valentino na kisha nilitoka na kwenda kubeba vitu vyangu nilichukua bajaji na kuondoka
Nilienda hadi kigamboni nikafungua geti na kuingia ndani niliweka vitu vyangu nikampigia simu wakala wa wadada nikampa maelekezo aniletee huyo binti aje nayeye apajue alipo binti yake
Kisha nikampigia sim na shemeji nikamuambia nimefika tayari kwangu anakaribishwa
Akaniuliza ulikula kweli au ndio umeondoka tuu
Nilimjibu niliondoka tuu
Akaniambia nakuja na chakula ule sawa mpenzi
Nilimjibu sawa
Kisha alikata simu niliingia chumbani kwangu na kuanza kupanga panga vizuri kwakweli nyumba ninzuri sana
Baadae alifika shemeji na chakula alikuwa kanibebea alinunua njiani
Nika mkaribisha kwa mbwembwe mabusu pamoja na romance
Akaingia alipasifia hakika pamependeza sana hapa ndio pata kuwa pakupumzikia kabisa na huu utulivu nitakuwa nakuja kilasiku
Nilimuambia nitafurahi sana karibu mlango upo wazi kwaajili yako
Wakati tunaongea shemeji alikuwa kakaa na mimi nilikaa miguuni mwake kama mtoto mdogo
Kidogo nilisikia hodi
Nikamuambia sasa tuweke na mlinzi wa getini kwani kutoka hapa hadi getini nikipengele
Shemeji Alex alijibu tayari nimesha ongea nao atakuja leo jioni
Nilimbusu na kumuambia ndio maana nakupendaga
Alex aliinuka na kwenda getini kumfungulia mlango
Endelea kufuatilia..........
Full 1000
15
Alipofika getini akafungua alikuwa wakala wa mabinti na binti Alex aliwakaribisha ndani wakaingia
Kisha alikuja na kuniita njoo sebreni uone wageni wako
Nilitoka na kuonana na huyo wakala kisha tulikubaliana na akaondoka Nilibaki na dada kisha nilimuonyesha chumba chake
Akaenda kuweka vitu vyake nikamuonyesha mazingira na kumuelekeza jinsi ya kufanya usafi kisha nilimuacha nikaenda zangu chumbani kwangu nilikuwa na shemeji Alex
Tulipumzika huko tulitaniana na kucheza cheza ila kunamuda tulipitiwa na usingizi muda kidogo
Tulipokuja kushtuka nilikuta msd col kuitizama alikuwa dada
Na shemeji Alex nae alipotizama simu yake akakuta msd col ya dada akasema ngoja nimpigie
Akapokea dada na kumuambia mimi tayari nimesha rudi nilitaka uje uwanja wa ndege kunichukua naona upo bize kidogo
Shemeji alimjibu samahani sikuwa karibu na simu kwahiyo umesha fika nyumbani
Alijibu dada ndio nipo na Valentino sasa hapa
Shemeji alishtuka na kunjibu nakuja sasahivi mkewangu
Dada akajibu njoo vipi na sasha mbona sijamuona hapa nyumbani alikuaga nimempigia simu nae hapokei
Shemeji Alex alijibu mmh sijui hajaniambia kitu mimi kwani hapo nyumbani hayupo
Dada alijibu hayupo nimemkuta Valentino na huyu binti
Shemeji Alex alijibu kwakweli sijui wewe mtafute tuu mwenyewe huyo mdogowako
Kisha dada alimjibu ok sawa basi njoo nimekumis mumewangu kisha walikata sim
Nilimtizama shem Alex nikamuambia ndio unaenda kwa mkeo sasa
Alex alijibu kwa usalama wa penzi hili wacha niende mpenzi unajua kuwa nakupenda sitaki kukupoteza kabisa
Kisha Alex alinikumbatia nakunibusu kisha aliniambia badae tutawasiliana kuwa makini nakupenda
Nilimjibu nakupenda pia mpenzi nilimsindikiza hadi kwenye gari akawasha nikamfunguria geti kisha akaniambia
Mlinzi atakuja leo jioni kuwa na amani sawa nipo nawewe muda wote
Nilimjibu ok sawa mpenzi haya safari njema kisha akaondoka namimi nikafunga geti nakuludi ndani
Shemeji Alex alipofika nyumbani aliingia ndani na kupokelewa na mkewe kwa furaha japokuwa yeye alikuwa hana furaha sana
Dada alimkumbatia na kumchum kisha alimuambia nimekumis mumewangu
Shemeji alimjibu mimipia mkewangu karibu sana nyumbani kwako
Wakashikana na kwenda chumbani Alex akaanza kumuuliza zauko vipi ulichokifuata
Dada alijibu kwakweli safari nzuri kilakitu kimeenda kama nilivyopanga
Walipiga story za hapa na pale mke nae akataka haki yake kwa mume
Shemeji japokuwa alikuwa kachoka choka ila atafanyaje alijitutumua na kumpa shoo ila haikuwa yakibabe saana kama anazotoaga kwa sasha
Basi bwana hadi siku yapili inafika sasha hakuwa ametokea nyumbani dada akamuuliza Valentino mbona mamdogo wako simuoni
Valentino alijibu mamdogo aliniaga tayari amepanga nyumba htutakuwa nae hapa anataka kuanza kujitegemea mwenyewe
Dada alicheka na kusema kwahiyo mnaelewama kiasi chakukupa wewe taarifa asiniambie mimi mkubwa au kumuambia shemeji yake
Valentino alicheka na kumjibu nikawaida tuu mama hivyo wewe muache ila alisema atakuwa anakuja kutuona msiogope
Dada alijibu lazima tukapaone anapoenda kukaa ili hata akiwa na tatizo tujue wapi pakumpatia ngoja nitampigia simu
Kisha alienda jikoni kushugulikia mambo ya chakula
Basi bwana muda ulienda walipata chakula na walipokula wakaenda zao chumba kulala
Muda ulienda sikunazo zilienda kunasiku moja Alex aliiacha simu yake kitandani na kwenda kuoga
Milituma msg ya kumwambia mpenzi wangu nakuhitaji nanyege sana
Dada alikuwa karibu akaiona hiyo msg kisha akaitizama hiyonamba na kugundua ninamba yangu
Alichukia hatari alianza kutufuatilia kwa siri
Kunasiku nilimtumia msg Shemeji aje anipe shoo
Kumbe aliiona hivyo akamsubili atoke ili amfuatilize hadi anapoenda
Nikweli Shemeji alimuaga kwa kumdanganya kisha akatoka na kumfuatilia hadi kigamboni hadi alipoingia nyumbani akafungiliwa geti
Dada alikuwa anamfuatilia tuu shemeji alipoingia ndani ndio akajua kuwa nikweli anakuja kwa
Alianza kutetemeka akajikuta anadondoka chini kwa kuzimi yule dereva wa bajaji akamkimbiza hospital haraka
Akapata hufuma ya kwanza hapo na kupumzishwa ndio wakachukuwa simu yake nakumpigia mumewake
Akiwa kapumzika shemeji Alex alifiks hapo hospital na kumkuta akiwa kapumzishwa
Akauliza kwani ilikuwaje huyu sialikuwa nyumbani nimemuacha
Doctor akajibu aliletwa na dereva wa bajaji yupo hapo nje ongea nae
Alex alimuita dereva wa bajaji na kumuuliza ilikuwaje
Mimi pia nilikuwa njiani nakuja hospital maana tuliambiana tusiongozane tutajulikana
Nilipofika nikamkuta shemeji akiwa na dereva wa bajaji anaongea nae
Dereva alimuelezea kunajamaa tulikuwa tunamfuatilia mimi sikujua ninaniyake tulienda hadi kigamboni alipoona hiyogari inapoingia ndio presha ilimshuka hapo
Shemeji alishika kichwa na kujisemea tumeisha sijui itakuwaje yaani
Mala Doctor alimuita shemeji njoo kwa mgonjwa tayari kaamka
Yaani hata jinsi yakuingia kwenye chumba chamgonjwa ilikuwa tabu shemeji aliingia huku anaogopa hatari
Mimi ndio kabisaa niliganda nje sikutaka hata kuusogelea mlango
Dada alimtizama shemeji kwa hasira na presha tena ikamshuka tena akadondoka hapo hapo shemeji akamuita tena Doctor
Doctor alikuja mbio na kuuliza kunanini tena mbona alikuwa vizuri tuu
Shemeji alijibu sijui itakuwaje anahasira sana namimi
Doctor akamuambia Shemeji haya toka nje tafadhari ila tuitie mtu wa kalibu na mgonjwa sasahivi
Ilibidi Shemeji kutoka na kuja kwangu akaniambia sasa ukisikia balaa ndio hili sasa unajua dadaako amesha jua kilakitu kutuhusu sisi
Nahapo anahasira sana mpaka anashindwa kujizuia mwenyewe anazimia tuu sijui nitamuambia nini na Valentino
Hembu mpigie simu shangazi yako yaani mamaake na dada yako
Nilinyanyua simu nakumpigia shangazi basi bwana shangazi na dada zangu wengine wajomba wote walikuja hospital
Wakasubili akaamka dada wote waliingia hodini ilikuwa ni hospital yakulipia wakawa wanamuuliza mbona hivi unatatizo gani mpaka unalipa nafasi unalishindwa mpaka uzimie tunavyo kuamini hivyo
Alianza kulia mamaake akamwambia haya lia toa hasila zako lia kisha utatueleza lia mama
Dada alilia sana kwakweli nilijificha nje sikutaka hata kusogea maana najua jaramba nilangu sijui nitauficha wapi uso wangu
Dada alilia kisha alitulia na shangazi akamuuliza nini tatizo
Aliinua uso na kuuliza sasha yupo wapi
Wakamjibu yupo nje
Dada akajibu naomba niitieni
Wakaja kuniita niliingia ndani nikinyata nahuku nikiwa nimeinamisha sura yangu chini
Dada akaniuliza wewe na shemeji yako mnauhusiano gani sema
Watu wote walikuwa wananitizama mimi tuu nilijibu
Mimi na shemeji nimtu na shemeji yake
Dada akajibu hilo ndio tunalolijua jee hilo lingine la siri taja hapa
Nilibakikimya sikuongea
Dada akaongea nilimuona Alex kabadilika sana tabia yake nikaanza kumfuatilia sindio nikahundua sikuhiyo Alex aliingia kuoga kuna msg iliingia kwenye simu yake
Nikaisogerea na kuifungua nikaona hii ninamba ya sasha ila msg ndio nilivurugwa kwami milijisemea hapana huyu sio sasha wangu mimi
Nikakaa tena siku sio nyingi tena niliiona msg inatoka kwenye namba ya sasha akidai njoo haraka bwana kwani nanyege sana
Ndio nikasema nimfuatilie je niyeye sasha jamani nilimuona alex hadi anaingia ndani kwa sasha ndipo nilipo zimia
Jamani nibora mumewangu anisaliti na mwanamke mwengine lakini sio mdogoangu mwenyewe nimemlea mwenyewe
Endelea kufuatilia....
Full 1000
16
Shangazi na kina bamboo wote walitoa macho kwa kunishangaa
Kisha shangazi akaniuliza sasha mwanangu hivi nikweli haya anayo sema dada yako eeh
Nilibaki nikijing'ata ng'ata tuu kisha nikasema nisameheni jamani
Shangazi akaniambia huna hata haya wewe ndio wakumfanyia hivi dadayako kabisa alikuchukuwa ukiwa kadogo na kukaa na wewe haya ndio maripo yake kwake
Mashangazi wengine wakaniambia haya ndio hatukua tunataka maana najua kunawatu hawana shukrani kabisaa hii ndio ile wanaita shukrani ya punda
Wakati wananisema hapo alifika Valentino nae alikuja na kuingia moja kwa moja akakuta nasemwa
Alisikia yoote kisha akanifuata na kuniuliza hivi ndio makubaliano yetu ulivyo yatimiza sio
Mbona umekuwa hivi mamdogo kwangu na mama yangu kwani tumekukosea nini sisi
Nilipiga magoti nikiomba msamaha Valentino aliniacha na kwenda kumkumbatia mamayake alikuwa analia
Nilibaki hakuna aliekuwa ananitizama mimi kabisaa nilikuwa namaumivu makubwa sana kwani hakuna alienipa nafasi ya kunisikiliza hata mmoja wote walimtizama dada pekee
Wakati huo shemeji Alex alikuwa nje aliposikiliza kwa nje vile nasemwa na kila mtu ilimkera na kwavile ananipenda kweli
Aliingia ndani kisha aliwaomba naomba mtoke nje nataka kuongea kidogo na mkewangu kwaujasili kabisa
Watu wote waliinuka na kutoka nje hadi mimi pia nilitoka na Valentino japo kuwa wote walinichukia walikuwa wananitizama kama choo
Shem Alex alimwambia mkewe haya sasa umesha tudhalilisha vyakutosha inatosha kwaleo hamna ruhusa yoyote ya kumsema hivyo mtoto wa watu
Mimi ndio mwenye makosa na wala sio sasha ulisha niuliza kwanini nilifanya hivyo au umekurupuka tuu
Muda mwingi umekuwa ukiniacha na sasha jee uliwahi kunifikilia mimi hata maramoja eeh
Mimi nimwanaume kamili mwanaume lijali hivyo huwezi kunifanya vile unavyotaka wewe nahisia pia sasa jitasimini je ninani mwenye makosa kati yako na sasha
Wakati shemeji akiongea hayo dada alikuwa akitokwa machozi muda wote kwahayo maneno makali
Kisha akamuambia Shemeji mumewangu kweli ndio ufanye hilo na mdogo wangu kweli huoni kuwa umeji fedhehesha sana
Alex alijibu kwangu sija fedheheka bali hawakuwa wanajua kuwa haukuwa makini na majukumu yako kama mke kwangu
Kisha Alex alitoka na kumuacha dada akiwa kakaa analia kwa hasira pekeake kitandani pale hospital
Alipotoka nje akiwa anataka kuondoka shangazi alimuita Alex nataka kuongea nawewe
Shemeji alisimama na kumsikiliza shangazi aliongea kwa uchungu sana
Alex nilikuozesha binti yangu sio wanangu wote wawili na kingine yule kule anamoyo pia usije ukazani yeye ni robot umemkosea sana pia umenikosea sana na mimi
Alex alimjibu najua hilo Mama ila nenda kaa na mwanao muulize alikuwa anatimiza vizuri majukumu ya mke kwangu au anatafuta wakumlaumu sasa eeh
Na kuhusu sasha hanakosa nilikuwa nimebaki nae ndani ndie aliekuwa anafanya majukumu yoote kwangu sasa hata kama niwewe unazani nitafanyaje
Hivyo sioni haja ya hizo lawama zenu kwangu wala kwa sasha mnatakiwa kumfundisha vizuri huyo mtoto wenu
Shangazi alimtizama kwa hasira sana nakisha akaondoka zake akaingia odini kwa dada
Na wengine wote waliinuka na kuingia odini nilibaki pekeangu hapo nje nikilia
Shemeji aliludi na kunishika mkono kisha alinipeleka kwenye gari yake
Nilibaki nikilia na kumlaumu shemeji Alex kwani wewe ndio umeanzisha haya ona sasa napitia magumu haya familia nzima imenitenga mimi
Shemeji alinijibu usiogope nimesha litatua hili wewe tulia tuu na nakuajidi kuwa sitotoka upande wako kamwe kwani nimesha kupenda tayari
Twende nikupeleke nyumbani kuwa na amani kwanza upo na kwako
Aliwasha gari na kunipeleka nyumbani nilikuwa hoi kwa udhuni na maumivu kwani familia yoote imenigeuka mimi
Alex alinifungulia mlango wa gari kisha akanishika na kunisaidia kushuka hukuakiwa kanikumbatia alinishika kiunoni namimi nilikuwa nimemuegemea begani
Tulipogika chumbani nililanda kitandani na kulia sana nikiwa nimejikuja kitandani mithiri ya mtoto mchanga huku nikisema
Nawezaje mimi bila wewe Alex kwani nakupenda sana shemeji alafu nitaiambia nini familia nayo nimuhimu jamani
Nililia huku nikimlaumu mungu mbona umenipitisha kwenye haya majaribu mimi jamani nililia sana
Alex alikuja kwa nyuma na kunikumbatia pale kitandani wakati nalia akaniambia sipo tayari kukuacha usijiumize nakupenda hatakama watakutenga
Nililia sana jamani hadi nilipitiwa usingizii hapo kitandani huku Alex aliwa kanikumbatia kwanyuma
Alipoona nimelala ndio akatoka taratibu na kuondoka zake
Alimuambia dada usimuamshe kwasasa muache alale sawa
Dada wa kazi alijibu sawa
Kisha shemeji aliondoka zake akaludi hospital
Alipofika akakuta ndio karuhusiwa dada alikuwa na ndugu pamoja na shangazi wote walikuwepo
Shemeji alienda akamshika mkono na kumuambia haya twende
Dada alikataa na kumuambia siendi nawewe kisha aliingia kwenye gari ya bamkubwa na kurudi nyumbani
Shemeji alikwenda hadi nyumbani akiwa pekeake wao walikuja na magari yao walipofika nyumbani waliingia hadi ndani na kuketi sebureni
Shemeji Alex alikuja na kuingia hadi chumbani akaenda kujipumzisha huko aliwaacha wao sebreni
Valentino alitoka na kwenda kumfuata babaake kisha alimuambia baba hii ndio ahadi uliyonipa mimi
Shemeji Alex alijibu kuwa Valentino wewe nimtoto kaambali na haya mambo ya wazazi wako sawa alafu wewe nimwanaume utakuja kukutana nayo
Valentino aliamua kuondoka taratibu chumbani kwake na kisha aliamua kuvaa ear phone huku akitoa machozi
Na sebreni shangazi alikuwa karibu sana na dada wakimfariji kwa kuwanae karibu
Hadi muda ulipoenda waliamua kumuaga kisha waliondoka wote ila walimuwekea chuki sasha
Dada alibaki kajilaza hapo sebreni kwa hasira hadi saa saba ya usiku akisubili Alex aje kumfuata lakini il
Itaendelea
KWETU morogoro
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni