Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAM? WA MABOSS???

SEHEMU YA 02

Alex alimkazia Linda macho??alisimama akamsogelea ili amuone vizuri alihisi huenda hakuiona sura yake??

Linda bado alimsukuma na kumwambia awe na adabu siku nyingine laa sivyo atamtwisha chupa ya pombe kichwani abomoe ubongo wake ulio lala

Alex baada ya kuona vile alipiga hatua na kuanza kutoka nje , Alex alitoka kwa hasira na kumpu uza kila aliekuwa anamuomba abaki pale baa na akaingia kwenye gari lake na Michael akiwa amekaa kando yake na gari likaanza kuondoka.

"Msichana huyo ni jasiri sana lakini nikimuona tena, sitamuacha,akasema Alex ?

Walifika kwenye jumba la Alex la kifahari na walinzi wakawafungulia mlango wa gari tukashuka.

"Vipi kuna taarifa yoyote ile kuhusu mambo ya PA" Alex alimuuliza Michael

"Mmmh..........." Michael Aliongea kwa kigugumizi

"Subiri, usiniambie kuwa hukuweka maelezo yoyote kuhusu mimi kutoa kazi hiyo, usikute hauja weka picha yangu, maana naamin WAnawake wakiona sura yangu watataman kufanya sana kazi na mm" akasema Alex ??

"Samahani bado sijafanya hivo... Alisema Michael na Alex akahema na kufoka.
Kwanini unanifanyia hivi,

Yaan Leo mnanitibua TU??,
Kwanza ni yule binti aliyenipiga kofi akaniacha nikiwa na aibu sasa ni wewe ambae huwez kufanya kazi uliopewa, Alex akafoka .

"Fanya kinachohitajika, nataka kumpata msaidizi wangu wa kazi kesho asubuh" Alex alisema kabla ya kwenda chumbani kwake na Michael akaondoka kuelekea nyumbani kwake.

"Michael Ni rafiki yangu lakini pia ananifanyia kazi na namlipa. najua mimi ni mkali kwake lakini ubinafsi wangu na kiburi hauniruhusu nishushe utu wangu,akawaza Alex maana alihisi kama hajamfanyia vzr rafiki yake Michael ??

"Kwa vyovyote vile nilikuwa na siku ndefu sana na nahitaji kulala,akawaza Alex ??

lakini alipokaribia kufunga macho yake ili alale, simu yake ilianza kuita kwenye droo kwa hasira Alex aliutupa mto wake ukutani na ukatua chini
"Nani ananipigia simu sasa hivi, akasema kwa ukali

Alex aliangalia mpigaji na kuona jina la Debby limeandikwa kwenye simu yake na akapumua maana alimsahau kabisa??Debby ni moja ya utm wake??

"Halo Debby" Alex alizungumza huku akionekana kuwa na wasiwasi

"Kwanini umeondoka au nije?" Alisema Debby na Alex alifikiria kwa muda Kisha akamkumbuka yule msichana ambae alimuwasha kibao


"Hapana, usije" Alex alisema

"Sawa, usiku mwema," alisema Debby naalex akakata simu na kulala hii ni mara ya kwanza Alex anakataa ofa ya utm??

Hakutaka kabisa kuwa na mtu siku hiyo kwenye kitnda chake..

Wakati Alex amelala akili yake ilikuwa inawaza lile tukio lililotokea kule baani?? alikuwa anamfikiria Linda akilini mwake..

Upande wa Linda usiku kucha alilala akiwa amechoka sana aliamka asubuhi na kukaa kitandani kwa muda...akiwa amekaa kitndni akaona simu yake pembeni yake , akaichukua na kuanza kuperuzi kwenye mtandao..

Aliona ofa ya kazi ikiwa na picha iliyoambatanishwa kwenye Tangazo., kidogo alipokuwa karibu kutazama picha iliyowekwa pale kwenye Tangazo bando lake liliisha...

Hakuna shida alijisemea ilimradi maandishi yanasomeka wacha nidili nayo??

Aliona kwamba interview ilikuwa inafanyika siku hiyo hiyo, saa mbili asubuhi katika mojawapo ya kampuni kubwa na maarufu huko Chicago...

Linda alisimama na kuelekea bafuni na kufanya shughuli zake huko. Alitoka bafuni na kuvaa...alitaka kuelekea huko kwenye interview?

Linda alifika kwenye kampuni saa 2 kamili asubuhi, aliingia na yule mtu wa mapokezi akamwambia kuwa asubiri kwenye chumba cha kusubiri?

Linda alifika kwenye chumba cha kusubiri na akakutana na watu watano pale...wala hakujua ile ofisi ni ya yule mwanaume aliyempiga kibao jana usiku kule baa???

watu walioingia ndani walitoka kwa sura ya kukatisha tamaa huku wengine wakitoka kwa matumaini kidogo..sijui mimi nikiingia humo itakuwaje..

ilifika zamu yake akasimama na kubisha hodi na sauti ya kiume ilijibu..ingiaa

Linda aliingia kule ndani bila kujua kule ndani kuna Alex na ndo Boss anaetafuta msichn wa kumfanyia kazi zake binafsi??

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 26 Aug 2025 11:39
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

UTAM? WA MABOSS???

SEHEMU YA 02

Alex alimkazia Linda macho??alisimama akamsogelea ili amuone vizuri alihisi huenda hakuiona sura yake??

Linda bado alimsukuma na kumwambia awe na adabu siku nyingine laa sivyo atamtwisha chupa ya pombe kichwani abomoe ubongo wake ulio lala

Alex baada ya kuona vile alipiga hatua na kuanza kutoka nje , Alex alitoka kwa hasira na kumpu uza kila aliekuwa anamuomba abaki pale baa na akaingia kwenye gari lake na Michael akiwa amekaa kando yake na gari likaanza kuondoka.

"Msichana huyo ni jasiri sana lakini nikimuona tena, sitamuacha,akasema Alex ?

Walifika kwenye jumba la Alex la kifahari na walinzi wakawafungulia mlango...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-sehemu-ya-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss-sehemu-ya
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

811
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

581
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

501
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

360
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

304
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

187
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

93
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest