UTAM? WA MABOSS???
SEHEMU YA 02
Alex alimkazia Linda macho??alisimama akamsogelea ili amuone vizuri alihisi huenda hakuiona sura yake??
Linda bado alimsukuma na kumwambia awe na adabu siku nyingine laa sivyo atamtwisha chupa ya pombe kichwani abomoe ubongo wake ulio lala
Alex baada ya kuona vile alipiga hatua na kuanza kutoka nje , Alex alitoka kwa hasira na kumpu uza kila aliekuwa anamuomba abaki pale baa na akaingia kwenye gari lake na Michael akiwa amekaa kando yake na gari likaanza kuondoka.
"Msichana huyo ni jasiri sana lakini nikimuona tena, sitamuacha,akasema Alex ?
Walifika kwenye jumba la Alex la kifahari na walinzi wakawafungulia mlango wa gari tukashuka.
"Vipi kuna taarifa yoyote ile kuhusu mambo ya PA" Alex alimuuliza Michael
"Mmmh..........." Michael Aliongea kwa kigugumizi
"Subiri, usiniambie kuwa hukuweka maelezo yoyote kuhusu mimi kutoa kazi hiyo, usikute hauja weka picha yangu, maana naamin WAnawake wakiona sura yangu watataman kufanya sana kazi na mm" akasema Alex ??
"Samahani bado sijafanya hivo... Alisema Michael na Alex akahema na kufoka.
Kwanini unanifanyia hivi,
Yaan Leo mnanitibua TU??,
Kwanza ni yule binti aliyenipiga kofi akaniacha nikiwa na aibu sasa ni wewe ambae huwez kufanya kazi uliopewa, Alex akafoka .
"Fanya kinachohitajika, nataka kumpata msaidizi wangu wa kazi kesho asubuh" Alex alisema kabla ya kwenda chumbani kwake na Michael akaondoka kuelekea nyumbani kwake.
"Michael Ni rafiki yangu lakini pia ananifanyia kazi na namlipa. najua mimi ni mkali kwake lakini ubinafsi wangu na kiburi hauniruhusu nishushe utu wangu,akawaza Alex maana alihisi kama hajamfanyia vzr rafiki yake Michael ??
"Kwa vyovyote vile nilikuwa na siku ndefu sana na nahitaji kulala,akawaza Alex ??
lakini alipokaribia kufunga macho yake ili alale, simu yake ilianza kuita kwenye droo kwa hasira Alex aliutupa mto wake ukutani na ukatua chini
"Nani ananipigia simu sasa hivi, akasema kwa ukali
Alex aliangalia mpigaji na kuona jina la Debby limeandikwa kwenye simu yake na akapumua maana alimsahau kabisa??Debby ni moja ya utm wake??
"Halo Debby" Alex alizungumza huku akionekana kuwa na wasiwasi
"Kwanini umeondoka au nije?" Alisema Debby na Alex alifikiria kwa muda Kisha akamkumbuka yule msichana ambae alimuwasha kibao
"Hapana, usije" Alex alisema
"Sawa, usiku mwema," alisema Debby naalex akakata simu na kulala hii ni mara ya kwanza Alex anakataa ofa ya utm??
Hakutaka kabisa kuwa na mtu siku hiyo kwenye kitnda chake..
Wakati Alex amelala akili yake ilikuwa inawaza lile tukio lililotokea kule baani?? alikuwa anamfikiria Linda akilini mwake..
Upande wa Linda usiku kucha alilala akiwa amechoka sana aliamka asubuhi na kukaa kitandani kwa muda...akiwa amekaa kitndni akaona simu yake pembeni yake , akaichukua na kuanza kuperuzi kwenye mtandao..
Aliona ofa ya kazi ikiwa na picha iliyoambatanishwa kwenye Tangazo., kidogo alipokuwa karibu kutazama picha iliyowekwa pale kwenye Tangazo bando lake liliisha...
Hakuna shida alijisemea ilimradi maandishi yanasomeka wacha nidili nayo??
Aliona kwamba interview ilikuwa inafanyika siku hiyo hiyo, saa mbili asubuhi katika mojawapo ya kampuni kubwa na maarufu huko Chicago...
Linda alisimama na kuelekea bafuni na kufanya shughuli zake huko. Alitoka bafuni na kuvaa...alitaka kuelekea huko kwenye interview?
Linda alifika kwenye kampuni saa 2 kamili asubuhi, aliingia na yule mtu wa mapokezi akamwambia kuwa asubiri kwenye chumba cha kusubiri?
Linda alifika kwenye chumba cha kusubiri na akakutana na watu watano pale...wala hakujua ile ofisi ni ya yule mwanaume aliyempiga kibao jana usiku kule baa???
watu walioingia ndani walitoka kwa sura ya kukatisha tamaa huku wengine wakitoka kwa matumaini kidogo..sijui mimi nikiingia humo itakuwaje..
ilifika zamu yake akasimama na kubisha hodi na sauti ya kiume ilijibu..ingiaa
Linda aliingia kule ndani bila kujua kule ndani kuna Alex na ndo Boss anaetafuta msichn wa kumfanyia kazi zake binafsi??
Itaendeleaaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100.