Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....
Gonga94 Β· Stories

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
siwezi kukata vitunguu. Siyo kiburi ila sijui kupika... Mtoto wa kishua Mimi, wakati wengine wanafundishwa kushika njiti za kiberiti Mimi nilipatiwa mouse nicheze na kompyuta "

"Mume wangu mtarajiwa jiandae kuhudhuria hotelini nadhani unajua Mimi ni mtu wa mishemishe sijui hata imeku...." Kabla hata Tasha hajamaliza maneno yake alidakwa kwa romance lililobeba hisia.

Kila alipo furukuta ajitoe haikuwezekana, mwisho wa siku alitulia tuli.

Basi Yolanda akiwa anakuja zake jikoni aangalie chakula kilicho salia alishtuka baada ya kuwafuma watu wakibadilishana mate.

Bila kupoteza muda aliwapiga picha kisha akatupia mtandaoni.

"Hatimaye Mrembo wa Tiktok kapata Mume atakaye saidiana naye kuosha vyombo "

Picha ilisambaa kwa haraka sana mtandaoni, yaani ilikuwa ni mwendo wa kufowadiana tu.

Secretary Annie alimtumia Zara, alipoona hajibiwi na huku yuko online alipiga simu kabisa.

"Boss mwenyewe umejionea au nirudie kukutumia tena"

"Kuanzia sasa na kuendelea fanya kazi yako kama Secretary, iwe mwanzo na mwisho kunipigia simu na kunieleza umbeya wa aina yoyote ile. Kwa kipindi chote hicho nilikuwa tu na kuchunguza sijawahi kuwa mshirika wako na wala sitakuja kuwa mshirika wako " Zara alimjibu makavu kisha akakata simu.

Secretary Annie hakuamini kabisa majibu aliyopatiwa, kuna kitu aliamini hakipo sawa aligeuka huku na kule aone kama kuna watu. Baada ya kujipata yuko pekee yake alihisi amani ndani ya moyo wake.

Tasha na Bryant Kobe walijikuta wakiongea vitu serious kuhusu mahusiano yao.

Walikubaliana kuoana haraka iwezekanavyo, kuhusu mapungufu madogo dogo waliafikiana kuya sahihisha tararibu.

"Pindi harusi yako itakapoisha nitaenda zake Newyork nimekaa kule kwa muda mrefu sasa hivyo nazielewa kona zote" Philips Kobe aliongea akiwa ana mpunguza nywele Kaka yake.

"Kwanini unaondoka ghafla namna hiyo "

"Natamani kuitwa Mume wa mtu pia...nadhani unaelewa napendelea watu wenye tabia za kizungu, itapendeza zaidi kama nitaenda kuwafuata huko huko " Philips Kobe aliongea.

"Nimewahi kuiona namba yako kwenye simu ya Tasha, vipi umewahi kumpenda pia "

"Nilitaka kumuweka karibu kwa ajili yako, sikuwa na nia nyingine...nyie wawili mnaendana sana tofauti yenu ni kidogo tu kama mtakaa pamoja naamini mtaenda zaidi " Philips Kobe aliruka mita mia.

Kwa kipindi chote hiki Zara alikuwa mpole sana...... watoto wake hawakuta kumuuliza chochote kwa sababu waliamini kama watafanya hivi basi wangemchanganya zaidi.

Harusi ya Bryant Kobe na Tasha ilikuwa ya kawaida sana tofauti na watu walivyokuwa wanafikiria.

Watu wengi walihisi Bryant Kobe atakuwa Mtumwa wa ndoa yake lakini haikuwa hivyo Tasha hakuwa akipenda uchafu hivyo mara kwa mara alifua, alideki na aliiosha vyombo. Bryant Kobe si mlaji sana ukilinganisha na mkewe hivyo muda wote Tasha alikaa jikoni yaani njaa ndio zilimfanya ashike usukani.

Hatimaye wakati wa kujifungua ulifika, alifanikiwa kupata Mtoto wa kike.
Sia alikuwa kilizi asikuambie mtu....

"Ni jukumu lako kuhakikisha mtoto halii pia....kama hautanisaidia leo nitamuacha alie kashiba huyu, yaani kama ni kunyonyesha nimempa nyonyo mpaka nasikia chuchu zinauma"

"Basi kama kashiba muache alie atakuwa sawa nimechoka eh "

Basi Tasha alikausha pia Mtoto aliendelea kulia wee, siku zote huwa ni mtihani kwake kulala kama kuna kelele. Tofauti na Bryant Kobe yeye alikoroma kelele huwa hazimnyimi usingizi hata kidogo.

"Nimepatikana Mwanaume huyu ni ji....bwa lenye kiburi " Tasha alimchukua mtoto kisha akaanza kubembeleza

Basi kwenye akaunti yake Tiktok watu wengi walimpa hongera ya kuolewa. Lakini mara kwa mara waliuliza kama Mumewe anamsaidia kufanya usafi na kupika.

Mume wangu Mimi ni Mzungu, anafanya kazi zote kwa sababu anajua Mwanamke si mtumwa wa ndoa.

Tasha alijibu hivi mtandaoni lakini kiuhalisia Bryant Kobe hakuwa akifanya chochote.

Asubuhi moja aliamka akiwa kachoka kupita kiasi, aliachia tabasamu baada ya kukuta kazi zote zimefanyika.

Tabasamu lilitoweka usoni mwake baada ya kugundua Zara ndio kafanya kazi zote.

"Vipi Wanaume wanafanya kazi au kazi zina kufanya wewe " Zara aliuliza.

"Hiyo comment yako nitumie kwenye mafundisho yangu "

"Philips Kobe anawasalimia nadhani tutasherekea naye mwaka mpya, huna haja ya kumueleza Bryant Kobe kama nilikuwa hapa " Zara aliongea kisha akaondoka.

Basi mwaka mpya ulipowadia, familia ya Tasha pamoja na Bryant Kobe walikusanyika kipamoja. Vinywaji viliwekwa mezani pamoja na chakula.

Philips Kobe alikuwa kapendeza sana pamoja na mchumba wake.

Secretary Annie akiwa pia na mchumba wake walipendeza. Yolanda pekee ndio hakuwa na mahusiano hivyo alikuwa na kazi ya kulea mtoto.

Kwa pamoja waligonga cheers huku wakitakiana mema.

Huu ndio mwisho wa CEO na Mrembo wa Tiktok πŸ₯‚.......

.............MWISHO 🍭............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....

siwezi kukata vitunguu. Siyo kiburi ila sijui kupika... Mtoto wa kishua Mimi, wakati wengine wanafundishwa kushika njiti za kiberiti Mimi nilipatiwa mouse nicheze na kompyuta "

"Mume wangu mtarajiwa jiandae kuhudhuria hotelini nadhani unajua Mimi ni mtu wa mishemishe sijui hata imeku...." Kabla hata Tasha hajamaliza maneno yake alidakwa kwa romance lililobeba hisia.

Kila alipo furukuta ajitoe haikuwezekana, mwisho wa siku alitulia tuli.

Basi Yolanda akiwa anakuja zake jikoni aangalie chakula kilicho salia alishtuka baada ya kuwafuma watu wakibadilishana mate.

Bila kupoteza muda aliwapiga picha kisha akatupia mtandaoni.

"Hatimaye Mrembo wa Tiktok kapata Mume atakaye saidiana naye kuosha vyombo "

Picha ilisambaa kwa haraka sana mtandaoni,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya-20-endelea-twende-tukale-hotel

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya
 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.
π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.13K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

440
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

240
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

70
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

29
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

4
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest