Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo : Khadija Mtanuko  Sehemu Ya Kwanza (1)  IMEANDIKWA NA : JOE MARICK  UTANGULIZI?  Kila mtu ana kilevi chake kinachoweza kumsumbua
Gonga94 · Stories

Chombezo : Khadija Mtanuko Sehemu Ya Kwanza (1) IMEANDIKWA NA : JOE MARICK UTANGULIZI? Kila mtu ana kilevi chake kinachoweza kumsumbua

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na asipokipata ipasavyo anaweza kupatwa na msongo wa mawazo na ikiwezekana kurukwa na akili pale asipokipata kabisa. ?

Najua kuna wengi wenu hamtafurahishwa na hili, labda kutokana na ukweli usiofichika uliopo ndani, lakini ni vitu ambavyo vipo na havikwepeki?, ila kwa faida yako utapata kujua mengi kutoka kwangu na hasara utakayoipatana ni kubaki na Upungufu wa utambuzi wa mambo na magonjwa yako utabaki nayo, ila sitakulazimisha unijue sana Dija mimi niliyefundwa na Bibi Kigalula, ? kuyatimiza yale niliyoagizwa kuyafanya hapa duniani, wala siwezi kukificha kile nilichonacho kukufaidisha wewe kimawazo na kwa afya yako kuepukana na magonjwa. ?

Na Nimeletwa Duniani ili kufanya Mapenzi na ndiyo Ulevi wangu na huwezi niambia kitu juu ya suala hili la kufanya mapenzi na jeuri ya unyago ninayo wala huwezi niambia kitu kunihusu, ila tu ntakujuza ni kipi cha kufanya Endapo tutaenda sawa mpaka mwisho.?

ENDELEA 01???

“Lily, hivi unalijua hili tatizo?, manake ntaenda kuumbuka mwenzako, wiki ijayo Tumekubaliana na Mack Kukutana kimwili, alafu isitoshe ndo siku yangu ya kwanza na nipo hivi.” ? Nilikuwa namuuliza rafiki yangu Lily niliyekuwa naishi naye nyumba za kupanga, ?

“Tatizo gani shoga yangu!” ? Lily aliniuliza na hapo kwa kuwa nilikuwa nimetoka kuoga ikabidi nimfunulie taulo aone hilo tatizo lenyewe. ?

“Khaa!, we mwanamke na ukubwa wote huo huzijui fangasi?” ? Lily aliniuliza kwa mshangao baada ya kuona uke wangu ulivyokuwa umeanza kuchubuka na kuvimba. ?

“Hapana Lily, nilikuwa nahisi ila sikuwa na uhakika na ninawashwa mpaka basi na muda mwingine ukute uchafu unanitoka tu yani nakereka mpaka basi.” ? Nilizidi kumwelekeza vile nilivyokuwa nikijisikia kwa wakati huo?.

“We naye umezidi kuvaa tight zako na vinguo vyako vya kubana hata havieleweki.” ? Lily alinijibu. ?

“Inamaana ndo umeamua kunichamba kabisa Shoga yangu badala ya kunisaidia.” ?

“Eeh!, acha nikwambie tu ukweli ubadilike, yaani na hizo sabuni zako hata sizielewagi kabisa na kila siku huwa naongea hilo hutaki kunielewa.” ?

“Basi ntaacha banaa, usinifanyie mambo ya kishujaa kiasi hiko, embu basi kama unajua dawa sema nikanunue, unataka niachike na Mack kisa Huu ugonjwa?”. ?

“Umesikia me daktari mpaka nizijue dawa?” ?

“Acha masihara yako bhanaa.” ? Nilimjibu Lily, kwani nilikuwa najua anaongea kwa matani tu. ?

“Hilo tatizo lisikutishe, kuna namba ntakupa za Mshauri wa afya, atakuelekeza chakufanya.” ? Lily alinijibu. ?

“Nipe saivi nimtafute, nishachoka kusumbuliwa na hii miwasho mimi.” ?

“Cheefuu!!, asa ulikuwa wapi siku zote kusema mpaka unaniambia leo?” ?

“Nilijua ni kitu cha muda tu kitaisha.” ?

“Mwanamke kujijali buanaa, asa ulitaka hiyo miwasho akaikune huyo sijui ndo Mack?” ? Lily alizidi kunitania, na akanipa hizo namba za huyo mtu aliyekuwa akimsema ni mshauri wa Afya na niliweza kuongea naye na kunielekeza ni wapi kwa kupata msaada wa tiba hiyo.?

Ilinibidi niahirishe ratiba zangu za siku hiyo kwani tayari nilikwisha ongea na Huyo mtu, ? na alikwisha nielekeza sehemu ya kwenda kuchukua hizo dawa?, hivyo niliamua kwanza kuujali mwili wangu uliokuwa unataka kuharibiwa na kidudu hicho, ili kuvuruga sifa nilizokuwa nazo Dija mimi. ?

Nilianza kutumia dawa nilizokuwa nimekwishapewa tayari, na nikaanza kufuata ushauri niliokuwa nimeelekezwa?, kwa wakati ule, hivyo hata ratiba ya kuweza kuonana na mpenzi wangu wa kwanza toka niwe huru baada ya kuanza maisha yangu ya kujitegemea?, ilivurugiga ilimradi tu nimalize dozi ile niliyokuwa nimeanza kutumia. ?

Kwa muda wa wiki nzima nilikuwa natumia ile dawa, na ilinisaidia kweli, ? hata nikaweza kupanga tena siku nyingine ya kuweza kuonana na Mack ili akanifumue marinda niliyokuwa nimeyatunza kwa muda wa miaka 22?, lakini mwaka wa 23 nilihisi kuwashwa mno na Mkunaji alikuwa ni Huyo Mack. ?

“Lily mwenzako naogopa kuchokonolewa na Mack sijui hata itakuwaje!” ? Nilikuwa naongea na Lily kuhusu Kukutana kwetu na Mack, siku za hapo karibuni. ?

“Ulitaka ukae hivyo mpaka lini?” ?Lily aliniuliza. ?

“Hata kama Lily, naogopa kupoteza usichana wangu, alafu sasa hata kitu chenyewe sijui kipoje, sijui ndo litakuwa ni mpini au Kibamia, yani nawaza mwenzako mpaka basi.” ?

“Yani hata liwe gogo huwezi kulikwepa, alafu mbona kawaida sana, hofu yako tu, we nenda katoe hiko chakula watu walee, unabania nini sasa.” ?

“Naogopa Lily..!” ?

“Hujajua Utamu wake ndo maana.” ?

“Mmh!, we unasema tu, yani hata unipe moyo vipi ila siwezi kukubaliana na wewe.” ? Nilimjibu Lily na tukaendelea kuongea mengi Kuhusu. ?

Siku tuliyokuwa tumepanga kukutana na Mack iliwadia, ? na sikuweza kuikwepa nililazimika kwenda kwa Mack, tena nilijipeleka mwenyewe wala sio kupelekwa na mtu?, na niliweza kuonana naye nyumbani kwake na akanipokea kwa shahuku kubwa sana, na kwa kumwangalia nilijua kabisa alikuwa amenipania sana. ?

Nilipofika alinikaribisha?, na tukawa na maongezi machache yaliyopelekea mpaka Mack kuniingiza Chumbani kwake?, na huko niliambua maumivu tu yaani haikuwa tofauti na nilivyokuwa nawaza, kwani Mack alikuwa hanijali kwa chochote, alichokuwa anakijali yeye ni kuzimaliza hamu zake tu. ?

#Usikose kabisa sehemu inayofuata, mambo yanazidi kuwa moto

Jamani twende chapu , bonyeza LIKE 150 sasa hivi ili nipost Epsod 2 ✨

Kila LIKE yenu ❤️ ndio nguvu ya kuendelea kuweka content bora zaidi kwa ajili yenu!

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo : Khadija Mtanuko Sehemu Ya Kwanza (1) IMEANDIKWA NA : JOE MARICK UTANGULIZI? Kila mtu ana kilevi chake kinachoweza kumsumbua

na asipokipata ipasavyo anaweza kupatwa na msongo wa mawazo na ikiwezekana kurukwa na akili pale asipokipata kabisa. ?

Najua kuna wengi wenu hamtafurahishwa na hili, labda kutokana na ukweli usiofichika uliopo ndani, lakini ni vitu ambavyo vipo na havikwepeki?, ila kwa faida yako utapata kujua mengi kutoka kwangu na hasara utakayoipatana ni kubaki na Upungufu wa utambuzi wa mambo na magonjwa yako utabaki nayo, ila sitakulazimisha unijue sana Dija mimi niliyefundwa na Bibi Kigalula, ? kuyatimiza yale niliyoagizwa kuyafanya hapa duniani, wala siwezi kukificha kile nilichonacho kukufaidisha wewe kimawazo na kwa afya yako kuepukana na magonjwa. ?

Na Nimeletwa Duniani ili...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-khadija-mtanuko-sehemu-ya-kwanza-1-imeandikwa-na-joe-marick-utangulizi-kila-mtu-ana-kilevi-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-khadija-mtanuko-sehemu-ya-kwanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1.02K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

809
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

501
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

412
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

158
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

105
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

94
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

81
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

80
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

69

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest