Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)
Gonga94 · Stories

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DEMU MLA MADEMU

   

  Kwl Story Killer


Sufuria la ubwabwa lilibiduliwa kwenye sinia kubwa. Baada ya kubiduliwa, ukafuatia mchuzi wa nyama na vipande kadhaa vilivyo katwa kwa madirio sana. Ile mchuzi kuishia…

 Mikono ikaonekana pande zote za sinia ikikishambulia kile chakula bila hata kukumbuka sala, ama kusubiriana. 

  Naam, kile chakula kilifanyiwa uvamizi na madada poa, walio ificha hiyo kazi yao halisi kwenye kivuli cha uhudumu baa. Baa iitwayo MBAKA ASUBUHI maalufu na ilijizolea jina kubwa ndani ya mtaa huo wa MOLONI.


Ukubwa wa njaa yao ulijionesha kwa namna walivyo kuwa wanakipiga kile chakula. Maana ni fasta, kama abilia wanao taka kuwahi basi ambalo tayari limesha anza kuondoka.


"Shogaa! Kama msinge jiongeza kupika walahi mngenipoteza, maana nilikuwa nina njaa, hadi nikahisi tumbo linataka kukutana na mgongo."


Kauli hii ilitoka kwa Zena, mmoja wa wale wadada..

Kwa namna ilivyo, ilionesha kuwa wawili walibaki getoni kwa siku hiyo. Wale watatu ndio walikuwa mtaani, kule kwenye baa wanayo fanyia kazi.


"Mimi je, hapa hali tete! Na kile kibwana nilicho kipata leo sasa..

Shoo zake sio zakitoto. Kimeni minya-minya vibaya, mbaka nimejambia mbele. Badala ya kujambia kwenye ile njia ya maji taka.

 Elfu sabini kiliyo nipa nimeona ni halali yangu kabisaa, wala sikuona hata haja ya kutoa shukrani. Yaani nimetoka nimenuna bila hata kuaga, nikatamani hata nikitukane!

 Nikikumbuka niliye jipeleka ni mimi mwenyewe. Basi nikaishia kusonya tu."


Hilo aliongea Husna, akaelezea hali yake, na nusu kipande cha stori ya yaliyo mkuta huko geto kwa muhuni aliye muopoa siku hiyo.


"Kwahiyo leo tumejua kulipika?"

Aliuliza Deborah, huyu ni mmoja wa wale wawili walio baki nyumbani, na ndio walio andaa lile bweche.

"Sanaa!"

Sentensi hiyo ilijibiwa na Zena, kitoto fulani kibichi ambacho ndio kilianzisha lile zogo. 

 Lakini Rustina, mwenzao kati ya wale watatu alikuwa na maoni tofauti. 


"Kupika mmepatia. Nawapa maua yenu kwa hilo, ila hapa kuna kitu kimemisi. Kama kingekuwepo basi mambo yangekuwa mia-mia bila dosari."


 Ndicho alicho ongea yule mdada..

"Kitu gani kimemisi wee nae?"

Hilo swali lilitoka kwa Betha, ambaye ni mwenzake na Deborah walio baki wote magetoni wakikipika kile chakula. Kama ujuavyo watoto wa kike mambo ya kuoneana wivu..

Na Betha tayari aliisha onesha dalili za kupaniki, kutokana na ile hali ya Rustina kutaka kumkosoa.

 Juu ya kope za macho yake kuka vamiwa na pingili za ndita, kama migongo ya bati za nyumba. 

"Shoga nawe huambiwi?

Hivi unadhani nataka nikuchambe…

Uzuri leo sijaamuka hiyo mudi. Nilichotaka niseme si cha shali wala hakihusiani sana na nyie, kilicho misi hapa ni kachumbari fulani hivi yenye kamchuzi ka-kwenda."

Aliongea Rustina, ni kweli bwana alipo gusa ndipo. Maana sasa wote watano walitulia baada ya kusikia alicho sema, hata wale walio na chakula mdomoni waliacha kutafuta…

 Watulia sababu waliambiwa kitu ambacho wote walikipenda. Sasa Betha aliamua kuzifanya zile tamaa zao kuwa kweli. Akaingiza mkono ule wa kushoto kwenye kifua chake, pale kwenye sidilia. Mkono ulipo toka, ulikuwa umebana noti ya shiringi elfu mbili.


"Husna katukimbizie fasta nyanya, karoti na vitunguu. Hapo jirani, kwenye duka la mama Uledi. Tena wakati naingia nimeviona, na nyanya zipo mbichi mbichi zenyewe."

Aliongea Betha. Ajabu Husna aliitazama noti ile kama vile hajaiona…

"Mmh! Jamani, nasikia uvivuu!"

Sentensi hii ya Husna ndio iliyo mwinua Deborah kutoka pale chini kwenye mkeka walipokuwa wanakula. Akaenda kuikwapua ile noti mikononi mwa Betha. 


"Tunabaki tunajishauri, wakati wote tunauhitaji wa kachumbari. Kununua tu ndio shidaa. Mnabaki mme yapigilia makalio yenu kwenye sakafu."

Aliongea Deborah, akainuka na kujifunga vizuri kitenge chake. Maana siku hiyo alishinda nyumbani tu. Na…

 Alikuwa amevaa kitenge. 


Lazima niseme ukweli kuwa bajeti ya nyama kwenye uumbwaji wa mwili wa huyu dada ilikuwa ni kubwa. Hasa hipsini mwake, ndio maana bodi ilijitingisha wakati wa kuinuka kwake. Alitoka kama anapepesuka fulani.

 Wenzake hawakumjibu, zaidi ya kumwangalia, kisha wakatazamana sura huku wamebidua midomo. Kisha wakaendelea kulisakata lile ngenge.

  ***

Hata hatua tano hazi-zidi, ni karibu! Na milango ilikuwa inatazamana. Maana ni kwenye kona ya nyumba. Wakati Deborah yule dada poa anatoka kwenye chumba chake, macho yaligongana na mwenyeji wa chumba kinacho fuata baada ya chao, kutoka kwenye ile kona.

 "Za asubuhi dada!"

Deborah alisalimu, huku akigeuka haraka na kuanza kujivesha vindala vyake alivyo viacha kwenye kibalaza cha mlango wao.

 Ajabu sasa, mbaka Deborah anamaliza kuvaa ndala na kugeuka, bado yule mdada alikuwa hajafungua kinywa na kuijibu ile salamu yake. 

  Deborah alipo geuka mara ya pili, macho yake yeye na ya yule mdada yaligongana. Baada ya kugongana yule mdada aliachia tabasamu la kujihami.

"Dada nimekusalimia!"

Deborah alijaribu kum-kumbusha, wakati huo aliisha anza kuinua hatua za miguu yake, tayari kwa kutoka nje. 

"Nashangaa…

Salamu ya asubuhi napewa sahizi!"

Aliongea yule mdada, bado anatabasamu. Mkono mmoja alikuwa ameshika kitana. Na ule mwingine kioo kidogo, anajichana nywele zake ndefu za asili. Ambazo zimeipamba sura yake ndefu na nyeusi ya kushuka. Iliyo nakshiwa na jicho lake la kuita, pua fulani hivi, na mdomo wenye lipsi pana kiasi. Ambazo mwishoni, kwenye kingo zake zina kimstari chemba-mba kama vile ni wa kuchorwa.


"Hata sikujua, si muda wote leo nilikuwa nimejifungia."

Aliongea Deborah huku anainua sura yake na kulitazama jua, hata mwenyewe alipo tazama, akakubali kuwa alikosea salamu. Huenda ilikuwa saa sita kasoro ama saa saba. 

"Nisamehe mwenzangu."

"Haya bwana…

Safari ya wapi hiyo sasa?"

Aliuliza tena yule mdada, ambaye ni jirani wa wale kina dada poa. Deborah alishtuka moyoni. Maana ni kama siku hii ya leo mdada yule alionesha hali kutaka kumzowea sana. Kinyume na ilivyokuwa mwanzo. Lakini aliamua kumjibu ili kuiepusha shali…

"Kwa mama Uledi hapo. Naenda kufuata nyanya za kachumbari."

Jibu la Deborah likamfanya  yule dada kuamua kuacha kujichana, akakiacha kitana kiki ning'inia kichwani kwenye nywele. Mikono akaibana nisha makwapani mwake. Macho yake ya wastani, yaliyo jifinya kama yanahofia mwanga wa lile jua, yalikuwa yamekaza kwa Deborah.


"Ungesemaga mpenzi…nyanya ninazo za kutosha."

Aliongea yule dada. Kauli iliyo mfanya Deborah kuhisi kwamba kuna dalili ya kupona kwa ile buku mbili aliyo tumwa.

"Mweee! Nitashukuru jilani!"

Aliongea Deborah kwa lugha ya kujipendekeza.

"Njoo huku ndani…"

Aliongea yule mdada. Akimtaka Deborah aingie ndani kwake.

"Usiwaze karibu tu. Uchague zikazo kufaa, na za kukutosha."

Ndivyo aliongea. Haraka Deborah alitembeza kwato na kukaribia pale mlangoni. Ambapo yule mdada muda wote alikuwa amemfungulia pazia. Anamtazama kwa makadirio…

Hakulirudisha pazia mbaka Deborah alipo pita. Tena, alipo kuwa anampita alipeleka mkono wake na kumshika makalioni. Kidogo hilo liliweka viulizo moyoni kwa Deborah, ila aliamua kupotezea. 


 Mule ndani…

Baada ya kuingia, Deborah ilimtoka mimacho ya ushamba. Kulikuwa na kila kitu kizuri cha lazima na cha muhimu kinacho faa kuwepo nyumbani. Tena ni sebule kubwa, yenye chumba kimoja cha kulala chenye choo na bafu kwa ndani. Pia palikuwa  na jiko, na sehemu ya kulia chakula.

'Hana mume, lakini ana kila kitu ndani. Jamani mwanamke mwenzetu huyu hela ana zitafutia wapi? 

 Ooh, ama..

Ndio ana madanga, yale yanayo jiweza? Lakini huwa ana danga saa ngapi? Muda wote yuko bize. Kama sio mtaani, basi ni nyumbani kajifungia ndani.'


Hayo yalipita moyoni kwa Deborah.


"Isikushangaze hali ya huku, kuanzia leo na kuendelea utapazowea. Maana siwezi kuwanyima kuingia kwa shida yoyote itayokuwa imewaleta."

Aliongea yule mdada huku anamshika mkono Deborah, Deborah alishtuka! Maana alikuwa amezama kwenye lile dimbwi la mawazo.

Baada ya kushikwa mkono, yule mdada alimwongoza mahali lilipo jiko. 

  Ama! 

Iilikuwa ni jiko lenye hadhi yake. Lenye kuyapendeza macho ya mtu yoyote anaye penda vitu vizuri. 

   Kwa pembeni kuna kuna fliji, pia kabati lenye kila kitu. Humo kulikuwa na nyanya za kutosha. Lakini pia kulikuwepo na kachumbari ambayo tayari imesha katwa, hiyo ilikuwa juu, pembeni ya lile jiko la umeme.


"Mwanamke una pambana wewe!"

Deborah alishindwa kujizuwia na kuamua kutoa hizo sifa kwa mwanamke mwenzake. 

"Wee! Umeonaje mbaka useme hivyo?"

Aliuliza yule mdada, akijifanya kuwa hajui kile kinacho mfanya Deborah atake kumpa sifa.

"Naona umejikamilisha. Ama shemeji yetu ndio anaghalamia?"

"Hapana, sijafika huko bado kipenzi. Najipambania mwenyewe."


Mwenyewe!

Hiyo ilimshtua Deborah. Kwa haraka akampiga jicho yule mdada. Akimshusha na kumpandisha. Ni mzuri!

Ijapo naye ni mzuri, ila alikili wazi yule mdada kamzidi.

'Hawezi kuwa singo huyu! Naijuwa hiyo.' 

Hayo aliwaza, maana hakutaka kuamini kwamba mdada mzuri kama yule, eti akakosa bwana. 

"Ipi siri ya mafanikio sasa? Maana si wengine tumeuza bia wee, mbaka tukageuka kuwa walevi. Lakini hakuna kilicho badilika. Zaidi ya kuishia kununua vipodozi na nguo."


Aliuliza Deborah.

"Aah, kawaida. Cha muhimu ni kuweka juhudi na nia."

Aliongea yule mwenyeji wa chumba kile. Akamshika mkono wake na kumvuta. Hali hiyo ilimfanya Deborah awe mbele ya yule mdada. Kabati lenye nyanya na ile kachumbali iliyo kwenye hotipoti lililo juu ya jiko, vilikuwa mbele yao wao wana vitazama. 

"Sasa nisikuweke mpenzi, chagua mwenyewe nyanya za kukutosha ama kachumbari hiyo ambayo nimeikata tayari wala sina shida nayo."

Aliongea yule mdada. Ukaribu ulio kuwepo kati yao, haukuweza kuzuwia wao kuto gusana. Kila mtu akalihisi umbile la mwenzie namna lilivyo. 

Bado ni Deborah!

Akiwa kwenye hali hiyo ya kutojua vipi ni vipi, mara akahisi vidole vya yule mwanamke mwenzake vikitembea kwenye nyonga, mara akashikwa! Taratibu vidole vile vilianza kum-balizi. Kutokana na utalamu wake kwenye michezo hiyo. Akili ya Deborah iliweza kutafsiri kitendo hicho, akajua vile vidole vilikuwa vikiikagua aina ya nguo yake ya ndani aliyo vaa.


 Mwendelezo kipande kinacho fuata>>> 


Kusema yote 1000 karibu WhatsApp no 0627790647

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

DEMU MLA MADEMU

   

  Kwl Story Killer


Sufuria la ubwabwa lilibiduliwa kwenye sinia kubwa. Baada ya kubiduliwa, ukafuatia mchuzi wa nyama na vipande kadhaa vilivyo katwa kwa madirio sana. Ile mchuzi kuishia…

 Mikono ikaonekana pande zote za sinia ikikishambulia kile chakula bila hata kukumbuka sala, ama kusubiriana. 

  Naam, kile chakula kilifanyiwa uvamizi na madada poa, walio ificha hiyo kazi yao halisi kwenye kivuli cha uhudumu baa. Baa iitwayo MBAKA ASUBUHI maalufu na ilijizolea jina kubwa ndani ya mtaa huo wa MOLONI.


Ukubwa wa njaa yao ulijionesha kwa namna walivyo kuwa wanakipiga kile chakula. Maana ni fasta, kama abilia wanao taka kuwahi basi ambalo tayari limesha anza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/demu-mla-mademu-chombezo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi demu-mla-mademu-chombezo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.17K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

663
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

495
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

242
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

101
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest