Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MKASA: NILIWEKA LIMBWATA KWENYE CHAKULA CHA MUME WANGU, ILA KWA BAHATI MBAYA CHAKULA AKAKILA BABA YAKE SEHEMU YA 02
Gonga94 · Stories

MKASA: NILIWEKA LIMBWATA KWENYE CHAKULA CHA MUME WANGU, ILA KWA BAHATI MBAYA CHAKULA AKAKILA BABA YAKE SEHEMU YA 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Rayuni alisimama mlangoni akiwa kama sanamu. Mikono yake ilitetemeka, mdomo wake ulikuwa wazi kama anataka kupiga kelele lakini sauti ikamkataa. Macho yake yalishikilia sura ya mzee anayemwita baba mkwe—mtu ambaye sasa alikuwa anakula chakula alichowekewa limbwata.
“Ee Mungu! Hii ni nini sasa?” alijisemea kwa sauti ya ndani huku moyo ukipiga mbio kama anayeandaliwa kuchinjwa. Alitamani akimbie, apokonye chakula hicho kutoka mikononi mwa mzee, lakini mwili wake haukumtii.
Mara Aga alitoka jikoni akiwa na sahani nyingine mkononi, akaketi karibu na baba yake na kuanza kula. Wote wawili walionekana kufurahia chakula kile—kama vile hawajawahi kupata kitamu kama hicho.
Rayuni hakusubiri kuonekana. Alichepuka kimya kimya kama paka, akakimbilia chumbani huku macho yakiwa yamejaa hofu, aibu, na maswali mazito yasiyo na majibu.
Alijilaza kitandani lakini usingizi ulikuwa mbali naye. Macho yake yaliangalia dari la chumba kama yanatafuta msaada kutoka juu. Sauti ya mzee na Aga ziliendelea kusikika sebuleni wakiongea na kucheka.
Aga alienda kuandaa chumba kwa ajili ya baba yake, sawa pengine mkewe angepaswa kufanya hivyo lakini hakuona haja ya kumsumbua akijua amelala, akatandika shuka safi chumba cha wageni kisha akamuambia baba yake akalale
Baada ya ya hapo, Aga alikuja chumbani, akidhani kuwa mkewe tayari kalala. Alijilaza pembeni, akavuta shuka, na ndani ya dakika chache, alisikia pumzi ya mkewe ikiwa nzito, akahisi analala. Lakini hakujua... Rayuni hakuwa amelala.
________________________________________
Asubuhi ilipofika, Aga aliamka mapema kama kawaida yake. Aliangalia saa ya mkononi na kugundua amechukua muda mwingi, hivyo alifunga viatu haraka, akasogea mlangoni mwa chumba cha baba yake, akamsalimu kisha akamuaga na kuahidi atarudi mapema waje wafanye mipango iliyomleta mjini. Kisha akatoka kwenda kazini.
Rayuni naye aliamka, lakini hakuwa yule mwanamke wa jana. Alionekana amechanganyikiwa, mwenye uso wa wasiwasi na moyo mzito. Akaenda jikoni kuandaa chai, huku mikono ikitetemeka kila alipogusa kikombe au kijiko. Kisha akaanza usafi wa kawaida, akipiga deki sebuleni kwa kuchoka.
Alipokuwa ameegemea chini akisugua kona ya ukuta kwa kitambaa, ghafla alihisi kiuno chake kimedakwa kwa nguvu za kiume. Alishtuka sana! Alinyanyuka haraka, moyo ukidunda kwa kasi, akageuka na kukutana uso kwa uso na baba mkwe—mzee aliyevaa kaptula, akiwa ametabasamu kwa utulivu usiokuwa wa kawaida.
“Baba... shikamoo!” Rayuni alisema kwa sauti ya hofu, akijinyoosha na kujaribu kumuepuka mzee huyo.
Lakini mzee huyo alicheka kisha akasema, “Shikamoo ya nini sasa? Au unaninyima zawadi? Hivi unajua wewe ni mzuri ajabu? Wanangu wana bahati sana…”
Rayuni alijikuta amekosa cha kusema. Akanyamaza. Machozi yakaanza kujikusanya kwa haraka machoni mwake.
Baba aliinua mkono wake na kumpapasa shavuni kwa upole lakini kwa hisia nyingi, “Mwanangu amepata chombo, anaenjoy sana. Na mimi natamani nife na radha hiyo hiyo… hata kidogo tu.”
Rayuni alijikuta anatetemeka. Akasema kwa sauti ya chini, “Ee Mungu nisaidie…” kisha akakimbilia chumbani na kujifungia ndani.
Hakujua afanye nini. Alikuwa na hofu ya kufichuka siri yake, aibu ya kumsaliti mume wake, na fedheha ya kuwa katika hali ya aibu kiasi kile na baba mkwe.
Dakika chache baadaye, mzee huyo alijitokeza mbele ya mlango wa chumba akiwa anashikilia bahasha.
“Rayuni... mpenzi, shika hii laki tano tu. Sitaki kingine... hata tukumbatiane tu… tafadhali!” Alizungumza kwa sauti ya huzuni na macho yalijaa machozi, lakini pia tamaa.
Rayuni aliinama chini, alishindwa kuvumilia. Akachukua simu yake na kumpigia Ashura.
“Ashura... limbwata limeenda kwa baba mkwe wangu! Ameanza kunitamani! Ananipa hela! Na sijui nifanye nini!” aliropoka kwa sauti ya kukata tamaa.
Ashura alishtuka lakini hakukosa jibu, “Ni lazima turudi kwa mzee Kijivu! Tuone kama anaweza kuondoa madhara!”
Rayuni alisema kwa huzuni, “Sina hata nauli... sina hela kabisa!”
Ashura alikuna kichwa, kisha akajibu kwa sauti ya haraka, “Basi chukua hiyo laki tano. Mkumbatie tu kama alivyoomba... halafu twende moja kwa moja kwa mganga kabla hajazidi kuchanganyikiwa!”
Rayuni alikaa kimya kwa sekunde chache. Macho yakimwagika. Kisha kwa mkono mzito akafungua mlango. Baba mkwe alikuwa bado amesimama, machozi usoni, na bahasha mkononi.
Rayuni alikumbatia baba mkwe kwa nguvu za kujilazimisha. Baba aliinua uso wake, akambusu kwa huba, na kwa haraka akaanza kumnyonya denda kwa pupa huku akisema, “Nitakupa unachotaka. Nitakununulia hata gari. Mradi uwe wangu…”
Rayuni aliweka mkono kwenye mdomo wake kumzuia zaidi. Akachukua bahasha ya hela. Kwa haraka akaingia ndani, akavaa nguo zake vizuri, kisha alimpigia Ashura wakapanga safari.
________________________________________
Baada ya saa moja walikuwa njiani kuelekea Vikindu. Mioyo yao ikiwa na matumaini kuwa mganga atarekebisha limbwata ile iliyokosea mlengwa.
Lakini walipofika... walikuta kilinge kimeteketezwa, miti iliyokuwa imepambwa kwa hirizi ilikuwa imeangushwa, na kibanda hakikuwapo tena.
Waliposogea kwa majirani na kuuliza, waliambiwa,
“Mzee Kijivu? Hah! Alitangaza jana kuwa ameokoka. Amesalimisha kila kitu, ameanza kumtumikia Yesu. Hasa baada ya ndoto ya ajabu aliyoiita ya maono.”
Rayuni alitetemeka kwa mshtuko. Akashika kichwa kwa mikono yote miwili.
“Yaani... nimerogwa na sasa sina msaada?”
________________________________________
ITAENDELEA...
Je, Rayuni atafanya nini sasa baada ya mganga kuokoka? Baba mkwe ataishia hapo au atazidi kuchanganyikiwa kwa limbwata? Je, penzi la ndoa litavunjika? Fuatilia sehemu ya tatu ya simulizi hii kali!
KWETU morogoro __

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MKASA: NILIWEKA LIMBWATA KWENYE CHAKULA CHA MUME WANGU, ILA KWA BAHATI MBAYA CHAKULA AKAKILA BABA YAKE SEHEMU YA 02


Rayuni alisimama mlangoni akiwa kama sanamu. Mikono yake ilitetemeka, mdomo wake ulikuwa wazi kama anataka kupiga kelele lakini sauti ikamkataa. Macho yake yalishikilia sura ya mzee anayemwita baba mkwe—mtu ambaye sasa alikuwa anakula chakula alichowekewa limbwata.
“Ee Mungu! Hii ni nini sasa?” alijisemea kwa sauti ya ndani huku moyo ukipiga mbio kama anayeandaliwa kuchinjwa. Alitamani akimbie, apokonye chakula hicho kutoka mikononi mwa mzee, lakini mwili wake haukumtii.
Mara Aga alitoka jikoni akiwa na sahani nyingine mkononi, akaketi karibu na baba yake na kuanza kula. Wote wawili walionekana kufurahia chakula kile—kama vile hawajawahi kupata kitamu kama hicho.
Rayuni hakusubiri kuonekana. Alichepuka kimya kimya kama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkasa-niliweka-limbwata-kwenye-chakula-cha-mume-wangu-ila-kwa-bahati-mbaya-chakula-akakila-baba-yake

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkasa-niliweka-limbwata-kwenye-chakula-cha-mume-wangu-ila-kwa-bahati-mbaya-chakula-akakila-baba-yake
MKASA: NILIWEKA LIMBWATA KWENYE CHAKULA CHA MUME WANGU, ILA KWA BAHATI MBAYA CHAKULA AKAKILA BABA YAKE Burudan Simulizi! Sehemu ya 01:
MKASA: NILIWEKA LIMBWATA KWENYE CHAKULA CHA MUME WANGU, ILA KWA BAHATI MBAYA CHAKULA AKAKILA BABA YAKE Burudan Simulizi! Sehemu ya 01:
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

1.07K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

1.03K
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

960
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

792
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55

SHAMIRA Sehemu ya 54&55

196
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8

149
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

131
SHAMIRA Sehemu ya58&59

SHAMIRA Sehemu ya58&59

126
SHAMIRA Sehemu ya 56&57

SHAMIRA Sehemu ya 56&57

117
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

94

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.74K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.83K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.93K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.59K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 62 63 na 64 Post Mpya
SHAMIRA 62 63 na 64
@majario LIVE

Sehemu ya 62 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina...

SHAMIRA Sehemu ya 60&61 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr ...

SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo😋,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu 🔥) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest