Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU  SEHEMU YA 01  "uuuwiiiii Diana mambo gani hayo ya kumwagiana maji mdogo wangu??!
Gonga94 · Stories

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 01 "uuuwiiiii Diana mambo gani hayo ya kumwagiana maji mdogo wangu??!

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" nililalamika lakini siyo kwa kumaanisha au kwa kutokupenda ila ni kwa sababu maji yalikuwa ya baridi aliyokuwa ananimwagia mdogo wangu Diana

"hakuna cha mambo gani wala mambo gani hapa unaoga maji tu Happy birthday to you my sister!!" Diana aliniambia huku akinimwagia maji kwa mpira alioninyang'anya wakati nikiwa namwagilia bustani asubuhi, mimi mwenyewe sikukumbuka kama ni siku yangu ya kuzaliwa, niliamka tu na kuanza shughuli zangu za kila siku, Diana mdogo wangu aliyekuwa amejiandaa kwenda chuoni ndiye aliyenikumbusha kama kuna sikukuu yangu ya kuzaliwa leo

"kumbe ni my birthday leo uuwiii jamani nimesahau kabisa mdogo wangu asante!" nilimwambia nikitaka kumkumbatia
"we we we dada ishia hapo hapo unamkumbatia nani?" alininyooshea kidole
"jamani kwani dhambi kukukumbatia?"
"na ulivyolowa hivyo naenda chuoni mwenzako nimeshajiandaa utanilowesha bure!"

"hahaha si nimesahau na ningekulowesha kweli usistaduu wote ukuishage"

"thubutuu!!" nakuvuta nywele
"huweze wapi"
"haya dada mimi naenda ila baadae nakuletea kitu kizuri nikirudi chuoni"
"kitu gani jamani?"
"supriseee we subiri tu utaona"
"jamani nidokeze hata kidogo yaani hapa unanipa kimuhemuhe"
"wait and see my dear sister (subiri uone dada yangu mpendwa)" aliniambia akinibusu shavuni na kuondoka mbiombio akiita bodaboda na kuondoka akiniacha natabasamu tu peke yangu nikiwa nimelowana chapachapa asubuhi asubuhi na ndipo niliposikia hatua za viatu nyuma yangu nilipotazama nikamuona mume wangu George akiwa ametoka amejiandaa anaelekea kazini nikamfuata kimahaba na kumshika begani

"taratibu utanichafua" alinizuia nisimshike begani
"ni maji tu mume wangu mpenzi ndo umeshajiandaa hivyo, mbona umebadilisha shati nililokuvalisha na tai yake umevaa shati jingine?"

"nimeamua tu tutaonana baadae!" alinijibu na kulifuata gari
"mume wangu" nilimfuata
"nawahi kazini Rebecca tutazungumza nikirudi"
"leo ni siku gani unakumbuka?"
"ni ijumaa leo"
"kuna tukio gani?"
"Rebecca baadae unanichelewesha"
"ni birthday yangu jamani mume wangu"
"happy birthday to you" aliniambia huku akifungua mlango wa gari
"ndo ya juu juu hivyo jamani?"
"nikirudi Rebecca" alinijibu akawasha gari nami sikuwa na cha kufanya nilimuaga tu kwa kumpungia mkono wakati akiondoka na gari akionekana anawaza mbali mimi kama namsumbua tu lakini nilijua ni uchovu tu wa jana maana alichelewa kurudi alirudi saa tano usiku akiniambia kulikuwa na kikao cha dharura ofisini kwao

"mama"
"mumy!" watoto wangu waliokuwa wameshaandaliwa na dada wa kazi waliniita wakiwa tayari kwenda shule na sare zao na mabegi yao mgongoni

"naam wanangu wazuri!"
"happy birthday to you happy birthday to you happy birthday dear mamy happy birthday to youuu!" waliniimbia na kunikumbatia na dada wa kazi aitwae Aisha karibia waniangushe chini

"asanteni sana wanangu wazuri"

"haya bye mamaa!"
"mniletee zawadi"
"haya mama" walinijibu wakienda barabarani kusubiri gari lao la shule (school bus) nilikuwa na watoto watatu, wa kwanza Theresia akiwa darasa la saba, Robert darasa la nne na binti yangu mdogo Leticia akiwa chekechea

Waliondoka na dada wa kazi wote wakisoma shule moja, nami nikaendelea kumwagilia bustani nje ya nyumba yangu

"hodi hodi humu ndani"
"karibu sana" nilimwitikia mgeni huyo ambae alipishana na watoto wangu getini hakuwa mwingine ila ni mwanamama Magritha, rafiki yangu wa karibu ninayesali nae kanisani na tukiwa wote kwenye Saccoss moja ya wanawake

"naona vijana wanaenda shule"
"eeh karibu sana namimi namwagilia bustani hapa"
"Rebecca unachekesha kweli yaani badala ungepanda mboga mboga ule wewe unamwagilia bustani ya maua uwafaidishe nyuki mimi siwezi kazi kama hiyo"
"nyumba inapendeza bibi wee karibu kiti barazani"
"hapa pananitosha siwezi kuingia ndani huko asubuhi yote hii sitaki chai za watu ndokwanza saa kumi na mbili" aliniambia akikaa kwenye mawe ya bustanini

"enhee za asubuhi"
"njema Rebecca za kwako na familia?"
"safi kabisa nipe habari naona asubuhi asubuhi"
"nimekuja uniazime elfu hamsini tu shoga yangu wala nisizunguke zunguke nipo vibaya mwanangu anadaiwa shuleni ameshindwa kwenda leo yaani"

"mh Magreth sina hata akiba humo ndani"
"jikung'ute tu shoga yangu naaibika mwenzio, nitakurudishia jumapili kanisani kuna hela yangu kwenye Vicoba tunavunja jumapili"

"sawa ngoja nikakuchukulie hela fulani ina kazi nyingine ila kazi yake ni ya wiki ijayo"
"nashukuru sana"
"usijali tumetoka mbali sana" nilimjibu nikiinuka kutaka kwenda ndani

"Rebecca!" aliniita
"abee" nikageuka
"mumeo yupo?"
"ameenda kazini"
"mmh jana alirudi saa ngapi?"
"kwanini unauliza?"
"nauliza tu kuna ubaya?"
"alirudi saa tano hivi na nusu karibia saa sita usiku"
"ohoo na mdogo wako yule Diana alirudi saa ngapi?"

"mbona maswali jamani Magreth rafiki yangu?"
"swali la mwisho tu hili"
"alirudi kama saa tano hivi na yeye walipishana kidogo tu na shemeji yake ila Diana alitangulia kama robo saa hivi kabla ya shemeji yake"

"vipi hujahisi kitu chochote kutokana na maswali yangu na hiyo mida niliyokuuliza?" Magreth aliniuliza nikabaki njiapanda nikishindwa kumuelewa anamaanisha nini kuniuliza maswali hayo

"hapana nifafanulie"
"jana nimewaona mumeo na mdogo wako pamoja kwenye mazingira nisiyoyaelewa elewa!!"

"unasema???!!"....

Vipi wewe msomaji umehisi nini?!

Full Story TSH1000 tu,
Njoo Whatsapp 0675137453 ujisomee

Inaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 01 "uuuwiiiii Diana mambo gani hayo ya kumwagiana maji mdogo wangu??!

" nililalamika lakini siyo kwa kumaanisha au kwa kutokupenda ila ni kwa sababu maji yalikuwa ya baridi aliyokuwa ananimwagia mdogo wangu Diana

"hakuna cha mambo gani wala mambo gani hapa unaoga maji tu Happy birthday to you my sister!!" Diana aliniambia huku akinimwagia maji kwa mpira alioninyang'anya wakati nikiwa namwagilia bustani asubuhi, mimi mwenyewe sikukumbuka kama ni siku yangu ya kuzaliwa, niliamka tu na kuanza shughuli zangu za kila siku, Diana mdogo wangu aliyekuwa amejiandaa kwenda chuoni ndiye aliyenikumbusha kama kuna sikukuu yangu ya kuzaliwa leo

"kumbe ni my birthday leo uuwiii jamani nimesahau kabisa mdogo wangu asante!" nilimwambia nikitaka kumkumbatia
"we we...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekusamehe-ila-sitasahau-sehemu-ya-01-uuuwiiiii-diana-mambo-gani-hayo-ya-kumwagiana-maji-mdogo-wan

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekusamehe-ila-sitasahau-sehemu-ya
NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU  SEHEMU YA 03
NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.19K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

839
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

504
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

343
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

335
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

57
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

55
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest