Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
03 Nov 2025
594 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mohan naye aliingia na kunikuta nikiwa nalia sana. Dadimaa bibi akaingia na kukaa karibu yangu.
"binti yangu najua unapitia mengi sana lakini sasa ni wakati sahihi wa kila mtu kubeba mzigo wake"
"unamaanisha nini Dadimaa?"
"namaanisha kila mtu atakula alichokipanda si ndio Mohan?"
Sote hapo tulishtuka baada ya bibi kumuita Mohan. Halafu bibi akasimama na kuondoka.
"Mohan sitaki kuwa chanzo cha kugombanisha familia .Naomba uniache niondoke tafadhaliπ"
"Naima huondoki na mwanangu kama unataka kuondoka , ondoka lakini mwanangu niachie"
Mohan aliondoka kwa hasira sana.
Msomaji siku zilizidi kusogea na tumbo lilivyoanza kuonekana nikaenda kuishi kwa Zuri. Nae pia tumbo lilikuwa kubwa kuzidi langu. Tukapelekwa ilipo ile nyumba ya Mohan, na tukatafutiwa mdada wa kazi kisha tukaanza kuishi hapo. Siku moja kabla ya harusi ya Mohan na Antara, Simon alipiga sim na kutaka tuonane. Alinipa location nikamfuata.
"Ney nimekuuliza mimba niya nani? na unaishi wapi?"
"yaani Simon banaπ€¦maswali ya kuniulizia kwenye simu ndio unanileta hapa? ni hivi: mimba haikuhusu chochote we shuhulika na mimba ya Zuri"baada ya kusema hivo nikaondoka.Ile nafika tu nyumbani ghafla nakutana na Mohan."unatoka wapi?"hapo sasa nikamtazama Zuri nijue kasemaje huko ."nakuuliza unatoka wapi saa hizi saa tatu usiku weweπ "Nilipokuwa najitayarisha kujibu ghafla nikavutwa nashangaa nipo chumbani. Mohan alianza kupunguza nguo zake. Mi niliogopa maana anachotaka kunifanyia akiwa na hasira anaweza kuniulia kitoto changu cha mwisho.
"Mohan,tafadhali tuongee jamani!"
"we si unapenda kurukaruka au?"
Nilivyoona anaendelea kubisha, nilianza kuwa mkali sasa.
"Mo, naomba uniache kama nilivyo maana wewe si mume wangu wala baba angu. Unajali mtoto wako sasa subiri azaliwe nikupe, kwanza wewe si unaowa kesho au? halafu bado unajifanya kuwa na wivu " nami
Nilivyosema hivo nikama nilimkumbusha kitu ,aliondoka kwa hasira sana. Zuri aliingia ndani hapo.
"we Ney hujanaumia au?"
"mh we subutu!sema leo nimemfungukia,nijue nafasi yangu lakini hajajibu aliondoka tu kwanza nimpigie Raj maana ninasiku za kutosha hata simsikii"
"hello Ney!usione kimya wangu kuna vitu naweka sawa"
Tuliongea sana na Raj na Zuri pia akaongea nae mi nikawapisha maana najua sana kama wanadate.
Siku inayofuata nilikuwa mnyonge sana.Simu niliweka silence sikutaka usumbufu. Zuri alijua nini kinanisibu .Alizidi kunipa moyo na maneno ya faraja sana. Ghafla sim yake ikaita.Mpigaj ni Raj. Akapokea kish akaweka loudspeaker.
"Zuri hivi Ney mpo nae hapo?"
"ndio yupo hapa kwan kun shida?"
"na Mohan mpo nae karibu au?"
Kabla hajatoa majibu, tulishangaa kumuona Mohan anaingia na nguo zake za harusi.
"Mohan nini shida?"
"ahaah shemeji si umetakiwa kuowa leo au?"
Mohan hakujibu zaidi aliniamuru tuondoke. Tukaondoka hadi nje ya jumba la kina Mohan.
"jamani mama Mohan haonekani itakuwaj kuhusu harusi ya dada Antara sasa?"
"eh Mungu mlinde mjukuu wangu!"
"yaaani Mohan ndie mkubwa lakini.."
" mimi huyu"wote waligeuka kututazama.
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
Mohan naye aliingia na kunikuta nikiwa nalia sana. Dadimaa bibi akaingia na kukaa karibu yangu.
"binti yangu najua unapitia mengi sana lakini sasa ni wakati sahihi wa kila mtu kubeba mzigo wake"
"unamaanisha nini Dadimaa?"
"namaanisha kila mtu atakula alichokipanda si ndio Mohan?"
Sote hapo tulishtuka baada ya bibi kumuita Mohan. Halafu bibi akasimama na kuondoka.
"Mohan sitaki kuwa chanzo cha kugombanisha familia .Naomba uniache niondoke tafadhaliπ"
"Naima huondoki na mwanangu kama unataka kuondoka , ondoka lakini mwanangu niachie"
Mohan aliondoka kwa hasira sana.
Msomaji siku zilizidi kusogea na tumbo lilivyoanza kuonekana nikaenda kuishi kwa Zuri. Nae pia tumbo lilikuwa kubwa kuzidi langu. Tukapelekwa ilipo ile nyumba ya...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya-10-kwa-kweli-hali-niliyo-kuwa-nayo-sikutaka-hata-kumjibu-alimal
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan