Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
09 Nov 2025
517 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
. Lakini alinisubiri nje. Akanifuata hadi nilipo.
"Naima ni wewe!?"
"ndio Mohan ni mimi "
"daah yani aisee sikutegemea kama nitakuona kabisa. Vip mambo mengine yapoje?"
"Mohan sisi tupo tunashukuru Mungu"
"na mwanangu anaishi kweli?"
"yupo salama kabisa"
"naweza kumuona "
Awapi aliposema hivo niligoma nikamwambia haiwezekani. Mohan aliniomba sana nikakataa kata kata.
Nikaondoka nikamuacha akiwa anatazama vumbi la bajaji. Nikaenda dukani kwangu. Nikiwa pale ujumbe ukaingia kwenye simu yangu. Ujumbe huo ulikuwa ni picha za mimi na Mohan tukiwa pale shule muda huu huu.Na pic za wanangu wakiwa wanacheza uwanjani kwangu. Kisha nikatumiw na adress nimfuate mtu huyo. Kwanza nilipiga sim kuuliza nyumbani kuna usalama . Bi Ngere aliniambia wako salama na wanaendelea vizuri.
Hapo nikafunga safari kuifata adress hadi kwenye jumba moja hivi bovu. Nikamkuta Antara amekaa anakunywa wine taratibu.
"karibu sana adui wangu wa zamani"
"unataka nini kwenye familia yangu?"
"swali zuri zuri sana: nataka ukae mbali na Mohan. La sivyo utalia kilio kikubwa sana"
alipomaliza kusema hivo aliondoka kwa madaha sana. Nikarudi dukan sikutaka kwenda nyumban maana maswali yangekuwa mengi kwanini narudi bado saa. Nikiwa dukani nikamuona Mohan huyu hapa. Akaniomba nimsikilize.
"Naima ungenipa nafasi unisikilize kwanza kwasababu hujui nataka kusema nini"
"Mo sitaki kujua unataka kusema nini naomba uniache! tena Mume wangu sasa hivi anakuja"
"whatπ³!Naima umeolewa!?"
"kwa hiyo ulitaka nikusubiri? Mohan wewe umeoa na mimi nimeolewa ondoka"
Mohan aliniomba mazungumzo nilikataa. Lakini sijakataa kwa kupenda niliumia sana πͺ.Baada ya Mohan kuondoka na mimi nikarudi nyumbani na kumkuta Raj. Akaniomba tuongee .
"Naima, umeonana na Mohan leo?"
Nilishtuka na kumuuliza umejuaje.
"amenipigia sim nakunitaka nichunguze nijue unapatikana wapi?"
"tafadhali Raj asijui chochote wala usimwambie kitu."
Raj aliondoka hadi nyumbani kwao. Asubuhi iliyofuata ndio ilikuwa birthday ya Raghav. Wageni walianza kuingia na watoto wao huku wamebeba zawadi. Pia Mohan na Antara walikuja wakiwa na Sham. Mohan alimtazama Raghav na kujikuta anadondosha chozi.
"neema, wachukuwe watoto ukawandae mida ndio hiii"
Nilimuondoa pale baada ya kuona Mohan anamtazama sana. Wageni walikaa pale watoto waliendelea kucheza na kula chakula wakitakacho. Wanangu walikuwa wamekaa mbele wakisubiri cake. Neema akaileta cake mida ya 12 jioni.
Itaendelea......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
. Lakini alinisubiri nje. Akanifuata hadi nilipo.
"Naima ni wewe!?"
"ndio Mohan ni mimi "
"daah yani aisee sikutegemea kama nitakuona kabisa. Vip mambo mengine yapoje?"
"Mohan sisi tupo tunashukuru Mungu"
"na mwanangu anaishi kweli?"
"yupo salama kabisa"
"naweza kumuona "
Awapi aliposema hivo niligoma nikamwambia haiwezekani. Mohan aliniomba sana nikakataa kata kata.
Nikaondoka nikamuacha akiwa anatazama vumbi la bajaji. Nikaenda dukani kwangu. Nikiwa pale ujumbe ukaingia kwenye simu yangu. Ujumbe huo ulikuwa ni picha za mimi na Mohan tukiwa pale shule muda huu huu.Na pic za wanangu wakiwa wanacheza uwanjani kwangu. Kisha nikatumiw na adress nimfuate mtu huyo. Kwanza nilipiga sim kuuliza nyumbani kuna usalama . Bi Ngere...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya-17-18-mohan-alitoka-nje-ili-mkuu-wa-shule-asijue-chochote
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan