Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
Gonga94 Β· Stories

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
. Asubuhi nilimpigia sim Raj nikamwambia asije kuwachukuwa watoto nitawapeleka na kuwarudisha peke yangu. Raj alikubali hata hivo alisema kuwa na yeye alikuwa na safari yake ya kwenda kuchukuwa bidhaa asubuhi hiyo. Nikachukuwa watoto tukapanda bajaji mpaka shuleni. Nikaingia uwanjani kwao nikakaa palipo na viti vya wazazi. Zuri na Raghav waliondoka na kwenda kucheza.Nilipokuwa pale nikawaona wanarudi wakiwa wamemkamata mkono mtoto mmoja hivi wa kiume.
"mama this is our friend Sham, Sham meet my mom"
" goodmorning aunty!"
Msomaji nguvu ya kuitika nilikuwa nayo bas!nilibaki kumtazama tu.Nikashtuliwa na sauti zao wakiniita.Ndipo nikaitika nikamuuliza baba yako anaitwa nani.Kabla ya kunipa jibu nilisikia sauti ikimuita mtoto huyo kwa hasira sana.Nikajificha.Alikuwa ni Antara😳.Msomaji nilishangaa maana Raghav amefanana sana na Sham.Niliwasubiri hapo nione watoto watachukuliwa na nani maana wameletwa na Antara. Mida ya kurudi nyumbani aliyekuja kuwachukuwa alikuwa ni Amla . Alimchukuwa sham wakaondoka. Nilijiapiza kujua nini kinaendelea kati ya hao watu. Nikaondoka nikarudi nyumbani huku sasa nimechanganyikiwa. Bi Ngere aliliona hilo.
"emu kaa chini. Neema ,Neema we Neema emu leta maji ya kunywa !"
Nikapewa maji nikayagigida yote. Halafu ndio nimpe mkasa mzima bibi. Bi Ngere aliwaza kitu lakini hakusema ni nini. Mi nikatoka kuonana na Raj baada ya kunipa Location ya wapi nimkute. Kulikuwa ni kwenye ule ule mgahawa tulikutana mara ya kwanza.
"yani huwezi amini mtoto wa Antara amefanana sana na Raghav halafu wote wanasura ya Mohan na tabia pia"
"nalijua hilo. Ila tuachane na maisha ya nyuma nimesikia Raghav kesho kutwa ni birthday yake haya umepanga nini?"
"yani huwezi amini nilikuwa sijaanda chochote"
"haya tungefanya manunuzi mapema bana pia atawaarifu marafiki zake au sio?"
Tulitoka hapo nakupitia madukani.

Baada ya manunuzi tulipitia watoto maana walichelewa sana. Tukakuta hawapo. Tukaambiwa wamepelekwa na mama yake na Sham. Nilishtuka na kurudi nyumbani nikawakuta. Walinihug na makiss kama yote.
"mama tuliletwa na gari la kina Sham"
"ooh vizuri mwanangu"niliwaingiza ndani kisha bi Ngere akatoka na Raj. Baada ya muda Raj alitoka na kwenda nyumban kwao.Bi Ngere nae akaniita pembeni.
"haya sasa, pesa hiyo nenda kalipe michezo ya shuleni kwa watot"
Msomaji shule wanayosoma wanangu ni ya kufahari kidogo. Kuna ma toy ya watoto lakini mpaka kulipia ndio wanacheza tena tunalipia kwa wiki.Nikarudi tena shule kwa watoto maana kesho ni Jumamosi sitawakuta. Ile naingia ofisini kwa mkuu shule uso kwa uso na Mohan. Akiwa anamaliza kulipa.

Itaendelea......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana

. Asubuhi nilimpigia sim Raj nikamwambia asije kuwachukuwa watoto nitawapeleka na kuwarudisha peke yangu. Raj alikubali hata hivo alisema kuwa na yeye alikuwa na safari yake ya kwenda kuchukuwa bidhaa asubuhi hiyo. Nikachukuwa watoto tukapanda bajaji mpaka shuleni. Nikaingia uwanjani kwao nikakaa palipo na viti vya wazazi. Zuri na Raghav waliondoka na kwenda kucheza.Nilipokuwa pale nikawaona wanarudi wakiwa wamemkamata mkono mtoto mmoja hivi wa kiume.
"mama this is our friend Sham, Sham meet my mom"
" goodmorning aunty!"
Msomaji nguvu ya kuitika nilikuwa nayo bas!nilibaki kumtazama tu.Nikashtuliwa na sauti zao wakiniita.Ndipo nikaitika nikamuuliza baba yako anaitwa nani.Kabla ya kunipa jibu nilisikia sauti ikimuita...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya-16-niliwabembeleza-watoto-wakakubali-kula-japo-kwa-mbinde-sana

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ    SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ   SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ    SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ  SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ   SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

916
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

524
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16

448
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

432
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

357
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

324
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

310
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.75K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.6K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.38K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest