Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
10 Nov 2025
457 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alifumba macho na kuomba .
"happy birthday to you Γ2 happy birthday dear Raghav happy birthday to you!kata cake tulee"tuliendelea kuimba hadi akazima mishumaa ile. Wakati anataka kukata cake ghafla akatokea binti mmoja na kusema.
"Raghav ulituahidi baba yako atakuwepo kwenye sherehe mbona hatumuoni?"
Raghav alikaa kimya huku akiangalia chini.
Antara akasogea mbele na kuchuchumaa mbele ya Raghav.
"oh pole sana Raghav kumbe huna baba sikujua! ila ndio hivo mama yako akiolewa utapata baba"
Mi nasikia hasira nikamfuata pale Antara.
"Antara, hayo sio maneno ya kumwambia mtoto!"
"mmmh sasa tumfiche ili iweje sasa kwanza baba wa Zuri ndio huyu hapa"
Simon alitokea. Zuri alikimbia nyuma ya mgongo wa bi Ngere na kusema.
"hapana huyo sio baba yangu!"
"oh mwanangu umekuwa sana!mama yako alinikimbia ukiwa mdogo sana!"
"Simon acha kuongea maneno hayo kwa mtoto!"
"tulia tukusaidie kuwaambia watoto ukweli"
"na je nikitaka kuonyesha ukweli na mimi?"
Hiyo sauti ilitokea mlangoni tukatazama sote. Alikuwa ni Raj. Zuri na Raghav na Sham walimfuata wakamkumbatia. Kisha wakarudi kwa uoga baada ya kuona police.
Antara alimtazama nakusema.
"ooh we ndio unadate na single maza au? hhh haya unaukweli upi? unataka kusema hawa watoto ni wako?"
hapana ila nitaonyesha ushahidi na huyu ndiye baba yao"
Raj alitoa karatasi na kumpa Antara.
"hapana!Raj nini hiki?!"
"huo ndio ukweli wote"
Mi nikaona naingiziwa usiku nikachukuwa karatasi ile.Ile nasoma jamani nakuta Sham na Raghav ni wanangu wote na ilikuwa karatasi ya DNA.
"Antara, ulimtuma Swaumu aende kuiba mtoto wa Ney hospitali. Na ukaona haitoshi ukataka kumuiba na Raghav ili uipore furaha yake. Ndio niliamua kufanya uchunguzi wa kuchukuwa nywele ya Raghav na ya Sham nikajua ukweli Kwa hiyo baba wa watoto hao ni Mohan"
"hapana sio kweli huna ushahidi!"
Swaumu alitokea nyumba akiwa na Mwaju kisha akasema.
"ni kweli!ulidiriki kunituma hata kumpiga picha Mohan na Ney na pia watoto wake ili umtishie maisha akae mbali na Mohan"
Antara alibaki kitoa macho tu.Mohan na mimi tulikuwa tunaona kama drama tu. Wageni waalikwa walikuwa kimya tu kutazama nini kinaendelea. Mwaju nae alidakia.
"Antara tuliongea kuwa tutakuwa sawa sawa kwenye mali hizi lakini ukaamua kutudhulumu .Sasa bora tumalize"
Ma afande walisogea na kumchukuwa Antara, Mwaju,na Swaumu. Waliwabeba Dadimaa na Rashmi ambae,ni mama wa Mohan,waliingia . Aliniomba msamaha na kuwakumbatia wajukuu zake.
Zuri tuliendelea kumlea bila kujua kama sisi sio wazazi wake.Mimi na Mohan tulifunga ndoa na kuanza maisha Rasmi.Now tuna watoto wa 5 maana aliongezeka dada yao mdogo ambaye ni Rashmi.Kapewa jina la bibi yake.
Raj alioa binti wa kiafrika nae alikuwa mwalimu kwenye shule la kina Raghav.
karibuni sana, mlikuwa na mimi mtunzi wenu, Simulizi za Baby smile, ubarikiwe sana dear kwa saport yako Mungu akuzidishie pale ulipotoa, karibu tena kipenzi changu nawapenda mno vipenzi vyangu π₯°π.
GLORY BE TO GOD
THE END.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
alifumba macho na kuomba .
"happy birthday to you Γ2 happy birthday dear Raghav happy birthday to you!kata cake tulee"tuliendelea kuimba hadi akazima mishumaa ile. Wakati anataka kukata cake ghafla akatokea binti mmoja na kusema.
"Raghav ulituahidi baba yako atakuwepo kwenye sherehe mbona hatumuoni?"
Raghav alikaa kimya huku akiangalia chini.
Antara akasogea mbele na kuchuchumaa mbele ya Raghav.
"oh pole sana Raghav kumbe huna baba sikujua! ila ndio hivo mama yako akiolewa utapata baba"
Mi nasikia hasira nikamfuata pale Antara.
"Antara, hayo sio maneno ya kumwambia mtoto!"
"mmmh sasa tumfiche ili iweje sasa kwanza baba wa Zuri ndio huyu hapa"
Simon alitokea. Zuri alikimbia nyuma ya mgongo wa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya-19-20-baada-ya-cake-kuletwa-watoto-wangu-wote-walisogea-birthda
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan