Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
Gonga94 Β· Stories

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nilishangaa ananiambia, tena kwa sauti ya kumaanisha. Nakumbuka aliniambia β€œNdeana wangu, njoo nakusubiri, nipo hapa jirani na nyumbani kwenu. Ukitoka tu utaona gari yangu.”

Nikashtuka na kumuuliza β€œUnasemaje?”
Akaniambia kwa furaha β€œSitanii totoo, nakusubiri, mimi sijui umenipa nini ila siwezi kwenda kulala bila kukuona, njoo basi.”

Nikamtazama dada yangu, kisha nikazuga nikisema β€œnakuelewa sawa nakuelewa.”
Akacheka kidogo akisema β€œNakusubiri totoo!!”

Simu ilikatwa na nikabaki hata sijui namuaga vipi dada kwa maana kitu ambacho sikutarajia ni kuambiwa boss yupo mitaa ya nyumbani. Sikuwa nimetarajia kabisa kwasababu wala hapafahamu nyumbani.

Nilimtazama dada yangu kwa wasiwasi, dada yeye alikuwa anatabasamu tu, alikuwa anasuburi nizungumze. Hivyo nami nikajikaza na kusema β€œdada samahani, nitarudi sio muda mrefu.”
Dada yangu alinitazama akatabasamu na aliniambia β€œsawa kabisa mdogo wangu, hakuna shida.”
Kwa mara ya kwanza dada yangu ananipa uhuru bila maswali, maajabu maana yeye huwa hajawahi kuisha maswali kabisa.

Nilitoka kweli, nilitembea kidogo sana, huyu mwanaume wala hata hakuwa mbali na nyumbani. Nilitazama huku na kule kuona kama watu wananitazama. Kama ilivyo hilo sio jambo rahisi kuthibitisha kama hakuna aliyekuwa ananitazama au yupo.

Ila aliponiona tu alishuka akafungua mlango wa gari na kusogeza pembeni kidogo bila kuzungumza kitu. Na baada ya kusimamisha gari alisema β€œkwenu ni pazuri sana. Nimepapenda sana. Lini utanikaribisha?

Nikamtazama na kisha nikamuuliza β€œumepajuaje huku?”
Akatabasamu na kusema β€œHivi mtu anayekupenda unawezaje kumuuliza swali rahisi hivyo totoo.Nimekufuatilia nikapafahamu nyumbani.”

Nlimtazama na kuvuta pumzi nikisema β€œkaribu mtaani kwetu, eenh kuna tatizo.”
Boss akanitazama na kusema β€œtatizo lipo, kubwa sana Ndeana. Kubwa.”
Nikashtuka na kumuuliza β€œkubwa gani tena, niambie tafadhali.”

Aliniambia kwa kunitazama akisema β€œtatizo ni kwamba siwezi kukaa mbali na wewe, tatizo ni kwamba siwezi kulala bila busu na tabasamu lako, tatizo ni kuwa umeziteka sana hisia zangu

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 61

Mimi sielewi kama ninakukera au vipi, ila nataka niwe karibu yako muda mwingi. Nimekuja kufuata busu lako wewe, nimekuja kukuona tu nifurahi na roho yangu.

Na si unajua leo umenipa furaha sana, umenipa furaha ambayo sijapata kwa muda mwingi sana katika maisha yangu. Wewe ndiyo furaha yangu.”

Nikamtazama na kusema kwa kumshangaa β€œYaani wewe, lakini huku ni nyumbani tunaweza kuonekana ujue.”

Alinitazama kwa upole akisema β€œina maana utaficha kama nakupenda mpaka lini?. Hata mimi mwanzo nilifikiri ni rahisi kuigiza kama sikufahamu. Ila sio kitu kidogo. Ndeana ninakupenda kiukweliukweli. Pengine mwanzo nilikutamani, ila sasa nakuambia nimechanganyikiwa. Unajua sielewi kitu kwako.”

Nikatabasamu na kumuuliza β€œkwahiyo ulitaka kuchezea usichana wangu eenh.”
Alinitazama na kisha alianza kucheka na mimi nikacheka sana huku akisema β€œmuone huyu mtoto. Ndeana umenichekesha sana unajua.”

Nikacheka nikisema β€œeenh maana unasema hukujua kama ungenipenda hivi.”

Tulicheka sana na kisha aliniambia β€œTotoo sikia, nimekuja hapa nikiwa na maana kubwa sana. Kila muda nina kushukuru ila bado naona haitoshi, kila mara nimesema asante ila haitoshi. Asante kwa kuja katika maisha yangu Ndeana.

Umebadilisha vingi sana. Hata Hotel ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi. Ila kupitia wewe tumepata bonge la dili nono. Na najua huu ni mwanzo tu, huu ni mwanzo Ndeana. Tutapata wateja wengi sana, tutawapata si ndiyo eenh.”

Nilimtazama na kusema β€œKila jambo linawezekana. Nitafanya bidii, nitafanya mpango, nitahakikisha kila kitu kinakuwa sawa. Mungu atusaidie tu.”
Nikatabasamu na yeye akatabsamu akisema β€œhujui tu kwa familia yangu umefanya nini?”
Nikacheka tu kidogo.

Kisha aliniambia β€œSikia sikuwa nimekupa pesa ya kuanzia kazi. Na sasa nikasema tena ujiandae vizuri ili siku hiyo upendeze na si unajua inaanza wiki hili tu. Ndeana nimekuletea pesa. Sio nyingi kwa mji huu ila najua unaweza kujibana. Sasa hivi vumilia kidogo sana. Nitakufurahisha.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 62

Kisha akavuta laki tano akanipatia akisema β€œhii laki tano, sijasema ule hii pesa, sijasema utunze kwaajili ya kesho yako. Nimesema hivi ujiandae tu kwaajili ya kuwahudumia wale watu wazito. Umenielewa Totoo.”

Nilimtazama na kumuuliza β€œpesa zote hizi ni zangu mimi?, unasema kweli?”
Akatabasamu na kusema β€œchochote kile kwa mwanamke wangu wa kwanza kumpenda.”

Nikamtazama na kutabasamu huku nikitazama pesa na kisha nikasema β€œNi nyingi sana, na umesema haupo vizuri ungepunguza.”
Alitabasamu akisema β€œsipo vizuri ila kukupa hiyo hainifanyi niwe maskini. Umenielewa sasa.”

Nilitamani kulia kusema ukweli. Alinikumbatia na kisha aliniambia β€œwewe unatakiwa kunibusu.”

Nikambusu kwenye paji la uso. Akatabasamu na kusema β€œNdeana acha masihara, hili ni busu la wagonjwa, faraja na marafiki wakati mwingine au dada na kaka. Mimi nataka letu, lile maalumu kwaajili yetu.”

Nikamtazama tu, nikafumba macho yangu na taratibu nilianza kumsogelea kabla sijafika aliushika uso wangu kwa mikono yake miwili. Nilisema mwanzo kuhusu ustadi wake wa sekta hii, nami nikifika hapo nakua rojorojo siwezi kusema kitu.

Mwanaume anajua na ana hisia sana. Aliporidhika aliniachia akashusha pumzi ndefu sanaaaa, akaniambia β€œNimekumiss sana, siwezi kukuacha uende, siwezi nimekukumbuka sana.”

Kabla sijajibu akaendesha gari akasogeza sehemu salama zaidi, ilikuwa ni sehemu kama bar hivi, wanasimamisha pale gari nyingi sana. Akajipenyeza kupata nafasi na kisha nikamuuliza β€œUnafanya nini sasa?”

Akanitazama na kusema β€œNisamehe Ndeana, ila kwako nashindwa kuwa mpole, nakuomba sana please, kidogo tu.”
Nikasema kwa kushangaa β€œBoss!!”
Akanitazama nikasema tena β€œKwenye gari?”
Akaniambia kwa sauti ya huruma β€œhutojutia, trust me utafurahia sana. Utafurahia.”

Kabla sijajibu tayari alinivuta mwilini mwake, alifanya analoweza nguo yangu ikapandishwa, nguo ya ndani sijui alitupa wapi. Ila alinipakatia, Nikiwa mapajani mwake nakula busu tena busu haswa, na fimbo yake ikiendelea kurindima.
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 63
Ngoma inapigwa, nami nacheza ngoma kwa madaha mbele ya mwana mfalme ili niondoke naye. Tena siku hii utamu wa ngoma haukuwa mdogo, ulikuwa ni mkubwa sana, nilijikuta nacheza ngoma tofauti na nilivyocheza mara ya kwanza. Viti uwanjani ni kama tuving’oe tutupe nje ya uwanja ila haiwezekani. Kwa vurugu zetu, tukalaza tu.

Kusema ukweli, ninazidi kufurahia, ninazidi kumuweka moyoni. Ameanza kunifundisha tabia ambazo mimi sikuwahi kuwa nazo, kama hii ni mpya sikujua kuwa mambo haya hata nje ya nyumba hufanyika. Ninaanza kuzama na kuwa chini juu yake. He is so sweet, haelekezeki.

Yaani siwezi kabisa kumuelezea. Hata tulipomaliza kwa ujasiri, nilimtazama usoni, akaniuliza β€œHujapenda Yondo sister.”
Kwa aibu nikasema β€œumeona sasa?”
Akacheka akisema β€œRay c hakufikii, kwani mama ina nini?”

Nikashtuka na kuuliza β€œkitu gani?”
Akanionesha kwa sura tu, akijaribu kuchungulia na akisema β€œkama ina asali ndani yake na ndiyo maana wewe ni honey pot, my sweet person. Wewe mtamu sana, mtamu wa sauti, matendo, tabia, kazi na kila kitu chako pia. Sikia ni kwa moto sana.”

Nikashusha gauni na kukaa kwa siti nikisema β€œunanichanganya, wapi kwa moto sana.”
Akacheka akisema β€œTanuri lako, limekoza moto. Thanks honey pot, Nakupenda na nashukuru kwa kunitoa jasho.”
Nikatabasamu na kusema β€œasante pia. Nimependa.”
Akacheka akisema β€œsasa kumbe.”

Nilipumzika kidogo kisha nikatabasamu na kusema β€œNaweza kusema usiku mwema?”
Na yeye alinitazama na kusema β€œNdeana, naweza kukuambia how i love you?”
Nikacheka na kusema β€œYaani wewe upoje lakini, haya niambie basi.”

Akaniambia akitabasamu β€œNakupenda wewe totoo, waambie wadau wakae sawa.”
Nikajikuta nacheka kwa sauti, nikisema β€œnaomba niende humalizi wewe.”
Akasema β€œsimalizi kweli, kama nikuoe leoleo.”

Nikacheka tu, na kusema β€œunajua wengi wakiolewa ndoa zao zinaboa.”
Akawa anawasha gari akisema β€œUkiona hivyo ujue hapo hawapendani. Unakumbuka nilikuambia mkielewana everything becomes sweet eenh.
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 64

Sasa mnatakiwa kupendana kila siku, mkihisi kuchokana mnatakiwa kujiupdate tena na tena. Kusema ukweli nitakuwa tu mume mzuri kwako. Na vile sitaki kukukosa.”

Nikacheka nikisema β€œmaneno yenu kabla ya kupata sasa.”

Aliniambia kitu, alinitazama na kisha akaondoa gari akisema β€œHakuna kitu kibaya kwenye mapenzi kama kuwa na wasiwasi na mwenza wako, kutokujiamini, kuwa na imani ndogo juu ya mwenzako.

Kuwa na mawazo hasi juu ya uhusiano wenu. Ndeana unatakiwa kufikiria raha, furaha, imani, mapenzi na vitu vizuri vyote kwasababu hivyo ndiyo unastahili. Unajua watu wengi wanalalamika kuhusu ndoa mbaya, ndoa vile na hivi kiasi hata wale wenye ndoa nzuri wakiongea wanaonekana waongo. Ndeana, utakuwa watu kati ya wale wenye furaha kwenye ndoa zao. Niombee, Haki ya Mungu, I wilii Marry you.”
Nilimtazama tu na kuvuta pumzi.

Aliendesha gari mpaka sehemu karibu na nyumbani, akaniacha hapo. Kisha aliniaga akisema β€œkesho ifike haraka nikuone tena.”
Nikacheka nikisema β€œByee.”
Na yeye akawa ananibusu kwa mkono wake kisha ananioneshea akisema β€œByee my Sweet Person. Nakupenda.”
Hakika nilikuwa nasikia raha sana, nilikuwa ninasikia raha mno. Nikawa natembea nageuka nyuma bado yupo ananitazama tu, natembea nageuka nyuma basi hivyohivyo mimi natabasamu tu.

Nikafika nyumbani, nilipoingia tu nilikutana na dada yangu. Nikataka nipitilize chumbani kwanza nikisema β€œdada nitarudi ngoja nikabadili nguo.”

Dada aliniambia kwa upole β€œnjoo mara moja mdogo wangu.”
Nikamtazama na kwenda kukaa karibu na yeye. Kisha alinitazama na kuniambia β€œnajua huwezi kunificha mimi. Eenh niambie kuhusu boss, nini kinaendelea.”

Nikamtazama na kisha nikatabasamu nikisema β€œJamani dada hakuna kitu, ni mtu mzuri sana. β€œ
Dada alitabasamu na kuniuliza β€œNi mtu wako, yaani ni mpenzi wako?”

Nikashtuka na kusema β€œdada nawezaje sasa, hapana hata sio.”
Dada alisema kwa upole β€œsikia mdogo wangu. Wewe sio mtoto hata nikuambie muache au huyo ana faa au hafai. Nataka utambue kuwa unao uhuru wa kuwa na yeyote yule unayempenda.

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 65

Kikubwa mdogo wangu nimetaka nikukanye kama mdogo wangu. Kama ulivyosema, ni boss wako, ni mtu mkubwa ni tajiri. Hatujui tabia zake, kama ni mtu mzuri au mtu mbaya.

Ila ninaweza kukuambia kwa ujumla wao. Watu hawa kwanza huwa wanafamilia zao, chunguza hilo kwanza mdogo wangu usije kuwa na mume wa mtu, na kama sio hivyo watu hawa ni wabinafsi sana kimapenzi yaani kwasababu wana pesa wanahisi wanaweza kulala na mwanamke yeyote yule.

Na wengi wao ni wagonjwa sana tu. Mdogo wangu usitoe haraka mwili wako bila kuthibitisha mambo kadhaa utakuja kujuta. Maboss wengi maneno mengi na kutumia pesa zao ili unase kwenye mitego yao kisha akija mwanamke mwingine wewe tena hakutaki anaweza hata kukufukuza kazi, au anaweza kukufanya mdoli wake wa kukutana naye kimwili bila kujali unataka au hutaki na kumuacha unashindwa kwasababu tu ndiyo boss wako. Nataka kujua kitu, mdogo wangu kipenzi Unampenda?, tafadhali niambie ukweli usifanye tu kwasababu ya kazi.”

Maneno ya dada yalinichoma sana, haswa anaponiambia ni wagonjwa, usitoe mwili haraka wakati mimi nimenogewa nishakutana naye kimwili mara mbili zote. Nilijikuta nainamisha kichwa changu chini. Ndipo dada aliniuliza tena β€œMdogo wangu, unampenda huyo mwanaume?”

Nikamtazama na kusema β€œkusema kweli dada ninampenda sana. Naona ni mwanaume mzuri. Lakini sijamuonesha kama ninampenda kwa kiwango kikubwa sana kama ambavyo ninakuambia kwa maana naogopa kuumia. Dada ninampenda sana. Kuna muda nashindwa jizuia sijui nifanye nini?”

Dada alitabasamu na kusema β€œKumpenda mtu sio kosa, ila nakuombea umpende mtu sahihi utafurahia maisha yako. Kitu kingine kabla ya chochote kitu. Mkapime afya zenu. Ndeana kama wewe hutaki fanya kwaajili yetu. Tupo wawili tu, tunatakiwa kulindana. Na baba Yetu kama unavyomuona. Anaumwa, na mimi unajua afya yangu. Kwahiyo jitunze na uwe mzima.”
Nikatabasamu na kusema β€œaliniletea pesa, kwaajili ya kujiandaa na ile kitu nimekusimulia.”

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 66

Dada alitabasamu na kusema β€œupo huru mdogo wangu wala hutakiwi kuniambia una shilingi ngapi, umetoa wapi. Najua unajua kutafuta na una akili. Wewe niambie huzuni zako tusaidiane, furaha zako tufurahi pamoja. Nakupenda sana.”

Nilisema kwa upole β€œnashukuru sana dada.”
Dada alisema β€œhaya nenda zako ukajiweke sawa na uje kula kwa maana leo nimepika vitu unavyopenda.”
Nikasema usiniambie β€œndizi nyama nyingi.”
Dada akacheka akisema β€œndizi kidogo nyama kibao.”
Tukacheka pamoja huku nikielekea chumbani.”

Nilipofika chumbani nikawa nachekacheka tu, yaani kama sio mimi ambaye nilikuwa nasema hata nikilala naye nipate kazi sitaki mazoea. Ni mimi nilikuwa nasema hata kulala naye sitaki na kazi basi tena. Ila ninazidi kunogewa. Mwanaume ana maneno matamu huyu, mwanaume anajua kupenda, anakuonesha anakupenda mpaka unasikia raha.

Katikati ya kucheka nikakumbuka maneno ya dada kuwa huyu mtu humjui vizuri, usitoe mwili kwanza mkapime. Nikajikuta navuta pumzi kisha najiuliza β€œanaweza kuwa muathirika etu?, hapana na anavyonipenda hivyo kweli, hawezi si ndiyo eenh. Mungu wangu kama nimempima kwa macho nitakuwa nimeisha. Hawezi, hawezi ni mzima.”

Ninajifariji mwenyewe, mara nikakumbuka Joan alitaka kusema kitu, meneja alikatisha. Nikamtafuta haraka haraka nikampigia. Na yeye alipokea na kusema β€œrafiki yangu umefika?, ilikuwa nikutumie ujumbe hapa maana nimefika hoi.”

Nikacheka nikisema β€œnashukuru sana rafiki yangu nimefika poa kabisa. Nilikupigia tu nikuambie nimefika.”

Akaniambia kwa upole β€œsawa rafiki yangu.”
Nikasema β€œkesho tuwahi kipenzi. Kwa maana kuna kazi tunatakiwa tukafanye mwambie na huyo mwingine uliyemchagua.”

Joan aliniambia β€œhilo limeisha.”
Nikatamani niulize ila nashindwa nikasema β€œbasi kesho shoga yangu.”
Na yeye akaniambia β€œsawa kipenzi.”

Kabla sijakata nikajifanya ndiyo nakumbuka, nikasema β€œeenh shoga, nimekumbuka muda ule Boss alipopita ulitaka kuniambia kitu ila meneja alikatisha.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 67

Akacheka na kusema β€œnilishasahau, tutaongea tu vizuri. Ila nilitaka nikuambie ana dharau sana yule Boss. Sio dharau hizi za kawaida kwasababu ana pesa. Hapana, ila wanawake sijui anawachukuliaje, wanawake kibao pale kazini mpaka wanapigana, ila yeye akikulala mara moja hakurudii na wanasema yupo vizuri balaa.”
Moyo wangu ukaingia ganzi, hata Joan aliniita β€œNdeana unanisikia?”

Nikasema kwa kujishtukia β€œmtandao kipenzi, aisee kwahiyo yeye halali na mwanamke mara mbili, na hao wanaomgombania ni wafanyakazi?”

Akasema β€œnani tena wengine, na wengine nje ya ofisi si unajua watu wenye pesa shoga, kwahiyo kuwa makini na ulivyo mzuri shoga usije liwa na ukaachwa mataa.”

Nikatamani kulia, na nilitamani kumuuliza kuhusu yeye. Ila kama mtu ameniambia hivyo ina maana hata yeye kawahi kulala naye au hajawahi. Mimi ilinibidi nimuage tu. Moyo wangu uliniuma mno, uliumia sana. Ndani yangu nikasema β€œkumbe ni malaya, kumbe ataniacha tu. Sasa kwanini, kwanini sasa.”

Nilikuwa nimeweka simu pembeni, naumia sana. Nakumbuka maneno yake na nyakati chache ambazo tumekua pamoja. Naumia sana kwa maana mimi tayari nimempenda sana. Na kama analala na wanawake wengi namna hiyo ina maana usalama wa afya yake ni mdogo sana. Ninaogopa, hofu imetanda ndani ya moyo wangu. Nimeingiwa ubaridi na woga mkubwa sana.

Ujumbe uliingia kwa simu yangu. Nilichukua simu ili kuusoma. Alikuwa ni dada Martha ameniuliza swali β€œAre you Dating Him?(una mahusiano naye?)”

Nikashangaa, kisha nami nikamjibu β€œwewe sio ndiyo uliniambia ananipenda niwe naye sasa mbona unaniuliza?”
Martha akanitumia β€œπŸ™„πŸ™„πŸ™„upo naye mpaka leo hii?”
Nikamjibu kwa kushangaa β€œdada sikuelewi kwani kuna nini?”

Martha aliniambia β€œhaiwezekani!!, Stewart hana muda na mwanamke katika maisha yake. Imekuaje kwako. Mdogo wangu nisamehe kama nitakuwa navuka mipaka. Nataka kujua ushakutana naye mara ngapi?”
Nikaguna na kusema β€œunajua unashangaza dada Martha. Mara mbili?”

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60


Nilishangaa ananiambia, tena kwa sauti ya kumaanisha. Nakumbuka aliniambia β€œNdeana wangu, njoo nakusubiri, nipo hapa jirani na nyumbani kwenu. Ukitoka tu utaona gari yangu.”

Nikashtuka na kumuuliza β€œUnasemaje?”
Akaniambia kwa furaha β€œSitanii totoo, nakusubiri, mimi sijui umenipa nini ila siwezi kwenda kulala bila kukuona, njoo basi.”

Nikamtazama dada yangu, kisha nikazuga nikisema β€œnakuelewa sawa nakuelewa.”
Akacheka kidogo akisema β€œNakusubiri totoo!!”

Simu ilikatwa na nikabaki hata sijui namuaga vipi dada kwa maana kitu ambacho sikutarajia ni kuambiwa boss yupo mitaa ya nyumbani. Sikuwa nimetarajia kabisa kwasababu wala hapafahamu nyumbani.

Nilimtazama dada yangu kwa wasiwasi, dada yeye alikuwa anatabasamu tu, alikuwa anasuburi nizungumze. Hivyo nami nikajikaza na kusema...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/season-two-jamani-boss-mi-naona-aibu-60

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi season-two-jamani-boss-mi-naona-aibu
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest